MHAMIAJI AJIKATA KOO BAADA YA KUKATALIWA KUINGIA MAREKANI
> Raia huyo kutoka Mexico amejiua mita kadhaa kutoka Daraja la Kimataifa la Pharr – Reynosa, Texas
> Maafisa wa eneo hilo wamesema, mtu huyo bado hajatambulika hadi sasa
Zaidi, soma https://jamii.app/MhamiajiAjikataKoo-MXC
> Raia huyo kutoka Mexico amejiua mita kadhaa kutoka Daraja la Kimataifa la Pharr – Reynosa, Texas
> Maafisa wa eneo hilo wamesema, mtu huyo bado hajatambulika hadi sasa
Zaidi, soma https://jamii.app/MhamiajiAjikataKoo-MXC
MAREKANI YASEMA IKO TAYARI KUFANYA MAZUNGUMZO NA IRAN
> Iko tayari kujadiliana bila masharti baada ya uhasama uliozuka baina yao
> Katika barua yake kwa Umoja wa Mataifa ilijitetea kuwa, ilimuua Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMazungumzoIran
> Iko tayari kujadiliana bila masharti baada ya uhasama uliozuka baina yao
> Katika barua yake kwa Umoja wa Mataifa ilijitetea kuwa, ilimuua Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMazungumzoIran
NETFLIX KUIFUTA FILAMU INAYOONYESHA YESU KAMA SHOGA
- Uamuzi ulifikiwa ktk kujibu ombi la Shirika la Katoliki lililosema filamu hiyo imeumiza heshima yao
- Uamuzi huo wa Mahakama ni halali hadi Mahakama nyingine itoe amri nyingine tofauti na hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/NetflixFilamuYesu
- Uamuzi ulifikiwa ktk kujibu ombi la Shirika la Katoliki lililosema filamu hiyo imeumiza heshima yao
- Uamuzi huo wa Mahakama ni halali hadi Mahakama nyingine itoe amri nyingine tofauti na hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/NetflixFilamuYesu
TETESI: YOUNG AKATAA MKATABA. MAN UTD YAJIONDOA KUMUWANIA ERIKSEN
- Nahodha wa Manchester United, Ashley Young anadaiwa kukataa mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo huku akihusishwa kuhamia Inter Milan
- Pia, Man. Utd inadaiwa kufutilia mbali mpango wake wa kutaka kumsajili Kiungo wa Tottenham, Christian Eriksen huku mchezaji huyo naye akihusishwa na Inter Milan
- Nahodha wa Manchester United, Ashley Young anadaiwa kukataa mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo huku akihusishwa kuhamia Inter Milan
- Pia, Man. Utd inadaiwa kufutilia mbali mpango wake wa kutaka kumsajili Kiungo wa Tottenham, Christian Eriksen huku mchezaji huyo naye akihusishwa na Inter Milan
ARUSHA: MWALIMU MBARONI KWA KUMUOMBA MWANAFUNZI RUSHWA YA NGONO
- Ni William Mollel anayefundisha Kidato cha 5 na 6 shule ya Sekondari Embarway
- Inadawia, alikuwa akimnyanyasa Mwanafunzi huyo na kumuambia ili awe na amani, washiriki ngono
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuEmbarwayMbaroni
- Ni William Mollel anayefundisha Kidato cha 5 na 6 shule ya Sekondari Embarway
- Inadawia, alikuwa akimnyanyasa Mwanafunzi huyo na kumuambia ili awe na amani, washiriki ngono
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuEmbarwayMbaroni
TANZIA: Mwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki leo baada ya kuugua kwa muda mrefu
> Atakumbukwa kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile na jinsi alivyotetea Mashairi ya Kisasa
Soma - https://jamii.app/RIPProfKezilahabi
#JFLeo
> Atakumbukwa kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile na jinsi alivyotetea Mashairi ya Kisasa
Soma - https://jamii.app/RIPProfKezilahabi
#JFLeo
KENYA: WAZAZI WADAIWA KUMUUA MWALIMU KUTOKANA NA MATOKEO MABAYA YA SHULE
> Wambua Mwangangi na Chris Kyalo Muli wamekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kwa panga Daisy Mbathe, Mwalimu wa shule ya Msingi Ndooni baada ya shule yake kutoa matokeo mabaya katika Mtihani wa Kitaifa wa KCPE kwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/KifoMwlMatokeoMabaya
> Wambua Mwangangi na Chris Kyalo Muli wamekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kwa panga Daisy Mbathe, Mwalimu wa shule ya Msingi Ndooni baada ya shule yake kutoa matokeo mabaya katika Mtihani wa Kitaifa wa KCPE kwa mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/KifoMwlMatokeoMabaya
BUNGE LA MAREKANI LAPIGA KURA KUZUIA VITA NA IRAN
> Bunge la Wawakilishi limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais Donald Trump kupigana vita na Iran kwa kupitisha azimio hilo kwa kura 224 dhidi ya 194
> Azimio hilo linalenga kuipa Kongresi kutoa kibali cha shambulio lolote dhidi ya Iran, pale tu patakapokuwa na shambulio la ghafla dhidi ya Marekani
Soma - https://jamii.app/CongressVoteUSWarIran
#JFLeo
> Bunge la Wawakilishi limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais Donald Trump kupigana vita na Iran kwa kupitisha azimio hilo kwa kura 224 dhidi ya 194
> Azimio hilo linalenga kuipa Kongresi kutoa kibali cha shambulio lolote dhidi ya Iran, pale tu patakapokuwa na shambulio la ghafla dhidi ya Marekani
Soma - https://jamii.app/CongressVoteUSWarIran
#JFLeo
JANGILI MBARONI KWA KUMUUA ASKARI WA WANYAMAPORI
> Jeshi la Polisi Mkoani Kagera linamshikilia Alfred Kamugisha kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma mkuki Askari wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), Matundu Masunga na kufanya vitendo vya ujangili ndani ya Hifadhi Mpya ya Rumanyika
> Tukio hilo lilitokea wakati Askari wa TANAPA walipokwenda kumkamata Alfred
Soma - https://jamii.app/JangiliMauajiAskariHifadhi
> Jeshi la Polisi Mkoani Kagera linamshikilia Alfred Kamugisha kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma mkuki Askari wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), Matundu Masunga na kufanya vitendo vya ujangili ndani ya Hifadhi Mpya ya Rumanyika
> Tukio hilo lilitokea wakati Askari wa TANAPA walipokwenda kumkamata Alfred
Soma - https://jamii.app/JangiliMauajiAskariHifadhi
JE, WANANCHI WANAWEZA KUMKAMATA MWIZI AU MHALIFU NA KUMWADHIBU?
> Hapana, kumpiga mhalifu ni kosa la jinai. Unachopaswa kufanya ni kumweka mhalifu chini ya ulinzi na kisha kumpeleka kituo cha Polisi kilichopo karibu. Hutakiwi kumpiga mhalifu au kushirikiana na kundi la watu wanaofanya hivyo
> Polisi anayeruhusu hilo au anayeungana na watu wanaofanya hivyo anaweza kukabiliwa na mashtaka ya kinidhamu au jinai
Soma - https://jamii.app/JinaiKumpigaMhalifu
> Hapana, kumpiga mhalifu ni kosa la jinai. Unachopaswa kufanya ni kumweka mhalifu chini ya ulinzi na kisha kumpeleka kituo cha Polisi kilichopo karibu. Hutakiwi kumpiga mhalifu au kushirikiana na kundi la watu wanaofanya hivyo
> Polisi anayeruhusu hilo au anayeungana na watu wanaofanya hivyo anaweza kukabiliwa na mashtaka ya kinidhamu au jinai
Soma - https://jamii.app/JinaiKumpigaMhalifu
KENYA: BIMA YA TAIFA KUTOGHARAMIA MATIBABU YA MKE WA PILI
> Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya mageuzi ambapo sasa utakuwa unagharamia matibabu ya mke au mume mmoja tu na watoto 5 kwa wenye ndoa zenye zaidi ya mwenza mmoja
> Mageuzi hayo yalianza kutekelezwa rasmi Januari 1, 2020
Soma - https://jamii.app/MageuziBimaAfyaKE
> Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya mageuzi ambapo sasa utakuwa unagharamia matibabu ya mke au mume mmoja tu na watoto 5 kwa wenye ndoa zenye zaidi ya mwenza mmoja
> Mageuzi hayo yalianza kutekelezwa rasmi Januari 1, 2020
Soma - https://jamii.app/MageuziBimaAfyaKE
RAIS MAGUFULI KUANZA ZIARA ZANZIBAR LEO
> Anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la jengo la Idara ya Usalama wa Taifa Zanzibar na la Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe iliyoko Mjini Magharibi
> Pia, atafungua hoteli yenye hadhi ya Nyota 5 iitwayo Hotel Verde Azam Luxury Resort and Spa iliyoko Mtoni
Soma - https://jamii.app/ZiaraMagufuliZanzibar
> Anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la jengo la Idara ya Usalama wa Taifa Zanzibar na la Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe iliyoko Mjini Magharibi
> Pia, atafungua hoteli yenye hadhi ya Nyota 5 iitwayo Hotel Verde Azam Luxury Resort and Spa iliyoko Mtoni
Soma - https://jamii.app/ZiaraMagufuliZanzibar
KENYA: MWANASHERIA MKUU ATAKIWA KUELEZA KWANINI MIGUNA KAZUILIWA KURUDI KENYA
- Kihara Kariuki ametakiwa kufika Mahakamani kuleza kwanini maagizo ya Mahakama hayajafuatwa
- Mahakama ilitaka Serikali kumruhusu Miguna kurudi Kenya ila alizuiliwa
Soma https://jamii.app/GovntVsCourt-Miguna
- Kihara Kariuki ametakiwa kufika Mahakamani kuleza kwanini maagizo ya Mahakama hayajafuatwa
- Mahakama ilitaka Serikali kumruhusu Miguna kurudi Kenya ila alizuiliwa
Soma https://jamii.app/GovntVsCourt-Miguna
ASHIKILIWA NA POLISI KWA KUJIFANYA DAKTARI NA KUTIBU WANANCHI
> Ismail Onyango amekamatwa baada ya Raia wema kutoa taarifa
> Inadaiwa kuwa, alikuwa anatoa huduma bila kuwa na cheti chochote cha Taaluma ya Udaktari wala Utabibu
Soma - https://jamii.app/DktFekiAkamatwa
> Ismail Onyango amekamatwa baada ya Raia wema kutoa taarifa
> Inadaiwa kuwa, alikuwa anatoa huduma bila kuwa na cheti chochote cha Taaluma ya Udaktari wala Utabibu
Soma - https://jamii.app/DktFekiAkamatwa
EMOJI ILIYOVUNJA REKODI YA KUTUMIKA SANA DUNIANI
> Emoji inayotumika sana ni 'Uso Wenye Machozi ya Furaha', inayofahamika kama "LOL Emoji" 😂
> Kati ya meseji milioni 427 zilizotumwa katika nchi 212, hii alama ilikuwa ni asilimia 15.4
Soma https://jamii.app/MostUsedEmoji
> Emoji inayotumika sana ni 'Uso Wenye Machozi ya Furaha', inayofahamika kama "LOL Emoji" 😂
> Kati ya meseji milioni 427 zilizotumwa katika nchi 212, hii alama ilikuwa ni asilimia 15.4
Soma https://jamii.app/MostUsedEmoji
BADO FRANCISCO JOAQUIM HAJAPATA WA KUMSHINDA KWA UKUBWA WA KINYWA
> Kijana huyo (28), anaweza kutanua kinywa chake hadi 17CM
> Picha yake maarufu ni ile aliyoweka chupa ya Cocacola kinywani
Soma https://jamii.app/MtuMdomoMkubwa
> Kijana huyo (28), anaweza kutanua kinywa chake hadi 17CM
> Picha yake maarufu ni ile aliyoweka chupa ya Cocacola kinywani
Soma https://jamii.app/MtuMdomoMkubwa
TANZANIA INA KASI YA MTANDAO YENYE WASTANI WA 2.34 Mbps
> Nchi Tano Bora ni Singapore 60.39 Mbps, Sweden 46.00 Mbps, Denmark 43.99 MB/S, Norway 40.12 Mbps na Romania 38.60 Mbps
Soma https://jamii.app/FastestInternetCountries
> Nchi Tano Bora ni Singapore 60.39 Mbps, Sweden 46.00 Mbps, Denmark 43.99 MB/S, Norway 40.12 Mbps na Romania 38.60 Mbps
Soma https://jamii.app/FastestInternetCountries
CHAKULA NI KICHOCHEO CHA KUIMARISHA MAHUSIANO MAZURI YA FAMILIA
- Je, unajua kwamba familia ambazo zinakula chakula pamoja zinapata faida nyingi ikiwemo kuimarisha mawasiliano na mahusiano ya wazazi na watoto?
- Kuwapa uhuru wanafamilia wa kuchagua chakula wakitakacho ni njia mojawapo ya kuwafanya wajisikie wanawajibika na wana maamuzi katika masuala muhimu ya familia
Kujua njia nyingine, tembelea https://jamii.app/ChakulaKuimarishaMahusiano
- Je, unajua kwamba familia ambazo zinakula chakula pamoja zinapata faida nyingi ikiwemo kuimarisha mawasiliano na mahusiano ya wazazi na watoto?
- Kuwapa uhuru wanafamilia wa kuchagua chakula wakitakacho ni njia mojawapo ya kuwafanya wajisikie wanawajibika na wana maamuzi katika masuala muhimu ya familia
Kujua njia nyingine, tembelea https://jamii.app/ChakulaKuimarishaMahusiano