UHURU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA RASIMU YA KATIBA CHINI YA TUME YA JAJI WARIOBA
- Ibara ya 31 -(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa kutafuta na kupata habari kupitia Vyombo vya Habari na njia nyingine za upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi
- (2) Vyombo vya Habari vitakuwa huru na vitakuwa na haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa wanazozipata na kuanzisha
- Serikali na Taasisi zake, Asasi za Kiraia na Watu Binafsi watakuwa na wajibu wa kutoa habari juu ya utekelezaji wa kazi zao
- #Katiba ya sasa haijaainisha jambo hili
Soma > https://jamii.app/UhuruHabariKatibaMpya
- Ibara ya 31 -(1) Kila mtu ana haki na uhuru wa kutafuta na kupata habari kupitia Vyombo vya Habari na njia nyingine za upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi
- (2) Vyombo vya Habari vitakuwa huru na vitakuwa na haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa wanazozipata na kuanzisha
- Serikali na Taasisi zake, Asasi za Kiraia na Watu Binafsi watakuwa na wajibu wa kutoa habari juu ya utekelezaji wa kazi zao
- #Katiba ya sasa haijaainisha jambo hili
Soma > https://jamii.app/UhuruHabariKatibaMpya
RASIMU YA KATIBA CHINI YA TUME YA JAJI WARIOBA: HAKI YA WAPIGA KURA KUMWAJIBISHA MBUNGE WAO
- Ibara ya 129 -(1): Wananchi wanahaki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, kama; (a) ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au Taifa
- (b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake
- (c) Ataacha kuishi au kuhamisha makazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi
Soma > https://jamii.app/WabungeVsWapigaKura
- Ibara ya 129 -(1): Wananchi wanahaki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, kama; (a) ataunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au Taifa
- (b) Atashindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake
- (c) Ataacha kuishi au kuhamisha makazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi
Soma > https://jamii.app/WabungeVsWapigaKura
MZEE MAKAMBA, KINANA NA MEMBE WATAITWA CCM KUHOJIWA
- Halmashauri Kuu ya CCM imewaita Wanachama hao katika Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ya CCM
- Wameitwa kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/KinanaMakambaMembe
- Halmashauri Kuu ya CCM imewaita Wanachama hao katika Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ya CCM
- Wameitwa kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/KinanaMakambaMembe
MAMA WA ERICK KABENDERA AMUOMBEA MWANAYE MSAMAHA
- Verdiana Mjwahuzi (81) amemuomba Rais Magufuli amsamehe Erick anayemsaidia katika matibabu
- Amesema, "Nilipomuona mwanangu sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu.“
Zaidi, soma https://jamii.app/MamaKabenderaMsamahaRais
- Verdiana Mjwahuzi (81) amemuomba Rais Magufuli amsamehe Erick anayemsaidia katika matibabu
- Amesema, "Nilipomuona mwanangu sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu.“
Zaidi, soma https://jamii.app/MamaKabenderaMsamahaRais
MPYA: Kamati ya Mahakama imepitisha Makala zinazohusu kumuondoa Rais Donald Trump Madarakani
- Wiki ijayo Makala hizo zitawasilishwa kwa Wawakilishi wa vyama ili wazipigiwe kura
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeachmentApproved
- Wiki ijayo Makala hizo zitawasilishwa kwa Wawakilishi wa vyama ili wazipigiwe kura
Zaidi, soma https://jamii.app/TrumpImpeachmentApproved
BODI ZA MAZAO NCHINI KUUNGANISHWA NA KUBAKIZA BODI 3
- Ambazo ni Bodi ya Mazao ya Kimkakati kama Kahawa, Pamba, Mkonge, Tumbaku, Pareto, Korosho na Mchikichi
- Bodi ya Mazao ya Nafaka, Mbogamboga na Matunda na Bodi ya tatu itakuwa ya Sukari
Zaidi, soma https://jamii.app/Bodi3Mazao
- Ambazo ni Bodi ya Mazao ya Kimkakati kama Kahawa, Pamba, Mkonge, Tumbaku, Pareto, Korosho na Mchikichi
- Bodi ya Mazao ya Nafaka, Mbogamboga na Matunda na Bodi ya tatu itakuwa ya Sukari
Zaidi, soma https://jamii.app/Bodi3Mazao
MWANACHAMA MKONGWE WA YANGA MZEE AKILIMALI AFARIKI
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amefariki leo alfajiri
- Amefariki katika hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani
Zaidi, soma https://jamii.app/MzeeAkilimaliAfariki
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Klabu ya Yanga, Mzee Ibrahim Akilimali amefariki leo alfajiri
- Amefariki katika hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani
Zaidi, soma https://jamii.app/MzeeAkilimaliAfariki
UN: SHERIA MPYA YA URAIA NCHINI INDIA NI YA KIBAGUZI
- UN imesema sheria hiyo ina misingi ya kibaguzi kwa kuwa inawatenga Waislam
- Sheria hiyo inaongeza mchakato wa Uraia kwa makundi ya walio wachache waliokimbia kutoka nchi kama Pakistani
Zaidi, soma https://jamii.app/UNSheriaUraiaInabagua
- UN imesema sheria hiyo ina misingi ya kibaguzi kwa kuwa inawatenga Waislam
- Sheria hiyo inaongeza mchakato wa Uraia kwa makundi ya walio wachache waliokimbia kutoka nchi kama Pakistani
Zaidi, soma https://jamii.app/UNSheriaUraiaInabagua
MLIMBWENDE WA JAMAICA ASHINDA TAJI LA MLIMBWENDE WA DUNIA 2019
- Toni-Ann Singh (23) ametwaa taji hilo ikiwa ni mara ya 4 kwa Jamaica kushinda
- Mshindi wa 2 ni Ophely Mezino (Ufaransa) na wa 3 ni Suman Rao (India)
- Sylivia Sebastian aliiwakilisha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MissWorld2019
- Toni-Ann Singh (23) ametwaa taji hilo ikiwa ni mara ya 4 kwa Jamaica kushinda
- Mshindi wa 2 ni Ophely Mezino (Ufaransa) na wa 3 ni Suman Rao (India)
- Sylivia Sebastian aliiwakilisha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MissWorld2019
NDEGE MOJA YA ATCL KUWASILI MWAKANI NA MBILI KUWASLI JUNI NA JULAI 2021
- Bombardier Q400 itawasili Mwezi Juni 2020 na Air-Bus 220-300(mbili), moja itawasili mwezi Juni na nyingine mwezi Julai 2021
- Aidha, Serikali imeweka wazi mpango wake wa kutaka kununua ndege ya mizigo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ndege3Mpya2020
- Bombardier Q400 itawasili Mwezi Juni 2020 na Air-Bus 220-300(mbili), moja itawasili mwezi Juni na nyingine mwezi Julai 2021
- Aidha, Serikali imeweka wazi mpango wake wa kutaka kununua ndege ya mizigo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ndege3Mpya2020
AFYA: UNAVIJUA VIASHIRIA VYA MTU ALIYEFARIKI?
- Kumekuwa na hoja kwamba baadhi ya watu hudhaniwa wamefariki kabla hata hawajafikwa na mauti hivyo yawezekana wapo wanaozikwa (kimakosa) wakiwa hai
- Wataalamu wanaeleza kuwa Ubongo ndio kiashiria kikubwa cha mtu kufariki na sio kusimama kwa mapigo ya moyo pekee yake
Jifunze zaidi kuwa kusoma > https://jamii.app/ViashiriaKifo
- Kumekuwa na hoja kwamba baadhi ya watu hudhaniwa wamefariki kabla hata hawajafikwa na mauti hivyo yawezekana wapo wanaozikwa (kimakosa) wakiwa hai
- Wataalamu wanaeleza kuwa Ubongo ndio kiashiria kikubwa cha mtu kufariki na sio kusimama kwa mapigo ya moyo pekee yake
Jifunze zaidi kuwa kusoma > https://jamii.app/ViashiriaKifo
DODOMA: MKUU WA SHULE MBARONI AKIDAIWA KUMUOMBA MWANAFUNZI RUSHWA YA NGONO
- Ni Baraka Sabi, Mkuu wa Shule ya Sekondari Serengeti ya Mkoani Mara
- Anadaiwa kufanya hivyo kwa Mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita ili ampatie cheti chake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMbaroni-NgonoMwanafunzi
- Ni Baraka Sabi, Mkuu wa Shule ya Sekondari Serengeti ya Mkoani Mara
- Anadaiwa kufanya hivyo kwa Mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita ili ampatie cheti chake
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMbaroni-NgonoMwanafunzi
KATAVI: WANANDOA WAUAWA KWA KUKATWA MAPANGA WAKIWA WAMELALA
> Noel Muswanya (37) na mke wake aliyetambulika kwa jina moja la Siwema (27) walivamiwa usiku wakiwa wamelala kisha kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Desemba 15
Soma - https://jamii.app/MauajiWanandoaMapanga
> Noel Muswanya (37) na mke wake aliyetambulika kwa jina moja la Siwema (27) walivamiwa usiku wakiwa wamelala kisha kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Desemba 15
Soma - https://jamii.app/MauajiWanandoaMapanga
MPYA: Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4
- Miongoni mwa maagizo ni kuwaingizia fedha Wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe
- Yasema, yasipotimizwa watakusanyika nje ya Ofisi za HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziUDSMvsHESLB
- Miongoni mwa maagizo ni kuwaingizia fedha Wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe
- Yasema, yasipotimizwa watakusanyika nje ya Ofisi za HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziUDSMvsHESLB
UGANDA: WATOTO WALIOKUWA WAMETEKWA WAPATIKANA WAKIWA WAMEFARIKI
> Watoto hao 3 walitekwa Alhamisi ya wiki iliyopita na kisha kuachwa kwa ujumbe uliowataka wazazi kutoa pesa kiasi cha 500,000 za Uganda (Zaidi ya Tsh. 300,000)
> Familia ilitoa pesa hiyo lakini watekaji wakaomba pesa zaidi (Tsh. Laki 6) ambazo wazazi walishindwa kulipa
Soma - https://jamii.app/KidnapedKidsFoundDead
> Watoto hao 3 walitekwa Alhamisi ya wiki iliyopita na kisha kuachwa kwa ujumbe uliowataka wazazi kutoa pesa kiasi cha 500,000 za Uganda (Zaidi ya Tsh. 300,000)
> Familia ilitoa pesa hiyo lakini watekaji wakaomba pesa zaidi (Tsh. Laki 6) ambazo wazazi walishindwa kulipa
Soma - https://jamii.app/KidnapedKidsFoundDead
WIZARA YA AFYA: TUNAFUATILIA UGONJWA UNAODAIWA KUWAKUMBA WATU UKIWA NA DALILI KAMA ZA MALARIA
- Baadhi ya dalili ni Kikohozi, Mafua, Maumivu ya Kichwa na Homa Kali
- Unadaiwa kuwepo zaidi maeneo ya Kimara, Sinza, Ubungo na Kigogo jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
- Baadhi ya dalili ni Kikohozi, Mafua, Maumivu ya Kichwa na Homa Kali
- Unadaiwa kuwepo zaidi maeneo ya Kimara, Sinza, Ubungo na Kigogo jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/WizaraAfyaUfuatiliaji
KENYA: MWANAFUNZI AMUUA BINAMU YAKE WAKIGOMBANIA MWANAMKE
> Mwanafunzi wa Kidato cha 3 (20) anashikiliwa na Polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu maeneo ya kifuani na begani na kumuua binamu yake, Otieno Nyaeka (45)
Soma - https://jamii.app/MauajiBinamuMapenzi
> Mwanafunzi wa Kidato cha 3 (20) anashikiliwa na Polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu maeneo ya kifuani na begani na kumuua binamu yake, Otieno Nyaeka (45)
Soma - https://jamii.app/MauajiBinamuMapenzi