RIPOTI: MAKADIRIO YA UKUAJI WA UCHUMI WA DUNIA NI 2.5% MWAKA 2020
> Benki ya Dunia imesema, ukuaji wa Uchumi wa Dunia kwa 2020 unakadiriwa kufikia 2.5% ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya 2019
> Ukuaji ktk masoko yanayoibuka na nchi zinazoendelea unatarajiwa kufikia 4.1% kutoka 3.5% ya mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/WorldEconomicGrowth
> Benki ya Dunia imesema, ukuaji wa Uchumi wa Dunia kwa 2020 unakadiriwa kufikia 2.5% ikilinganishwa na asilimia 2.4 ya 2019
> Ukuaji ktk masoko yanayoibuka na nchi zinazoendelea unatarajiwa kufikia 4.1% kutoka 3.5% ya mwaka 2019
Soma - https://jamii.app/WorldEconomicGrowth
👍1
BAADHI YA MAMBO YA KUYAJUMUISHA KATIKA MALENGO YAKO YA KUMLEA MTOTO
> Tenga muda wa faragha na watoto wako. Iwapo unao watoto zaidi ya mmoja, fanya kila uwezalo kupata muda na kila mmoja ili akueleze mipango aliyonayo na wewe umshauri
> Azimia kutomlinganisha mtoto wako na watoto wa wengine. Watoto huzaliwa na vipaji na karama tofauti hivyo usishawishike kutaka mtoto wako afanane na wa majirani
> Mfundishe mwanao stadi moja mwaka huu. Zipo stadi kadhaa muhimu katika maisha ikiwamo kupika, kufua, kutunza bustani, usimamizi wa fedha na kadhalika
Tembelea - https://jamii.app/MalengoKuleaMtoto
> Tenga muda wa faragha na watoto wako. Iwapo unao watoto zaidi ya mmoja, fanya kila uwezalo kupata muda na kila mmoja ili akueleze mipango aliyonayo na wewe umshauri
> Azimia kutomlinganisha mtoto wako na watoto wa wengine. Watoto huzaliwa na vipaji na karama tofauti hivyo usishawishike kutaka mtoto wako afanane na wa majirani
> Mfundishe mwanao stadi moja mwaka huu. Zipo stadi kadhaa muhimu katika maisha ikiwamo kupika, kufua, kutunza bustani, usimamizi wa fedha na kadhalika
Tembelea - https://jamii.app/MalengoKuleaMtoto
DRC: 6000 WAFARIKI KWA UGONJWA WA SURUA
- Hali hiyo imefanya kuwa, kati ya majanga makubwa ya milipuko mabaya zaidi ya magonjwa yanayoambukiza kutokea Duniani
- Kwa Tanzania hali iko tofauti kwa kuwa watoto hupatiwa chanjo ya surua wakiwa na umri mdogo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolioDeathRateDRC
- Hali hiyo imefanya kuwa, kati ya majanga makubwa ya milipuko mabaya zaidi ya magonjwa yanayoambukiza kutokea Duniani
- Kwa Tanzania hali iko tofauti kwa kuwa watoto hupatiwa chanjo ya surua wakiwa na umri mdogo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolioDeathRateDRC
USIANZISHE BIASHARA YA MTAJI MKUBWA KWASABABU TU UNA FEDHA NYINGI
> Mdau katika Jukwaa la Biashara ndani ya JamiiForums.com anasema, kuna Kanuni Tatu za Msingi ambazo anaziamini zinafaa katika uwekezaji
> Anashauri kuwekeza kiasi ambacho uko tayari kupoteza iwapo hasara itatokea, wekeza kwa watu na sio vitu na wekeza katika kile unachokipenda na kukiamini na sio vutio la faida kubwa
> Anasema, kanuni hizi ni muhimu sana kwani unapozifuata kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa katika biashara
Tembelea - https://jamii.app/BiasharaKubwaVsMtajiMkubwa
> Mdau katika Jukwaa la Biashara ndani ya JamiiForums.com anasema, kuna Kanuni Tatu za Msingi ambazo anaziamini zinafaa katika uwekezaji
> Anashauri kuwekeza kiasi ambacho uko tayari kupoteza iwapo hasara itatokea, wekeza kwa watu na sio vitu na wekeza katika kile unachokipenda na kukiamini na sio vutio la faida kubwa
> Anasema, kanuni hizi ni muhimu sana kwani unapozifuata kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa katika biashara
Tembelea - https://jamii.app/BiasharaKubwaVsMtajiMkubwa
MURANG'A, KENYA: AWAUA WANAYE BAADA YA KUGOMBANA NA MUMEWE
- Esther Wambui (25), amewaua Watoto wake wawili wa Kike hapo jana huko Kimwiriini katika Kijiji cha Gatanga
- Aliwanywesha sumu watoto hao kabla na yeye kujaribu kujiua kwa simu hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WomanPoisonsDaughters
- Esther Wambui (25), amewaua Watoto wake wawili wa Kike hapo jana huko Kimwiriini katika Kijiji cha Gatanga
- Aliwanywesha sumu watoto hao kabla na yeye kujaribu kujiua kwa simu hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WomanPoisonsDaughters
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Kumetokea vurugu katika Kikao cha Baraza la Madiwani wa Jiji hilo, kwenye kikao maalum cha kujadili na kuamua hatma ya Meya wa Jiji la Dar, Isaya Mwita
- Chanzo cha vurugu ni kusainiwa kwa mahudhurio na Mjumbe ambaye hayupo ndani ya ukumbi wa mkutano
Zaidi, soma https://jamii.app/VuruguBarazaMadiwaniDar
- Chanzo cha vurugu ni kusainiwa kwa mahudhurio na Mjumbe ambaye hayupo ndani ya ukumbi wa mkutano
Zaidi, soma https://jamii.app/VuruguBarazaMadiwaniDar
MAREKANI YAZUIA MALI ZA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SUDAN KUSINI
> Wizara ya Fedha imezuia mali za Taban Deng Gai (69) nchini Marekani na imepiga marufuku Raia wake kushirikiana na Taban
> Anatuhumiwa kwa ukiukaji wa Haki za Binadamu na kuhusika na kifo cha Wakili Samuel Dong Luak na Mpinzani Aggrey Idry
Zaidi, soma - https://jamii.app/USBlacklistsTabanDeng
> Wizara ya Fedha imezuia mali za Taban Deng Gai (69) nchini Marekani na imepiga marufuku Raia wake kushirikiana na Taban
> Anatuhumiwa kwa ukiukaji wa Haki za Binadamu na kuhusika na kifo cha Wakili Samuel Dong Luak na Mpinzani Aggrey Idry
Zaidi, soma - https://jamii.app/USBlacklistsTabanDeng
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KWA MWAKA 2019 YATANGAZWA
- Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, ametangaza matokeo hayo leo
- Pia, matokeo ya Upimaji ya Kidato cha Pili na matokeo ya Maarifa (QT) yatangazwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato42019
- Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, ametangaza matokeo hayo leo
- Pia, matokeo ya Upimaji ya Kidato cha Pili na matokeo ya Maarifa (QT) yatangazwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato42019
MABASI YANAYOSAFIRISHA VIFURUSHI BILA LESENI YA TCRA YAPEWA ONYO
> Naibu Waziri Nditiye ataka mabasi kufuata taratibu zilizowekwa na Mamlaka
> Ametoa wito kwa Shirika la Posta kuboresha huduma zao ili mizigo isafirishwe na Shirika hilo
Zaidi, soma - https://jamii.app/UkaguziBasiVifurushi
> Naibu Waziri Nditiye ataka mabasi kufuata taratibu zilizowekwa na Mamlaka
> Ametoa wito kwa Shirika la Posta kuboresha huduma zao ili mizigo isafirishwe na Shirika hilo
Zaidi, soma - https://jamii.app/UkaguziBasiVifurushi
MKAKATI WA TAIFA DHIDI YA RUSHWA NA MPANGO WA UTEKELEZAJI(2017-2022)
> Umelenga kuimarisha na kuwezesha umma kushiriki katika kudai Haki & Uwajibikaji wa Serikali
> Mazingira wezeshi yatawekwa kuhakikisha ushiriki kamilifu wa Wananchi ktk Mapambano dhidi ya Rushwa
#KemeaRushwa
> Umelenga kuimarisha na kuwezesha umma kushiriki katika kudai Haki & Uwajibikaji wa Serikali
> Mazingira wezeshi yatawekwa kuhakikisha ushiriki kamilifu wa Wananchi ktk Mapambano dhidi ya Rushwa
#KemeaRushwa
POLISI: TANZANIA IPO SALAMA DHIDI YA VITENDO VYA UGAIDI
> Polisi imewataka Raia wa Kigeni na watalii kuendelea na shughuli zao kama kawaida
> Wamesema kuwa ulinzi unaendelea kuimarishwa nchini kote
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiUsalamaTZUgaidi
> Polisi imewataka Raia wa Kigeni na watalii kuendelea na shughuli zao kama kawaida
> Wamesema kuwa ulinzi unaendelea kuimarishwa nchini kote
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiUsalamaTZUgaidi
ALIYESAFIRI KWA NJIA HARAMU MWILI WAKE WAKUTWA KWENYE GURUDUMU LA NDEGE
> Mwili ulipatikana asubuhi ya Jumatano, Januari 8, karibu na Mji wa Paris, ikitokea Abidjan
> Wengi wanaamini kwamba kijana huyo alikufa kutokana na kukosa hewa au baridi
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwiliTairiNdege-UFR
> Mwili ulipatikana asubuhi ya Jumatano, Januari 8, karibu na Mji wa Paris, ikitokea Abidjan
> Wengi wanaamini kwamba kijana huyo alikufa kutokana na kukosa hewa au baridi
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwiliTairiNdege-UFR
IRAN: NDEGE ILIYOUA WATU 176 ILIKUWA IKIUNGUA KABLA YA KUDONDOKA
- Wachunguzi wamedai wafanyakazi hawakufanya mawasiliano ya redio kuomba msaada
- Pia, sanduku zote mbili ambazo zina data na mawasiliano ya kutoka kwenye ndege zimepatikana
Zaidi, soma https://jamii.app/UchunguziNdegeUkraine-IRN
- Wachunguzi wamedai wafanyakazi hawakufanya mawasiliano ya redio kuomba msaada
- Pia, sanduku zote mbili ambazo zina data na mawasiliano ya kutoka kwenye ndege zimepatikana
Zaidi, soma https://jamii.app/UchunguziNdegeUkraine-IRN
MHAMIAJI AJIKATA KOO BAADA YA KUKATALIWA KUINGIA MAREKANI
> Raia huyo kutoka Mexico amejiua mita kadhaa kutoka Daraja la Kimataifa la Pharr – Reynosa, Texas
> Maafisa wa eneo hilo wamesema, mtu huyo bado hajatambulika hadi sasa
Zaidi, soma https://jamii.app/MhamiajiAjikataKoo-MXC
> Raia huyo kutoka Mexico amejiua mita kadhaa kutoka Daraja la Kimataifa la Pharr – Reynosa, Texas
> Maafisa wa eneo hilo wamesema, mtu huyo bado hajatambulika hadi sasa
Zaidi, soma https://jamii.app/MhamiajiAjikataKoo-MXC
MAREKANI YASEMA IKO TAYARI KUFANYA MAZUNGUMZO NA IRAN
> Iko tayari kujadiliana bila masharti baada ya uhasama uliozuka baina yao
> Katika barua yake kwa Umoja wa Mataifa ilijitetea kuwa, ilimuua Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMazungumzoIran
> Iko tayari kujadiliana bila masharti baada ya uhasama uliozuka baina yao
> Katika barua yake kwa Umoja wa Mataifa ilijitetea kuwa, ilimuua Qasem Soleimani kama hatua ya kujilinda
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMazungumzoIran
NETFLIX KUIFUTA FILAMU INAYOONYESHA YESU KAMA SHOGA
- Uamuzi ulifikiwa ktk kujibu ombi la Shirika la Katoliki lililosema filamu hiyo imeumiza heshima yao
- Uamuzi huo wa Mahakama ni halali hadi Mahakama nyingine itoe amri nyingine tofauti na hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/NetflixFilamuYesu
- Uamuzi ulifikiwa ktk kujibu ombi la Shirika la Katoliki lililosema filamu hiyo imeumiza heshima yao
- Uamuzi huo wa Mahakama ni halali hadi Mahakama nyingine itoe amri nyingine tofauti na hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/NetflixFilamuYesu
TETESI: YOUNG AKATAA MKATABA. MAN UTD YAJIONDOA KUMUWANIA ERIKSEN
- Nahodha wa Manchester United, Ashley Young anadaiwa kukataa mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo huku akihusishwa kuhamia Inter Milan
- Pia, Man. Utd inadaiwa kufutilia mbali mpango wake wa kutaka kumsajili Kiungo wa Tottenham, Christian Eriksen huku mchezaji huyo naye akihusishwa na Inter Milan
- Nahodha wa Manchester United, Ashley Young anadaiwa kukataa mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo huku akihusishwa kuhamia Inter Milan
- Pia, Man. Utd inadaiwa kufutilia mbali mpango wake wa kutaka kumsajili Kiungo wa Tottenham, Christian Eriksen huku mchezaji huyo naye akihusishwa na Inter Milan
ARUSHA: MWALIMU MBARONI KWA KUMUOMBA MWANAFUNZI RUSHWA YA NGONO
- Ni William Mollel anayefundisha Kidato cha 5 na 6 shule ya Sekondari Embarway
- Inadawia, alikuwa akimnyanyasa Mwanafunzi huyo na kumuambia ili awe na amani, washiriki ngono
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuEmbarwayMbaroni
- Ni William Mollel anayefundisha Kidato cha 5 na 6 shule ya Sekondari Embarway
- Inadawia, alikuwa akimnyanyasa Mwanafunzi huyo na kumuambia ili awe na amani, washiriki ngono
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuEmbarwayMbaroni
TANZIA: Mwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki leo baada ya kuugua kwa muda mrefu
> Atakumbukwa kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile na jinsi alivyotetea Mashairi ya Kisasa
Soma - https://jamii.app/RIPProfKezilahabi
#JFLeo
> Atakumbukwa kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile na jinsi alivyotetea Mashairi ya Kisasa
Soma - https://jamii.app/RIPProfKezilahabi
#JFLeo