MDAU: SERIKALI IINGILIE KATI TABIA YA "WASWAHILI" KUFUNGA BARABARA ZA MTAANI KISA WAMEPATA MSIBA AU WANAFANYA SHEREHE
- Anasema, amepata kadhia ya kuchelewa anakokwenda kutokana na njia rasmi kufungwa kisa mmoja wa wakazi wa eneo husika anafanya sherehe
Soma > https://jamii.app/KufungaNjiaDar
- Anasema, amepata kadhia ya kuchelewa anakokwenda kutokana na njia rasmi kufungwa kisa mmoja wa wakazi wa eneo husika anafanya sherehe
Soma > https://jamii.app/KufungaNjiaDar
WAZIRI AMKAMATA DEREVA AKIFANYA MAKOSA. ABIRIA WARUDISHIWA NAULI
- Waziri Kangi Lugola amemkamata Marijani Saidi, dereva wa basi la Manoni Safaris akitokea Mwanza kwenda Mara, kwa kuendesha kwa mwendokasi na kutaka kupita lori bila tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAkamataDereva
- Waziri Kangi Lugola amemkamata Marijani Saidi, dereva wa basi la Manoni Safaris akitokea Mwanza kwenda Mara, kwa kuendesha kwa mwendokasi na kutaka kupita lori bila tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAkamataDereva
ZAHERA: HAKUNA MCHEZAJI WA YANGA ANAWEZA KUCHEZA PYRAMID FC
- Kocha wa Yanga amesema hawasikilizi Mashabiki kwani anawasiliana na Uongozi uliompa Mkataba
- Amesema, mashabiki hawapaswi kumlaumu kwani usajili wao ulikuwa kwaajili ya Ligi Kuu
Zaidi, soma https://jamii.app/Zahera-MashabikiYanga
- Kocha wa Yanga amesema hawasikilizi Mashabiki kwani anawasiliana na Uongozi uliompa Mkataba
- Amesema, mashabiki hawapaswi kumlaumu kwani usajili wao ulikuwa kwaajili ya Ligi Kuu
Zaidi, soma https://jamii.app/Zahera-MashabikiYanga
AFYA: TATIZO LA UVIMBE WA NDANI YA NGOZI (LIPOMA). JE, WAJUA CHANZO, DADLILI NA TIBA YAKE?
- Lipoma ni uvimbe unaotokea kutokana na kukua zaidi kwa seli mafuta na uvimbe huu huonekana ndani ya ngozi
- Kwa elimu ya chanzo, dalili na tiba, fungua > https://jamii.app/Lipoma
- Lipoma ni uvimbe unaotokea kutokana na kukua zaidi kwa seli mafuta na uvimbe huu huonekana ndani ya ngozi
- Kwa elimu ya chanzo, dalili na tiba, fungua > https://jamii.app/Lipoma
BEIRUT, LEBANON: WAZIRI MKUU, SAAD HARIRI ATANGAZA KUJIUZULU KUFUATIA MAANDAMANO YA WANANCHI
- Wananchi wameandamana kwa wiki 2 wakimtaka aachie madaraka
- Oktoba 17, Serikali ilitangaza kuanza kukata kodi kwenye mazungumzo ya WhatsApp
Soma > https://jamii.app/SaadHaririAjiuzulu
- Wananchi wameandamana kwa wiki 2 wakimtaka aachie madaraka
- Oktoba 17, Serikali ilitangaza kuanza kukata kodi kwenye mazungumzo ya WhatsApp
Soma > https://jamii.app/SaadHaririAjiuzulu
TAHADHARI YA MVUA KUBWA YATOLEWA KWA BAADHI YA MAENEO NCHINI
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini, imetoa utabiri wa hali ya hewa hatarishi kwa siku tano ambapo mvua kubwa inatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera, Mara pamoja na Magharibi mwa mkoa wa Simiyu
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariMvuaKZiwa
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini, imetoa utabiri wa hali ya hewa hatarishi kwa siku tano ambapo mvua kubwa inatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera, Mara pamoja na Magharibi mwa mkoa wa Simiyu
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariMvuaKZiwa
TANZIA: MWANDISHI NGULI WA VITABU VYA JIOGRAFIA, DOMINIK THABIT MSABILA AFARIKI DUNIA
- Amefariki leo katika Hospitali ya Chuo Kikuu SUA, baada ya kuugua kwa muda mfupi
> Msabila alitumia kalamu yake kuwasaidia vijana wengi kwa kuandika vitabu vya somo la Jiografia
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPMsabila
- Amefariki leo katika Hospitali ya Chuo Kikuu SUA, baada ya kuugua kwa muda mfupi
> Msabila alitumia kalamu yake kuwasaidia vijana wengi kwa kuandika vitabu vya somo la Jiografia
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPMsabila
KESI NAMBA 456 (JAMHURI v JAMIIFORUMS): HUKUMU NI NOVEMBA 26
- Upande wa Utetezi umefunga ushahidi wake uliokuwa unatolewa mbele ya Hakimu Simba katika Mahakama ya Kisutu
- Mawakili wa Utetezi watapeleka utetezi wa maandishi Novemba 20, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/Kesi456UteteziUshahidi
- Upande wa Utetezi umefunga ushahidi wake uliokuwa unatolewa mbele ya Hakimu Simba katika Mahakama ya Kisutu
- Mawakili wa Utetezi watapeleka utetezi wa maandishi Novemba 20, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/Kesi456UteteziUshahidi
JE, MUDA GANI KIAFYA UNARUHUSIWA KUTUMIA KILEVI BAADA YA KUNYWA DAWA?
- Unapokunywa pombe baada ya kutumia dawa, mwili hutambua pombe kama sumu. Ini huacha kazi zote na kupigana/kuchuja sumu iliyoingia mwilini
Kwa ufafanuzi zaidi, bofya https://jamii.app/DawaVsPombe
- Unapokunywa pombe baada ya kutumia dawa, mwili hutambua pombe kama sumu. Ini huacha kazi zote na kupigana/kuchuja sumu iliyoingia mwilini
Kwa ufafanuzi zaidi, bofya https://jamii.app/DawaVsPombe
DAR: ALIYEKISABABISHIA CHUO HURIA HASARA NA KUKAA MAHABUSU MIAKA 7, AHUKUMIWA
- Marietha Milinga amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 12.9 na kifungo cha nje cha miezi 6 kwa kukisababishia hasara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/HasaraChuoHuriaHukumu
- Marietha Milinga amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 12.9 na kifungo cha nje cha miezi 6 kwa kukisababishia hasara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/HasaraChuoHuriaHukumu
CARABAO CUP: MAN. CITY, LEICESTER, EVERTON ZAINGIA ROBO FAINALI
- Klabu hizo pamoja na klabu za Oxford United na Colchester United zimeingia robo fainali baada ya kuibuka na ushindi kwenye michezo yao ya jana usiku
- Michuano hiyo inaendelea tena leo usiku kwa michezo ya kukata na shoka, Chelsea inaikaribisha Man. United na Liverpool itavaana uso kwa uso na Arsenal
- Klabu hizo pamoja na klabu za Oxford United na Colchester United zimeingia robo fainali baada ya kuibuka na ushindi kwenye michezo yao ya jana usiku
- Michuano hiyo inaendelea tena leo usiku kwa michezo ya kukata na shoka, Chelsea inaikaribisha Man. United na Liverpool itavaana uso kwa uso na Arsenal
RWANDA YAZINDUA MAGARI YA KWANZA YANAYOTUMIA UMEME
- Imeshirikiana na Kampuni za Volkswagen na Siemens kuzindua magari yatakayokuwa rafiki kwa mazingira
- Magari 50 yaliyotengenezwa kwa ajili ya majaribio yataanza kubeba abiria
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariUmemeRwanda
- Imeshirikiana na Kampuni za Volkswagen na Siemens kuzindua magari yatakayokuwa rafiki kwa mazingira
- Magari 50 yaliyotengenezwa kwa ajili ya majaribio yataanza kubeba abiria
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariUmemeRwanda
DAR: Basi la Abood linalofanya safari zake kati ya Dar na Morogoro, limepata ajali baada ya kupinduka katika njia ya mchepuko maeneo ya Kimara Temboni, asubuhi ya leo, Oktoba 30, 2019
- Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika na madhara kwa abiria waliokuwemo ndani ya basi, bado hayajajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliAboodKimara
- Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika na madhara kwa abiria waliokuwemo ndani ya basi, bado hayajajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliAboodKimara
CAMEROON: WATU 42 WAUAWA KATIKA MAPOROMOKO YA UDONGO
- Wamefariki jana, katika maporomoko ya udongo yaliyotokea huko Bafoussam kutokana na mvua kubwa zinazonyesha
- Zaidi ya watu 30 hawajulikani walipo na 70 wamejeruhiwa, 6 wakiwa mahututi
Zaidi, soma https://jamii.app/42KilledLandslide-CMR
- Wamefariki jana, katika maporomoko ya udongo yaliyotokea huko Bafoussam kutokana na mvua kubwa zinazonyesha
- Zaidi ya watu 30 hawajulikani walipo na 70 wamejeruhiwa, 6 wakiwa mahututi
Zaidi, soma https://jamii.app/42KilledLandslide-CMR
SAN FRANCISCO MAREKANI: KAMPUNI YA WHATSAPP IMELISHTAKI SHIRIKA LA NSO LA ISRAELI KWA UDUKUZI
- WhatsApp wanasema kuwa, NSO Group wamefanya udukuzi kwenye mawasiliano ya WhatsApp ya Wanahabari, Viongozi na Watetezi wa Haki za Binadamu
Zaidi, soma => https://jamii.app/NSOUdukuziWhatsApp
- WhatsApp wanasema kuwa, NSO Group wamefanya udukuzi kwenye mawasiliano ya WhatsApp ya Wanahabari, Viongozi na Watetezi wa Haki za Binadamu
Zaidi, soma => https://jamii.app/NSOUdukuziWhatsApp
UGANDA: WAMILIKI WA NYUMBA ZA KULALA WAGENI WATAKIWA KUPELEKA MAJINA YA WATEJA POLISI
- Polisi imesema, hiyo ni njia mojawapo ya kupambana na uhalifu
- Taarifa hizo zitakazokusanywa kila asubuhi zitatumiwa katika masuala ya Kiintelijensia
Zaidi, soma https://jamii.app/HoteliersGuestPolice-UG
- Polisi imesema, hiyo ni njia mojawapo ya kupambana na uhalifu
- Taarifa hizo zitakazokusanywa kila asubuhi zitatumiwa katika masuala ya Kiintelijensia
Zaidi, soma https://jamii.app/HoteliersGuestPolice-UG
RC PAUL MAKONDA AMTAKA IDRIS SULTAN KUFIKA POLISI
- Amemtaka Mchekeshaji huyo kufika Kituo chochote cha Polisi na huko atakuta ujumbe wake
- Ni baada ya Idris kuhariri picha ya Rais Magufuli na kuichapisha kwenye Mitandao yake ya Kijamii
Zaidi, soma https://jamii.app/MakondaIdrisPolisi
- Amemtaka Mchekeshaji huyo kufika Kituo chochote cha Polisi na huko atakuta ujumbe wake
- Ni baada ya Idris kuhariri picha ya Rais Magufuli na kuichapisha kwenye Mitandao yake ya Kijamii
Zaidi, soma https://jamii.app/MakondaIdrisPolisi
UGANDA: MSICHANA WA MIAKA 11 AFANYIWA UPASUAJI NA KUBADILI JINSIA, ASEMA AMETIMIZA NDOTO YA KUWA MVULANA
- Mtoto huyo alizaliwa akiwa na jinsi ya Kike lakini kadiri siku zinavyokwenda sehemu ya uke wake ilianza kubadilika na kuota uume
Soma => https://jamii.app/UpasuajiJinsiaMulago
- Mtoto huyo alizaliwa akiwa na jinsi ya Kike lakini kadiri siku zinavyokwenda sehemu ya uke wake ilianza kubadilika na kuota uume
Soma => https://jamii.app/UpasuajiJinsiaMulago
KAGERA: KAIMU MENEJA KAMPUNI YA RANCHI YA TAIFA (NARCOS) KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Prof. Philemoni Nyangi, anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya Ofisi, Ubadhirifu na Uhujumu Uchumi
- Anadaiwa kupokea Tsh. Milioni 12 kwa aliyehitaji kitalu
Zaidi, soma https://jamii.app/KMenejaNARCOKizimbani
- Prof. Philemoni Nyangi, anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya Ofisi, Ubadhirifu na Uhujumu Uchumi
- Anadaiwa kupokea Tsh. Milioni 12 kwa aliyehitaji kitalu
Zaidi, soma https://jamii.app/KMenejaNARCOKizimbani