KENYA: MBARONI KWA KUSIMAMISHA MSAFARA WA RAIS NA KUOMBA KAZI
- Mwanaume mmoja, Uvinalies Nyabuto amekamatwa kwa kuusimamisha msafara wa magari wa Rais Uhuru Kenyatta
- Alishika bango la kumuomba Rais Kenyatta kazi kwenye Majeshi ya Ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumsimamishaRais-KE
- Mwanaume mmoja, Uvinalies Nyabuto amekamatwa kwa kuusimamisha msafara wa magari wa Rais Uhuru Kenyatta
- Alishika bango la kumuomba Rais Kenyatta kazi kwenye Majeshi ya Ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumsimamishaRais-KE
SOMALIA: AL SHABAAB WALIOTEKA HOTELI KWA SAA 7 WAUAWA
- Majeshi ya Ulinzi yamefanikiwa kuwaua Wanamgambo wote watano walioteka hoteli ya Kifahari ya SYL huko Mogadishu
- Aidha, watu wengine watano wakiwemo raia wawili wameuawa katika tukio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabSYLHotel-Somalia
- Majeshi ya Ulinzi yamefanikiwa kuwaua Wanamgambo wote watano walioteka hoteli ya Kifahari ya SYL huko Mogadishu
- Aidha, watu wengine watano wakiwemo raia wawili wameuawa katika tukio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/AlShabaabSYLHotel-Somalia
MICHEZO: KLABU YA NAPOLI YAMTIMUA KOCHA CARLO ANCELOTTI
- Timu ya Napoli ya Italia imemfukuza kazi kocha wao Carlo Ancelotti ikiwa ni chini ya masaa matatu baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Soma > https://jamii.app/AncelottiVsNapoli
#JFSports
- Timu ya Napoli ya Italia imemfukuza kazi kocha wao Carlo Ancelotti ikiwa ni chini ya masaa matatu baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Soma > https://jamii.app/AncelottiVsNapoli
#JFSports
RIPOTI: TATHMINI YA KIWANGO CHA KUJIFUNZA TANZANIA
- Taasisi za Twaweza na Uwezo Tanzania zinazindua ripoti hiyo ya mwaka 2019 leo jijini Dar
- Tangu mwaka 2011 ripoti hizo zimetoa mchango madhubuti katika kuongeza uelewa wa hali ya kisomo nchini
Fuatilia https://jamii.app/RipotiKiwangoKujifunza2019
- Taasisi za Twaweza na Uwezo Tanzania zinazindua ripoti hiyo ya mwaka 2019 leo jijini Dar
- Tangu mwaka 2011 ripoti hizo zimetoa mchango madhubuti katika kuongeza uelewa wa hali ya kisomo nchini
Fuatilia https://jamii.app/RipotiKiwangoKujifunza2019
MAREKANI YAWAWEKEA VIKWAZO VIONGOZI WA JESHI LA MYANMAR
- Marekani imefanya hivyo dhidi ya Viongozi wanne wa Kijeshi wa Myanmar akiwemo Mkuu wa Jeshi
- Marekani inalituhumu Jeshi la Myanmar kwa kukiuka haki za binadamu dhidi ya Warohingya
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniVikwazoMyanmar
- Marekani imefanya hivyo dhidi ya Viongozi wanne wa Kijeshi wa Myanmar akiwemo Mkuu wa Jeshi
- Marekani inalituhumu Jeshi la Myanmar kwa kukiuka haki za binadamu dhidi ya Warohingya
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniVikwazoMyanmar
BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI UTURUKI AZUIWA KUINGIA MAREKANI
- Marekani imemzuia Mohammed al-Otaibi, aliyekuwa Balozi wakati Mwanahabari Jamal Khashoggi alipouawa
- Khashoggi aliuawa ndani ya Ubalozi wa Saudi Arabia nchini Uturuki mwaka jana
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziSaudiMarufukuUSA
- Marekani imemzuia Mohammed al-Otaibi, aliyekuwa Balozi wakati Mwanahabari Jamal Khashoggi alipouawa
- Khashoggi aliuawa ndani ya Ubalozi wa Saudi Arabia nchini Uturuki mwaka jana
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziSaudiMarufukuUSA
RIPOTI: KIINGEREZA BADO TATIZO KWA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI
- Katika Tathmini ya #Uwezo ya mwaka 2017, takribani 85% ya wanafunzi wa darasa la 3 walishindwa kusoma insha fupi ya Kiingereza ya darasa la 2
- Kwa upande wa wanafunzi wa darasa la 7, takribani nusu (53%) walishindwa kusoma insha hiyo hiyo ya darasa la 2
Je, kuna umuhimu wa Serikali kuangalia upya lugha ya ufundishaji katika shule za Sekondari iwapo Kiingereza ni tatizo kwa wanafunzi wa shule za Msingi?
Jadili na Fuatilia https://jamii.app/RipotiKiwangoKujifunza2019
- Katika Tathmini ya #Uwezo ya mwaka 2017, takribani 85% ya wanafunzi wa darasa la 3 walishindwa kusoma insha fupi ya Kiingereza ya darasa la 2
- Kwa upande wa wanafunzi wa darasa la 7, takribani nusu (53%) walishindwa kusoma insha hiyo hiyo ya darasa la 2
Je, kuna umuhimu wa Serikali kuangalia upya lugha ya ufundishaji katika shule za Sekondari iwapo Kiingereza ni tatizo kwa wanafunzi wa shule za Msingi?
Jadili na Fuatilia https://jamii.app/RipotiKiwangoKujifunza2019
KENYA: GAVANA MIKE SONKO AACHIWA KWA DHAMANA
- Gavana huyo wa Nairobi ameachiwa kwa dhamana ya pesa taslimu Ksh. Milioni 15 au bondi ya Ksh. Milioni 30
- Pia, anatakiwa kutokwenda ofisini na akitaka vitu vyake atasindikizwa na Wapelelezi
Zaidi, soma https://jamii.app/SonkoAachiwaDhamana
- Gavana huyo wa Nairobi ameachiwa kwa dhamana ya pesa taslimu Ksh. Milioni 15 au bondi ya Ksh. Milioni 30
- Pia, anatakiwa kutokwenda ofisini na akitaka vitu vyake atasindikizwa na Wapelelezi
Zaidi, soma https://jamii.app/SonkoAachiwaDhamana
SHINYANGA: MABINTI WAOGESHWA DAWA KUVUTIA WANAUME. SERIKALI YAOMBWA KUZUIA
- Wasichana wa miaka kati ya 10 na 15 hupelekwa kuogeshwa dawa hiyo maarufu kama ‘Samba’
- Wadau wadai vitendo hivyo vinachochea Mimba za Utotoni na maambukizi ya UKIMWI
Zaidi, soma https://jamii.app/DawaKuvutiaWanaume
- Wasichana wa miaka kati ya 10 na 15 hupelekwa kuogeshwa dawa hiyo maarufu kama ‘Samba’
- Wadau wadai vitendo hivyo vinachochea Mimba za Utotoni na maambukizi ya UKIMWI
Zaidi, soma https://jamii.app/DawaKuvutiaWanaume
CPJ: KWA MWAKA 2019 HADI KUFIKIA DESEMBA 01, TAKRIBAN WANAHABARI 250 WAMEFUNGWA
- Ni kupitia ripoti yake ya mwaka 2019
- Ripoti inaonyesha China imefunga Wanahabari 48, Uturuki 47, Saudi Arabia 26, Misri 26, Eritrea 16, Vietnam 12 na Iran 11
- Erick Kabendera wa Tanzania aingia katika orodha
Soma > https://jamii.app/Wanahabari250Wafungwa2019
- Ni kupitia ripoti yake ya mwaka 2019
- Ripoti inaonyesha China imefunga Wanahabari 48, Uturuki 47, Saudi Arabia 26, Misri 26, Eritrea 16, Vietnam 12 na Iran 11
- Erick Kabendera wa Tanzania aingia katika orodha
Soma > https://jamii.app/Wanahabari250Wafungwa2019
NJOMBE: SIKU MOJA BAADA YA KUPEWA MSAMAHA WA RAIS AKAMATWA KWA WIZI
- Mussa Msola maarufu Hitler aliyekuwa miongoni mwa Wafungwa 5,533 waliopewa Msamaha wa Rais, Siku ya Uhuru, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kuvunja Nyumba ya Kulala Wageni
Zaidi, soma https://jamii.app/MfungwaMsamahaRaisMbaroni
- Mussa Msola maarufu Hitler aliyekuwa miongoni mwa Wafungwa 5,533 waliopewa Msamaha wa Rais, Siku ya Uhuru, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kuvunja Nyumba ya Kulala Wageni
Zaidi, soma https://jamii.app/MfungwaMsamahaRaisMbaroni
TUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUJINUFAISHA
> Mitandao ya Kijamii kama Facebook na Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na watu wengi sana na imegeuza Dunia kuwa Kijiji kimoja kwani hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano, na familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
> Mitandao ya Kijamii kama Facebook na Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na watu wengi sana na imegeuza Dunia kuwa Kijiji kimoja kwani hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano, na familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
NDEGE YA JESHI ILIYOPOTEA CHILE: MABAKI YAKE YAPATIKANA
- Mabaki yanayoaminika ni ya ndege ya Kijeshi iliyotoweka Jumatatu yamepatikana katika Mkondo Bahari wa Drake ikiwa ni takriban Kilometa 30 kutoka eneo ndege hiyo ilipopoteza mawasiliano
Zaidi, soma https://jamii.app/MabakiNdegeChile
- Mabaki yanayoaminika ni ya ndege ya Kijeshi iliyotoweka Jumatatu yamepatikana katika Mkondo Bahari wa Drake ikiwa ni takriban Kilometa 30 kutoka eneo ndege hiyo ilipopoteza mawasiliano
Zaidi, soma https://jamii.app/MabakiNdegeChile
KENYA: MABASI YA MODERN COAST YAGONGANA. WATU 7 WAFARIKI, 60 WAJERUHIWA
- Yamegongana usiku wa kuamkia leo katika eneo la Salama kwenye Barabara Kuu ya Mombasa-Nairobi
- Siku moja kabla basi jingine la Modern Coast liligongana na basi la Tahmeed
Zaidi, soma https://jamii.app/Ajali-7Wafariki62Wajeruhiwa
- Yamegongana usiku wa kuamkia leo katika eneo la Salama kwenye Barabara Kuu ya Mombasa-Nairobi
- Siku moja kabla basi jingine la Modern Coast liligongana na basi la Tahmeed
Zaidi, soma https://jamii.app/Ajali-7Wafariki62Wajeruhiwa
RAIS MAGUFULI: NDEGE YA TANZANIA ILIYOKUWA IKISHIKILIWA NCHINI CANADA IMEACHIWA
- Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwa nchini Canada imeachiliwa
- Rais Magufuli amesema siku ya kuwasili nchini itatangazwa
Soma > https://jamii.app/NdegeCanadaHuru
- Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwa nchini Canada imeachiliwa
- Rais Magufuli amesema siku ya kuwasili nchini itatangazwa
Soma > https://jamii.app/NdegeCanadaHuru
INATES, NIGER: WANAJESHI 73 WAUAWA KAMBINI MWAO
- Wengine 12 wamejeruhiwa huku idadi kubwa ya Walioshambulia kambi hiyo wakiuawa
- Hakuna aliyejinadi kuhusika na shambulio hilo ila Boko Haram na Dola Ya Kiislam wapo katika maeneo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi73Wauawa-NGR
- Wengine 12 wamejeruhiwa huku idadi kubwa ya Walioshambulia kambi hiyo wakiuawa
- Hakuna aliyejinadi kuhusika na shambulio hilo ila Boko Haram na Dola Ya Kiislam wapo katika maeneo hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanajeshi73Wauawa-NGR
DAR: WATANZANIA 19 WALIOZAMIA AFRIKA KUSINI WAHUKUMIWA
- Mahakama ya Kisutu imewahukumu miezi miwili jela na kulipa faini ya Tsh. 50,000 kila mmoja
- Watu hao walikamatwa na kushtakiwa baada ya kurudishwa nchini Desemba 02, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/WazamiajiWahukumiwaTZ
- Mahakama ya Kisutu imewahukumu miezi miwili jela na kulipa faini ya Tsh. 50,000 kila mmoja
- Watu hao walikamatwa na kushtakiwa baada ya kurudishwa nchini Desemba 02, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/WazamiajiWahukumiwaTZ