SERENGETI: MVUA YAUA WATU 3 NA KUHARIBU MIUNDOMBINU
> Mvua kubwa iliyonyesha usiku imesababisha vifo vya watu 3 wakiwamo watoto 2 wa familia moja na dereva wa bodaboda aliyesombwa na maji barabarani
> Imesababisha daraja la Nyiberekera kukatika na barabara za kutoka Mugumu kwenda Arusha kupitia Fort Ikoma na Makunduzi kujaa maji
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMvuaSerengeti
> Mvua kubwa iliyonyesha usiku imesababisha vifo vya watu 3 wakiwamo watoto 2 wa familia moja na dereva wa bodaboda aliyesombwa na maji barabarani
> Imesababisha daraja la Nyiberekera kukatika na barabara za kutoka Mugumu kwenda Arusha kupitia Fort Ikoma na Makunduzi kujaa maji
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMvuaSerengeti
EPL: CHELSEA YABAMIZWA GOLI 2-0 NYUMBANI KWAKE
Chelsea FC ilikuwa ikicheza na Southampton Fc. Magoli ya @SouthamptonFC yamefungwa na Obafemi dakika ya 31 na Redmond kunako dakika ya 73
> Klabu ya @ChelseaFC imekuwa na matokeo mabaya kwa siku za hivi karibuni
#JFSports
Chelsea FC ilikuwa ikicheza na Southampton Fc. Magoli ya @SouthamptonFC yamefungwa na Obafemi dakika ya 31 na Redmond kunako dakika ya 73
> Klabu ya @ChelseaFC imekuwa na matokeo mabaya kwa siku za hivi karibuni
#JFSports
KENYA: WATU 3 WAFARIKI BAADA YA DALADALA KUGONGANA NA GARI LILILOBEBA KONDOO
> Ajali hiyo imetokea katika eneo la Nangili katika Barabara Kuu ya Kitale kwenda Eldoret
> Imeelezwa kuwa Madereva wa magari yote wamefariki pao hapo
Soma > https://jamii.app/AjaliEldoretKenya
#JamiiForums
> Ajali hiyo imetokea katika eneo la Nangili katika Barabara Kuu ya Kitale kwenda Eldoret
> Imeelezwa kuwa Madereva wa magari yote wamefariki pao hapo
Soma > https://jamii.app/AjaliEldoretKenya
#JamiiForums
SHANGHAI, CHINA: BINTI WA BRUCE LEE AWASHTAKI WALIOTUMIA TASWIRA YA BABA YAKE
> Shannon Lee ameishtaki Kampuni ya Vyakula iliyotumia sura ya Baba yake kwenye matangazo yao ya biashara bila ya kukubaliana na familia ya Bruce Lee
> Anaitaka Kampuni hiyo kulipa fidia ya zaidi ya Shilingi Bilioni 68.7 za Kitanzania
Zaidi, soma => https://jamii.app/ShannonLee
> Shannon Lee ameishtaki Kampuni ya Vyakula iliyotumia sura ya Baba yake kwenye matangazo yao ya biashara bila ya kukubaliana na familia ya Bruce Lee
> Anaitaka Kampuni hiyo kulipa fidia ya zaidi ya Shilingi Bilioni 68.7 za Kitanzania
Zaidi, soma => https://jamii.app/ShannonLee
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KAZAKHSTAN: NDEGE ILIYOBEBA ABIRIA 100 YAANGUKA, 14 WATHIBITIKA KUFARIKI, 35 MAJERUHI
> Ndege ya #AirBek imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Almaty
> Ilikuwa ikielekea Mji Mkuu wa Kazakhstan wa Nursultan
Soma > https://jamii.app/AirBekCrashes
#PlaneCrash
> Ndege ya #AirBek imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Almaty
> Ilikuwa ikielekea Mji Mkuu wa Kazakhstan wa Nursultan
Soma > https://jamii.app/AirBekCrashes
#PlaneCrash
KENYA: AKAMATWA KWA KUMLAZIMISHA MTOTO WA MIAKA 2 KUNYWA BIA
> Polisi wanamshikilia Mwanaume wa miaka 30 kwa kumlazimisha Mtoto wa miaka 2 kunywa bia siku ya Krismasi
> Wanafamilia walimkimbiza Mtoto Hospitali wakihofia anaweza kupoteza maisha
Soma > https://jamii.app/BiaMtotoKE
> Polisi wanamshikilia Mwanaume wa miaka 30 kwa kumlazimisha Mtoto wa miaka 2 kunywa bia siku ya Krismasi
> Wanafamilia walimkimbiza Mtoto Hospitali wakihofia anaweza kupoteza maisha
Soma > https://jamii.app/BiaMtotoKE
KENYA, GARISSA: WAFANYABIASHARA 2 WATEKWA NA AL-SHABAAB
> Polisi mjini Garissa wameanzisha juhudi za kuwaokoa Abdulahi Isaack Harun na Abdi Hassan wanaoaminika kutekwa nyara jana Asubuhi na Kundi la Al-Shabaab
> Inadaiwa walichukuliwa katika eneo la Wardeglo Dam na kupelekwa Somalia
Soma - https://jamii.app/KenyansAbductedAlShabaab
> Polisi mjini Garissa wameanzisha juhudi za kuwaokoa Abdulahi Isaack Harun na Abdi Hassan wanaoaminika kutekwa nyara jana Asubuhi na Kundi la Al-Shabaab
> Inadaiwa walichukuliwa katika eneo la Wardeglo Dam na kupelekwa Somalia
Soma - https://jamii.app/KenyansAbductedAlShabaab
RAIS AONGEZA SIKU 20 KWA AJILI YA USAJILI WA LAINI KWA ALAMA ZA VIDOLE
> Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia Januari 1, 2020 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31
> Desemba 31 ulikuwa ndiyo ukomo wa muda wa awali wa kuwataka wananchi kusajili laini zao na baada ya hapo zisizosajiliwa zingefungwa
Soma - https://jamii.app/OngezoMudaUsajiliLaini
> Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia Januari 1, 2020 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31
> Desemba 31 ulikuwa ndiyo ukomo wa muda wa awali wa kuwataka wananchi kusajili laini zao na baada ya hapo zisizosajiliwa zingefungwa
Soma - https://jamii.app/OngezoMudaUsajiliLaini
FAHAMU KUHUSU KODI INAYOTOKANA NA AJIRA (PAYE) INAYOLALAMIKIWA NA WENGI
> Kodi inayotokana na Ajira inajulikana kama Lipa Kadiri Unavyopata (PAYE). Sehemu ya 81 ya Sheria ya Kodi ya Mapato inamtaka mwajiri kushikilia kodi kutoka kwa malipo ya mfanyakazi na kuilipa TRA
> Viwango vya kodi ambavyo mtu anatakiwa kukatwa vinatofautiana kulingana na kiwango cha kipato anachopata mtu kwa mwezi ambapo kipato cha chini kukatwa ni malipo ya Tsh. 170,000 kwa mwezi
Soma - https://jamii.app/FahamuKodiMshahara
> Kodi inayotokana na Ajira inajulikana kama Lipa Kadiri Unavyopata (PAYE). Sehemu ya 81 ya Sheria ya Kodi ya Mapato inamtaka mwajiri kushikilia kodi kutoka kwa malipo ya mfanyakazi na kuilipa TRA
> Viwango vya kodi ambavyo mtu anatakiwa kukatwa vinatofautiana kulingana na kiwango cha kipato anachopata mtu kwa mwezi ambapo kipato cha chini kukatwa ni malipo ya Tsh. 170,000 kwa mwezi
Soma - https://jamii.app/FahamuKodiMshahara
SERIKALI YAKUSUDIA KUKATA RUFAA DHIDI YA ABDUL NONDO
> Hii ni baada ya Mahakama Kuu(Iringa) kumpa ushindi, Abdul Nondo ktk rufaa iliyokatwa na Serikali
> Serikali inapinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa iliyoeleza kuwa Nondo hana hatia
Soma > https://jamii.app/GvtVsAbdulNondo
> Hii ni baada ya Mahakama Kuu(Iringa) kumpa ushindi, Abdul Nondo ktk rufaa iliyokatwa na Serikali
> Serikali inapinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa iliyoeleza kuwa Nondo hana hatia
Soma > https://jamii.app/GvtVsAbdulNondo
POLISI DODOMA: MMILIKI WA SHULE YA ZAMZAM ALIFARIKI KWA MATATIZO YA MOYO
> Kamanda Gilles Muroto, amesema kwamba hawakukuta viashiria vyovyote vya mauaji, badala yake uchunguzi umebainika kuwa Sheikh Rashid Bura alifariki baada ya kukosa msaada kwa kuwa hali hiyo ilimkuta ofisini akiwa peke yake
Soma - https://jamii.app/RipotiKifoBuraZamZam
> Kamanda Gilles Muroto, amesema kwamba hawakukuta viashiria vyovyote vya mauaji, badala yake uchunguzi umebainika kuwa Sheikh Rashid Bura alifariki baada ya kukosa msaada kwa kuwa hali hiyo ilimkuta ofisini akiwa peke yake
Soma - https://jamii.app/RipotiKifoBuraZamZam
UGANDA YAPATA HASARA KIBIASHARA KUTOKANA NA MIZOZO NA NCHI JIRANI
> Sekta ya Biashara nchini Uganda imepata pigo kubwa mwaka huu kwa kupata hasara ya takriban trilioni 3.4 kutokana na mizozo ya kibiashara na mataifa jirani
> Ripoti ya ufanisi wa kibiashara ya mwaka 2018/2019 imesema shughuli za kibiashara kati ya Uganda na mataifa jirani, zilipungua kutoka dola milioni 932 mwaka 2017/2018, hadi dola milioni 11, 2019
Soma - https://jamii.app/UGLossBusinessConflict
> Sekta ya Biashara nchini Uganda imepata pigo kubwa mwaka huu kwa kupata hasara ya takriban trilioni 3.4 kutokana na mizozo ya kibiashara na mataifa jirani
> Ripoti ya ufanisi wa kibiashara ya mwaka 2018/2019 imesema shughuli za kibiashara kati ya Uganda na mataifa jirani, zilipungua kutoka dola milioni 932 mwaka 2017/2018, hadi dola milioni 11, 2019
Soma - https://jamii.app/UGLossBusinessConflict
DAR: DAKTARI ASHTAKIWA KWA UTOAJI WA MIMBA NA KUTAKATISHA FEDHA
> Ni Dkt. Awadhi Juma wa Dental Clinic(Sinza) pamoja na Muuguzi Kidawa Ramadhani(26) wa Kituo cha Afya Manzese
> Wanakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo kutakatisha Tsh. 260,000
Soma > https://jamii.app/DaktariKutakafishaFedha
> Ni Dkt. Awadhi Juma wa Dental Clinic(Sinza) pamoja na Muuguzi Kidawa Ramadhani(26) wa Kituo cha Afya Manzese
> Wanakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo kutakatisha Tsh. 260,000
Soma > https://jamii.app/DaktariKutakafishaFedha
MOGADISHU, SOMALIA: BOMU LILILOTEGWA KWENYE GARI LALIPUKA NA KUUA WATU ZAIDI YA 20
> Bomu hilo lilikuwa limetegwa kwenye gari, kwenye Kituo cha Ukaguzi cha Polisi
> Imeelezwa kuwa, shambulio hilo lilikilenga Kituo cha Ukusanyaji wa Mapato
Soma > https://jamii.app/BomuLaua5Somalia
> Bomu hilo lilikuwa limetegwa kwenye gari, kwenye Kituo cha Ukaguzi cha Polisi
> Imeelezwa kuwa, shambulio hilo lilikilenga Kituo cha Ukusanyaji wa Mapato
Soma > https://jamii.app/BomuLaua5Somalia
AJALI KIPINDI CHA KRISMASI: ZAMBIA YAPOTEZA RAIA 21
> Watu 21 wamefariki na wengine 22 kujeruhiwa ktk ajali za barabarani kipindi cha Krismasi 2019
> Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi imeongezeka kutoka 125 za mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu
Soma - https://jamii.app/RoadAccidentsChristmas
> Watu 21 wamefariki na wengine 22 kujeruhiwa ktk ajali za barabarani kipindi cha Krismasi 2019
> Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi imeongezeka kutoka 125 za mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu
Soma - https://jamii.app/RoadAccidentsChristmas
JAPAN YAIPA MSAADA WA TSH. BILIONI 4.2 TANZANIA KUFUFUA SHIRIKA LA UVUVI
> Serikali imesaini mkataba na Serikali ya Japan wa kupokea msaada wa Tsh. bilioni 4.2 kwa ajili ya kulifufua Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), lililositisha shughuli zake tangu mwaka 1998
> Fedha hizo zitatumika kununua meli mpya ya uvuvi, mashine ya kutengeneza barafu, ghala la baridi la kuhifadhia samaki na vifaa vya kuvulia samaki na vya karakana
Soma - https://jamii.app/MsaadaKufufuaTAFICO
> Serikali imesaini mkataba na Serikali ya Japan wa kupokea msaada wa Tsh. bilioni 4.2 kwa ajili ya kulifufua Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), lililositisha shughuli zake tangu mwaka 1998
> Fedha hizo zitatumika kununua meli mpya ya uvuvi, mashine ya kutengeneza barafu, ghala la baridi la kuhifadhia samaki na vifaa vya kuvulia samaki na vya karakana
Soma - https://jamii.app/MsaadaKufufuaTAFICO