AFYA: JE, WAJUA CHANZO, DALILI NA TIBA YA TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO?
- Tatizo hili huletwa na kudhoofika au kuumia kwa neva za pembezoni mwa mwili. Moja ya dalili ni mtu kuhisi ganzi
- Kitaalamu tatizo hili hujulikana kwa jina la 'Peripheral Neuropathy'.
Kupata Ushauri, Kinga na Tiba, Soma => https://jamii.app/MiguuKuwakaMoto
- Tatizo hili huletwa na kudhoofika au kuumia kwa neva za pembezoni mwa mwili. Moja ya dalili ni mtu kuhisi ganzi
- Kitaalamu tatizo hili hujulikana kwa jina la 'Peripheral Neuropathy'.
Kupata Ushauri, Kinga na Tiba, Soma => https://jamii.app/MiguuKuwakaMoto
MARUBANI WA NDEGE YA SHIRIKA LA SOUTHWEST WATUHUMIWA KWA KUTEGA KAMERA KATIKA VYOO VYA NDEGE
- Mfanyakazi wa kampuni hiyo anasema lengo la Marubani hao ni kuwapiga picha abiria wanapoenda ktk vyoo vya ndege hiyo wakienda kujisadia
Zaidi, soma > https://jamii.app/CameraVyooSouthwest
- Mfanyakazi wa kampuni hiyo anasema lengo la Marubani hao ni kuwapiga picha abiria wanapoenda ktk vyoo vya ndege hiyo wakienda kujisadia
Zaidi, soma > https://jamii.app/CameraVyooSouthwest
UGANDA: WAHALIFU WAKOSEA NA KULIWEKEA MTEGO GARI LA POLISI, MMOJA AUWA
> Waliweka kizuizi barabarani ktk eneo la Kaliro, walitegemea kuteka gari la raia wa kawaida lakini wakakumbana na gari la Polisi
> Watatu wakimbia, msako unaendelea
Soma > https://jamii.app/ThugsKaliro
> Waliweka kizuizi barabarani ktk eneo la Kaliro, walitegemea kuteka gari la raia wa kawaida lakini wakakumbana na gari la Polisi
> Watatu wakimbia, msako unaendelea
Soma > https://jamii.app/ThugsKaliro
WAZIRI JAFO: MARUFUKU UCHUKUAJI FOMU ZA UGOMBEA KWA MBWEMBWE
- Amevionya Vyama vya Siasa kuacha shamrashamra wakati Wagombea wao wa Serikali za Mitaa wanapochukua fomu
- Amesema vitendo hivyo vitaashiria kampeni kuanza wakati muda wake bado
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuMbwembweUchukuajiFomu
- Amevionya Vyama vya Siasa kuacha shamrashamra wakati Wagombea wao wa Serikali za Mitaa wanapochukua fomu
- Amesema vitendo hivyo vitaashiria kampeni kuanza wakati muda wake bado
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuMbwembweUchukuajiFomu
KENYA: MWALIMU ASAKWA KWA KUMNAJISI MWANAFUNZI WA KIKE ALIYEMUAHIDI KUMLIPIA ADA
> Alimuita nyumbani kwake Mwanafunzi huyo wa Darasa la 5 wa Shule ya Madaraka ili ampe vitabu kisha akamnajisi
> Mwanafunzi aliyenajisiwa ana miaka 12
Soma > https://jamii.app/MwlAnajisiMeruCounty
> Alimuita nyumbani kwake Mwanafunzi huyo wa Darasa la 5 wa Shule ya Madaraka ili ampe vitabu kisha akamnajisi
> Mwanafunzi aliyenajisiwa ana miaka 12
Soma > https://jamii.app/MwlAnajisiMeruCounty
BUGIRI, UGANDA: MTOTO ATEKETEA KWA MOTO, BABA YAKE AKIWA ANAANGALIA MCHEZO WA ARSENAL FC
> Mtoto wa Kike wa miaka 6 amefariki kwa kuteketea kwa moto; Baba yake alimuacha na kwenda kufuatilia mchezo kati ya Arsenal na Crystal Palace
Zaidi, soma > https://jamii.app/MtotoMotoBugiriUG
> Mtoto wa Kike wa miaka 6 amefariki kwa kuteketea kwa moto; Baba yake alimuacha na kwenda kufuatilia mchezo kati ya Arsenal na Crystal Palace
Zaidi, soma > https://jamii.app/MtotoMotoBugiriUG
KENYA: NDEGE YA SHIRIKA LA SILVERSTONE YATUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU KUNG'OKA
- Ndege hiyo imelazimika kutua katika Uwanja wa Eldoret
- KCAA imeanza kuzichunguza Ndege za Shirika hilo baada ya nyingine kupata ajali wiki 2 zilizopita
Soma > https://jamii.app/KCAAVsSilverstone
- Ndege hiyo imelazimika kutua katika Uwanja wa Eldoret
- KCAA imeanza kuzichunguza Ndege za Shirika hilo baada ya nyingine kupata ajali wiki 2 zilizopita
Soma > https://jamii.app/KCAAVsSilverstone
KATAVI: MKUU WA MKOA AKANUSHA KUSEMA ANATAKA WANANCHI WAROGWE ILI WAPIGE KURA
- Mkuu wa Wilaya ya Katavi, Juma Homera amedai Wapinzani wake wamemzushia kauli hiyo
- Amesema anajua wanafanya hivyo kwa kuwa amewashika pabaya na anawanyoosha kama rula
Zaidi, soma https://jamii.app/HomeraAkanushaKutakaWananchiWarogwe
- Mkuu wa Wilaya ya Katavi, Juma Homera amedai Wapinzani wake wamemzushia kauli hiyo
- Amesema anajua wanafanya hivyo kwa kuwa amewashika pabaya na anawanyoosha kama rula
Zaidi, soma https://jamii.app/HomeraAkanushaKutakaWananchiWarogwe
LUDEWA, NJOMBE: DC ATAKA WANAOISHI BILA NDOA WAPELEKWE MAHABUSU
- Andrea Tsele amemuagiza Mtendaji wa Kata ya Mavanga kuwapeleka Mahabusu watu wanaoishi bila ndoa
- Amesema, wasiofunga ndoa wanaongeza watoto wa mtaani kwani wanazaa na kuachana
Zaidi, soma https://jamii.app/LudewaWaoishioBilaNdoaMahabusu
- Andrea Tsele amemuagiza Mtendaji wa Kata ya Mavanga kuwapeleka Mahabusu watu wanaoishi bila ndoa
- Amesema, wasiofunga ndoa wanaongeza watoto wa mtaani kwani wanazaa na kuachana
Zaidi, soma https://jamii.app/LudewaWaoishioBilaNdoaMahabusu
TANZANIA KUZIJIBU RIPOTI ZA AMNESTY NA HRW MSTARI KWA MSTARI
- Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga amesema Serikali inachukulia ripoti hizo kwa uzito mkubwa na baadhi ya mambo walishayatolea maelezo kipindi cha nyuma
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKujibuRipotiAmnestyHRW
- Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga amesema Serikali inachukulia ripoti hizo kwa uzito mkubwa na baadhi ya mambo walishayatolea maelezo kipindi cha nyuma
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKujibuRipotiAmnestyHRW
JE, WAJUA CHANZO CHA UGONJWA WA SARATANI?
- Ugonjwa huu unaotokea katika viini vya mwili vinavyohusika na kurithisha tabia kutoka kizazi kimoja hadi kingine
- Moshi wa tumbaku, magari na mionzi ya jua na X-rays vyatajwa kuwa visababishi
Kufahamu zaidi, tembelea https://jamii.app/ElimuSaratani
- Ugonjwa huu unaotokea katika viini vya mwili vinavyohusika na kurithisha tabia kutoka kizazi kimoja hadi kingine
- Moshi wa tumbaku, magari na mionzi ya jua na X-rays vyatajwa kuwa visababishi
Kufahamu zaidi, tembelea https://jamii.app/ElimuSaratani
SIKU YA KIHARUSI DUNIANI: Huadhimishwa Oktoba 29, ili kusisitiza uwepo wa ugonjwa huo, kuongeza uelewa wa kuzuia na matibabu yake
- #Kiharusi kinaweza kutokea kwa mtu yeyote, wakati wowote na mahali popote
Kufahamu zaidi, soma https://jamii.app/DaliliMadharaKiharusi
#StrokeDay
- #Kiharusi kinaweza kutokea kwa mtu yeyote, wakati wowote na mahali popote
Kufahamu zaidi, soma https://jamii.app/DaliliMadharaKiharusi
#StrokeDay
KENYA: DANIEL ARAP MOI ALAZWA TENA HOSPITALI WIKI MBILI BAADA YA KUTOKA
- Rais huyo wa Zamani wa Kenya, amelazwa katika Chumba cha Uangalizi Maalumu (ICU) katika hospitali ya Nairobi
- Madaktari wanaomuhudumia wanasema ni kutokana na maumivu ya kifua na shida katika kupumua
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiAdmittedAgain
- Rais huyo wa Zamani wa Kenya, amelazwa katika Chumba cha Uangalizi Maalumu (ICU) katika hospitali ya Nairobi
- Madaktari wanaomuhudumia wanasema ni kutokana na maumivu ya kifua na shida katika kupumua
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiAdmittedAgain
USHAURI: WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA WAPELEKWE VETA BADALA YA JKT
- Mdau kutoka JamiiForums ameiomba Serikali ibadili sera kwa Vijana wanaomaliza Kidato cha Sita kupelekwa VETA ili wakapate mafunzo ya awali ya ufundi mbalimbali
- Amedai, mabadiliko hayo yatasaidia kuwaandaa vijana wenye ujuzi mbalimbali mitaani watakaoweza kujiajiri au kuajiriwa
Kujadili, tembelea https://jamii.app/Vijana-JKTvsVETA
- Mdau kutoka JamiiForums ameiomba Serikali ibadili sera kwa Vijana wanaomaliza Kidato cha Sita kupelekwa VETA ili wakapate mafunzo ya awali ya ufundi mbalimbali
- Amedai, mabadiliko hayo yatasaidia kuwaandaa vijana wenye ujuzi mbalimbali mitaani watakaoweza kujiajiri au kuajiriwa
Kujadili, tembelea https://jamii.app/Vijana-JKTvsVETA
SERIKALI YADAIWA KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA KATIKA KESI YA BULAYA DHIDI YA WASIRA
- Jaji Mfawidhi mstaafu, Noel Chocha asema alipata vishawishi kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali wakitaka aubebe upande mmoja
Zaidi, soma > https://jamii.app/JajiChochaHaki
- Jaji Mfawidhi mstaafu, Noel Chocha asema alipata vishawishi kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali wakitaka aubebe upande mmoja
Zaidi, soma > https://jamii.app/JajiChochaHaki
RIPOTI YA CAG KWA MWAKA 2017/18: MAMLAKA YA BANDARI NCHINI YAKALIA KUTI KAVU
- Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali yataka uchunguzi wa mapungufu ktk ununuzi wa vifaa vya TEHAMA, ununuzi wa ardhi na ajira 32 kama ilivyoanishwa ktk ripoti
Soma > https://jamii.app/PACvsTPA
- Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali yataka uchunguzi wa mapungufu ktk ununuzi wa vifaa vya TEHAMA, ununuzi wa ardhi na ajira 32 kama ilivyoanishwa ktk ripoti
Soma > https://jamii.app/PACvsTPA
AMERIKA KUSINI: MAASKOFU KATOLIKI WAPITISHA PENDEKEZO LA KUWA NA MAPADRI WALIOOA
- Pendekezo limepitishwa kwa kura 128 dhidi ya 41
- Nchi zilizo kwenye pendekezo ni Bolivia, Brazil, Colombia, Ecuador, French Guiana, Guyana, Peru na Venezuela
Soma https://jamii.app/KatolikiLatinAmerica
- Pendekezo limepitishwa kwa kura 128 dhidi ya 41
- Nchi zilizo kwenye pendekezo ni Bolivia, Brazil, Colombia, Ecuador, French Guiana, Guyana, Peru na Venezuela
Soma https://jamii.app/KatolikiLatinAmerica
IRAQ: MAANDAMANO YAENDELEA, WATU WAUAWA NA WENGINE WAJERUHIWA
- Watu 18 wameuawa na mamia kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya Waandamanaji huko Karbala
- Waandamanaji hao wanapinga rushwa Serikalini na ukosefu wa huduma muhimu
Zaidi, soma https://jamii.app/18WauawaIraqMaandamano
- Watu 18 wameuawa na mamia kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya Waandamanaji huko Karbala
- Waandamanaji hao wanapinga rushwa Serikalini na ukosefu wa huduma muhimu
Zaidi, soma https://jamii.app/18WauawaIraqMaandamano