KIGOMA: JESHI LA POLISI LAZUIA MKUTANO WA ZITTO KABWE
> Ni kutokana na sababu za kiusalama na taarifa za kiintelijensia zilizopo
> Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa ACT Wazalendo amesema sababu hiyo haina mashiko
Soma - https://jamii.app/PolisiZuioMkutano
> Ni kutokana na sababu za kiusalama na taarifa za kiintelijensia zilizopo
> Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa ACT Wazalendo amesema sababu hiyo haina mashiko
Soma - https://jamii.app/PolisiZuioMkutano
MABADILIKO YA TABIANCHI KUSINI MWA AFRIKA YASABABISHA BAA LA NJAA
> Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema watu milioni 45 kati ya watu milioni 345 wa Kanda hiyo wanakumbwa na Njaa Kali kufuatia ukame wa mara kwa mara, mafuriko na hali mbaya ya kiuchumi
Soma - https://jamii.app/Hunger45MilSouthernAfrica
> Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema watu milioni 45 kati ya watu milioni 345 wa Kanda hiyo wanakumbwa na Njaa Kali kufuatia ukame wa mara kwa mara, mafuriko na hali mbaya ya kiuchumi
Soma - https://jamii.app/Hunger45MilSouthernAfrica
NIDA: NAMBA ZA UTAMBULISHO (NIN) MILIONI 6 BADO HAZIJATUMIKA KUSAJILI LAINI ZA SIMU
> Namba 6,806,096 bado hazijatumika kusajili laini za simu kwa Alama za Vidole
> Wananchi wenye namba wametakiwa kusajili laini zao kabla ya tarehe 20
Soma - https://jamii.app/NidaUsajiliSimu
> Namba 6,806,096 bado hazijatumika kusajili laini za simu kwa Alama za Vidole
> Wananchi wenye namba wametakiwa kusajili laini zao kabla ya tarehe 20
Soma - https://jamii.app/NidaUsajiliSimu
MPANGO WA NYUKLIA IRAN: MAREKANI YATISHIA KUONGEZA USHURU WA MAGARI
> Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amethibitisha kuwa Marekani imetishia kuongeza ushuru wa 25% kwa mauzo ya magari kutoka Ulaya
> Ongezeko hilo litatekelezwa iwapo Ulaya (Uingereza, Ufaransa na Ujerumani) haitaikemea Iran kuhusu Mpango wa Nyuklia
Soma - https://jamii.app/OngezekoUshuruMagariUS
> Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amethibitisha kuwa Marekani imetishia kuongeza ushuru wa 25% kwa mauzo ya magari kutoka Ulaya
> Ongezeko hilo litatekelezwa iwapo Ulaya (Uingereza, Ufaransa na Ujerumani) haitaikemea Iran kuhusu Mpango wa Nyuklia
Soma - https://jamii.app/OngezekoUshuruMagariUS
ZANZIBAR: POLISI AFUKUZWA KAZI KWA KUSABABISHA KIFO CHA MTUHUMIWA
> Hussein Yahya Rashid (36), amekutwa na hatia ya kusababisha kifo cha Mussa Suleiman ambaye alituhumiwa kwa kosa la wizi kutokana na kumkabidhi mtuhumiwa huyo kwa Raia ambao walimshambulia hadi kumuua
Soma - https://jamii.app/PolisiHatiaKifoMtuhumiwa
> Hussein Yahya Rashid (36), amekutwa na hatia ya kusababisha kifo cha Mussa Suleiman ambaye alituhumiwa kwa kosa la wizi kutokana na kumkabidhi mtuhumiwa huyo kwa Raia ambao walimshambulia hadi kumuua
Soma - https://jamii.app/PolisiHatiaKifoMtuhumiwa
Rushwa huhusiana na udanganyifu unaohusisha kutotimiza wajibu, kujitambulisha kwa uongo au jaribio la kupotosha ukweli ili kujipatia faida ya fedha au manufaa mengineyo
-
Mkurugenzi wa Intelijensia wa TAKUKURU, Emmanuel Kiyabo aliwahi kusema, "Mtoa taarifa hapaswi kuogopa kwa kuwa anaweza kwenda Mahakamani kutoa ushahidi, hasa kwa kesi za rushwa kuhusu Huduma za Kijamii na uonevu."
-
Mkurugenzi wa Intelijensia wa TAKUKURU, Emmanuel Kiyabo aliwahi kusema, "Mtoa taarifa hapaswi kuogopa kwa kuwa anaweza kwenda Mahakamani kutoa ushahidi, hasa kwa kesi za rushwa kuhusu Huduma za Kijamii na uonevu."
UPDATE: RAIS WA URUSI ATEUA WAZIRI MKUU MPYA BAADA YA BARAZA LA MAWAZIRI KUJIZULU
-
Rais Vladimir Putin amemteua Mikhail Mishustin kuwa Waziri Mkuu mpya baada ya Baraza la Chini la Bunge kupitisha uteuzi huo kupitia upigaji wa kura
-
Waziri Mkuu wa Zamani, Dmitry Medvedev ameteuliwa kuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi
-
Rais Vladimir Putin amemteua Mikhail Mishustin kuwa Waziri Mkuu mpya baada ya Baraza la Chini la Bunge kupitisha uteuzi huo kupitia upigaji wa kura
-
Waziri Mkuu wa Zamani, Dmitry Medvedev ameteuliwa kuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi
RIPOTI-2019: TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 91 KATIKA UTAWALA WA SHERIA
- Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na 'The World Justice Project' ikipima upatikanaji, utendwaji na Utambulikaji wa Utawala wa Sheria, Tanzania ipo nafasi ya 91 kati ya nchi 126
Soma https://jamii.app/Tanzania91UtawalaSheria-WJP
- Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na 'The World Justice Project' ikipima upatikanaji, utendwaji na Utambulikaji wa Utawala wa Sheria, Tanzania ipo nafasi ya 91 kati ya nchi 126
Soma https://jamii.app/Tanzania91UtawalaSheria-WJP
SHAMBULIO LA IRAN NCHINI IRAQ: WANAJESHI 11 WA MAREKANI WALIJERUHIWA
> Makao Makuu ya Jeshi la Marekani yamesema, Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya Kambi ya Jeshi la Wanaanga ya Ain al-Assad lililofanyika Januari 8
Soma - https://jamii.app/11PersonnelInjuredAirbase
#JFLeo
> Makao Makuu ya Jeshi la Marekani yamesema, Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya Kambi ya Jeshi la Wanaanga ya Ain al-Assad lililofanyika Januari 8
Soma - https://jamii.app/11PersonnelInjuredAirbase
#JFLeo
UGANDA: JELA MIAKA 13 KWA KUMNAJISI NA KUMPA MIMBA MWANAE WA MIAKA 12
> Hii ni baada ya Mtuhimiwa kukiri makosa yake kwa Jaji
> Kuongea na Jaji ni hiyari kama ilivyoidhinishwa kwa muda Tanzania kuongea na DPP kuhusu Makosa ya Uhujumu Uchumi
Soma https://jamii.app/MimbaMwanaeUmri12
#JFLeo
> Hii ni baada ya Mtuhimiwa kukiri makosa yake kwa Jaji
> Kuongea na Jaji ni hiyari kama ilivyoidhinishwa kwa muda Tanzania kuongea na DPP kuhusu Makosa ya Uhujumu Uchumi
Soma https://jamii.app/MimbaMwanaeUmri12
#JFLeo
LESOTHO: WAZIRI MKUU ATANGAZA KUJIUZULU KUFUATIA TUHUMA ZA MAUAJI YA ALIYEKUWA MKEWE
> Thomas Thabane hajasema sababu za kujiuzulu na hajazungumzia tuhuma zinazomkabili
> Mkewe mpya, Maesaiah Thabane anatafutwa na Polisi kwa mahojiano
Soma - https://jamii.app/WaziriKujiuzuluLesotho
> Thomas Thabane hajasema sababu za kujiuzulu na hajazungumzia tuhuma zinazomkabili
> Mkewe mpya, Maesaiah Thabane anatafutwa na Polisi kwa mahojiano
Soma - https://jamii.app/WaziriKujiuzuluLesotho
BASHIRU AANZA ZIARA MKOANI KIGOMA
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ameanza Ziara ya Siku Tatu
> Aidha, barua ya Polisi yenye Kumbukumbu Namba KIG/A.24/60/VOL.1/114 ilimzuia Zitto Kabwe kufanya Mkutano wa Hadhara Jimboni mwake
Soma https://jamii.app/BahiruKigomaZitto
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ameanza Ziara ya Siku Tatu
> Aidha, barua ya Polisi yenye Kumbukumbu Namba KIG/A.24/60/VOL.1/114 ilimzuia Zitto Kabwe kufanya Mkutano wa Hadhara Jimboni mwake
Soma https://jamii.app/BahiruKigomaZitto
BARRICK KUPUNGUZA WAFANYAKAZI 110 NORTH MARA
> Itafanya hivyo ili kumudu gharama za uendeshaji
> Mchakato huo utazingatia Sheria zote za Nchi kuhakikisha kila anayeguswa anapata Stahiki zake
Soma https://jamii.app/BarrickKupunguza
> Itafanya hivyo ili kumudu gharama za uendeshaji
> Mchakato huo utazingatia Sheria zote za Nchi kuhakikisha kila anayeguswa anapata Stahiki zake
Soma https://jamii.app/BarrickKupunguza
MTANZANIA APATA MABILIONI KWA KUUZA MFUMO WA KUNUNUA GESI KADRI UNAVYOTUMIA
> Andron Mendes ameiuzia Kampuni ya Uingereza, 'Circle Gas' mfumo huo kwa Tsh. bilioni 57.6
> Mradi huo umeshaunganisha Wakazi zaidi ya 1430 wa Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/MtanzaniaGesiBilioni
> Andron Mendes ameiuzia Kampuni ya Uingereza, 'Circle Gas' mfumo huo kwa Tsh. bilioni 57.6
> Mradi huo umeshaunganisha Wakazi zaidi ya 1430 wa Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/MtanzaniaGesiBilioni
HAKI YA MWANAMKE KUTAFUTA ELIMU
- Chama cha Wanasheria wa Kike Zanzibar (ZAFELA) kimeandaa jarida la 'Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.A.W)'
- Kimesema Uislamu umetoa umuhimu Mwanaume au Mwanamke kutafuta elimu
Zaidi, soma https://jamii.app/UsawaElimuDiniKiislamu
- Chama cha Wanasheria wa Kike Zanzibar (ZAFELA) kimeandaa jarida la 'Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.A.W)'
- Kimesema Uislamu umetoa umuhimu Mwanaume au Mwanamke kutafuta elimu
Zaidi, soma https://jamii.app/UsawaElimuDiniKiislamu
TANZANIA vs RWANDA: UTEUZI WA WAZIRI MKUU
#KatibaTanzania, Ibara-51 (2): Mapema iwezekanavyo, ndani ya siku 14 baada ya kushika madaraka, Rais atamteua Waziri Mkuu
#KatibaRwanda, Ibara-116: Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ndani ya siku 15 baada ya Rais kushika madaraka
#Katiba
#KatibaTanzania, Ibara-51 (2): Mapema iwezekanavyo, ndani ya siku 14 baada ya kushika madaraka, Rais atamteua Waziri Mkuu
#KatibaRwanda, Ibara-116: Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ndani ya siku 15 baada ya Rais kushika madaraka
#Katiba
IRAN: NCHI ZILIZOPOTEZA RAIA KATIKA AJALI YA NDEGE ZADAI FIDIA
> Nchi hizo ni Canada, Uingereza, Ukraine, Sweden, Uholanzi na Afghanistan
> Mataifa hayo yameitaka Iran kuwajibika, kuanzisha uchunguzi na kulipa fidia
Soma - https://jamii.app/FidiaAjaliIran
> Nchi hizo ni Canada, Uingereza, Ukraine, Sweden, Uholanzi na Afghanistan
> Mataifa hayo yameitaka Iran kuwajibika, kuanzisha uchunguzi na kulipa fidia
Soma - https://jamii.app/FidiaAjaliIran
TANZANIA vs RWANDA: KAZI ZA WAZIRI MKUU
#KatibaTanzania, Ibara-52 (3): Atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa mambo ambayo Rais ataagiza yatekelezwe
#KatibaRwanda, Ibara-119: Kuongoza Utendaji wa Serikali kulingana na miongozo ya Rais na kuhakiki utekelezaji wa Sheria
#Katiba
#KatibaTanzania, Ibara-52 (3): Atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa mambo ambayo Rais ataagiza yatekelezwe
#KatibaRwanda, Ibara-119: Kuongoza Utendaji wa Serikali kulingana na miongozo ya Rais na kuhakiki utekelezaji wa Sheria
#Katiba
KENYA: RADI YAUA WANAFUNZI WATATU NA KUJERUHI WENGINE 53
> Ni baada ya radi kupiga katika Chumba cha Darasa walichokuwa wanatumia
> Waliojeruhiwa wamepelekwa Hospitali kwa ajili ya matibabu
Soma - https://jamii.app/RadiVifoKenya
> Ni baada ya radi kupiga katika Chumba cha Darasa walichokuwa wanatumia
> Waliojeruhiwa wamepelekwa Hospitali kwa ajili ya matibabu
Soma - https://jamii.app/RadiVifoKenya
NJOMBE: VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO VYAPUNGUA
> Vifo vya kina mama vimepungua toka 250 hadi 94 na vya watoto vimepungua toka 51 hadi 2
> Pia, kuboresha huduma za VVU Mkoa utaongeza Vituo toka 112 hadi 130
> Dkt. Ndugulile ametoa pongezi
Soma - https://jamii.app/VifoWajawazitoIringa
> Vifo vya kina mama vimepungua toka 250 hadi 94 na vya watoto vimepungua toka 51 hadi 2
> Pia, kuboresha huduma za VVU Mkoa utaongeza Vituo toka 112 hadi 130
> Dkt. Ndugulile ametoa pongezi
Soma - https://jamii.app/VifoWajawazitoIringa