MICHEZO: Mwanariadha Eliud Kipchoge amewabwaga wanariadha wenzake na kunyakua taji la BBC la kuwa Mwanaspoti Bora wa mwaka Duniani
-
Kipchoge aliibuka kuwa chaguo bora na kunyakua taji hilo la BBC, kwa kuwabwaga washindani wenzake wakiwemo mwanariadha wa mazoezi ya viungo Simone Biles kutoka Marekani na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Raga ya Afrika Kusini Siya Kolisi
-
Kipchoge aliibuka kuwa chaguo bora na kunyakua taji hilo la BBC, kwa kuwabwaga washindani wenzake wakiwemo mwanariadha wa mazoezi ya viungo Simone Biles kutoka Marekani na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Raga ya Afrika Kusini Siya Kolisi
RUKWA: VIJANA WA JKT WADAIWA KUUA RAIA KWA KIPIGO
> Vijana 5 wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) wanadaiwa kuvamia Kituo cha Polisi na kuwapiga Sabato Mbalamwezi na Renatus Wankamba na kupelekea Sabato kupoteza maisha
> Sabato na Renatus walikamatwa kwa tuhuma za kuiba simu ya Tsh. 25,000
Soma - https://jamii.app/TuhumaJKTMauaji
> Vijana 5 wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) wanadaiwa kuvamia Kituo cha Polisi na kuwapiga Sabato Mbalamwezi na Renatus Wankamba na kupelekea Sabato kupoteza maisha
> Sabato na Renatus walikamatwa kwa tuhuma za kuiba simu ya Tsh. 25,000
Soma - https://jamii.app/TuhumaJKTMauaji
AFYA: JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO ANAYEKOJOA KITANDANI
> Ili kumsaidia, kwanza mtengenezee mtoto ratiba ya kukojoa kila baada ya muda fulani ili ubongo uzoee na kumtaarifu anapohisi kukojoa
> Mbadilishie muda wa kunywa vimiminika na usimwache na kiu muda mrefu (hasa usiku), anaweza kunywa asubuhi hadi alasiri ili apate muda wa kukojoa kabla ya kulala
> Unashauriwa usimuamshe mtoto usiku kukojoa kwani inamkosesha fursa ya kujenga tabia ya kudhibiti na kupambana na tatizo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/MsaadaMtotoKikojozi
#JFAfya
> Ili kumsaidia, kwanza mtengenezee mtoto ratiba ya kukojoa kila baada ya muda fulani ili ubongo uzoee na kumtaarifu anapohisi kukojoa
> Mbadilishie muda wa kunywa vimiminika na usimwache na kiu muda mrefu (hasa usiku), anaweza kunywa asubuhi hadi alasiri ili apate muda wa kukojoa kabla ya kulala
> Unashauriwa usimuamshe mtoto usiku kukojoa kwani inamkosesha fursa ya kujenga tabia ya kudhibiti na kupambana na tatizo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/MsaadaMtotoKikojozi
#JFAfya
NAIBU KATIBU MKUU ACT-WAZALENDO AJIUZULU BAADA YA MAZUNGUMZO YAKE KUVUJA
> Msafiri Mtemelwa ametangaza kujiuzulu kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na Mbunge wa Moshi Vijijini (CHADEMA), Anthony Komu
> Mtemelwa amekiri kuwa alifanya mazungumzo na Komu, yenye lengo la kumshawishi mwanasiasa huyo kujiunga na chama chake
Soma - https://jamii.app/NKatibuACTAjiuzuluAudio
> Msafiri Mtemelwa ametangaza kujiuzulu kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na Mbunge wa Moshi Vijijini (CHADEMA), Anthony Komu
> Mtemelwa amekiri kuwa alifanya mazungumzo na Komu, yenye lengo la kumshawishi mwanasiasa huyo kujiunga na chama chake
Soma - https://jamii.app/NKatibuACTAjiuzuluAudio
DAR: SERIKALI KUPINGA HUKUMU YA MALINZI
> Serikali imewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Kisutu dhidi ya aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu wake, Celestine Mwesigwa
Soma - https://jamii.app/PingamiziHukumuMalinzi
> Serikali imewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Kisutu dhidi ya aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu wake, Celestine Mwesigwa
Soma - https://jamii.app/PingamiziHukumuMalinzi
DENI LAMUWEKA RUMANDE KOCHA WA KLABU YA TOTO AFRICANS
> Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ibrahim Mlumba anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kutokana na deni wanalodaiwa la Tsh. milioni 1
> Inadaiwa, Kocha huyo alitiwa mbaroni baada ya Klabu kushindwa kulipa deni wanalodaiwa Mkoani humo kwa takriban siku 11 walizokaa wakati wa mechi zao dhidi ya Mgambo Shooting na Milambo FC
#JFMichezo
> Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ibrahim Mlumba anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kutokana na deni wanalodaiwa la Tsh. milioni 1
> Inadaiwa, Kocha huyo alitiwa mbaroni baada ya Klabu kushindwa kulipa deni wanalodaiwa Mkoani humo kwa takriban siku 11 walizokaa wakati wa mechi zao dhidi ya Mgambo Shooting na Milambo FC
#JFMichezo
KUBENEA AJITOA KUGOMBEA UONGOZI CHADEMA
> Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019
Soma - https://jamii.app/KubeneaAjiondoaUchaguziCDM
> Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019
Soma - https://jamii.app/KubeneaAjiondoaUchaguziCDM
TETESI: ARSENAL INAANGALIA UWEZEKANO WA KUMKABIDHI MIKEL ARTETA UKOCHA
- Maafisa wa Arsenal wanadaiwa kuwa kwenye mazungumzo na wenzao wa Manchester City
- Mtendaji Mkuu wa Arsenal, Vinai Venkatesham na Mwanasheria, Huss Fahmy wameonekana wakitoka nyumbani kwa Arteta
Zaidi, soma https://jamii.app/ArtetaUkochaArsenal
- Maafisa wa Arsenal wanadaiwa kuwa kwenye mazungumzo na wenzao wa Manchester City
- Mtendaji Mkuu wa Arsenal, Vinai Venkatesham na Mwanasheria, Huss Fahmy wameonekana wakitoka nyumbani kwa Arteta
Zaidi, soma https://jamii.app/ArtetaUkochaArsenal
RAIS WA ZAMBIA ATAKA BALOZI WA MAREKANI NCHINI HUMO AONDOKE
> Uamuzi huo umekuja baada ya Balozi Daniel Foote kunukuliwa akitoa maoni yanayopinga adhabu ya kifungo cha miaka 15 waliyopewa Raia 2 wa Zambia kwa makosa ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga)
> Rais Lungu amesema, Zambia haihitaji watu wanaounga mkono matendo ya kishetani
Soma - https://jamii.app/USAmbasdZambiaKickedOut
> Uamuzi huo umekuja baada ya Balozi Daniel Foote kunukuliwa akitoa maoni yanayopinga adhabu ya kifungo cha miaka 15 waliyopewa Raia 2 wa Zambia kwa makosa ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga)
> Rais Lungu amesema, Zambia haihitaji watu wanaounga mkono matendo ya kishetani
Soma - https://jamii.app/USAmbasdZambiaKickedOut
MBOWE NA LISSU WAPENDEKEZWA KUGOMBEA UONGOZI CHADEMA
- Kamati Kuu ya CHADEMA imewapendekeza Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea Uenyekiti wa Chama hicho
- Imewapendekeza Tundu Lissu na Sophia Mwakagenda kuwania Makamu Mwenyekiti(Bara)
- Said Issa Mohamed amependekezwa kuwania Makamu Mwenyekiti Taifa kwa Tanzania Visiwani
Zaidi, soma https://jamii.app/KamatiUchaguziCHADEMA
- Kamati Kuu ya CHADEMA imewapendekeza Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea Uenyekiti wa Chama hicho
- Imewapendekeza Tundu Lissu na Sophia Mwakagenda kuwania Makamu Mwenyekiti(Bara)
- Said Issa Mohamed amependekezwa kuwania Makamu Mwenyekiti Taifa kwa Tanzania Visiwani
Zaidi, soma https://jamii.app/KamatiUchaguziCHADEMA
DRC: MAUAJI YA RAIA YAENDELEA, JESHI LALAUMIWA KWA KUSHINDWA KUWADHIBITI WAASI
> Waasi wa Kundi la ADF wameshambulia tena wananchi wa Mji wa Beni kwa risasi na kuuwa watu 22 katika eneo la Ndombi na Kamango
> Mwenyekiti wa Mashirika ya kutetea Haki za Binaadamu amelilalamikia Jeshi la nchi hiyo kwa kushindwa kuwatokomeza waasi wa ADF ambao wameshaua zaidi ya watu 100
Soma - https://jamii.app/MassShootingContinuesBeni
> Waasi wa Kundi la ADF wameshambulia tena wananchi wa Mji wa Beni kwa risasi na kuuwa watu 22 katika eneo la Ndombi na Kamango
> Mwenyekiti wa Mashirika ya kutetea Haki za Binaadamu amelilalamikia Jeshi la nchi hiyo kwa kushindwa kuwatokomeza waasi wa ADF ambao wameshaua zaidi ya watu 100
Soma - https://jamii.app/MassShootingContinuesBeni
SERIKALI: HAKUNA UGONJWA WA MLIPUKO DAR
- Wizara ya Afya imekanusha uwepo wa mlipuko wa Ugonjwa wenye dalili kama za Malaria Jijini Dar
- Imesema ina mifumo imara ya ufuatiliaji magonjwa na itafuatilia kujua chanzo iwapo kutakuwa na mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
- Wizara ya Afya imekanusha uwepo wa mlipuko wa Ugonjwa wenye dalili kama za Malaria Jijini Dar
- Imesema ina mifumo imara ya ufuatiliaji magonjwa na itafuatilia kujua chanzo iwapo kutakuwa na mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
BOEING KUACHA KUZALISHA KWA MUDA NDEGE ZA 737 MAX KUANZIA JANUARI 2020
> Utengenezaji wa ndege hizo ulikuwa ukiendelea licha ya kuzuiwa kupaa kwa mezi 9 sasa baada ya kuhusika katika ajali 2 nchini Indonesia na Ethiopia na kuua watu zaidi ya 300
> Hata hivyo, imesema haitawafuta kazi wafanyakazi waliopo na 737 Max
Soma - https://jamii.app/SuspendProduction737Max
> Utengenezaji wa ndege hizo ulikuwa ukiendelea licha ya kuzuiwa kupaa kwa mezi 9 sasa baada ya kuhusika katika ajali 2 nchini Indonesia na Ethiopia na kuua watu zaidi ya 300
> Hata hivyo, imesema haitawafuta kazi wafanyakazi waliopo na 737 Max
Soma - https://jamii.app/SuspendProduction737Max
CHINA: WATU 14 WAMEFARIKI KATIKA MLIPUKO ULIOTOKEA MGODINI
- Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado wamekwama ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoChinaMgodini
- Watu wengine saba wameokolewa huku wengine wawili wakiwa bado wamekwama ndani ya mgodi huo wa Makaa ya Mawe na Gesi uliopo Kusini-Magharibi mwa China katika Mji wa Guizhou
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoChinaMgodini
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MVUA KUBWA DAR: WANANCHI WAKWAMA, MIUNDOMBINU YAATHIRIKA
> Mvua kubwa ikiambatana na radi inaendelea kunyesha jijini Dar na miundombinu ya barabara inadaiwa kuathirika hivyo kupelekea watu kukwama kuendelea na shughuli zao za kila siku
> Bado athari zaidi ya mvua hizi zinazoendelea kunyesha hazijajulikana lakini wengi wanadai mvua ni kubwa jijini humo
#DarFloods #MvuaDar
> Mvua kubwa ikiambatana na radi inaendelea kunyesha jijini Dar na miundombinu ya barabara inadaiwa kuathirika hivyo kupelekea watu kukwama kuendelea na shughuli zao za kila siku
> Bado athari zaidi ya mvua hizi zinazoendelea kunyesha hazijajulikana lakini wengi wanadai mvua ni kubwa jijini humo
#DarFloods #MvuaDar
RIPOTI: USAWA WA KIJINSIA MAENEO YA KAZI KUFANIKIWA BAADA YA MIAKA 257
> Ripoti ya World Economic Forum inayofuatilia usawa wa jinsia kwenye nchi 153 imebaini hali ya kutokuwa na usawa haitarajiwi kufutika mpaka mwaka 2276
> Imetabiri kuwa, itachukuwa miaka 99.5 kwa wanawake kupata usawa, ikiwa ni punguo kutoka miaka 108 katika utabiri wa 2018
Soma - https://jamii.app/ReportEqualityWork2019
> Ripoti ya World Economic Forum inayofuatilia usawa wa jinsia kwenye nchi 153 imebaini hali ya kutokuwa na usawa haitarajiwi kufutika mpaka mwaka 2276
> Imetabiri kuwa, itachukuwa miaka 99.5 kwa wanawake kupata usawa, ikiwa ni punguo kutoka miaka 108 katika utabiri wa 2018
Soma - https://jamii.app/ReportEqualityWork2019
ATHARI ZA MVUA: HUDUMA ZA MWENDOKASI KUPITIA JANGWANI ZASITISHWA
- Ni kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika Mkoa wa Dar na kusababisha sehemu mbalimbali za mkoa huo kujaa maji
- Wasafiri wanaotoka Mjini au Kariakoo wameshauriwa kutumia usafiri mbadala hadi Kituo cha Mwendokasi Morocco na waendao Mjini/Kariakoo wakifika Morocco watafute usafiri mbadala
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/AthariMvuaDar-Dec2019
- Ni kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika Mkoa wa Dar na kusababisha sehemu mbalimbali za mkoa huo kujaa maji
- Wasafiri wanaotoka Mjini au Kariakoo wameshauriwa kutumia usafiri mbadala hadi Kituo cha Mwendokasi Morocco na waendao Mjini/Kariakoo wakifika Morocco watafute usafiri mbadala
Zaidi, Fuatilia https://jamii.app/AthariMvuaDar-Dec2019
KENYA: WATU WATATU WASHTAKIWA KWA KUWEKA SUMU KWENYE CHAKULA
> Mameneja 3 wa Shamba wamefikishwa Mahakamani kwa shtaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine 6 kuathirika
> Watu 2 kati yao bado wapo ICU ambapo wameathirika ktk mifumo ya Neva na Ubongo
Soma - https://jamii.app/ManagersSuspectFoodPoisoning
> Mameneja 3 wa Shamba wamefikishwa Mahakamani kwa shtaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine 6 kuathirika
> Watu 2 kati yao bado wapo ICU ambapo wameathirika ktk mifumo ya Neva na Ubongo
Soma - https://jamii.app/ManagersSuspectFoodPoisoning
ALIYEKUWA RAIS WA PAKISTANI AHUKUMIWA KIFO KATIKA KESI YA UHAINI MKUBWA
> Rais Pervez Musharraf (76) amehukumiwa kifo katika kesi ya Uhaini Mkubwa iliyohusisha kuweko kwa Dharura ya Kikatiba mnamo 2007
> Hukumu hiyo imetolewa leo wakati kiongozi huyo akiwa Mjini Dubai tangu alipoondoka Machi 2016 kwasababu za Kiafya na Kiusalama
Soma - https://jamii.app/PervezDeathPenaltyTreason
> Rais Pervez Musharraf (76) amehukumiwa kifo katika kesi ya Uhaini Mkubwa iliyohusisha kuweko kwa Dharura ya Kikatiba mnamo 2007
> Hukumu hiyo imetolewa leo wakati kiongozi huyo akiwa Mjini Dubai tangu alipoondoka Machi 2016 kwasababu za Kiafya na Kiusalama
Soma - https://jamii.app/PervezDeathPenaltyTreason