TEXAS, MAREKANI: HUKUMU YA KWANZA YA KIFO KWA MWAKA 2020 YATEKELEZWA
- John Gardner ameuawa kwa kuchomwa Sindano ya Sumu hapo jana baada kukutwa na Hatia ya kumuua mkewe
- Pia, alikuwa na historia ya muda mrefu ya dhuluma dhidi ya wake zake
Soma https://jamii.app/HukumuKifoMauajiMke
- John Gardner ameuawa kwa kuchomwa Sindano ya Sumu hapo jana baada kukutwa na Hatia ya kumuua mkewe
- Pia, alikuwa na historia ya muda mrefu ya dhuluma dhidi ya wake zake
Soma https://jamii.app/HukumuKifoMauajiMke
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UPDATE: Wabunge wa Baraza la Wawakilishi wamepitisha Azimio la kumshtaki Rais Trump kwa kupiga kura 228 dhidi ya 193
> Spika Nancy Pelosi amesaini uamuzi huo sambamba na Timu ya Wabunge wa Democratic ambao wataendesha mashtaka ya kesi hiyo itakayoanza Januari 21
#JFLeo
> Spika Nancy Pelosi amesaini uamuzi huo sambamba na Timu ya Wabunge wa Democratic ambao wataendesha mashtaka ya kesi hiyo itakayoanza Januari 21
#JFLeo
MVUA DAR: BARABARA YA JANGWANI YAFUNGWA
> Mvua yasababisha Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani kufungwa baada ya maji kujaa
> Mamlaka ya Hali ya Hewa, imesema Mvua inatarajiwa kunyesha tena kesho Januari 17, 2020
Soma https://jamii.app/MadharaMvuaDar
> Mvua yasababisha Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani kufungwa baada ya maji kujaa
> Mamlaka ya Hali ya Hewa, imesema Mvua inatarajiwa kunyesha tena kesho Januari 17, 2020
Soma https://jamii.app/MadharaMvuaDar
LUKUVI AANIKA DHULUMA ZA MAOFISA MIKOPO BENKI
> Asema, baadhi yao hushirikiana na Madalali Matapeli kuwaibia Wananchi kwa kuuza nyumba zao kwa mnada bila kufuata taratibu
> Serikali yawataka wanaondesha Mtandao huo kuacha mara moja
Soma https://jamii.app/DhulumaOfisaBenki
#JFLeo
> Asema, baadhi yao hushirikiana na Madalali Matapeli kuwaibia Wananchi kwa kuuza nyumba zao kwa mnada bila kufuata taratibu
> Serikali yawataka wanaondesha Mtandao huo kuacha mara moja
Soma https://jamii.app/DhulumaOfisaBenki
#JFLeo
MBEYA: WATUMISHI 4 WA HOSPITALI WAKAMATWA KUTOKANA NA UTENDAJI MBOVU
> Naibu Waziri wa Afya ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika nafasi zao Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Tukuyu na Afisa Ugavi
> Pia, amegiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mfamasia na Afisa Manunuzi wa Hospitali hiyo kutokana na usimamizi mbovu wa Stoo ya Dawa
Soma - https://jamii.app/DaktariMbaroniHudumaMbovu
> Naibu Waziri wa Afya ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika nafasi zao Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Tukuyu na Afisa Ugavi
> Pia, amegiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa Mfamasia na Afisa Manunuzi wa Hospitali hiyo kutokana na usimamizi mbovu wa Stoo ya Dawa
Soma - https://jamii.app/DaktariMbaroniHudumaMbovu
MKAKATI WA TAIFA DHIDI YA RUSHWA NA MPANGO WA UTEKELEZAJI (AWAMU YA 3: 2017-2022)
- Vitendo vya Rushwa vinatafsiriwa kuwa ni kutoa, kupokea au kushawishi moja kwa moja au kitu chochote cha thamani kinachotolewa ili kupindisha utaratibu katika Utoaji wa Maamuzi
#KemeaRushwa
- Vitendo vya Rushwa vinatafsiriwa kuwa ni kutoa, kupokea au kushawishi moja kwa moja au kitu chochote cha thamani kinachotolewa ili kupindisha utaratibu katika Utoaji wa Maamuzi
#KemeaRushwa
WAZIRI KAMWELWE: MUDA WA KUSAJILI LAINI ZA SIMU HAUTAONGEZWA
> Serikali haitaongeza muda baada ya siku 20 alizoongeza Rais Magufuli kumalizika
> Wananchi wameshauriwa kuwa makini katika siku zilizosalia kwani Wizi wa Kimtandao umeongezeka
Soma - https://jamii.app/MudaUsajiliLaini-TZ
> Serikali haitaongeza muda baada ya siku 20 alizoongeza Rais Magufuli kumalizika
> Wananchi wameshauriwa kuwa makini katika siku zilizosalia kwani Wizi wa Kimtandao umeongezeka
Soma - https://jamii.app/MudaUsajiliLaini-TZ
MISRI, ETHIOPIA NA SUDAN ZAINGIA MAKUBALIANO KUHUSU MATUMIZI YA MTO NILE
> Nchi hizo zimefikia Makubaliano ya Awali ya kujaza maji kwenye Bwawa la Grand Renaissance
> Makubaliano ya mwisho yatafanyika Washington, Januari 28-29 mwaka huu
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMtoNile
> Nchi hizo zimefikia Makubaliano ya Awali ya kujaza maji kwenye Bwawa la Grand Renaissance
> Makubaliano ya mwisho yatafanyika Washington, Januari 28-29 mwaka huu
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMtoNile
UPINZANI NAMIBIA WAGOMA KUTUMIA KISWAHILI KAMA LUGHA YA HIYARI KWA SHULE ZA SERIKALI
> Wasema kuna mambo ya muhimu ya kushinikiza kwa wakati huu kuhusu Mfumo wa Elimu
> Wizara ya Elimu ilisema itafanya Kiswahili Lugha ya Hiari 2021
Soma zaidi https://jamii.app/KswahiliNamibia
> Wasema kuna mambo ya muhimu ya kushinikiza kwa wakati huu kuhusu Mfumo wa Elimu
> Wizara ya Elimu ilisema itafanya Kiswahili Lugha ya Hiari 2021
Soma zaidi https://jamii.app/KswahiliNamibia
TANZANIA vs KENYA vs UGANDA: UCHAGUZI WA RAIS
- Katiba ya Tanzania inasema Mshindi wa Urais ni yule atakayepata Kura Nyingi kuliko Mgombea mwingine
- Katiba za Kenya na Uganda zinasema Mshindi wa Urais ni yule atakayekuwa amepata Zaidi ya Nusu ya Kura zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
#Katiba
- Katiba ya Tanzania inasema Mshindi wa Urais ni yule atakayepata Kura Nyingi kuliko Mgombea mwingine
- Katiba za Kenya na Uganda zinasema Mshindi wa Urais ni yule atakayekuwa amepata Zaidi ya Nusu ya Kura zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
#Katiba
MWANAFUNZI AGOMA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA, ADAI HANA AKILI
> Amesema mbele ya Mkuu wa Wilaya kuwa, yupo tayari kufungwa na sio kusoma
> Aomba ajifunze kushona Cherehani kwani anatamani kuwa Mwanamitindo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAkataaMasomo
> Amesema mbele ya Mkuu wa Wilaya kuwa, yupo tayari kufungwa na sio kusoma
> Aomba ajifunze kushona Cherehani kwani anatamani kuwa Mwanamitindo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAkataaMasomo
JENGA TABIA YA KUAGA KILA UNAPOTOKA KWA KUTOA TAARIFA SAHIHI
> Ni taarifa kama Jina la unakokwenda, Mtu na Anuani ya mtu unayekutana naye na Muda utakaokuwa haupo
> Hii itarahisisha upatikanaji wako pindi utakapopatwa na matatizo
Soma https://jamii.app/TabiaKuagaUnapotoka
#JFLeo
> Ni taarifa kama Jina la unakokwenda, Mtu na Anuani ya mtu unayekutana naye na Muda utakaokuwa haupo
> Hii itarahisisha upatikanaji wako pindi utakapopatwa na matatizo
Soma https://jamii.app/TabiaKuagaUnapotoka
#JFLeo
DALILI ZA MLIPUKO WA NZIGE MKOA WA KILIMANJARO
> Mdau kutoka JamiiForums anadai kuwa, kuna kila dalili ya Nzige Tanzania
> Ni vema Serikali ikachukua tahadhari kabla ya tatizo kuwa kubwa zaidi
Some zaidi https://jamii.app/NzigeKilimanjaroTz
> Mdau kutoka JamiiForums anadai kuwa, kuna kila dalili ya Nzige Tanzania
> Ni vema Serikali ikachukua tahadhari kabla ya tatizo kuwa kubwa zaidi
Some zaidi https://jamii.app/NzigeKilimanjaroTz
KIJANA AUNDA EMOJI KUUTANGAZA UZURI WA AFRIKA
> O'Plerou Denis Grebet (22), aliona Vyombo vya Habari vinazungumza upande mbaya wa Afrika (Umaskini na Njaa)
> Sanaa yake inaonesha kuwa Afrika ina vitu vya kustaajabisha Dunia
Soma Zaidi https://jamii.app/MwanafunziEmojisAfrika
> O'Plerou Denis Grebet (22), aliona Vyombo vya Habari vinazungumza upande mbaya wa Afrika (Umaskini na Njaa)
> Sanaa yake inaonesha kuwa Afrika ina vitu vya kustaajabisha Dunia
Soma Zaidi https://jamii.app/MwanafunziEmojisAfrika
KAGERA: AMUUA MWANAYE KWA KUMCHOMA MOTO MAKALIONI NA USONI
> Juma Daniel anatuhumiwa kumchoma moto mwanaye, na kumjeruhi sehemu za haja kubwa kwa kifaa cha ncha kali
> Ni baada ya mtoto huyo kujisaidia haja kubwa kitandani wakiwa wamelala
Soma - https://jamii.app/BabaAmuunguzaMwanaye-KGR
> Juma Daniel anatuhumiwa kumchoma moto mwanaye, na kumjeruhi sehemu za haja kubwa kwa kifaa cha ncha kali
> Ni baada ya mtoto huyo kujisaidia haja kubwa kitandani wakiwa wamelala
Soma - https://jamii.app/BabaAmuunguzaMwanaye-KGR
RASMI: MBWANA SAMATTA AKUBALI KUJIUNGA NA KLABU YA ASTON VILLA
> Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania siku ya kesho atasafiri hadi nchini England kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya
> Imeelezwa kuwa Aston Villa imekubali kulipa kiasi cha Paundi Milioni 9 sawa na zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 27 kwa ajili ya uhamisho wa Samatta
#JFSports
> Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania siku ya kesho atasafiri hadi nchini England kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya
> Imeelezwa kuwa Aston Villa imekubali kulipa kiasi cha Paundi Milioni 9 sawa na zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 27 kwa ajili ya uhamisho wa Samatta
#JFSports
MATUMIZI YA INTANETI: VODACOM YAONGOZA KUWA NA GHARAMA KUBWA
> Kwa mujibu wa taarifa ya TCRA ya robo mwaka iliyoishia Septemba 2019 Vodacom hutoza Tsh. 205 kwa Megabyte (MB)
> Zantel hutoza Tsh. 93 kwa MB, huku wateja wa Airtel na Tigo wakilipa kiwango sawa ambapo gharama ya MB moja ni Tsh. 29
> Gharama zote hizi ni bila kodi na zinatozwa endapo mteja hajajiunga kifurushi
Soma - https://jamii.app/GharamaIntanetiTz
> Kwa mujibu wa taarifa ya TCRA ya robo mwaka iliyoishia Septemba 2019 Vodacom hutoza Tsh. 205 kwa Megabyte (MB)
> Zantel hutoza Tsh. 93 kwa MB, huku wateja wa Airtel na Tigo wakilipa kiwango sawa ambapo gharama ya MB moja ni Tsh. 29
> Gharama zote hizi ni bila kodi na zinatozwa endapo mteja hajajiunga kifurushi
Soma - https://jamii.app/GharamaIntanetiTz
TANZANIA vs KENYA vs UGANDA: MSAMAHA WA RAIS
#KatibaTanzania, Ibara-45 (1), Rais anaweza kumsamehe kwa masharti au la, mtu aliyepatikana na hatia Mahakamani kwa kosa lolote
- #KatibaKenya, Ibara-172 (1): Kutakuwa na Msamaha utakaotekelezwa kwa Ombi la Rais kwa mtu yeyote kulingana na Ushauri wa Kamati ya Ushauri
- #KatibaUganda, Ibara-121: Kwa ushauri wa Kamati, Rais anaweza kumsamehe aliye hatiani kwa masharti au la, Kusamehe sehemu au adhabu yote, Kurahisisha adhabu kali aliyopewa
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
#KatibaTanzania, Ibara-45 (1), Rais anaweza kumsamehe kwa masharti au la, mtu aliyepatikana na hatia Mahakamani kwa kosa lolote
- #KatibaKenya, Ibara-172 (1): Kutakuwa na Msamaha utakaotekelezwa kwa Ombi la Rais kwa mtu yeyote kulingana na Ushauri wa Kamati ya Ushauri
- #KatibaUganda, Ibara-121: Kwa ushauri wa Kamati, Rais anaweza kumsamehe aliye hatiani kwa masharti au la, Kusamehe sehemu au adhabu yote, Kurahisisha adhabu kali aliyopewa
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-TZvsUGvsKE
KESI YA KUMUONDOA TRUMP MADARAKANI: MASENETA 100 WAAPISHWA
> Maseneta 100 wameapishwa jana kama Baraza la Mahakama litakaloshughulikia kesi inayomkabili Rais Donald Trump ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingilia Bunge
> Kesi hiyo itaanza kusikilizwa Januari 21
Soma - https://jamii.app/Senates100ImpeachmentTrump
> Maseneta 100 wameapishwa jana kama Baraza la Mahakama litakaloshughulikia kesi inayomkabili Rais Donald Trump ya matumizi mabaya ya madaraka na kuingilia Bunge
> Kesi hiyo itaanza kusikilizwa Januari 21
Soma - https://jamii.app/Senates100ImpeachmentTrump
MTWARA: WAKULIMA WA KOROSHO WALIPWA TSH. BILIONI 68
> Wakulima wameanza kulipwa fedha zao ambapo awali malipo hayo yalikuwa yamechelewa
> Vyama 41 kati ya 87 vya Wilaya ya Nanyumbu na Masasi vimefunga msimu kwa sababu korosho zimekwisha
Soma https://jamii.app/WakulimaKoroshoMasasi
> Wakulima wameanza kulipwa fedha zao ambapo awali malipo hayo yalikuwa yamechelewa
> Vyama 41 kati ya 87 vya Wilaya ya Nanyumbu na Masasi vimefunga msimu kwa sababu korosho zimekwisha
Soma https://jamii.app/WakulimaKoroshoMasasi