DOVUTWA APINGA KUVULIWA UENYEKITI UPDP, AWATAKA WANACHAMA KUJIANDAA NA UCHAGUZI
> Fahmi Dovutwa amepinga kuvuliwa Uenyekiti kwa madai ya kutangaza kuwa UPDP haitashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24
> Asema, wanaotangaza hivyo wana hofu ya uchaguzi wa Chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa Desemba, 2019
Soma - https://jamii.app/DovutwaApingaKuvuliwaMKiti
> Fahmi Dovutwa amepinga kuvuliwa Uenyekiti kwa madai ya kutangaza kuwa UPDP haitashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24
> Asema, wanaotangaza hivyo wana hofu ya uchaguzi wa Chama hicho utakaofanyika mwishoni mwa Desemba, 2019
Soma - https://jamii.app/DovutwaApingaKuvuliwaMKiti
FAHAMU NGUVU YA UTULIVU NA KUWEZA KUKAA PEKE YAKO ILI KUFIKIRI
> Jijengee tabia ya kuwa na muda wa utulivu kila siku, muda ambao unakaa wewe peke yako na mawazo yako, na hakuna usumbufu wowote unaokuwa karibu na wewe katika wakati huu
> Utaanza kuona jinsi ambavyo maisha yako yatabadilika, Msongo utapungua, wasiwasi na mashaka ya kupoteza vitu yataondoka kabisa na utajiona unayaendesha maisha badala ya maisha kukuendesha wewe
Tembelea - https://jamii.app/NguvuUtulivuKufikiri
#JFMaisha
> Jijengee tabia ya kuwa na muda wa utulivu kila siku, muda ambao unakaa wewe peke yako na mawazo yako, na hakuna usumbufu wowote unaokuwa karibu na wewe katika wakati huu
> Utaanza kuona jinsi ambavyo maisha yako yatabadilika, Msongo utapungua, wasiwasi na mashaka ya kupoteza vitu yataondoka kabisa na utajiona unayaendesha maisha badala ya maisha kukuendesha wewe
Tembelea - https://jamii.app/NguvuUtulivuKufikiri
#JFMaisha
TANZIA: KIUNGO MAHIRI WA ZAMANI WA KLABU ZA YANGA NA SIMBA, ALLY YUSUF MAARUFU TIGANA AFARIKI DUNIA
- Amefariki dunia leo katika hospitali ya Amana, Jijini Dar baada ya kuugua ghafla na kukimbizwa hospitali hapo
> Alianza kuhara na kutapika ghafla
Soma > https://jamii.app/RIPTigana
#JFLeo
- Amefariki dunia leo katika hospitali ya Amana, Jijini Dar baada ya kuugua ghafla na kukimbizwa hospitali hapo
> Alianza kuhara na kutapika ghafla
Soma > https://jamii.app/RIPTigana
#JFLeo
KENYA: CHUO CHA EGERTON CHAFUNGWA KUTOKANA NA MGOMO WA WANAFUNZI
> Chuo Kikuu cha Egerton kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na wanafunzi kufanya mgomo wakishinikiza kuruhusiwa kufanya mitihani ya muhula pasipo kukamilisha ada
> Aidha, Chuo kimetishia kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa mwaka 1 ikiwa hawatokamilisha ada
Soma - https://jamii.app/EgertonUnvClosedFees
> Chuo Kikuu cha Egerton kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na wanafunzi kufanya mgomo wakishinikiza kuruhusiwa kufanya mitihani ya muhula pasipo kukamilisha ada
> Aidha, Chuo kimetishia kuwasimamisha masomo wanafunzi kwa mwaka 1 ikiwa hawatokamilisha ada
Soma - https://jamii.app/EgertonUnvClosedFees
HUKUMU YA KESI ILIYOFUNGULIWA NA JAMHURI DHIDI YA JAMIIFORUMS KUTOLEWA KESHO
- Shauri hilo ni moja kati ya kesi zilizofunguliwa na Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi wa Jamii Media Co. Ltd na mmoja wa wanahisa wake
- Hukumu hiyo ni ya shauri namba 456
Soma > https://jamii.app/JamhuriVsJamiiForums
#JFLeo
- Shauri hilo ni moja kati ya kesi zilizofunguliwa na Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi wa Jamii Media Co. Ltd na mmoja wa wanahisa wake
- Hukumu hiyo ni ya shauri namba 456
Soma > https://jamii.app/JamhuriVsJamiiForums
#JFLeo
IJUE SHERIA INAYOPIGA MARUFUKU KUPIGA KELELE MAENEO YA MAKAZI
> Marufuku hii ni kwa mujibu wa Kanuni zilizozinduliwa mwaka 2015 kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2014.
> Kelele za Baa, muziki, matangazo na shughuli nyingine za kijamii zinatozwa faini ya milioni 50
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchafuziMazingiraKelele
> Marufuku hii ni kwa mujibu wa Kanuni zilizozinduliwa mwaka 2015 kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2014.
> Kelele za Baa, muziki, matangazo na shughuli nyingine za kijamii zinatozwa faini ya milioni 50
Zaidi, soma > https://jamii.app/UchafuziMazingiraKelele
WHO: VISA VYA UGONJWA WA SURUA DUNIANI VYAONGEZEKA
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
> Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa Surua na Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo kwa takriban vifo 52,600
> Barani Afrika, nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Liberia, Madagascar na Somalia zimeathirika zaidi huku DRC ikiripoti visa 250,000 vya ugonjwa huo kufikia Novemba mwaka huu
Soma - https://jamii.app/OngezekoMaambukiziSurua
UTAFITI: KUKU WA KIENYEJI WANAOUZWA MITAANI WABAINIKA SIO WA KIENYEJI
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki
> Utafiti uliyofanywa na Shirika la World Animal Protection umebaini kuku hao ni wa kisasa (kizungu) wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Soma - https://jamii.app/KukuKienyejiFeki
KENYA: JENGO LA GHOROFA 6 LAANGUKA, WATU WAHOFIWA KUNASA KWENYE KIFUSI
- Jengo hilo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi Jijini Nairobi
- Hadi sasa juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika
Zaidi, sma => https://jamii.app/JengoLaporomokaKenya
- Jengo hilo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi Jijini Nairobi
- Hadi sasa juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika
Zaidi, sma => https://jamii.app/JengoLaporomokaKenya
MICHEZO: CHELSEA FC YAPUNGUZIWA ADHABU. SASA ITARUHUSIWA KUFANYA USAJILI DIRISHA LA JANUARI 2020
- Chelsea ilifungiwa kufanya usajili kwa madirisha 2 ya usajili baada ya kukutwa na hatia ya kuwasajili wachezaji vijana kinyume na utaratibu
Soma > https://jamii.app/ChelseaFcHuru
#JFSports
- Chelsea ilifungiwa kufanya usajili kwa madirisha 2 ya usajili baada ya kukutwa na hatia ya kuwasajili wachezaji vijana kinyume na utaratibu
Soma > https://jamii.app/ChelseaFcHuru
#JFSports
KENYA: GAVANA WA JIJI LA NAIROBI, MIKE SONKO AKAMATWA NA TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA
- Imeelezwa kuwa Sonko amekamatwa akituhumiwa kwa kujipatia kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania bilioni 8 kinyume cha sheria ya manunuzi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SonkoMbaroni
- Imeelezwa kuwa Sonko amekamatwa akituhumiwa kwa kujipatia kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania bilioni 8 kinyume cha sheria ya manunuzi
Zaidi, soma > https://jamii.app/SonkoMbaroni
MANYARA: RC MNYETI AFUTA KIKUNDI CHA WATU WA KILIMANJARO
> Ni kikundi cha watu wa Kilimanjaro waishio Manyara
> Asema ataendelea kuvifuta vikundi vyote vya watu kutoka mikoa mingine waishio Manyara kwani havina faida mkoani humo na vinaendekeza ukabila
Soma http://jamii.app/RCMnyetiTena
> Ni kikundi cha watu wa Kilimanjaro waishio Manyara
> Asema ataendelea kuvifuta vikundi vyote vya watu kutoka mikoa mingine waishio Manyara kwani havina faida mkoani humo na vinaendekeza ukabila
Soma http://jamii.app/RCMnyetiTena
GABON: MTOTO WA RAIS ATEULIWA KUWA MRATIBU WA MASUALA YA RAIS
> Mtoto wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa Mratibu wa masuala ya Rais ili kumsaidia Rais katika masuala yote ya Kitaifa
> Nafasi hiyo imetengenezwa baada ya Kikao cha Baraza la Washauri na kutolewa taarifa rasmi na Msemaji wa Serikali
Soma - https://jamii.app/NafasiMratibuRaisGabon
> Mtoto wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa Mratibu wa masuala ya Rais ili kumsaidia Rais katika masuala yote ya Kitaifa
> Nafasi hiyo imetengenezwa baada ya Kikao cha Baraza la Washauri na kutolewa taarifa rasmi na Msemaji wa Serikali
Soma - https://jamii.app/NafasiMratibuRaisGabon
TABORA: MWANDISHI AOKOTWA PORINI NA KUDAI ALITEKWA. POLISI WASEMA HUENDA ALIKUWA KWENYE MAMBO YAKE BINAFSI
- RPC Barnabas Mwakalukwa amesema mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
Soma > https://jamii.app/PolisiVsBahamu
- RPC Barnabas Mwakalukwa amesema mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
Soma > https://jamii.app/PolisiVsBahamu
MAURITANIA: WAHAMIAJI 62 WAFARIKI BAADA YA BOTI YAO KUZAMA
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
> Takriban wahamiaji 62 wakiwamo watoto wamefariki baada ya boti waliyokuwa wanaitumia kusafiri kuzama katika Bahari ya Atlantiki nchini Mauritania
> Boti hiyo iliyokuwa imebeba watu 150 iliishiwa mafuta na kukwama kwa siku kadhaa kabla ya kuzama
Soma - https://jamii.app/VifoWahamiajiBotiKuzama
UGANDA: MCHUNGAJI MBARONI KWA KUWANYWESHA WAUMINI SUMU
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
> Mchungaji Sam Little (25) raia wa Uingereza amekamatwa kwa tuhuma za kuwanywesha waumini dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu Malaria, Saratani na UKIMWI
> Pia, walikamatwa raia wawili wa Uganda ambao walikuwa wakishirikiana naye
Soma - https://jamii.app/MchAnyweshaWauminiSumu
WAZIRI MKUCHIKA: VIONGOZI WA IDARA NI CHANZO CHA UVUNJIFU WA HAKI ZA BINADAMU
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
> Amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na hata kama inakwenda kwake
> Aidha, amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao
Soma - https://jamii.app/ViongoziHakiBinadamu
TANZIA: SETH KANUMBA AFARIKI DUNIA
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
> Seth Bosco ambaye ni mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama yake Kimara, Dar
> Alifanyiwa upasuaji wa Uti wa Mgongo baada ya kupooza
Soma > https://jamii.app/RIPSethKanumba
RWANDA: KIONGOZI WA UPINZANI AZUIWA KUSAFIRI KWENDA KUPOKEA TUZO
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt
- Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Victoire Ingabire Umuhoza amezuiwa kusafiri kwenda Uhispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu aliyoshinda
- Mwezi Mei alizuiwa kwenda Ujerumani
Soma > https://jamii.app/VictoireVsRwGvt