MWANZA: ACHANWA TUMBO KWA KUHOJI MATUMIZI YA FEDHA ALIYOACHA NYUMBANI
- Ni Benedictor Gogogo (48) anayesema alimuachia mkewe Tsh. 10,000
- Amesema alichanwa akiwa amelala baada ya kumpiga kofi mkewe aliyemjibu vibaya kuhusu matumizi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MkeAmtoaMumeUtumbo
- Ni Benedictor Gogogo (48) anayesema alimuachia mkewe Tsh. 10,000
- Amesema alichanwa akiwa amelala baada ya kumpiga kofi mkewe aliyemjibu vibaya kuhusu matumizi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MkeAmtoaMumeUtumbo
KENYA: WATATU WAFARIKI BAADA YA AL-SHABAAB KUTEKA BASI
- Kamishna wa Polisi wa Kaunti ya Lamu amesema Washambuliaji hao wamewaua watu hao na kuwajeruhi wengine watatu katika eneo la Nyongoro kwenye barabara ya Lamu-Garsen
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabAttackBus-KE
- Kamishna wa Polisi wa Kaunti ya Lamu amesema Washambuliaji hao wamewaua watu hao na kuwajeruhi wengine watatu katika eneo la Nyongoro kwenye barabara ya Lamu-Garsen
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabAttackBus-KE
NJOMBE: MBARONI KWA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE
- Josephat Mtega (24) anashikiliwa kwa tuhuma za kumsababishia kifo mkewe kutokana na majeraha ya kipigo
- Angelina Sanga (24) anadaiwa kupigwa vibaya na Josephat baada ya kugombana
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKifoMkewe
- Josephat Mtega (24) anashikiliwa kwa tuhuma za kumsababishia kifo mkewe kutokana na majeraha ya kipigo
- Angelina Sanga (24) anadaiwa kupigwa vibaya na Josephat baada ya kugombana
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKifoMkewe
MAREKANI YAMUUA KIONGOZI WA VIKOSI VYA QUDS VYA JESHI LA IRAN
- Jenerali Qasem Soleimani ameuawa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Baghdad
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Javad Zarif amesema hatua hiyo ni hatari na uchokozi wa Kishenzi
Zaidi, soma https://jamii.app/KiongoziQudsAuawa
- Jenerali Qasem Soleimani ameuawa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Baghdad
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Javad Zarif amesema hatua hiyo ni hatari na uchokozi wa Kishenzi
Zaidi, soma https://jamii.app/KiongoziQudsAuawa
TABORA: POLISI KUANZA MSAKO WA WANAOTAKA KUJINYONGA
- Kamanda wa Polisi mkoani humo, Barnabas Mwakalukwa amesema kufuatia matukio ya watu wawili kujinyonga, mwaka huu wataanza msako kuwabaini wanaotaka kujinyonga na kuwapeleka Mahakamani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKusakaWanaotakaKujinyonga
- Kamanda wa Polisi mkoani humo, Barnabas Mwakalukwa amesema kufuatia matukio ya watu wawili kujinyonga, mwaka huu wataanza msako kuwabaini wanaotaka kujinyonga na kuwapeleka Mahakamani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKusakaWanaotakaKujinyonga
MAREKANI YAWATAKA WANANCHI WAKE KUONDOKA IRAQ
- Ubalozi wa Marekani nchini Iraq umewataka Raia wake wanaoishi nchini humo kuondoka mapema iwezekanavyo
- Ni kutokana na kuongezaka kwa vurugu ambapo Ubalozi huo pia umezingirwa na Waandamanaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniRaiaKuondokaIraq
- Ubalozi wa Marekani nchini Iraq umewataka Raia wake wanaoishi nchini humo kuondoka mapema iwezekanavyo
- Ni kutokana na kuongezaka kwa vurugu ambapo Ubalozi huo pia umezingirwa na Waandamanaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniRaiaKuondokaIraq
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
LUDACRIS NA FAMILIA YAKE WAPATA URAIA WA GABON
- Mwanamuziki wa Marekani, Christopher Brian Bridges maarufu Ludacris, sasa ana uraia wa Gabon na atakuwa na uraia wa nchi mbili
- Ludacris, Mkewe, Eudoxie Mbouguiengue na familia yake walipatiwa Uraia huo Januari 02, 2020
- Mwanamuziki wa Marekani, Christopher Brian Bridges maarufu Ludacris, sasa ana uraia wa Gabon na atakuwa na uraia wa nchi mbili
- Ludacris, Mkewe, Eudoxie Mbouguiengue na familia yake walipatiwa Uraia huo Januari 02, 2020
KAGERA: BABA WA KAMBO AMUUA MTOTO WA MIAKA MITATU
- Leonard Kishenya (36), amemuua mtoto wake wa kambo Caren Crispine (3) kwa kumkata na panga
- Anatuhumiwa kufanya hivyo baada ya kuzuka ugomvi kati yake na mke wake, Domina Andrew (30)
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaKamboAmuuaMtoto
- Leonard Kishenya (36), amemuua mtoto wake wa kambo Caren Crispine (3) kwa kumkata na panga
- Anatuhumiwa kufanya hivyo baada ya kuzuka ugomvi kati yake na mke wake, Domina Andrew (30)
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaKamboAmuuaMtoto
TUNDURU: SHEREHE WANAZOFANYIWA DARASA LA SABA ILI WAKAOLEWE, ZAPIGWA MARUFUKU
> DC wa Tunduru, Julius Mtatiro ameiambia JamiiForums sherehe hizo huhusisha Wazazi kushona sare na kuwapokea kwa maandamano Wanafunzi baada ya kumaliza mitihani
Soma > https://jamii.app/MtatiroVsWazaziTunduru
> DC wa Tunduru, Julius Mtatiro ameiambia JamiiForums sherehe hizo huhusisha Wazazi kushona sare na kuwapokea kwa maandamano Wanafunzi baada ya kumaliza mitihani
Soma > https://jamii.app/MtatiroVsWazaziTunduru
SIMBA YAMSAJILI MIQIUSSONE KUTOKA UD SONGO
- Simba leo imemtambulisha kiungo wa Kimataifa wa Msumbuji, Luis Jose Miqiussone aliyesaini mkataba wa miaka minne
- Awali, kiungo huyo alikuwa akihusishwa na Yanga, lakini miamba hiyo ya Msimbazi imefanikiwa kuipata saini yake
- Simba leo imemtambulisha kiungo wa Kimataifa wa Msumbuji, Luis Jose Miqiussone aliyesaini mkataba wa miaka minne
- Awali, kiungo huyo alikuwa akihusishwa na Yanga, lakini miamba hiyo ya Msimbazi imefanikiwa kuipata saini yake
KARIAKOO DERBY: SIMBA NA YANGA KUTUNISHIANA MISULI LEO
- Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi ikiendelea kupanda, katika mechi 10 zilizopita Simba imefunga magoli 10 kipindi cha pili na katika kipindi cha kwanza imefunga magoli 10
- Yanga nayo imekuwa moto kipindi cha pili kwa kufunga magoli 8 na katika Kipindi cha kwanza imefunga magoli 6
Je, ni Mashabiki wa timu gani kutoka na kicheko leo Taifa?
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga
- Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi ikiendelea kupanda, katika mechi 10 zilizopita Simba imefunga magoli 10 kipindi cha pili na katika kipindi cha kwanza imefunga magoli 10
- Yanga nayo imekuwa moto kipindi cha pili kwa kufunga magoli 8 na katika Kipindi cha kwanza imefunga magoli 6
Je, ni Mashabiki wa timu gani kutoka na kicheko leo Taifa?
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga
MWANAHABARI WA DW ADAIWA KULISHWA SUMU
> Deokaji Makomba amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kufikishwa akiwa hajitambui
> Ndani ya Basi la Ally's alipewa vipande vya Biskuti na abiria aliyepandia njiani
Soma > https://jamii.app/DeokajiSumuBasi
> Deokaji Makomba amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kufikishwa akiwa hajitambui
> Ndani ya Basi la Ally's alipewa vipande vya Biskuti na abiria aliyepandia njiani
Soma > https://jamii.app/DeokajiSumuBasi
MICHEZO: Klabu ya Simba inapata goli la kuongoza dhidi ya Klabu ya Yanga kupitia goli lililofungwa na Meddie Kagere katika dakika ya 42
- Goli la Simba limepatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Meddie Kagere kuchezewa rafu na Beki Kelvin Yondani ndani ya eneo la hatari
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga
- Goli la Simba limepatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Meddie Kagere kuchezewa rafu na Beki Kelvin Yondani ndani ya eneo la hatari
Fuatilia https://jamii.app/YanayojiriSimbaYanga