TUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUJINUFAISHA
> Mitandao ya Kijamii kama Facebook na Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na watu wengi sana na imegeuza Dunia kuwa Kijiji kimoja kwani hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano, na familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
> Mitandao ya Kijamii kama Facebook na Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na watu wengi sana na imegeuza Dunia kuwa Kijiji kimoja kwani hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano, na familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
NDEGE YA JESHI ILIYOPOTEA CHILE: MABAKI YAKE YAPATIKANA
- Mabaki yanayoaminika ni ya ndege ya Kijeshi iliyotoweka Jumatatu yamepatikana katika Mkondo Bahari wa Drake ikiwa ni takriban Kilometa 30 kutoka eneo ndege hiyo ilipopoteza mawasiliano
Zaidi, soma https://jamii.app/MabakiNdegeChile
- Mabaki yanayoaminika ni ya ndege ya Kijeshi iliyotoweka Jumatatu yamepatikana katika Mkondo Bahari wa Drake ikiwa ni takriban Kilometa 30 kutoka eneo ndege hiyo ilipopoteza mawasiliano
Zaidi, soma https://jamii.app/MabakiNdegeChile
KENYA: MABASI YA MODERN COAST YAGONGANA. WATU 7 WAFARIKI, 60 WAJERUHIWA
- Yamegongana usiku wa kuamkia leo katika eneo la Salama kwenye Barabara Kuu ya Mombasa-Nairobi
- Siku moja kabla basi jingine la Modern Coast liligongana na basi la Tahmeed
Zaidi, soma https://jamii.app/Ajali-7Wafariki62Wajeruhiwa
- Yamegongana usiku wa kuamkia leo katika eneo la Salama kwenye Barabara Kuu ya Mombasa-Nairobi
- Siku moja kabla basi jingine la Modern Coast liligongana na basi la Tahmeed
Zaidi, soma https://jamii.app/Ajali-7Wafariki62Wajeruhiwa
RAIS MAGUFULI: NDEGE YA TANZANIA ILIYOKUWA IKISHIKILIWA NCHINI CANADA IMEACHIWA
- Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwa nchini Canada imeachiliwa
- Rais Magufuli amesema siku ya kuwasili nchini itatangazwa
Soma > https://jamii.app/NdegeCanadaHuru
- Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwa nchini Canada imeachiliwa
- Rais Magufuli amesema siku ya kuwasili nchini itatangazwa
Soma > https://jamii.app/NdegeCanadaHuru
INATES, NIGER: WANAJESHI 73 WAUAWA KAMBINI MWAO
- Wengine 12 wamejeruhiwa huku idadi kubwa ya Walioshambulia kambi hiyo wakiuawa
- Hakuna aliyejinadi kuhusika na shambulio hilo ila Boko Haram na Dola Ya Kiislam wapo katika maeneo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi73Wauawa-NGR
- Wengine 12 wamejeruhiwa huku idadi kubwa ya Walioshambulia kambi hiyo wakiuawa
- Hakuna aliyejinadi kuhusika na shambulio hilo ila Boko Haram na Dola Ya Kiislam wapo katika maeneo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi73Wauawa-NGR
DAR: WATANZANIA 19 WALIOZAMIA AFRIKA KUSINI WAHUKUMIWA
- Mahakama ya Kisutu imewahukumu miezi miwili jela na kulipa faini ya Tsh. 50,000 kila mmoja
- Watu hao walikamatwa na kushtakiwa baada ya kurudishwa nchini Desemba 02, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/WazamiajiWahukumiwaTZ
- Mahakama ya Kisutu imewahukumu miezi miwili jela na kulipa faini ya Tsh. 50,000 kila mmoja
- Watu hao walikamatwa na kushtakiwa baada ya kurudishwa nchini Desemba 02, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/WazamiajiWahukumiwaTZ
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA KIJAMII (CCK) MBARONI
- TAKUKURU inamshikilia Renatus Muabhi kwa kujifanya Mtumishi wa Taasisi hiyo
- Pia, anadaiwa kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bharya Engineering & Contracting
Zaidi, soma https://jamii.app/KatibuCCKMbaroni
- TAKUKURU inamshikilia Renatus Muabhi kwa kujifanya Mtumishi wa Taasisi hiyo
- Pia, anadaiwa kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bharya Engineering & Contracting
Zaidi, soma https://jamii.app/KatibuCCKMbaroni
MZEE PINDA ATAMANI RAIS MAGUFULI ANGEONGEZA WALAU MIAKA 5 BAADA YA 10 KUISHA
- Amesema angetamani hilo litokee lakini kwa kuwa Katiba ipo 'tight' kidogo ni ngumu
- Pia, amesema anajua Rais atakataa huku akimuomba asaidie kutafuta mrithi bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MizengoUraisMagufuli
- Amesema angetamani hilo litokee lakini kwa kuwa Katiba ipo 'tight' kidogo ni ngumu
- Pia, amesema anajua Rais atakataa huku akimuomba asaidie kutafuta mrithi bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MizengoUraisMagufuli
HISTORIA: MFAHAMU FREDDIE MERCURY - GWIJI WA MUZIKI ALIYEZALIWA NA KUKULIA ZANZIBAR, ULAYA WANAJIVUNIA
> Alizaliwa Septemba 5, 1946 Zanzibar kwenye ulimwengu wa burudani jina lake linatambulika kwa utunzi, uimbaji na uzalishaji wa vibao vya muziki
> Alifariki kwa UKIMWI mwaka 1991
Soma ~ https://jamii.app/FreddieMercury
> Alizaliwa Septemba 5, 1946 Zanzibar kwenye ulimwengu wa burudani jina lake linatambulika kwa utunzi, uimbaji na uzalishaji wa vibao vya muziki
> Alifariki kwa UKIMWI mwaka 1991
Soma ~ https://jamii.app/FreddieMercury
MOROGORO: GARI LA KWENYE MSAFARA WA IGP SIRRO LAGONGA MTOTO, AFARIKI
- Jackline Samwel (9), amefariki baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa IGP Simon Sirro
- Amegongwa wakati akivuka barabara baada ya kutoka kununua maji
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraSirroWaua
- Jackline Samwel (9), amefariki baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa IGP Simon Sirro
- Amegongwa wakati akivuka barabara baada ya kutoka kununua maji
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraSirroWaua
❤1
TAASISI 58 ZATOA GAWIO KWA SERIKALI BAADA YA KUPEWA SIKU 60
- Taasisi 58 ambazo zilikuwa hazijatoa gawio kwa Serikali zimetoa jumla ya Tsh. Bilioni 12.12
- Ni kati ya Kampuni na Taasisi 187 zilizopewa siku 60 na Rais Magufuli kutoa gawio
Zaidi, soma https://jamii.app/GawioKampuni58
- Taasisi 58 ambazo zilikuwa hazijatoa gawio kwa Serikali zimetoa jumla ya Tsh. Bilioni 12.12
- Ni kati ya Kampuni na Taasisi 187 zilizopewa siku 60 na Rais Magufuli kutoa gawio
Zaidi, soma https://jamii.app/GawioKampuni58
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ALGERIA: ASILIMIA 20 YA WAPIGA KURA WAJITOKEZA KUPIGA KURA
- Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura katika Uchaguzi huo Mkuu ni Milioni 24
- Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi huo unaoendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziAlgeria
- Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura katika Uchaguzi huo Mkuu ni Milioni 24
- Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi huo unaoendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziAlgeria
KENYA: MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MUMEWE
- Mercy Rita Wanjiru (21) anadaiwa kumchoma kisu kifuani Kevin Kuria (23), alipojaribu kumzuia asiondoke nyumbani
- Inaelezwa kuwa, Mercy alitaka kuondoka kutokana na ugomvi usioisha baina yake na Kevin
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuuaMume-KE
- Mercy Rita Wanjiru (21) anadaiwa kumchoma kisu kifuani Kevin Kuria (23), alipojaribu kumzuia asiondoke nyumbani
- Inaelezwa kuwa, Mercy alitaka kuondoka kutokana na ugomvi usioisha baina yake na Kevin
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuuaMume-KE
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
NDEGE YA TANZANIA ILIYOKUWA IKISHIKILIWA CANADA YAANZA SAFARI
- Ndege mpya, Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa kutokana na madai ya Mkulima, Hermanus Steyn imeanza safari kuja Tanzania
- Ndege hiyo inatarajiwa kuwasili Disemba 14, 2019 na itapokelewa jijini Mwanza
- Ndege mpya, Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa kutokana na madai ya Mkulima, Hermanus Steyn imeanza safari kuja Tanzania
- Ndege hiyo inatarajiwa kuwasili Disemba 14, 2019 na itapokelewa jijini Mwanza
TUHUMA ZA RUSHWA YA NGONO SEKTA YA AFYA: TAARIFA ZAIDI ZINAHITAJIKA
> Kumekuwa na tuhuma ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye Mtandao wa JamiiForums zikielekezwa kwa Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya
> Vyombo vya Dola vimeziona tuhuma hizo (katika JF) na Mamlaka zinahitaji wenye taarifa za kina zinazoweza kuwasaidia wachunguzi wazilete taarifa hizo zikiwa detailed (hata kama kuna viambatanisho zaidi) ili wahusika/watuhumiwa wachukuliwe hatua stahiki
> Tuma Barua Pepe sensitive@jamiiforums.com au uwasiliane na Waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) kwa DM Twitter (@umwalimu) au Instagram (@ummymwalimu)
Soma https://jamii.app/RushwaYaNgonoMbeya
> Kumekuwa na tuhuma ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye Mtandao wa JamiiForums zikielekezwa kwa Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya
> Vyombo vya Dola vimeziona tuhuma hizo (katika JF) na Mamlaka zinahitaji wenye taarifa za kina zinazoweza kuwasaidia wachunguzi wazilete taarifa hizo zikiwa detailed (hata kama kuna viambatanisho zaidi) ili wahusika/watuhumiwa wachukuliwe hatua stahiki
> Tuma Barua Pepe sensitive@jamiiforums.com au uwasiliane na Waziri wa Afya (Ummy Mwalimu) kwa DM Twitter (@umwalimu) au Instagram (@ummymwalimu)
Soma https://jamii.app/RushwaYaNgonoMbeya
JAPAN: WAZEE WATUMIA 'EXOSKELETONS' ILI WACHELEWE KUSTAAFU
- Wanavaa vifaa hivyo ili kuendana na mahitaji ya kazi na kukaa kwenye kazi kwa muda mrefu
- Vifaa hivyo vinawaongezea nguvu vikiwasaidia kukimbia haraka na kubeba vitu nzito
Zaidi, soma https://jamii.app/ExoskeletonJapan
- Wanavaa vifaa hivyo ili kuendana na mahitaji ya kazi na kukaa kwenye kazi kwa muda mrefu
- Vifaa hivyo vinawaongezea nguvu vikiwasaidia kukimbia haraka na kubeba vitu nzito
Zaidi, soma https://jamii.app/ExoskeletonJapan
HALIMA MDEE ASHINDA UENYEKITI WA BAWACHA
- Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA)
- Hawa Mwaifunga ni Makamu Mwenyekiti Bara na Sharifa Suleiman Suleiman ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziBawacha2019
- Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA)
- Hawa Mwaifunga ni Makamu Mwenyekiti Bara na Sharifa Suleiman Suleiman ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziBawacha2019
UINGEREZA: BORIS JOHNSON ASHINDA UCHAGUZI, AAHIDI KUKAMILISHA MCHAKATO WA 'BREXIT' JANUARI 31, 2020
- Chama cha Conservatives kimepata viti 364 vya Wabunge wakati Labour kikipata 203, SNP 48, Liberal Democrats 11 na DUP 8
Soma => https://jamii.app/BorisAshinda
#UKElection #JFLeo
- Chama cha Conservatives kimepata viti 364 vya Wabunge wakati Labour kikipata 203, SNP 48, Liberal Democrats 11 na DUP 8
Soma => https://jamii.app/BorisAshinda
#UKElection #JFLeo
UCHAGUZI MKUU ALGERIA: ABDELMADJID TEBBOUNE ACHAGULIWA KUWA RAIS
- Abdelmadjid Tebboune ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 58.1% ya kura zote
- Alikuwa Waziri Mkuu(Mei 2017-Agosti 2017), Waziri wa Makazi (2001 - 2002 na 2012 - 2017).
Soma > https://jamii.app/TebbouneAshindaUrais
- Abdelmadjid Tebboune ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 58.1% ya kura zote
- Alikuwa Waziri Mkuu(Mei 2017-Agosti 2017), Waziri wa Makazi (2001 - 2002 na 2012 - 2017).
Soma > https://jamii.app/TebbouneAshindaUrais
MBEYA: MHANDISI WA MRADI WA MAJI MBARONI KWA KULA BILIONI 3 ZA MRADI
- Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa ameamuru kuwekwa mahabusu Mhandisi Alistides Kanyomo
- Pia, Mhandisi huyo amedai kujenga ofisi ya muda ya mabati kwa Tsh. Milioni 100
Zaidi, soma https://jamii.app/MhandisiMbaroniFedha
- Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa ameamuru kuwekwa mahabusu Mhandisi Alistides Kanyomo
- Pia, Mhandisi huyo amedai kujenga ofisi ya muda ya mabati kwa Tsh. Milioni 100
Zaidi, soma https://jamii.app/MhandisiMbaroniFedha