RAIS MAGUFULI: KIGWANGALLA NA PROF. MKENDA MALIZENI TOFAUTI ZENU. VINGINEVYO NAWATENGUA
> Ametoa siku 5 na kama watashindwa kufanya hivyo atatengua teuzi zao. Dkt. Hamis Kigwangalla ni Waziri wa Maliasili na Prof. Mkenda akiwa Katibu Mkuu
> Akiwa katika Hifadhi ya Rubondo amesema Katibu Mkuu hataki kumheshimu Waziri na Waziri hataki kwenda pamoja na Katibu Mkuu
> Rais Magufuli amesema anawatazama taratibu. Hawezi kuwa na watendaji aliowateua halafu kila siku wanagombana na mambo ndani ya Wizara hayaendi.
Soma > https://jamii.app/KigwangallaVsMkenda
> Ametoa siku 5 na kama watashindwa kufanya hivyo atatengua teuzi zao. Dkt. Hamis Kigwangalla ni Waziri wa Maliasili na Prof. Mkenda akiwa Katibu Mkuu
> Akiwa katika Hifadhi ya Rubondo amesema Katibu Mkuu hataki kumheshimu Waziri na Waziri hataki kwenda pamoja na Katibu Mkuu
> Rais Magufuli amesema anawatazama taratibu. Hawezi kuwa na watendaji aliowateua halafu kila siku wanagombana na mambo ndani ya Wizara hayaendi.
Soma > https://jamii.app/KigwangallaVsMkenda
VIETNAM: WAZIRI WA ZAMANI AFUNGWA MAISHA KWA MAKOSA YA RUSHWA
- Son Bac Nguyen amefungwa maisha huku aliyekuwa Naibu wake, Tuan Quoc Tran akihukumiwa kifungo cha miaka 14 kwa makosa ya rushwa yaliyoisababishia Serikali hasara ya USD Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAfungwaMaisha-Vietnam
- Son Bac Nguyen amefungwa maisha huku aliyekuwa Naibu wake, Tuan Quoc Tran akihukumiwa kifungo cha miaka 14 kwa makosa ya rushwa yaliyoisababishia Serikali hasara ya USD Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAfungwaMaisha-Vietnam
MTANDAO WA SIMU WA MTN WASHUTUMIWA KUFADHILI MAGAIDI
- Inadaiwa kutoa rushwa kwa Al-Qaeda na Taliban ili isitoe pesa nyingi za kulinda mitambo yao Afghanistan
- Fedha hizo zinadaiwa kutumika kwenye mashumbulio kati ya mwaka 2009 hadi 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/MTNShutumaUgaidi
- Inadaiwa kutoa rushwa kwa Al-Qaeda na Taliban ili isitoe pesa nyingi za kulinda mitambo yao Afghanistan
- Fedha hizo zinadaiwa kutumika kwenye mashumbulio kati ya mwaka 2009 hadi 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/MTNShutumaUgaidi
KOREA KUSINI: WAZIRI WA ZAMANI ASHTAKIWA KWA MAKOSA YA RUSHWA
- Waziri wa zamani wa Sheria, Cho Kuk ameshtakiwa kwa makosa 11 yakiwemo ya rushwa, uzuiaji wa Biashara na kughushi na madai mengine yanayohusiana na kashfa dhidi ya familia yake
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAshutumiwaRushwa-SK
- Waziri wa zamani wa Sheria, Cho Kuk ameshtakiwa kwa makosa 11 yakiwemo ya rushwa, uzuiaji wa Biashara na kughushi na madai mengine yanayohusiana na kashfa dhidi ya familia yake
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAshutumiwaRushwa-SK
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MAWAKILI NJE YA OFISI ZA NIDA
- Imesema haiwatambui wanaojiita Mawakili na kuwatoza Wananchi Tsh. 10,000 kama ada ya nyaraka mbadala ya Cheti cha Kuzaliwa
- Imesema kila ofisi ya NIDA itakuwa na Mawakili wa Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliMawakiliNIDA
- Imesema haiwatambui wanaojiita Mawakili na kuwatoza Wananchi Tsh. 10,000 kama ada ya nyaraka mbadala ya Cheti cha Kuzaliwa
- Imesema kila ofisi ya NIDA itakuwa na Mawakili wa Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliMawakiliNIDA
PAPA FRANCIS AOMBA RADHI KWA KUMPIGA KIBAO MUUMINI
- Alimpiga kibao Mwanamke aliyemvuta mkono kwa nguvu wakati akisalimia watu kwenye Usiku wa Mwaka Mpya
- Amesema, "Tunapoteza uvumilivu muda mwingine. Naomba radhi kwa mfano mbaya nilioutoa"
Zaidi, soma https://jamii.app/RadhiPapaKibaoMwanamke
- Alimpiga kibao Mwanamke aliyemvuta mkono kwa nguvu wakati akisalimia watu kwenye Usiku wa Mwaka Mpya
- Amesema, "Tunapoteza uvumilivu muda mwingine. Naomba radhi kwa mfano mbaya nilioutoa"
Zaidi, soma https://jamii.app/RadhiPapaKibaoMwanamke
MBEYA: JENEZA LATELEKEZWA SOKONI LIKIWA JUU YA MEZA MBELE YA DUKA MOJA
- Wananchi wamepigwa na bumbuwazi baada ya kukuta Jeneza hilo asubuhi ya Mwaka Mpya
- Baadhi ya walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa jeneza hilo lilikuwa limetumika
Zaidi, soma https://jamii.app/JenezaSokoniMbeya
- Wananchi wamepigwa na bumbuwazi baada ya kukuta Jeneza hilo asubuhi ya Mwaka Mpya
- Baadhi ya walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa jeneza hilo lilikuwa limetumika
Zaidi, soma https://jamii.app/JenezaSokoniMbeya
SHINYANGA: ASKARI WA JESHI LA POLISI AKATWA UUME NA MKEWE KWA TUHUMA ZA USALITI WA NDOA
> Jeshi la Polisi linamshikilia, Frola Adam (23), kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumkata uume mume wake, anayefahamika kwa jina la Kazimiri
Soma > https://jamii.app/AskariAkatwaUume
#JFLeo
> Jeshi la Polisi linamshikilia, Frola Adam (23), kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumkata uume mume wake, anayefahamika kwa jina la Kazimiri
Soma > https://jamii.app/AskariAkatwaUume
#JFLeo
MBEYA: MBARONI AKIWA NA MIHURU 56 YA KUGHUSHI YA IDARA ZA SERIKALI
- Abraham Obedi (55) amekamatwa na mihuri hiyo ya Idara za Serikali na Ofisi Binafsi
- Baadhi ya mihuri ni ya Afisa biashara wa Halmashauri, Access Bank-Mbeya na TRA-Mbeya
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniMihuriKughushi
- Abraham Obedi (55) amekamatwa na mihuri hiyo ya Idara za Serikali na Ofisi Binafsi
- Baadhi ya mihuri ni ya Afisa biashara wa Halmashauri, Access Bank-Mbeya na TRA-Mbeya
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniMihuriKughushi
INDONESIA: WATU 21 WAFARIKI KWA MAFURIKO HUKU MVUA KUBWA ZAIDI ZIKITABIRIWA
- Zaidi ya watu 62,000 wameondolewa katika Mji Mkuu, Jakarta baada ya kutokea mafuriko
- Serikali imetahadharisha kuwa mvua hizo zinaweza kuendelea hadi Januari 07
Zaidi, soma https://jamii.app/MafurikoJakartaMwakaMpya2020
- Zaidi ya watu 62,000 wameondolewa katika Mji Mkuu, Jakarta baada ya kutokea mafuriko
- Serikali imetahadharisha kuwa mvua hizo zinaweza kuendelea hadi Januari 07
Zaidi, soma https://jamii.app/MafurikoJakartaMwakaMpya2020
KISUTU, DAR: JAMHURI YAPINGA KABENDERA KUMUAGA MAMA YAKE
> Jamhuri kupitia Mawakili wake imepinga maombi yaliyowasilishwa na Wakili wa Erick Kabendera kutaka Mahakama kumruhusu kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mama yake
Zaidi, soma > https://jamii.app/KabenderaMazikoMamaye
> Jamhuri kupitia Mawakili wake imepinga maombi yaliyowasilishwa na Wakili wa Erick Kabendera kutaka Mahakama kumruhusu kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mama yake
Zaidi, soma > https://jamii.app/KabenderaMazikoMamaye
ISRAEL: NETANYAHU AOMBA KINGA DHIDI YA MASHTAKA YAKE YA RUSHWA
- Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, anayekabiliwa na mashtaka ya ufisadi ametoa ombi hilo kwa Bunge
- Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi na kumuweka madarakani hadi uchaguzi ujao
Zaidi, soma https://jamii.app/NatanyahuAombaKinga
- Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, anayekabiliwa na mashtaka ya ufisadi ametoa ombi hilo kwa Bunge
- Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi na kumuweka madarakani hadi uchaguzi ujao
Zaidi, soma https://jamii.app/NatanyahuAombaKinga