KUFUZU AFCON 2021: TAIFA STARS YAPOTEZA DHIDI YA LIBYA
- Taifa Stars imefungwa goli 2-1 na Libya katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Kundi J uliochezwa Tunisia wa kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika 2021
- Stars ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa Nahodha Mbwana Samatta lakini Libya iliweza kusawazisha na hatimaye kupata goli la pili ambalo ni la ushindi
- Taifa Stars imefungwa goli 2-1 na Libya katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Kundi J uliochezwa Tunisia wa kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika 2021
- Stars ndio ilikuwa ya kwanza kupata goli kupitia kwa Nahodha Mbwana Samatta lakini Libya iliweza kusawazisha na hatimaye kupata goli la pili ambalo ni la ushindi
MICHEZO: JOSE MOURINHO AJIANDAA KUMRITHI POCHETTINO KATIKA KLABU YA TOTTENHAM
- Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wanatarajiwa kufikia makubaliano mchana wa siku ya leo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MourinhoSpurs
- Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wanatarajiwa kufikia makubaliano mchana wa siku ya leo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MourinhoSpurs
RC WA KILIMANJARO AMUONYA MBUNGE WA SIHA KUACHA UCHONGANISHI
- Dkt. Anna Mghwira amemtaka Mbunge Dkt. Godwin Mollel kuacha uchonganishi baina ya Watumishi wa Halmashauri, Madiwani na Wananchi, badala yake awe kiunganishi ili kuleta maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/RCKili-MbungeSiha
- Dkt. Anna Mghwira amemtaka Mbunge Dkt. Godwin Mollel kuacha uchonganishi baina ya Watumishi wa Halmashauri, Madiwani na Wananchi, badala yake awe kiunganishi ili kuleta maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/RCKili-MbungeSiha
RAIS ANAWEZA KUTOA MSAMAHA KWA MSHTAKIWA
> Rais wa Tanzania amepewa mamlaka ya kutoa msamaha kwa Mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya Mahakama kwa kosa lolote, hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 45.-(1) ya #Katiba ya Tanzania
#UmuhimuKatiba
> Rais wa Tanzania amepewa mamlaka ya kutoa msamaha kwa Mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya Mahakama kwa kosa lolote, hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 45.-(1) ya #Katiba ya Tanzania
#UmuhimuKatiba
MOURINHO AMRITHI POCHETTINO TOTTENHAM
- Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023
- Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
- Jose Mourinho amechaguliwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham Hotspurs ya England hadi mwisho wa msimu 2023
- Kocha huyo wa zamani wa Klabu za Manchester United na Chelsea za England pia anachukua nafasi ya Mauricio Pochettino
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
RAIS MAGUFULI AMTAKA MKURUGENZI WA NIDA KWENDA MOROGORO LEO
- Amemtaka kwenda kutatua changamoto zinazowakabili Wananchi wakati wa kujiandikisha ili kupata Vitambulisho vya Taifa
- Pia, ametaka huduma hiyo iende kila Wilaya, kwani haiwezekani watu kutoka Wilayani kwenda Mjini la sivyo NIDA iwape Wananchi hela ya ‘guest’
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNIDAvsMagufuli
- Amemtaka kwenda kutatua changamoto zinazowakabili Wananchi wakati wa kujiandikisha ili kupata Vitambulisho vya Taifa
- Pia, ametaka huduma hiyo iende kila Wilaya, kwani haiwezekani watu kutoka Wilayani kwenda Mjini la sivyo NIDA iwape Wananchi hela ya ‘guest’
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNIDAvsMagufuli
MAGUFULI: UKIONA BEI YA MAHINDI IKO JUU, NENDA KALIME YAKO
- Amesema bei ya mahindi inapopanda na wachache kulalamika, Wakulima wanashangilia
- Amesema wakati wa kumpangia bei Mkulima umepita na katika kipindi chake hatampangia Mkulima bei
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliBeiWakulima
- Amesema bei ya mahindi inapopanda na wachache kulalamika, Wakulima wanashangilia
- Amesema wakati wa kumpangia bei Mkulima umepita na katika kipindi chake hatampangia Mkulima bei
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliBeiWakulima
KAZI HUZAA UTAJIRI, KATIBA INATAKA WATU WAJITUME
- Ibara ya 25- (1): Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii, ndilo chimbuko la ustawi wa wananchi na kipimo cha utu
- Kila mtu anao wajibu wa kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali
#UmuhimuKatiba
- Ibara ya 25- (1): Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii, ndilo chimbuko la ustawi wa wananchi na kipimo cha utu
- Kila mtu anao wajibu wa kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi halali
#UmuhimuKatiba
KIGOMA: MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MBARONI KWA TUHUMA ZA UBAKAJI
- Zakaria Richard(30) anatuhumiwa kumbaka na kumlawiti Mwanafunzi(10) wa Darasa la 5
- Mwanafunzi huyo alikabidhiwa na wazazi wake kwa mwalimu huyo afundishwe Masomo ya Ziada
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwalimuMbaroniUbakaji-KGM
- Zakaria Richard(30) anatuhumiwa kumbaka na kumlawiti Mwanafunzi(10) wa Darasa la 5
- Mwanafunzi huyo alikabidhiwa na wazazi wake kwa mwalimu huyo afundishwe Masomo ya Ziada
Zaidi, aoma https://jamii.app/MwalimuMbaroniUbakaji-KGM
CHAD: VIONGOZI WA WAASI NCHINI JAMHURI YA AFRIKA YA KATI WAKAMATWA
- Jen. Abdoulaye Miskine na wenzake watatu wanadaiwa kuingia Chad kupitia Mji wa Tissi
- Maswali mengi yameibuka kutoka kwa wadau yakihoji iwapo walikuwa wanatafuta hifadhi Chad
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiAfrikaKatiMbaroni
- Jen. Abdoulaye Miskine na wenzake watatu wanadaiwa kuingia Chad kupitia Mji wa Tissi
- Maswali mengi yameibuka kutoka kwa wadau yakihoji iwapo walikuwa wanatafuta hifadhi Chad
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiAfrikaKatiMbaroni
WABUNGE WA CHADEMA WALIOKIUKA MASHARTI YA DHAMANA WAONYWA NA MAHAKAMA
- Wabunge hao ni Peter Msigwa(Iringa Mjini), John Heche(Tarime Vijijini), Halima Mdee(Kawe) na Ester Bulaya(Bunda)
- Mahakama imesema kuwafutia dhamana ingekuwa hatua kali
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWaonywa-Kisutu
- Wabunge hao ni Peter Msigwa(Iringa Mjini), John Heche(Tarime Vijijini), Halima Mdee(Kawe) na Ester Bulaya(Bunda)
- Mahakama imesema kuwafutia dhamana ingekuwa hatua kali
Zaidi, soma https://jamii.app/WabungeCDMWaonywa-Kisutu
KAZI ZA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MUJIBU WA KATIBA
- Atahakikisha matumizi ya fedha zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali yameidhinishwa
- Atahakikisha fedha zote zimetumiwa kama ilivyokusudiwa
#UmuhimuKatiba
- Atahakikisha matumizi ya fedha zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali yameidhinishwa
- Atahakikisha fedha zote zimetumiwa kama ilivyokusudiwa
#UmuhimuKatiba
MDAU: WANAOBUSU WATOTO WA WENZAO MIDOMONI WANANIKERA SANA
- Amesema, “Unakuta mtu kaja kutembelea mtoto wako au kamkuta umemshika anamchukua na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni. Huu ni uchafu sana, mimi sipendi kabisa tabia hiyo”
Kujadili, tembelea https://jamii.app/KissingAnothersKid
- Amesema, “Unakuta mtu kaja kutembelea mtoto wako au kamkuta umemshika anamchukua na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni. Huu ni uchafu sana, mimi sipendi kabisa tabia hiyo”
Kujadili, tembelea https://jamii.app/KissingAnothersKid
RUKWA: HAKIMU AVIFUNGULIA KESI VYOMBO VYA MAHAKAMA VILIVYOMFUTA KAZI
- Aliyekuwa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kalambo, Jonathan Mgongoro amezipeleka Mahakamani, Tume ya Utumishi wa Mahakama na Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama
Zaidi, soma https://jamii.app/HakimuAzishtakiKamatiMahakama
- Aliyekuwa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kalambo, Jonathan Mgongoro amezipeleka Mahakamani, Tume ya Utumishi wa Mahakama na Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama
Zaidi, soma https://jamii.app/HakimuAzishtakiKamatiMahakama
SONGWE: MVUA YAJERUHI NA KUHARIBU MAMIA YA NYUMBA
- Mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi jioni mkoani humo imesababisha uharibifu wa nyumba zaidi ya 360 katika Wilaya za Mbozi na Momba na kujeruhi watoto wawili
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaZaharibuNyumbaSNG
- Mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi jioni mkoani humo imesababisha uharibifu wa nyumba zaidi ya 360 katika Wilaya za Mbozi na Momba na kujeruhi watoto wawili
Zaidi, soma https://jamii.app/MvuaZaharibuNyumbaSNG
NJOMBE: MWANAMKE AKIRI KUMCHINJA NA KUMLA MTOTO WAKE
- Christina Mlelwa (38) anashikilikiwa na Polisi akituhumiwa kumchinja mwanae Joseph Gumbilo (4) mwenye ulemavu wa viungo
- Alikiri kumuua mwanae, kumla nyama na kutupa viungo vingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmchinjaAmlaMwanae-Njombe
- Christina Mlelwa (38) anashikilikiwa na Polisi akituhumiwa kumchinja mwanae Joseph Gumbilo (4) mwenye ulemavu wa viungo
- Alikiri kumuua mwanae, kumla nyama na kutupa viungo vingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmchinjaAmlaMwanae-Njombe
KIGOMA: BABA LEVO AACHIWA HURU LEO
- Msanii na Diwani wa Mwanga Kaskazini, Clayton Chiponda ‘Baba Levo’ amemaliza kifungo cha miezi 5 na kuachiwa
- Ni baada ya Mahakama kujiridhisha kuwa kifungo alichoongezewa baada ya kukata Rufaa ni Batili
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoAachiwaHuru
- Msanii na Diwani wa Mwanga Kaskazini, Clayton Chiponda ‘Baba Levo’ amemaliza kifungo cha miezi 5 na kuachiwa
- Ni baada ya Mahakama kujiridhisha kuwa kifungo alichoongezewa baada ya kukata Rufaa ni Batili
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoAachiwaHuru