TBA YATAKIWA KUTOPEWA MRADI, MTENDAJI MKUU ATAKIWA KUJITATHMINI
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Nchini(TBA), Arch. Daud Kondoro ajitathmini utendaji wake
- Aidha, amewasimamisha kazi Wakurugenzi watatu wa Wakala hao
Zaidi, soma https://jamii.app/MtendajiTBAKujitathmini
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Nchini(TBA), Arch. Daud Kondoro ajitathmini utendaji wake
- Aidha, amewasimamisha kazi Wakurugenzi watatu wa Wakala hao
Zaidi, soma https://jamii.app/MtendajiTBAKujitathmini
ARUSHA: MWEKA HAZINA WA KIKUNDI ALIYEDAI FEDHA KUPOTEA KISHIRIKINA AKAMATWA
- TAKUKURU inamshikilia Mweka Hazina wa Kikundi cha Ujasiriamali cha Imani, Halima Mwidadi akituhumiwa kula Tsh. Million 39 za kikundi na kudai zimeyeyuka kishirikina
Zaidi, soma https://jamii.app/MwekaHazinaKikundiMbaroni-AR
- TAKUKURU inamshikilia Mweka Hazina wa Kikundi cha Ujasiriamali cha Imani, Halima Mwidadi akituhumiwa kula Tsh. Million 39 za kikundi na kudai zimeyeyuka kishirikina
Zaidi, soma https://jamii.app/MwekaHazinaKikundiMbaroni-AR
UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA KUFANYIKA DESEMBA 18, 2019
- Mchakato wa kuchukua na kurudisha fomu umeanza leo hadi Novemba 30 mwaka huu
- Uchaguzi huo unahusisha nafasi mbalimbali ktk Uongozi ndani ya Chama ngazi ya Taifa na Mabaraza yake matatu
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziCHADEMA-2019
- Mchakato wa kuchukua na kurudisha fomu umeanza leo hadi Novemba 30 mwaka huu
- Uchaguzi huo unahusisha nafasi mbalimbali ktk Uongozi ndani ya Chama ngazi ya Taifa na Mabaraza yake matatu
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziCHADEMA-2019
HAI, KILIMANJARO: KIJANA ADAIWA KUKAMATWA AKIWA NA MAMILIONI YA NOTI BANDIA
- Mdau wa JamiiForums anadai noti bandia za shilingi 10,000 na 5,000 ni nyingi kupita kiasi Wilayani humo
- Ameomba mtandao wa biashara hiyo haramu uchunguzwe
Soma > https://jamii.app/NotiBandiaMoshi
- Mdau wa JamiiForums anadai noti bandia za shilingi 10,000 na 5,000 ni nyingi kupita kiasi Wilayani humo
- Ameomba mtandao wa biashara hiyo haramu uchunguzwe
Soma > https://jamii.app/NotiBandiaMoshi
LUDEWA, NJOMBE: WASIOPANDA ZAO LA BIASHARA KWENDA RUMANDE
- DC Andrea Tsere ametangaza kumuweka rumande Mwananchi atakayeshidwa kuwa na zao la biashara kutokana na uhamasishaji mkubwa unaoendelea Wilayani humo ili kukuza uchumi wa Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/WasiolimaBiasharaRumande-LDW
- DC Andrea Tsere ametangaza kumuweka rumande Mwananchi atakayeshidwa kuwa na zao la biashara kutokana na uhamasishaji mkubwa unaoendelea Wilayani humo ili kukuza uchumi wa Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/WasiolimaBiasharaRumande-LDW
MWANZA: SERIKALI YALIFUNGA KANISA LA ZUMARIDI
- DC wa Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi amepiga marufuku Ibada zinazoendeshwa na Kiongozi wa Kanisa la Mfalme Zumaridi, Diana Bundala hadi watakapojiridhisha kuwa ibada hazikinzani na Sheria za Nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/KanisaMfalmeZumaridiMarufuku
- DC wa Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi amepiga marufuku Ibada zinazoendeshwa na Kiongozi wa Kanisa la Mfalme Zumaridi, Diana Bundala hadi watakapojiridhisha kuwa ibada hazikinzani na Sheria za Nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/KanisaMfalmeZumaridiMarufuku
MIKOA 3 KUTOFANYA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
- Wizara ya TAMISEMI imebainisha kuwa CCM imepita bila kupingwa katika Mikoa ya Katavi, Tanga na Ruvuma
- Imesema katika Mikoa hiyo hakuna Kitongoji, Mtaa wala Kijiji kitakachokuwa na Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/CCMMikoa3Yashinda-SMitaa
- Wizara ya TAMISEMI imebainisha kuwa CCM imepita bila kupingwa katika Mikoa ya Katavi, Tanga na Ruvuma
- Imesema katika Mikoa hiyo hakuna Kitongoji, Mtaa wala Kijiji kitakachokuwa na Uchaguzi
Zaidi, soma https://jamii.app/CCMMikoa3Yashinda-SMitaa
MWANZA: WEZI WAMUUA MTOTO WA MIAKA 7 NA KUIBA MIFUGO ZAIDI YA 50
- Mtoto Andrea Sekei amenyongwa kwa kamba ya viatu, amekatwa koromeo na kupigwa na kitu kizito usoni na Watu ambao hawajafahamika.
- Alikuwa akichunga mifugo eneo la Mahiriga, Magu
Soma https://jamii.app/MtotoAuwawaAkichunga
#JFLeo
- Mtoto Andrea Sekei amenyongwa kwa kamba ya viatu, amekatwa koromeo na kupigwa na kitu kizito usoni na Watu ambao hawajafahamika.
- Alikuwa akichunga mifugo eneo la Mahiriga, Magu
Soma https://jamii.app/MtotoAuwawaAkichunga
#JFLeo
DAR: MWENYEKITI WA CHADEMA, FREEMAN MBOWE ALAZWA HOSPITALI
- Ameshindwa kufika Mahakamani kutokana na kulazwa Hospitali ya Aga Khan tangu Novemba 17
- Ni miongoni mwa viongozi 9 wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi inayoendelea leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweAlazwaNov17
- Ameshindwa kufika Mahakamani kutokana na kulazwa Hospitali ya Aga Khan tangu Novemba 17
- Ni miongoni mwa viongozi 9 wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi inayoendelea leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweAlazwaNov17
RIPOTI: WANAOJIHUSISHA NA KAZI ZA USAFI VYOONI WAKO HATARINI ZAIDI KUPOTEZA MAISHA
> Siku ya Choo Duniani huadhimishwa Novemba 19 kila mwaka na Kati ya mwaka 2017 na 2018, kwa Nchini India imethibitika kuwa watu 3 wanaofanya uzoaji wa taka za chooni hufariki kila baada ya siku 5, huku kwa mwezi watu 18 na kwa mwaka ni watu 216
Zaidi, soma https://jamii.app/HatariAfyaWasafishaVyoo
> Siku ya Choo Duniani huadhimishwa Novemba 19 kila mwaka na Kati ya mwaka 2017 na 2018, kwa Nchini India imethibitika kuwa watu 3 wanaofanya uzoaji wa taka za chooni hufariki kila baada ya siku 5, huku kwa mwezi watu 18 na kwa mwaka ni watu 216
Zaidi, soma https://jamii.app/HatariAfyaWasafishaVyoo
MEYA WA JIJI LA ARUSHA (CHADEMA) KALISTI LAZARO AJIUNGA CCM
- Amesema ni baada ya kupitia wakati mgumu kutoka kwa uongozi wa chama chake
- Amedai, mara kwa mara amepokea barua za onyo za kumtaka kutotoa ushirikiano kwa Viongozi wa Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaArushaKalistiAjiungaCCM
- Amesema ni baada ya kupitia wakati mgumu kutoka kwa uongozi wa chama chake
- Amedai, mara kwa mara amepokea barua za onyo za kumtaka kutotoa ushirikiano kwa Viongozi wa Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaArushaKalistiAjiungaCCM
KINONDONI, DAR: WAKANDARASI WAWILI RAIA WA CHINA WAKAMATWA KWA AMRI YA DC
- DC Daniel Chongolo amewakamata Wakandarasi hao wa Kampuni ya CRJE kwa kushindwa kukamilisha mradi wa ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Taka kilichopo Mabwepande
Zaidi, soma https://jamii.app/WakandarasiCRJEMbaroni-KNDN
- DC Daniel Chongolo amewakamata Wakandarasi hao wa Kampuni ya CRJE kwa kushindwa kukamilisha mradi wa ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Taka kilichopo Mabwepande
Zaidi, soma https://jamii.app/WakandarasiCRJEMbaroni-KNDN
JE, WAJUA RAIS HAWEZI KUSHTAKIWA?
> Ibara ya 46.-(1) ya #Katiba ya Tanzania imeeleza kuwa wakati wote ambao Rais atakapokuwa madarakani, itakuwa ni marufuku kumshtaki au kuendesha mashtaka ya aina yoyote juu yake kwa kosa lolote la jinai
#UmuhimuKatiba
> Ibara ya 46.-(1) ya #Katiba ya Tanzania imeeleza kuwa wakati wote ambao Rais atakapokuwa madarakani, itakuwa ni marufuku kumshtaki au kuendesha mashtaka ya aina yoyote juu yake kwa kosa lolote la jinai
#UmuhimuKatiba
UFARANSA: GAVANA WA KINSHASA ADAIWA KUSHAMBULIWA NA RAIA WA CONGO
- Gentiny Ngobila Mbaka anadaiwa kushambuliwa na raia wa Congo wanaoishi Ufaransa alipokwenda dukani kufanya manunuzi
- Sababu ya raia hao kufanya hivyo haijafahamika bado
Zaidi, soma https://jamii.app/GavanaKinshasaKipigo-FR
- Gentiny Ngobila Mbaka anadaiwa kushambuliwa na raia wa Congo wanaoishi Ufaransa alipokwenda dukani kufanya manunuzi
- Sababu ya raia hao kufanya hivyo haijafahamika bado
Zaidi, soma https://jamii.app/GavanaKinshasaKipigo-FR
MICHEZO: Baada ya Taifa Stars kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Equtorial Guinea, leo inashuka tena dimbani kupambana na Libya kuwania kufuzu kucheza michuano ya AFCON 2021
- Mchezo huo unaotarajiwa kuanza majira ya saa Nne Kamili Usiku (Saa za Afrika Mashariki) utachezwa katika dimba la Olympique Mustapha Ben Jannet Monastir nchini Tunisia
- Mchezo huo unaotarajiwa kuanza majira ya saa Nne Kamili Usiku (Saa za Afrika Mashariki) utachezwa katika dimba la Olympique Mustapha Ben Jannet Monastir nchini Tunisia
MPYA: MAURICIO POCHETTINO AFUNGASHIWA VIRAGO
- Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake huyo baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano
- Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs
- Klabu ya Tottenham Hotspurs imemfuta kazi Kocha wake huyo baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miaka mitano
- Taarifa ya timu inasema matokeo ya mwishoni kwa ligi za ndani msimu uliopita na matokeo ya msimu huu si ya kuridhisha
Zaidi, soma https://jamii.app/PochettinoAfukuzwaSpurs