CHINA: WATU 14 WAMEFARIKI KATIKA MLIPUKO ULIOTOKEA MGODINI
- Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado wamekwama ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoChinaMgodini
- Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado wamekwama ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoChinaMgodini
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MVUA KUBWA DAR: WANANCHI WAKWAMA, MIUNDOMBINU YAATHIRIKA
> Mvua kubwa ikiambatana na radi inaendelea kunyesha jijini Dar na miundombinu ya barabara inadaiwa kuathirika hivyo kupelekea watu kukwama kuendelea na shughuli zao za kila siku
> Bado athari zaidi ya mvua hizi zinazoendelea kunyesha hazijajulikana lakini wengi wanadai mvua ni kubwa jijini humo
#DarFloods #MvuaDar
> Mvua kubwa ikiambatana na radi inaendelea kunyesha jijini Dar na miundombinu ya barabara inadaiwa kuathirika hivyo kupelekea watu kukwama kuendelea na shughuli zao za kila siku
> Bado athari zaidi ya mvua hizi zinazoendelea kunyesha hazijajulikana lakini wengi wanadai mvua ni kubwa jijini humo
#DarFloods #MvuaDar
RIPOTI: USAWA WA KIJINSIA MAENEO YA KAZI KUFANIKIWA BAADA YA MIAKA 257
> Ripoti ya World Economic Forum inayofuatilia usawa wa jinsia kwenye nchi 153 imebaini hali ya kutokuwa na usawa haitarajiwi kufutika mpaka mwaka 2276
> Imetabiri kuwa, itachukuwa miaka 99.5 kwa wanawake kupata usawa, ikiwa ni punguo kutoka miaka 108 katika utabiri wa 2018
Soma - https://jamii.app/ReportEqualityWork2019
> Ripoti ya World Economic Forum inayofuatilia usawa wa jinsia kwenye nchi 153 imebaini hali ya kutokuwa na usawa haitarajiwi kufutika mpaka mwaka 2276
> Imetabiri kuwa, itachukuwa miaka 99.5 kwa wanawake kupata usawa, ikiwa ni punguo kutoka miaka 108 katika utabiri wa 2018
Soma - https://jamii.app/ReportEqualityWork2019
ATHARI ZA MVUA: HUDUMA ZA MWENDOKASI KUPITIA JANGWANI ZASITISHWA
- Ni kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika Mkoa wa Dar na kusababisha sehemu mbalimbali za mkoa huo kujaa maji
- Wasafiri wanaotoka Mjini au Kariakoo wameshauriwa kutumia usafiri mbadala hadi Kituo cha Mwendokasi Morocco na waendao Mjini/Kariakoo wakifika Morocco watafute usafiri mbadala
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/AthariMvuaDar-Dec2019
- Ni kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika Mkoa wa Dar na kusababisha sehemu mbalimbali za mkoa huo kujaa maji
- Wasafiri wanaotoka Mjini au Kariakoo wameshauriwa kutumia usafiri mbadala hadi Kituo cha Mwendokasi Morocco na waendao Mjini/Kariakoo wakifika Morocco watafute usafiri mbadala
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/AthariMvuaDar-Dec2019
KENYA: WATU WATATU WASHTAKIWA KWA KUWEKA SUMU KWENYE CHAKULA
> Mameneja 3 wa Shamba wamefikishwa Mahakamani kwa shtaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine 6 kuathirika
> Watu 2 kati yao bado wapo ICU ambapo wameathirika ktk mifumo ya Neva na Ubongo
Soma - https://jamii.app/ManagersSuspectFoodPoisoning
> Mameneja 3 wa Shamba wamefikishwa Mahakamani kwa shtaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine 6 kuathirika
> Watu 2 kati yao bado wapo ICU ambapo wameathirika ktk mifumo ya Neva na Ubongo
Soma - https://jamii.app/ManagersSuspectFoodPoisoning
ALIYEKUWA RAIS WA PAKISTANI AHUKUMIWA KIFO KATIKA KESI YA UHAINI MKUBWA
> Rais Pervez Musharraf (76) amehukumiwa kifo katika kesi ya Uhaini Mkubwa iliyohusisha kuweko kwa Dharura ya Kikatiba mnamo 2007
> Hukumu hiyo imetolewa leo wakati kiongozi huyo akiwa Mjini Dubai tangu alipoondoka Machi 2016 kwasababu za Kiafya na Kiusalama
Soma - https://jamii.app/PervezDeathPenaltyTreason
> Rais Pervez Musharraf (76) amehukumiwa kifo katika kesi ya Uhaini Mkubwa iliyohusisha kuweko kwa Dharura ya Kikatiba mnamo 2007
> Hukumu hiyo imetolewa leo wakati kiongozi huyo akiwa Mjini Dubai tangu alipoondoka Machi 2016 kwasababu za Kiafya na Kiusalama
Soma - https://jamii.app/PervezDeathPenaltyTreason
DAWASA YATOA TAHADHARI YA UPUNGUFU WA MAJI MKOA WA DAR
> Kutakuwa na upungufu wa huduma ya maji leo hadi kesho ktk Mji wa Bagamoyo, Vijiji vya Zinga, Kerege, Mapinga, Bunju, Boko, Kawe, Kinondoni, Ilala, Temeke na Tabata
> Pia, Tegeta, Kunduchi, Salasala, Jangwani, Mbezi Beach, Mlalakuwa, Mwenge, Mikocheni, Msasani, Sinza, Kijitonyama, Oysterbay, Magomeni, Upanga, Kariakoo, City Centre, Ilala, Ubungo Maziwa, Kigogo, Mburahati na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/TahadhariUpungufuMaji
> Kutakuwa na upungufu wa huduma ya maji leo hadi kesho ktk Mji wa Bagamoyo, Vijiji vya Zinga, Kerege, Mapinga, Bunju, Boko, Kawe, Kinondoni, Ilala, Temeke na Tabata
> Pia, Tegeta, Kunduchi, Salasala, Jangwani, Mbezi Beach, Mlalakuwa, Mwenge, Mikocheni, Msasani, Sinza, Kijitonyama, Oysterbay, Magomeni, Upanga, Kariakoo, City Centre, Ilala, Ubungo Maziwa, Kigogo, Mburahati na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/TahadhariUpungufuMaji
ZAMBIA YAHALALISHA BANGI KWA AJILI YA BIASHARA
- Imehalalisha uzalishaji wa Bangi na uuzaji wa mmea huo nje ya nchi kwa matumizi ya Dawa ili kukuza Uchumi
- Haijawekwa wazi kama matumizi ya zao hilo kwa tiba yamehalalishwa ndani ya Zambia
Soma https://jamii.app/ZambiaYaruhusuBangi
- Imehalalisha uzalishaji wa Bangi na uuzaji wa mmea huo nje ya nchi kwa matumizi ya Dawa ili kukuza Uchumi
- Haijawekwa wazi kama matumizi ya zao hilo kwa tiba yamehalalishwa ndani ya Zambia
Soma https://jamii.app/ZambiaYaruhusuBangi
MALEZI YA WATOTO NI TAALUMA SIO KITU CHA ASILI
> Kama zilivyo Taaluma nyingine, malezi ya watoto pia ni Taaluma hivyo ili mtu aimudu vizuri ni lazima ajifunze kwa njia rasmi au isiyo rasmi. Ni ngumu kujua namna nzuri ya kuisimamia afya ya mtoto bila kujua misingi na kanuni za afya ya mtoto
> Jifunze malezi kutoka kwa wazazi/walezi waliotangulia. Njia hii ni moja kati ya njia zinazotumiwa na watu wengi duniani lakini madhara yake ni endapo maarifa aliyonayo aliyetangulia sio sahihi basi yana hatari ya kuendelea kurithishwa
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ElimuMaleziWatoto
#JFMalezi
> Kama zilivyo Taaluma nyingine, malezi ya watoto pia ni Taaluma hivyo ili mtu aimudu vizuri ni lazima ajifunze kwa njia rasmi au isiyo rasmi. Ni ngumu kujua namna nzuri ya kuisimamia afya ya mtoto bila kujua misingi na kanuni za afya ya mtoto
> Jifunze malezi kutoka kwa wazazi/walezi waliotangulia. Njia hii ni moja kati ya njia zinazotumiwa na watu wengi duniani lakini madhara yake ni endapo maarifa aliyonayo aliyetangulia sio sahihi basi yana hatari ya kuendelea kurithishwa
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ElimuMaleziWatoto
#JFMalezi
APPLE, GOOGLE, TESLA NA MICROSOFT ZAFUNGULIWA MASHTAKA KWA KUTUMIKISHA WATOTO MIGODINI
> Kesi hiyo imefunguliwa na familia 14 za DRC wakiyashutumu makampuni hayo kuwaruhusu watoto wadogo kuchimba madini aina ya Kobalti yanayotumiwa katika bidhaa zao
> DRC inazalisha 60% ya Kobalti Duniani na hutumiwa kutengenezea betri aina ya 'Lithium-ion' zinazotumika kuwasha Magari ya Umeme, Kompyuta Mpakato (Laptop) na Simu Janja
Soma - https://jamii.app/AppleGoogleMicrosoftLawsuit
> Kesi hiyo imefunguliwa na familia 14 za DRC wakiyashutumu makampuni hayo kuwaruhusu watoto wadogo kuchimba madini aina ya Kobalti yanayotumiwa katika bidhaa zao
> DRC inazalisha 60% ya Kobalti Duniani na hutumiwa kutengenezea betri aina ya 'Lithium-ion' zinazotumika kuwasha Magari ya Umeme, Kompyuta Mpakato (Laptop) na Simu Janja
Soma - https://jamii.app/AppleGoogleMicrosoftLawsuit
DAR: CHADEMA YATAKIWA KUTOA BENDERA ZAKE BARABARANI NDANI YA SAA 2
- Mkurugenzi wa Ubungo, Beatrice Dominic ameitaka CHADEMA kuondoa bendera zake karibu na ukumbi wa Mlimani City
- Katika ukumbi huo CHADEMA inafanya Mikutano yake mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/BenderaCDM-Ubungo
- Mkurugenzi wa Ubungo, Beatrice Dominic ameitaka CHADEMA kuondoa bendera zake karibu na ukumbi wa Mlimani City
- Katika ukumbi huo CHADEMA inafanya Mikutano yake mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/BenderaCDM-Ubungo
KILIMANJARO STARS YATOLEWA KWENYE MICHUANO YA CECAFA
- Uganda imeitoa Tanzania Bara #KilimanjaroStars kwa kuifunga goli 1-0 katika mchezo wa Nusu Fainali
- Kilimanjaro Stars itachuana na Kenya kuwania Mshindi wa tatu huku Uganda ikichuana na Eritrea kwenye fainali
- Uganda imeitoa Tanzania Bara #KilimanjaroStars kwa kuifunga goli 1-0 katika mchezo wa Nusu Fainali
- Kilimanjaro Stars itachuana na Kenya kuwania Mshindi wa tatu huku Uganda ikichuana na Eritrea kwenye fainali
DAR: WANNE MBARONI KWA KUKUTWA NA MTAMBO WA KUTENGENEZA FEDHA BANDIA
- Watu hao wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania
- Wamekutwa na Noti Bandia za Nchi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 578
Zaidi, zoma https://jamii.app/MbaroniNotiBandia
- Watu hao wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania
- Wamekutwa na Noti Bandia za Nchi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 578
Zaidi, zoma https://jamii.app/MbaroniNotiBandia
MWENDELEZO: Polisi wamefika eneo la Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar unapofanyika Mkutano wa CHADEMA na kuagiza bendera za chama hicho zilizowekwa kushushwa
- Awali, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic alikiandikia barua chama hicho kikuu cha Upinzani Nchini kutaka kishushe bendera hizo
Zaidi, soma https://jamii.app/BenderaCDM-Ubungo
- Awali, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic alikiandikia barua chama hicho kikuu cha Upinzani Nchini kutaka kishushe bendera hizo
Zaidi, soma https://jamii.app/BenderaCDM-Ubungo
MOSHI: WATU 15 WAJERUHIWA BAADA YA BASI KUGONGA MAGARI MENGINE 7
- Wamejeruhiwa na kupelekwa Hospitali ya Mawenzi baada ya basi la Kampuni ya Harambee kudaiwa kupata hitilafu katika mvumo wake wa breki na kuparamia magari hayo 7 katikati ya Mji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliMoshi15Wajeruhiwa
- Wamejeruhiwa na kupelekwa Hospitali ya Mawenzi baada ya basi la Kampuni ya Harambee kudaiwa kupata hitilafu katika mvumo wake wa breki na kuparamia magari hayo 7 katikati ya Mji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliMoshi15Wajeruhiwa
ZIMBABWE: MKE WA MAKAMU WA RAIS ASHTAKIWA KWA KUTAKA KUMUUA MUMEWE
- Mary Mubaiwa, anadaiwa kujaribu kumuua Jenerali Constantino Chiwenga kwa kuchomoa mrija wa maji (drip) wakati Chiwenga alipokuwa akitibiwa Afrika Kusini miezi 6 iliyopita
Zaidi, soma https://jamii.app/MkeMakamuRais-ZMB
- Mary Mubaiwa, anadaiwa kujaribu kumuua Jenerali Constantino Chiwenga kwa kuchomoa mrija wa maji (drip) wakati Chiwenga alipokuwa akitibiwa Afrika Kusini miezi 6 iliyopita
Zaidi, soma https://jamii.app/MkeMakamuRais-ZMB
SUDAN KUSINI: KIIR NA MACHAR WAKUBALIANA KUUNDA SERIKALI YA UMOJA FEBRUARI 2020
> Rais Salva Kiir na Kiongozi wa Waasi, Riek Machar wamekubaliana kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Februari 2020
> Rais Salva Kiir amesisitiza kwamba swali la idadi ya majimbo, ambalo limekuwa likizua mtafaruku mkubwa katika mazungumzo, bado halijapatiwa ufumbuzi
Soma - https://jamii.app/JointGovKiirMachar
> Rais Salva Kiir na Kiongozi wa Waasi, Riek Machar wamekubaliana kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Februari 2020
> Rais Salva Kiir amesisitiza kwamba swali la idadi ya majimbo, ambalo limekuwa likizua mtafaruku mkubwa katika mazungumzo, bado halijapatiwa ufumbuzi
Soma - https://jamii.app/JointGovKiirMachar