TANZIA: ALIYEKUWA BALOZI WA TANZANIA URUSI AFARIKI
> Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki leo Desemba 8, 2019
> Pia, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tanga, Rukwa na Iringa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara
Soma - https://jamii.app/RIPBaloziMwambi
> Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki leo Desemba 8, 2019
> Pia, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Tanga, Rukwa na Iringa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara
Soma - https://jamii.app/RIPBaloziMwambi
SHINYANGA: WANAUME WADAIWA KUWAOZESHA WATOTO WAO WADOGO KWA POMBE
- Wanawake katika Kijiji cha Penzi wamewashutumu Wanaume kwa kuwaozesha watoto wao bila kuwajulisha kwa kubadilishana na jagi la pombe wawapo vilabuni au mifugo aina ya ng’ombe
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaumeKuozaBinti-SHY
- Wanawake katika Kijiji cha Penzi wamewashutumu Wanaume kwa kuwaozesha watoto wao bila kuwajulisha kwa kubadilishana na jagi la pombe wawapo vilabuni au mifugo aina ya ng’ombe
Zaidi, soma https://jamii.app/WanaumeKuozaBinti-SHY
MLIMBWENDE WA AFRIKA KUSINI ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE
- Zozibini Tunzi (26) ameshinda taji hilo katika mashindano yaliyofanyika Atlanta, Georgia
- Madison Anderson (Puerto Rico) amekuwa mshindi wa pili huku Sofía Aragó (Mexico) akiwa mshindi wa tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/MissUniverse2019-SA
- Zozibini Tunzi (26) ameshinda taji hilo katika mashindano yaliyofanyika Atlanta, Georgia
- Madison Anderson (Puerto Rico) amekuwa mshindi wa pili huku Sofía Aragó (Mexico) akiwa mshindi wa tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/MissUniverse2019-SA
MBEYA: AUAWA AKITUHUMIWA KUWATESA WANANCHI KWA UCHAWI
- Polisi inawashikilia Watu watatu wakidaiwa kumuua John Mwakarundwa(62), Mkazi wa Kijiji cha Nkunga, Rungwe
- Wananchi walikuwa wakimtuhumu Marehemu kununua uchawi Malawi na kuwatesa nao
Zaidi, soma https://jamii.app/AdaiwaMchawiAuawa
- Polisi inawashikilia Watu watatu wakidaiwa kumuua John Mwakarundwa(62), Mkazi wa Kijiji cha Nkunga, Rungwe
- Wananchi walikuwa wakimtuhumu Marehemu kununua uchawi Malawi na kuwatesa nao
Zaidi, soma https://jamii.app/AdaiwaMchawiAuawa
NEW ZEALAND: MMOJA AFARIKI NA TAKRIBAN 27 HAWAJULIKANI WALIPO KUTOKANA NA MLIPUKO WA VOLKANO
- Watu 23 wameokolewa katika Mlipuko huo uliotokea kwenye Mlima uliopo Kisiwa cha 'White Island'
- Polisi imesema kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoVolkanoNewZealand
- Watu 23 wameokolewa katika Mlipuko huo uliotokea kwenye Mlima uliopo Kisiwa cha 'White Island'
- Polisi imesema kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MlipukoVolkanoNewZealand
MIAKA 58 YA UHURU: RAIS MAGUFULI ASAMEHE WAFUNGWA 5,533
- Amesema, ameshuhudia mrundikano wa wafungwa ambapo hadi leo kuna Wafungwa 17,547 na Mahabusu 18,256
- Amesema, baadhi yao wamefungwa kutokana na makosa madogo yakiwemo ya kuiba kuku
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAhameheWafungwa5533
- Amesema, ameshuhudia mrundikano wa wafungwa ambapo hadi leo kuna Wafungwa 17,547 na Mahabusu 18,256
- Amesema, baadhi yao wamefungwa kutokana na makosa madogo yakiwemo ya kuiba kuku
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAhameheWafungwa5533
TIMU YA TAIFA YA URUSI YAFUNGIWA KUSHIRIKI MICHEZO MIKUBWA
- Wakala wa Kupambana na Dawa za Kuongeza Nguvu (WADA) wameifungia Timu ya Soka ya Urusi
- Haitashiriki michuano ya Olimpiki ya mwaka 2020 na Kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/TimuUrusiYafungiwa
- Wakala wa Kupambana na Dawa za Kuongeza Nguvu (WADA) wameifungia Timu ya Soka ya Urusi
- Haitashiriki michuano ya Olimpiki ya mwaka 2020 na Kombe la Dunia mwaka 2022 nchini Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/TimuUrusiYafungiwa
MBINU ZA KUKUWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO
> Chagua wazo la biashara unalolipenda na kuliweza vyema
> Anza na unachokijua pasipo kuhusisha mambo mengi mageni kwa kuwa huna pesa za kuyagharamia
> Waambie watu unachokifanya ili kupata wateja na kufahamika na usiogope kueleza kuwa unafanya biashara ya aina fulani
Soma - https://jamii.app/BiasharaMtajiMdogo
#JFBiashara
> Chagua wazo la biashara unalolipenda na kuliweza vyema
> Anza na unachokijua pasipo kuhusisha mambo mengi mageni kwa kuwa huna pesa za kuyagharamia
> Waambie watu unachokifanya ili kupata wateja na kufahamika na usiogope kueleza kuwa unafanya biashara ya aina fulani
Soma - https://jamii.app/BiasharaMtajiMdogo
#JFBiashara
CHILE: NDEGE YA KIJESHI ILIYOKUWA NA WATU 38 YAPOTEZA MAWASILIANO ANGANI
- Ilikuwa na Wafanyakazi 17 na Abiria 21 ikielekea katika Kambi ya Jeshi huko Antarctica
- Shughuli za kuitafuta ndege hiyo zimeanza kwa kutumia ndege na meli za Jeshi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiYapotea-CHL
- Ilikuwa na Wafanyakazi 17 na Abiria 21 ikielekea katika Kambi ya Jeshi huko Antarctica
- Shughuli za kuitafuta ndege hiyo zimeanza kwa kutumia ndege na meli za Jeshi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiYapotea-CHL
👍1
SIKU YA HAKI ZA BINADAMU: VIJANA WANASIMAMIA HAKI ZA BINADAMU
- Kila Disemba 10 ni Siku ya Haki za Binadamu na mwaka huu Kaulimbiu ni 'Vijana Wanasimamia #HakiZaBinadamu'
- Kila mtu anatakiwa kupata haki bila kujali dini, rangi wala hadhi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuHakiBinadamu
- Kila Disemba 10 ni Siku ya Haki za Binadamu na mwaka huu Kaulimbiu ni 'Vijana Wanasimamia #HakiZaBinadamu'
- Kila mtu anatakiwa kupata haki bila kujali dini, rangi wala hadhi yake
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuHakiBinadamu
KIGAMBONI, DAR: Mwenyekiti wa Mtaa wa Changanyikeni kata ya Toangoma aliyepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM ametiwa mbaroni kwa kosa la “wizi” wa TZS 12,000,000/-
> Ni Suzanne(Dionisia) Kamugisha
> Yadaiwa alizitumia kwa ajili ya Kampeni za Uchaguzi wa Ndani wa chama
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiMtaaMbaroni-KGMB
> Ni Suzanne(Dionisia) Kamugisha
> Yadaiwa alizitumia kwa ajili ya Kampeni za Uchaguzi wa Ndani wa chama
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiMtaaMbaroni-KGMB
DAR: ALI MUFURUKI AAGWA KATIKA UKUMBI WA JULIUS NYERERE
- Mwili wa Mfanyabiashara huyo utazikwa leo katika Makaburi ya Kisutu, Jijini Dar
- Alizaliwa Novemba 15, 1958 na amekuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa zaidi ya bodi 30 za Kampuni mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/AliMufurukiAagwa-Dar
- Mwili wa Mfanyabiashara huyo utazikwa leo katika Makaburi ya Kisutu, Jijini Dar
- Alizaliwa Novemba 15, 1958 na amekuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa zaidi ya bodi 30 za Kampuni mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/AliMufurukiAagwa-Dar
SUDAN KUSINI: SPIKA AJIUZULU, ASHUTUMIWA KWA KUTOWASILISHA RIPOTI YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI
- Spika wa Bunge, Anthony Lino Makana amejiuzulu baada ya Wabunge kutishia kumuondoa madarakani kwa kuzuia juhudi za kupambana na rushwa
Soma > https://jamii.app/SpikaSudanKusini
- Spika wa Bunge, Anthony Lino Makana amejiuzulu baada ya Wabunge kutishia kumuondoa madarakani kwa kuzuia juhudi za kupambana na rushwa
Soma > https://jamii.app/SpikaSudanKusini
FINLAND: WAZIRI MKUU MDOGO DUNIANI KUAPISHWA WIKI HII
- Sanna Marin (34) aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi amechaguliwa baada ya Antti Rinne kujiuzulu
- Pamoja na kuwa Waziri Mkuu mdogo Duniani, atakuwa ni wa 3 wa kike kuhudumu katika taifa hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/SannaWaziriMkuuMdogo
- Sanna Marin (34) aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi amechaguliwa baada ya Antti Rinne kujiuzulu
- Pamoja na kuwa Waziri Mkuu mdogo Duniani, atakuwa ni wa 3 wa kike kuhudumu katika taifa hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/SannaWaziriMkuuMdogo
JE, KUNA MBINU ZA KUDHIBITI 'CHUMA ULETE' KWENYE BIASHARA?
> Mwanachama wa JamiiForums anasimulia kuwa alianza kufanya biashara maeneo ya Kimara Jijini Dar es Salaam baada ya muda aliihamishia biashara yake Mkoani Mtwara
> Anapata fedha nyingi lakini tatizo zinapotea katika mazingira ya kutatanisha 'Chuma Ulete'
Soma ~ https://jamii.app/ChumaUleteMtwara
> Mwanachama wa JamiiForums anasimulia kuwa alianza kufanya biashara maeneo ya Kimara Jijini Dar es Salaam baada ya muda aliihamishia biashara yake Mkoani Mtwara
> Anapata fedha nyingi lakini tatizo zinapotea katika mazingira ya kutatanisha 'Chuma Ulete'
Soma ~ https://jamii.app/ChumaUleteMtwara
NBS: MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 0.2 KWA MWEZI MMOJA
- Mfumuko wa bei kwa Novemba 2019 umeongezeka hadi 3.8% kutoka 3.6% mwezi Oktoba 2019
- Baadhi ya vyakula vilivyoongezeka bei ni mchele kwa 6.6%, nyama 2.6%, maharage 8.6%
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiNov2019
- Mfumuko wa bei kwa Novemba 2019 umeongezeka hadi 3.8% kutoka 3.6% mwezi Oktoba 2019
- Baadhi ya vyakula vilivyoongezeka bei ni mchele kwa 6.6%, nyama 2.6%, maharage 8.6%
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiNov2019
CECAFA Senior Challenge: Timu ya Taifa ya Tanzania Bara #KilimanjaroStars imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Timu ya Zanzibar #ZanzibarHeroes
- Ditram Nchimbi amefunga goli hilo na kuipatia timu hiyo alama tatu za kwanza baada ya kufungwa katika mchezo wa kwanza
#JFLeo
- Ditram Nchimbi amefunga goli hilo na kuipatia timu hiyo alama tatu za kwanza baada ya kufungwa katika mchezo wa kwanza
#JFLeo
UGANDA: WATU 36 WAFARIKI KUTOKANA NA MAFURIKO
- Watu wengi bado hawajulikani walipo kutokana na mafuriko ya mvua zinazonyesha Mashariki mwa Uganda
- Aidha, maporomoko ya udongo yamewaacha maelfu ya watu bila makazi
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaFloods-Death36
- Watu wengi bado hawajulikani walipo kutokana na mafuriko ya mvua zinazonyesha Mashariki mwa Uganda
- Aidha, maporomoko ya udongo yamewaacha maelfu ya watu bila makazi
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaFloods-Death36
MPYA: Milio ya risasi imerindima kati ya Al-Shabaab na Walinzi wa Hoteli ya Kifahari ya SYL katika Mji Mkuu wa Somalia, Mogadishu
- Al Shabaab wamevamia hotel hiyo karibu na Makazi ya Rais inayotumiwa zaidi na viongozi wengi wa Kisiasa
- Idadi ya Vifo bado haijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabSYLHotel-Somalia
- Al Shabaab wamevamia hotel hiyo karibu na Makazi ya Rais inayotumiwa zaidi na viongozi wengi wa Kisiasa
- Idadi ya Vifo bado haijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabSYLHotel-Somalia