MLIMBWENDE WA JAMAICA ASHINDA TAJI LA MLIMBWENDE WA DUNIA 2019
- Toni-Ann Singh (23) ametwaa taji hilo ikiwa ni mara ya 4 kwa Jamaica kushinda
- Mshindi wa 2 ni Ophely Mezino (Ufaransa) na wa 3 ni Suman Rao (India)
- Sylivia Sebastian aliiwakilisha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MissWorld2019
- Toni-Ann Singh (23) ametwaa taji hilo ikiwa ni mara ya 4 kwa Jamaica kushinda
- Mshindi wa 2 ni Ophely Mezino (Ufaransa) na wa 3 ni Suman Rao (India)
- Sylivia Sebastian aliiwakilisha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MissWorld2019
NDEGE MOJA YA ATCL KUWASILI MWAKANI NA MBILI KUWASLI JUNI NA JULAI 2021
- Bombardier Q400 itawasili Mwezi Juni 2020 na Air-Bus 220-300(mbili), moja itawasili mwezi Juni na nyingine mwezi Julai 2021
- Aidha, Serikali imeweka wazi mpango wake wa kutaka kununua ndege ya mizigo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ndege3Mpya2020
- Bombardier Q400 itawasili Mwezi Juni 2020 na Air-Bus 220-300(mbili), moja itawasili mwezi Juni na nyingine mwezi Julai 2021
- Aidha, Serikali imeweka wazi mpango wake wa kutaka kununua ndege ya mizigo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ndege3Mpya2020
AFYA: UNAVIJUA VIASHIRIA VYA MTU ALIYEFARIKI?
- Kumekuwa na hoja kwamba baadhi ya watu hudhaniwa wamefariki kabla hata hawajafikwa na mauti hivyo yawezekana wapo wanaozikwa (kimakosa) wakiwa hai
- Wataalamu wanaeleza kuwa Ubongo ndio kiashiria kikubwa cha mtu kufariki na sio kusimama kwa mapigo ya moyo pekee yake
Jifunze zaidi kuwa kusoma > https://jamii.app/ViashiriaKifo
- Kumekuwa na hoja kwamba baadhi ya watu hudhaniwa wamefariki kabla hata hawajafikwa na mauti hivyo yawezekana wapo wanaozikwa (kimakosa) wakiwa hai
- Wataalamu wanaeleza kuwa Ubongo ndio kiashiria kikubwa cha mtu kufariki na sio kusimama kwa mapigo ya moyo pekee yake
Jifunze zaidi kuwa kusoma > https://jamii.app/ViashiriaKifo
DODOMA: MKUU WA SHULE MBARONI AKIDAIWA KUMUOMBA MWANAFUNZI RUSHWA YA NGONO
- Ni Baraka Sabi, Mkuu wa Shule ya Sekondari Serengeti ya Mkoani Mara
- Anadaiwa kufanya hivyo kwa Mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita ili ampatie cheti chake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMbaroni-NgonoMwanafunzi
- Ni Baraka Sabi, Mkuu wa Shule ya Sekondari Serengeti ya Mkoani Mara
- Anadaiwa kufanya hivyo kwa Mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita ili ampatie cheti chake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMbaroni-NgonoMwanafunzi
KATAVI: WANANDOA WAUAWA KWA KUKATWA MAPANGA WAKIWA WAMELALA
> Noel Muswanya (37) na mke wake aliyetambulika kwa jina moja la Siwema (27) walivamiwa usiku wakiwa wamelala kisha kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Desemba 15
Soma - https://jamii.app/MauajiWanandoaMapanga
> Noel Muswanya (37) na mke wake aliyetambulika kwa jina moja la Siwema (27) walivamiwa usiku wakiwa wamelala kisha kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Desemba 15
Soma - https://jamii.app/MauajiWanandoaMapanga
MPYA: Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4
- Miongoni mwa maagizo ni kuwaingizia fedha Wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe
- Yasema, yasipotimizwa watakusanyika nje ya Ofisi za HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziUDSMvsHESLB
- Miongoni mwa maagizo ni kuwaingizia fedha Wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe
- Yasema, yasipotimizwa watakusanyika nje ya Ofisi za HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziUDSMvsHESLB
UGANDA: WATOTO WALIOKUWA WAMETEKWA WAPATIKANA WAKIWA WAMEFARIKI
> Watoto hao 3 walitekwa Alhamisi ya wiki iliyopita na kisha kuachwa kwa ujumbe uliowataka wazazi kutoa pesa kiasi cha 500,000 za Uganda (Zaidi ya Tsh. 300,000)
> Familia ilitoa pesa hiyo lakini watekaji wakaomba pesa zaidi (Tsh. Laki 6) ambazo wazazi walishindwa kulipa
Soma - https://jamii.app/KidnapedKidsFoundDead
> Watoto hao 3 walitekwa Alhamisi ya wiki iliyopita na kisha kuachwa kwa ujumbe uliowataka wazazi kutoa pesa kiasi cha 500,000 za Uganda (Zaidi ya Tsh. 300,000)
> Familia ilitoa pesa hiyo lakini watekaji wakaomba pesa zaidi (Tsh. Laki 6) ambazo wazazi walishindwa kulipa
Soma - https://jamii.app/KidnapedKidsFoundDead
WIZARA YA AFYA: TUNAFUATILIA UGONJWA UNAODAIWA KUWAKUMBA WATU UKIWA NA DALILI KAMA ZA MALARIA
- Baadhi ya dalili ni Kikohozi, Mafua, Maumivu ya Kichwa na Homa Kali
- Unadaiwa kuwepo zaidi maeneo ya Kimara, Sinza, Ubungo na Kigogo jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
- Baadhi ya dalili ni Kikohozi, Mafua, Maumivu ya Kichwa na Homa Kali
- Unadaiwa kuwepo zaidi maeneo ya Kimara, Sinza, Ubungo na Kigogo jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
KENYA: MWANAFUNZI AMUUA BINAMU YAKE WAKIGOMBANIA MWANAMKE
> Mwanafunzi wa Kidato cha 3 (20) anashikiliwa na Polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu maeneo ya kifuani na begani na kumuua binamu yake, Otieno Nyaeka (45)
Soma - https://jamii.app/MauajiBinamuMapenzi
> Mwanafunzi wa Kidato cha 3 (20) anashikiliwa na Polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu maeneo ya kifuani na begani na kumuua binamu yake, Otieno Nyaeka (45)
Soma - https://jamii.app/MauajiBinamuMapenzi
MICHEZO: Mwanariadha Eliud Kipchoge amewabwaga wanariadha wenzake na kunyakua taji la BBC la kuwa Mwanaspoti Bora wa mwaka Duniani
-
Kipchoge aliibuka kuwa chaguo bora na kunyakua taji hilo la BBC, kwa kuwabwaga washindani wenzake wakiwemo mwanariadha wa mazoezi ya viungo Simone Biles kutoka Marekani na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Raga ya Afrika Kusini Siya Kolisi
-
Kipchoge aliibuka kuwa chaguo bora na kunyakua taji hilo la BBC, kwa kuwabwaga washindani wenzake wakiwemo mwanariadha wa mazoezi ya viungo Simone Biles kutoka Marekani na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Raga ya Afrika Kusini Siya Kolisi
RUKWA: VIJANA WA JKT WADAIWA KUUA RAIA KWA KIPIGO
> Vijana 5 wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) wanadaiwa kuvamia Kituo cha Polisi na kuwapiga Sabato Mbalamwezi na Renatus Wankamba na kupelekea Sabato kupoteza maisha
> Sabato na Renatus walikamatwa kwa tuhuma za kuiba simu ya Tsh. 25,000
Soma - https://jamii.app/TuhumaJKTMauaji
> Vijana 5 wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) wanadaiwa kuvamia Kituo cha Polisi na kuwapiga Sabato Mbalamwezi na Renatus Wankamba na kupelekea Sabato kupoteza maisha
> Sabato na Renatus walikamatwa kwa tuhuma za kuiba simu ya Tsh. 25,000
Soma - https://jamii.app/TuhumaJKTMauaji
AFYA: JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO ANAYEKOJOA KITANDANI
> Ili kumsaidia, kwanza mtengenezee mtoto ratiba ya kukojoa kila baada ya muda fulani ili ubongo uzoee na kumtaarifu anapohisi kukojoa
> Mbadilishie muda wa kunywa vimiminika na usimwache na kiu muda mrefu (hasa usiku), anaweza kunywa asubuhi hadi alasiri ili apate muda wa kukojoa kabla ya kulala
> Unashauriwa usimuamshe mtoto usiku kukojoa kwani inamkosesha fursa ya kujenga tabia ya kudhibiti na kupambana na tatizo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/MsaadaMtotoKikojozi
#JFAfya
> Ili kumsaidia, kwanza mtengenezee mtoto ratiba ya kukojoa kila baada ya muda fulani ili ubongo uzoee na kumtaarifu anapohisi kukojoa
> Mbadilishie muda wa kunywa vimiminika na usimwache na kiu muda mrefu (hasa usiku), anaweza kunywa asubuhi hadi alasiri ili apate muda wa kukojoa kabla ya kulala
> Unashauriwa usimuamshe mtoto usiku kukojoa kwani inamkosesha fursa ya kujenga tabia ya kudhibiti na kupambana na tatizo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/MsaadaMtotoKikojozi
#JFAfya
NAIBU KATIBU MKUU ACT-WAZALENDO AJIUZULU BAADA YA MAZUNGUMZO YAKE KUVUJA
> Msafiri Mtemelwa ametangaza kujiuzulu kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na Mbunge wa Moshi Vijijini (CHADEMA), Anthony Komu
> Mtemelwa amekiri kuwa alifanya mazungumzo na Komu, yenye lengo la kumshawishi mwanasiasa huyo kujiunga na chama chake
Soma - https://jamii.app/NKatibuACTAjiuzuluAudio
> Msafiri Mtemelwa ametangaza kujiuzulu kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na Mbunge wa Moshi Vijijini (CHADEMA), Anthony Komu
> Mtemelwa amekiri kuwa alifanya mazungumzo na Komu, yenye lengo la kumshawishi mwanasiasa huyo kujiunga na chama chake
Soma - https://jamii.app/NKatibuACTAjiuzuluAudio
DAR: SERIKALI KUPINGA HUKUMU YA MALINZI
> Serikali imewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Kisutu dhidi ya aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu wake, Celestine Mwesigwa
Soma - https://jamii.app/PingamiziHukumuMalinzi
> Serikali imewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Kisutu dhidi ya aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu wake, Celestine Mwesigwa
Soma - https://jamii.app/PingamiziHukumuMalinzi
DENI LAMUWEKA RUMANDE KOCHA WA KLABU YA TOTO AFRICANS
> Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ibrahim Mlumba anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kutokana na deni wanalodaiwa la Tsh. milioni 1
> Inadaiwa, Kocha huyo alitiwa mbaroni baada ya Klabu kushindwa kulipa deni wanalodaiwa Mkoani humo kwa takriban siku 11 walizokaa wakati wa mechi zao dhidi ya Mgambo Shooting na Milambo FC
#JFMichezo
> Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ibrahim Mlumba anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kutokana na deni wanalodaiwa la Tsh. milioni 1
> Inadaiwa, Kocha huyo alitiwa mbaroni baada ya Klabu kushindwa kulipa deni wanalodaiwa Mkoani humo kwa takriban siku 11 walizokaa wakati wa mechi zao dhidi ya Mgambo Shooting na Milambo FC
#JFMichezo
KUBENEA AJITOA KUGOMBEA UONGOZI CHADEMA
> Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019
Soma - https://jamii.app/KubeneaAjiondoaUchaguziCDM
> Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019
Soma - https://jamii.app/KubeneaAjiondoaUchaguziCDM
TETESI: ARSENAL INAANGALIA UWEZEKANO WA KUMKABIDHI MIKEL ARTETA UKOCHA
- Maafisa wa Arsenal wanadaiwa kuwa kwenye mazungumzo na wenzao wa Manchester City
- Mtendaji Mkuu wa Arsenal, Vinai Venkatesham na Mwanasheria, Huss Fahmy wameonekana wakitoka nyumbani kwa Arteta
Zaidi, soma https://jamii.app/ArtetaUkochaArsenal
- Maafisa wa Arsenal wanadaiwa kuwa kwenye mazungumzo na wenzao wa Manchester City
- Mtendaji Mkuu wa Arsenal, Vinai Venkatesham na Mwanasheria, Huss Fahmy wameonekana wakitoka nyumbani kwa Arteta
Zaidi, soma https://jamii.app/ArtetaUkochaArsenal
RAIS WA ZAMBIA ATAKA BALOZI WA MAREKANI NCHINI HUMO AONDOKE
> Uamuzi huo umekuja baada ya Balozi Daniel Foote kunukuliwa akitoa maoni yanayopinga adhabu ya kifungo cha miaka 15 waliyopewa Raia 2 wa Zambia kwa makosa ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga)
> Rais Lungu amesema, Zambia haihitaji watu wanaounga mkono matendo ya kishetani
Soma - https://jamii.app/USAmbasdZambiaKickedOut
> Uamuzi huo umekuja baada ya Balozi Daniel Foote kunukuliwa akitoa maoni yanayopinga adhabu ya kifungo cha miaka 15 waliyopewa Raia 2 wa Zambia kwa makosa ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga)
> Rais Lungu amesema, Zambia haihitaji watu wanaounga mkono matendo ya kishetani
Soma - https://jamii.app/USAmbasdZambiaKickedOut
MBOWE NA LISSU WAPENDEKEZWA KUGOMBEA UONGOZI CHADEMA
- Kamati Kuu ya CHADEMA imewapendekeza Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea Uenyekiti wa Chama hicho
- Imewapendekeza Tundu Lissu na Sophia Mwakagenda kuwania Makamu Mwenyekiti(Bara)
- Said Issa Mohamed amependekezwa kuwania Makamu Mwenyekiti Taifa kwa Tanzania Visiwani
Zaidi, soma https://jamii.app/KamatiUchaguziCHADEMA
- Kamati Kuu ya CHADEMA imewapendekeza Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea Uenyekiti wa Chama hicho
- Imewapendekeza Tundu Lissu na Sophia Mwakagenda kuwania Makamu Mwenyekiti(Bara)
- Said Issa Mohamed amependekezwa kuwania Makamu Mwenyekiti Taifa kwa Tanzania Visiwani
Zaidi, soma https://jamii.app/KamatiUchaguziCHADEMA