BREAKING NEWS: Reports suggest leader of Islamic State (IS), Abu Bakr al Baghdadi has been killed in a raid conducted by the U.S. military in northwest Syria
> The final confirmation is pending while DNA and biometric testing is conducted
> The final confirmation is pending while DNA and biometric testing is conducted
JamiiForums
Photo
DEVELOPING: The raid was carried out by special operations forces after they received "actionable intelligence"
> The defense official said it appears that Baghdadi detonated a suicide vest during the raid
> The CIA assisted in locating the ISIS leader
> The defense official said it appears that Baghdadi detonated a suicide vest during the raid
> The CIA assisted in locating the ISIS leader
MGOGORO CATALONIA: MAELFU WAENDELEA KUHIMIZA KUJITENGA
- Wameandamana Barcelona wakipinga kuhukumiwa kwa Viongozi wa kujitenga huku wakisisitiza kujitenga
- Viongozi 9 wa Mpango huo walihukumiwa Oktoba 14 na Mahakama Kuu kwa kosa la uasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SeparatistsProtestCatalonia
- Wameandamana Barcelona wakipinga kuhukumiwa kwa Viongozi wa kujitenga huku wakisisitiza kujitenga
- Viongozi 9 wa Mpango huo walihukumiwa Oktoba 14 na Mahakama Kuu kwa kosa la uasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SeparatistsProtestCatalonia
MAREKANI YAFUTA SAFARI ZA NDEGE KWENDA CUBA
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema uamuzi huo umechukuliwa kama muendelezo wa vikwazo dhidi ya utawala huo kukandamiza raia wake na kuunga mkono utawala wa Rais Nicolas Maduro, nchini Venezuela
Soma - https://jamii.app/USBanFlightsCuba
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema uamuzi huo umechukuliwa kama muendelezo wa vikwazo dhidi ya utawala huo kukandamiza raia wake na kuunga mkono utawala wa Rais Nicolas Maduro, nchini Venezuela
Soma - https://jamii.app/USBanFlightsCuba
MUDA MREFU WA KUJAMIIANA NI DAKIKA 13, USIJIUE KWA KUTUMIA MADAWA
> Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo
Kwa ufafanuzi zaidi, fungua > https://jamii.app/SaxRange
> Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo
Kwa ufafanuzi zaidi, fungua > https://jamii.app/SaxRange
RAIS WA ZANZIBAR AITAKA JUMUIYA YA MAJAJI EAC KUANDIKA SHERIA KWA KISWAHILI
> Rais Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hatua hiyo itawasaidia na kuwarahisishia wananchi kupata haki zao sambamba na kuzifahamu vyema sheria za nchi zao kwani jambo hilo lina umuhimu mkubwa katika kutafuta haki kwa wananchi hali itakayowafanya kuwa Raia Bora na wenye kutii Sheria za Nchi
Soma - https://jamii.app/LughaSheriaKiswahili
> Rais Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hatua hiyo itawasaidia na kuwarahisishia wananchi kupata haki zao sambamba na kuzifahamu vyema sheria za nchi zao kwani jambo hilo lina umuhimu mkubwa katika kutafuta haki kwa wananchi hali itakayowafanya kuwa Raia Bora na wenye kutii Sheria za Nchi
Soma - https://jamii.app/LughaSheriaKiswahili
KATAVI: MKUU WA MKOA AWAPA WAGANGA KAZI YA KUWALOGA WANANCHI WA MKOA HUO ILI WAPIGE KURA
- RC Juma Homera, amewataka Waganga wa Jadi utumia ujuzi wao kuwaloga watu ili wakapige kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 24, 2019
Soma > https://jamii.app/RCKataviWaganga
- RC Juma Homera, amewataka Waganga wa Jadi utumia ujuzi wao kuwaloga watu ili wakapige kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 24, 2019
Soma > https://jamii.app/RCKataviWaganga
SHIRIKA LA RELI LASITISHA SAFARI KWA UKANDA WA KASKAZINI
- Limeomba radhi kwa safari za mikoa ya Kilimanjaro na Tanga kusitishwa kuanzia Oktoba 26, 2019
- Ni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na zilizosababisha uharibifu wa miundombinu
Zaidi, soma https://jamii.app/TRCSafariKaskZasitishwa
- Limeomba radhi kwa safari za mikoa ya Kilimanjaro na Tanga kusitishwa kuanzia Oktoba 26, 2019
- Ni kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na zilizosababisha uharibifu wa miundombinu
Zaidi, soma https://jamii.app/TRCSafariKaskZasitishwa
MWANARIADHA WA TANZANIA ANYAKUA MEDALI YA FEDHA
- Mwanariadha Alphonce Simbu ameshinda medali hiyo katika Mashindano ya Majeshi ya Dunia yanayoendelea China
- Mwanariadha huyo ambaye ni Mwanajeshi wa JWTZ, alikimbia Marathon kwa saa 2:11:16
Zaidi, soma https://jamii.app/TanzaniaMedaliSilver
- Mwanariadha Alphonce Simbu ameshinda medali hiyo katika Mashindano ya Majeshi ya Dunia yanayoendelea China
- Mwanariadha huyo ambaye ni Mwanajeshi wa JWTZ, alikimbia Marathon kwa saa 2:11:16
Zaidi, soma https://jamii.app/TanzaniaMedaliSilver
❤1
HARMONIZE AWAKERA WANAHABARI KENYA, WASEMA ANA DHARAU ILIYOKOMAA
- Wamekasirika baada ya Mwanamuziki huyo kutoka Tanzania, kuwapa dakika 3 za mahojiano
- Afika kwenye mahojiano akiwa ameongozana na walinzi waliowasukuma Wanahabari
Soma > https://jamii.app/HarmonizeKenya
- Wamekasirika baada ya Mwanamuziki huyo kutoka Tanzania, kuwapa dakika 3 za mahojiano
- Afika kwenye mahojiano akiwa ameongozana na walinzi waliowasukuma Wanahabari
Soma > https://jamii.app/HarmonizeKenya
RIPOTI: HALI YA HOFU, UDHIBITI WA VYOMBO VYA HABARI NA UKANDAMIZAJI #TANZANIA
- Taasisi za Amnesty International na Human Right Watch zimesema Ukandamizaji wa vyombo vya habari, Watetezi wa #HakiZaBinadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015
- Sera na hatua za kupinga mabadiliko ya Serikali zimezuia vyombo vya habari, zimepandikiza hofu kati ya Asasi za Kiraia na kuminya shughuli za vyama vya siasa
Zaidi, tembelea https://jamii.app/RipotiAmnestyUkandamizajiTZ
- Taasisi za Amnesty International na Human Right Watch zimesema Ukandamizaji wa vyombo vya habari, Watetezi wa #HakiZaBinadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015
- Sera na hatua za kupinga mabadiliko ya Serikali zimezuia vyombo vya habari, zimepandikiza hofu kati ya Asasi za Kiraia na kuminya shughuli za vyama vya siasa
Zaidi, tembelea https://jamii.app/RipotiAmnestyUkandamizajiTZ
URUSI: MWANAJESHI AWAUAWA KWA RISASI WENZAKE 8 NA KUWAJERUHI WENGINE WAWILI
- Ramil Shamsutdinov amekamatwa na taarifa za awali zinaeleza kuwa huenda Askari huyo anaugua magonjwa ya akili
- Alifyatua risasi wakati wa kubadilishana zamu
Soma > https://jamii.app/MwanajeshiAuaUrusi
- Ramil Shamsutdinov amekamatwa na taarifa za awali zinaeleza kuwa huenda Askari huyo anaugua magonjwa ya akili
- Alifyatua risasi wakati wa kubadilishana zamu
Soma > https://jamii.app/MwanajeshiAuaUrusi
VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA WANAOWAHUJUMU WAKULIMA WATAKIWA KUKAMATWA
- Agizo limetolewa na Waziri Lugola kwenda kwa Polisi Nchini
- Ni baada ya DC wa Bunda kuwakamata viongozi walioshindwa kurejesha Serikalini zaidi ya Tsh. Bilioni 1.8
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziUshirikaKukamatwa
- Agizo limetolewa na Waziri Lugola kwenda kwa Polisi Nchini
- Ni baada ya DC wa Bunda kuwakamata viongozi walioshindwa kurejesha Serikalini zaidi ya Tsh. Bilioni 1.8
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziUshirikaKukamatwa
UMOJA WA ULAYA (EU) WAKUBALI KUIONGEZEA MUDA UINGEREZA KUJADILI BREXIT
- Wamekubaliana na ombi la Uingereza la kuongeza muda wa miezi 3 wa kupitisha mpango wake wa kujitoa kwenye Umoja huo (Brexit) ikiwa awali mwisho ilikuwa Oktoba 31, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/EUAgreesBrexitExtension
- Wamekubaliana na ombi la Uingereza la kuongeza muda wa miezi 3 wa kupitisha mpango wake wa kujitoa kwenye Umoja huo (Brexit) ikiwa awali mwisho ilikuwa Oktoba 31, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/EUAgreesBrexitExtension
AFYA: WAZIJUA ATHARI ZA KUNYWA MAJI MENGI KUPITA KIASI?
> Kunywa maji kupitia kiasi husababisha kutokwa na jasho jingi, usumbufu wakati wa kulala, kumewahi sababisha kifo
> Je, wajua kiasi kinachoshauriwa na Wataalamu?
Kwa makala hii, soma > https://jamii.app/KiasiMajiMwili
#JFAfya
> Kunywa maji kupitia kiasi husababisha kutokwa na jasho jingi, usumbufu wakati wa kulala, kumewahi sababisha kifo
> Je, wajua kiasi kinachoshauriwa na Wataalamu?
Kwa makala hii, soma > https://jamii.app/KiasiMajiMwili
#JFAfya
RC CHALAMILA: WANAOKOSOA MAENDELEO YA SERIKALI WENGI HAWAJAOLEWA, HAWAJAOA AU WAMEACHIKA
- RC wa Mbeya, Albert Chalamila amedai kwa utafiti alioufanya, amegundua hayo na pia amedai Wakosoajia hao hudhani Serikali ndiyo imeharibu mahusiano yao
Zaidi, soma https://jamii.app/ChalamilaUhusianoSerikali
- RC wa Mbeya, Albert Chalamila amedai kwa utafiti alioufanya, amegundua hayo na pia amedai Wakosoajia hao hudhani Serikali ndiyo imeharibu mahusiano yao
Zaidi, soma https://jamii.app/ChalamilaUhusianoSerikali