SHAMBULIO KATIKA KAMBI YA JESHI NIGER LAUA WANAJESHI 25
-
Watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa Wanamgambo wa Kijihadi wameua wanajeshi 25 na kujeruhi 6 katika Kambi ya Jeshi la Niger karibu na mpaka na Mali
-
Hata hivyo, Washambuliaji 63 wanadaiwa kuuawa wakati wa mapigano hayo, ambayo yalitokea katika Mji wa Chinagodrar
-
Watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa Wanamgambo wa Kijihadi wameua wanajeshi 25 na kujeruhi 6 katika Kambi ya Jeshi la Niger karibu na mpaka na Mali
-
Hata hivyo, Washambuliaji 63 wanadaiwa kuuawa wakati wa mapigano hayo, ambayo yalitokea katika Mji wa Chinagodrar
TANZANIA NI YA 73 KWA PASSPORTS ZENYE NGUVU DUNIANI
> Henley Passport Index imeitaja Japan kuwa kinara wa Passport yenye nguvu, ina Nchi 191 za kutembelea bila VISA
> Afghanstan ni ya mwisho ambayo ina Nchi 26
Soma https://jamii.app/StrongPassportCountries
> Henley Passport Index imeitaja Japan kuwa kinara wa Passport yenye nguvu, ina Nchi 191 za kutembelea bila VISA
> Afghanstan ni ya mwisho ambayo ina Nchi 26
Soma https://jamii.app/StrongPassportCountries
SONGWE: ANYWA SUMU KWA KUPATA UFAULU WA DARAJA LA 4 KIDATO CHA 4
- Michael Aroni (20) amekunywa sumu kufuatia kupata ufaulu wa Daraja la IV la alama 26
- Alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la Kwanza katika matokeo hayo yalitolewa jana
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoIVAnywaSumu
- Michael Aroni (20) amekunywa sumu kufuatia kupata ufaulu wa Daraja la IV la alama 26
- Alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la Kwanza katika matokeo hayo yalitolewa jana
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoIVAnywaSumu
ALIYEMUINGIZA NYETI MTOTO MDOMONI KUHUKUMIWA
> Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imepanga Januari 20, 2020 kutoa hukumu kwa Riziki Kessy
> Alitenda kosa hilo, Julai 24 mwaka 2018 maeneo ya Kimara Stop Over Dar es Salaam
Zaidi, soma https://jamii.app/HukumuNyetiMtoto
> Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imepanga Januari 20, 2020 kutoa hukumu kwa Riziki Kessy
> Alitenda kosa hilo, Julai 24 mwaka 2018 maeneo ya Kimara Stop Over Dar es Salaam
Zaidi, soma https://jamii.app/HukumuNyetiMtoto
VITABU VITAKATIFU VINAKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
- Mnamo mwezi Desemba 2019, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliwaomba Viongozi wa Dini na Wazazi kutumia nafasi zao kutoa mafunzo ya athari ya rushwa katika jamii
- TAKUKURU wanatukumbusha kuwa Rushwa ina madhara makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla inapaswa kukemewa kuanzia ngazi ya familia, Kanisani, Misikitini na maeneo ya Shule na Vyuo
#KemeaRushwa
- Mnamo mwezi Desemba 2019, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliwaomba Viongozi wa Dini na Wazazi kutumia nafasi zao kutoa mafunzo ya athari ya rushwa katika jamii
- TAKUKURU wanatukumbusha kuwa Rushwa ina madhara makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla inapaswa kukemewa kuanzia ngazi ya familia, Kanisani, Misikitini na maeneo ya Shule na Vyuo
#KemeaRushwa
RAILA ODINGA: MIGUNA HAJAZUIWA KURUDI. ANABWEKA KAMA MBWA
- Amesema aliyekuwa Msaidizi wake, Miguna Miguna hajazuiwa na yeyote kurudi Kenya
- Amesema, “Anabweka bweka huko nje kama Mbwa, si aje abweke hapa. Uhuru na Raila hawaogopi Miguna.”
Zaidi, soma https://jamii.app/RailaOdingaVsMiguna
- Amesema aliyekuwa Msaidizi wake, Miguna Miguna hajazuiwa na yeyote kurudi Kenya
- Amesema, “Anabweka bweka huko nje kama Mbwa, si aje abweke hapa. Uhuru na Raila hawaogopi Miguna.”
Zaidi, soma https://jamii.app/RailaOdingaVsMiguna
SULTAN QABOOS WA OMAN AFARIKI DUNIA
> Sultan Qaboos bin Said Al Said amefariki akiwa na miaka 79
> Baraza la Familia linatakiwa kumtangaza mrithi mpya ndani ya siku tatu
Soma - https://jamii.app/RIPSultanQaboos
> Sultan Qaboos bin Said Al Said amefariki akiwa na miaka 79
> Baraza la Familia linatakiwa kumtangaza mrithi mpya ndani ya siku tatu
Soma - https://jamii.app/RIPSultanQaboos
IRAN: TULITUNGUA NDEGE YA ABIRIA YA UKRAINE KIMAKOSA
- Imesema kutokana na makosa ya Kibinadamu iliitungua ndege hiyo iliyoua Watu wote 176
- Ndege hiyo ilianguka muda mchache baada ya Iran kurusha makombara kwenye Kambi za Jeshi za Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYatunguaNdegeUkraine
- Imesema kutokana na makosa ya Kibinadamu iliitungua ndege hiyo iliyoua Watu wote 176
- Ndege hiyo ilianguka muda mchache baada ya Iran kurusha makombara kwenye Kambi za Jeshi za Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYatunguaNdegeUkraine
ZAMBIA: BIASHARA ZA MAJENEZA NJE YA HOSPITALI ZIMEZUILIWA
> Wauza majeneza nje ya Hospitali ya Chuo Kikuu iliyopo Mjini Lusaka wametakiwa kuondoka mahali hapo
> Wagonjwa walilalamika kuwa, uwepo wa majeneza eneo hilo unawapa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/MajenezaMawazoWagonjwa
> Wauza majeneza nje ya Hospitali ya Chuo Kikuu iliyopo Mjini Lusaka wametakiwa kuondoka mahali hapo
> Wagonjwa walilalamika kuwa, uwepo wa majeneza eneo hilo unawapa Msongo wa Mawazo
Soma https://jamii.app/MajenezaMawazoWagonjwa
TMA YATOA TAHADHARI YA MVUA KWA MIKOA 6
> Mikoa hiyo ni Singida, Rukwa, Mbeya, Njombe, Songwe na Iringa
> Mamlaka imewataka wananchi kuzingatia tahadhari ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea
Zaidi, soma - https://jamii.app/TMATahadhariMvua
> Mikoa hiyo ni Singida, Rukwa, Mbeya, Njombe, Songwe na Iringa
> Mamlaka imewataka wananchi kuzingatia tahadhari ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea
Zaidi, soma - https://jamii.app/TMATahadhariMvua
RAIS MAGUFULI: NI AIBU SHULE ZA ZANZIBAR KUSHIKA NAFASI ZA MWISHO
> Amesema hayo wakati akiweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe
> Amemuagiza Mkandarasi kukamilisha ujenzi wa Shule kabla ya Machi 30
Soma - https://jamii.app/MagufuliUfauluZanzibar
> Amesema hayo wakati akiweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe
> Amemuagiza Mkandarasi kukamilisha ujenzi wa Shule kabla ya Machi 30
Soma - https://jamii.app/MagufuliUfauluZanzibar
WANANCHI WATAKIWA KUACHA KUTUMIA VILEVI KUTOKANA NA ONGEZEKO LA JOTO
> Chama cha Madaktari (MAT) wametoa ushauri kwa wananchi kuacha matumizi ya vilevi na mazoezi mazito yanayoweza kusababisha mwili kuchemka na kuongeza kiwango cha joto
> Madhara ya joto yanaweza kusababisha seli za mwili kushindwa kufanya kazi kutokana na mwili kupoteza maji na chumvichumvi nyingi
Soma - https://jamii.app/VileviOngezekoJoto
> Chama cha Madaktari (MAT) wametoa ushauri kwa wananchi kuacha matumizi ya vilevi na mazoezi mazito yanayoweza kusababisha mwili kuchemka na kuongeza kiwango cha joto
> Madhara ya joto yanaweza kusababisha seli za mwili kushindwa kufanya kazi kutokana na mwili kupoteza maji na chumvichumvi nyingi
Soma - https://jamii.app/VileviOngezekoJoto
PAPA FRANCIS AVUNJA REKODI YA KUPATA FOLLOWERS WENGI NDANI MUDA MFUPI
> Alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 12 baada ya kujiunga Instagram
> Mchezaji David Beckham, alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 24 baada ya kujiunga
Soma https://jamii.app/PopeIstagramFollowers
> Alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 12 baada ya kujiunga Instagram
> Mchezaji David Beckham, alipata 'followers' milioni 1 ndani ya Saa 24 baada ya kujiunga
Soma https://jamii.app/PopeIstagramFollowers
SAMSUNG NA STAR LAB ZAFANIKIWA KUTENGENEZA BINADAMU WASIO HALISI
> Wamepewa majina ya NEON sio Roboti kwani wataweza kujisimamia wenyewe na kufanya kazi kama binadamu wa kawaida ikiwemo kusoma taarifa ya habari, kuwa mwalimu, mshauri wa masuala ya fedha, msimamizi wa mazoezi (gym master) na waigizaji
Soma - https://jamii.app/SamsungArtificialHumans
> Wamepewa majina ya NEON sio Roboti kwani wataweza kujisimamia wenyewe na kufanya kazi kama binadamu wa kawaida ikiwemo kusoma taarifa ya habari, kuwa mwalimu, mshauri wa masuala ya fedha, msimamizi wa mazoezi (gym master) na waigizaji
Soma - https://jamii.app/SamsungArtificialHumans
LIBERIA KUREJESHA TANI ZA TAKATAKA ZA PLASTIKI NCHINI UGIRIKI
> Mamlaka ya Liberia imesema inarejesha shehena nne nchini Ugiriki zilizojaa tani za mifuko ya plastiki ambayo ni hatari kwa mazingira
> Mifuko hiyo iliingizwa nchini humo kimagendo kwa kisingizio kwamba inaweza kuchakatwa upya lakini mzigo ulipowasili ulikuwa unanuka uvundo na kutoa harafu mbaya
Soma - https://jamii.app/LiberiaReturnsPlasticWaste
> Mamlaka ya Liberia imesema inarejesha shehena nne nchini Ugiriki zilizojaa tani za mifuko ya plastiki ambayo ni hatari kwa mazingira
> Mifuko hiyo iliingizwa nchini humo kimagendo kwa kisingizio kwamba inaweza kuchakatwa upya lakini mzigo ulipowasili ulikuwa unanuka uvundo na kutoa harafu mbaya
Soma - https://jamii.app/LiberiaReturnsPlasticWaste
Kifungu hicho cha 52 (3) kinaeleza kuwa Mtu yeyote anayemnyanyasa mtu anayetoa taarifa za rushwa atakuwa ametenda kosa na atawajibika kwa faini isiyozidi shilingi laki tano au kifungo cha muda usiozidi mwaka mmoja au vyote kwa pamoja
- Kifungu hicho kimeeleza kuwa kumnyanyasa ni kumfanyia vitendo ama vya Kumletea Majeraha, Kumtisha au Kumdhalilisha
#KemeaRushwa
- Kifungu hicho kimeeleza kuwa kumnyanyasa ni kumfanyia vitendo ama vya Kumletea Majeraha, Kumtisha au Kumdhalilisha
#KemeaRushwa
ASKARI WA UPELELEZI ARUSHA AKAMATWA KWA RUSHWA YA TSH. 650,000
-
Sajenti Michael Njau amekamatwa na Maofisa wa TAKUKURU
-
Alitaka rushwa kutoka kwa mkazi aliyekuwa na shida ya kusaidiwa nduguye aliyekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi
Soma https://jamii.app/AskariMbaroniRushwa
-
Sajenti Michael Njau amekamatwa na Maofisa wa TAKUKURU
-
Alitaka rushwa kutoka kwa mkazi aliyekuwa na shida ya kusaidiwa nduguye aliyekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi
Soma https://jamii.app/AskariMbaroniRushwa