UN: ZAIDI YA WATOTO NA VIJANA MILIONI 1.3 DUNIANI KOTE NI WAFUNGWA
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
MAREKANI: DAKTARI AKIRI KUUA KWA UZEMBE MTU ALIYETAKA KUONGEZA MAKALIO
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt
TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MAWAZIRI SEKTA ZA MAZINGIRA, MALIASILI NA UTALII SADC
> Mkutano huo unafanyika jijini Arusha na utajadili mwenendo wa hali ya mazingira, mabadiliko ya hali ya hewa na hali ya utalii na misitu katika nchi za SADC
> Pia, utajadili juu ya utekelezaji wa mikakati ya hifadhi na usimamizi wa mazingira
Soma - https://jamii.app/MkutanoSADCMazingira
> Mkutano huo unafanyika jijini Arusha na utajadili mwenendo wa hali ya mazingira, mabadiliko ya hali ya hewa na hali ya utalii na misitu katika nchi za SADC
> Pia, utajadili juu ya utekelezaji wa mikakati ya hifadhi na usimamizi wa mazingira
Soma - https://jamii.app/MkutanoSADCMazingira
MWILI WA KIJANA WAKUTWA VICHAKANI BAADA YA KUPOTEA KWA SIKU 8
> Mwili wa Noel Jengeni Mlilo (27) umepatikana kichakani ukiwa na jeraha mgongoni ambalo linaonesha kusababishwa na kitu chenye ncha kali
> Pia, mwili wake ulionesha hali ya kukosa hewa na kuachana kwa mifupa ambayo ilisababishwa na mkabo uliokusudiwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili
Soma - https://jamii.app/MwiliWaokotwaKichakani
> Mwili wa Noel Jengeni Mlilo (27) umepatikana kichakani ukiwa na jeraha mgongoni ambalo linaonesha kusababishwa na kitu chenye ncha kali
> Pia, mwili wake ulionesha hali ya kukosa hewa na kuachana kwa mifupa ambayo ilisababishwa na mkabo uliokusudiwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili
Soma - https://jamii.app/MwiliWaokotwaKichakani
TBS YAONDOA VIPODOZI AINA 16 VYENYE SUMU SOKONI
> Vipodozi vilivyoondolewa vinaelezwa kuwa na viambata vyenye sumu hivyo kuhatarisha afya kwa watumiaji.
> Baadhi ni Carolight, Movate, Diproson,Viva White, Bronz na Eclair, Citrolight, Tent Clear, Light up, Dermotyl na Top Lemon
Soma - https://jamii.app/TBSVipondoziSumu
> Vipodozi vilivyoondolewa vinaelezwa kuwa na viambata vyenye sumu hivyo kuhatarisha afya kwa watumiaji.
> Baadhi ni Carolight, Movate, Diproson,Viva White, Bronz na Eclair, Citrolight, Tent Clear, Light up, Dermotyl na Top Lemon
Soma - https://jamii.app/TBSVipondoziSumu
MACHAFUKO CHILE: ABIRIA WAZUILIWA UWANJA WA NDEGE WA SANTIAGO NA SAFARI ZAFUTWA
> Safari hizo zimesitishwa kutokana na vurugu zinazoendelea kwa siku 3 mfululizo na kusababisha vifo vya watu 7 mpaka sasa
> Serikali imetangaza hali ya dharura katika Majimbo matano, ikiwa ni pamoja na Mji Mkuu wenye wakaazi milioni 7
Soma - https://jamii.app/SantiagoFlightsSuspended
> Safari hizo zimesitishwa kutokana na vurugu zinazoendelea kwa siku 3 mfululizo na kusababisha vifo vya watu 7 mpaka sasa
> Serikali imetangaza hali ya dharura katika Majimbo matano, ikiwa ni pamoja na Mji Mkuu wenye wakaazi milioni 7
Soma - https://jamii.app/SantiagoFlightsSuspended
AJALI YA NYUMBA KUUNGUA: WATOTO WAWILI WAPOTEZA MAISHA
> Jaksoni Kebini (4) na Deograta Kebini (1) wakazi wa Halmashauri ya Muleba Mkoani Kagera wameteketea kwa moto baada ya kibatari kusababisha nyumba yao kuungua wakati wakiwa wamelala
> Wazazi wao walikuwa kwenye biashara wakati ajali hiyo ikitokea
Soma - https://jamii.app/VifoNyumbaMoto
> Jaksoni Kebini (4) na Deograta Kebini (1) wakazi wa Halmashauri ya Muleba Mkoani Kagera wameteketea kwa moto baada ya kibatari kusababisha nyumba yao kuungua wakati wakiwa wamelala
> Wazazi wao walikuwa kwenye biashara wakati ajali hiyo ikitokea
Soma - https://jamii.app/VifoNyumbaMoto
USHAURI KWA TRA: WANAOAGIZA MIZIGO NJE WAPEWE UNAFUU KATIKA KULIPA KODI
-
Mdau wa JamiiForums.com anasema TRA iwape nafuu wafanyabiashara wanaoagiza mizigo nje, baada ya makadirio ya kodi wapewe nafasi ya kulipa kwa awamu au muda hata miezi sita katika kumaliza kulipa hiyo kodi
-
Anaongeza kuwa, kama wanavyofanya kwenye makadirio ya Kodi ya mwaka kwamba unalipa kwa awamu nne basi ifanye na hapa pia kwani itawasaidia wafanyabiashara na wananchi wa kawaida kuweza kufikia malengo yao na kukuza uchumi
-
Anasema, baadhi ya bidhaa kutoka nje huuzwa kwa bei ndogo lakini kodi inakuwa kubwa zaidi hata ya mara mbili ya bei ulionunulia. Serikali iangalie hili ili kuwapa unafuu wa maisha wananchi wake
Tembelea - https://jamii.app/HojaMalipoKodiMizigo
#JFHoja
-
Mdau wa JamiiForums.com anasema TRA iwape nafuu wafanyabiashara wanaoagiza mizigo nje, baada ya makadirio ya kodi wapewe nafasi ya kulipa kwa awamu au muda hata miezi sita katika kumaliza kulipa hiyo kodi
-
Anaongeza kuwa, kama wanavyofanya kwenye makadirio ya Kodi ya mwaka kwamba unalipa kwa awamu nne basi ifanye na hapa pia kwani itawasaidia wafanyabiashara na wananchi wa kawaida kuweza kufikia malengo yao na kukuza uchumi
-
Anasema, baadhi ya bidhaa kutoka nje huuzwa kwa bei ndogo lakini kodi inakuwa kubwa zaidi hata ya mara mbili ya bei ulionunulia. Serikali iangalie hili ili kuwapa unafuu wa maisha wananchi wake
Tembelea - https://jamii.app/HojaMalipoKodiMizigo
#JFHoja
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MOROGORO: MKUU WA MKOA AAGIZA KUKAMATWA WATUMISHI 5
> RC Loata Ole Sanare, ametaka watumishi hao wahojiwe kwa tuhuma za matumizi mabaya ya edha za ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mkuyuni na hospitali ya Wilaya ya Mvomero
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCMoroWatumishi
> RC Loata Ole Sanare, ametaka watumishi hao wahojiwe kwa tuhuma za matumizi mabaya ya edha za ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mkuyuni na hospitali ya Wilaya ya Mvomero
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCMoroWatumishi
TAARIFA KUHUSU KUKATIKA KWA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kesho, Oktoba 22 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi 10:30 jioni
-
Maeneo yatakayokumbwa na usumbufu huo ni pamoja na Buguruni, Vingunguti, Tazara, Gongo la Mboto, Ukonga, Mombasa, Mzambarauni, Pugu, Yombo, Kitunda, Machimbo, Mwanagati, Mbondole pamoja na baadhi ya maeneo ya Tabata
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kesho, Oktoba 22 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi 10:30 jioni
-
Maeneo yatakayokumbwa na usumbufu huo ni pamoja na Buguruni, Vingunguti, Tazara, Gongo la Mboto, Ukonga, Mombasa, Mzambarauni, Pugu, Yombo, Kitunda, Machimbo, Mwanagati, Mbondole pamoja na baadhi ya maeneo ya Tabata
KALIIRO, UGANDA: WANAFAMILIA 3 WAUAWA KWA KUPIGWA RISASI
> Waliouawa ni Francis Rwabagabo(60), Mkewe Kellen Nakato(38) na Mkwe wao Leokadia Kizza
> Mtoto wa Kiume wa Rwabagabo aitwaye Mwebaze anatuhumiwa kuhusika
Zaidi, soma => https://jamii.app/MauajiLyantondeUG
> Waliouawa ni Francis Rwabagabo(60), Mkewe Kellen Nakato(38) na Mkwe wao Leokadia Kizza
> Mtoto wa Kiume wa Rwabagabo aitwaye Mwebaze anatuhumiwa kuhusika
Zaidi, soma => https://jamii.app/MauajiLyantondeUG
KISUTU, DAR: MAHAKAMA YATAKA HAKI ITENDEKE KATIKA KESI YA MHASIBU WA TAKUKURU
> Godfrey Gugal pamoja na wenzake wanatuhumiwa kwa kumiliki mali zeye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.6 kinyume na kipato chake halali
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMhasibuPCCB
> Godfrey Gugal pamoja na wenzake wanatuhumiwa kwa kumiliki mali zeye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.6 kinyume na kipato chake halali
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMhasibuPCCB
RUVUMA: BINTI WA MIAKA 26 AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA 'BOYFRIEND' WAKE
> Aliyeuawa ni Beata Kafuru aliyepigwa risasi 3 za kichwani na James Paul (27), anayeelezwa kuwa ni mpenzi wake
> Chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi
Soma > https://jamii.app/RIPBeataKafuru
> Aliyeuawa ni Beata Kafuru aliyepigwa risasi 3 za kichwani na James Paul (27), anayeelezwa kuwa ni mpenzi wake
> Chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi
Soma > https://jamii.app/RIPBeataKafuru
AFYA: FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA MOTO YENYE LIMAO ASUBUHI
> Maji hayo huongeza Kinga ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo, husafisha mfumo wa chakula, na kuondoa sumu mwilini
> Pia, huleta hewa/harufu safi kinywani
Kwa faida zaidi, soma => https://jamii.app/MajiLimao
#JFAfya
> Maji hayo huongeza Kinga ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo, husafisha mfumo wa chakula, na kuondoa sumu mwilini
> Pia, huleta hewa/harufu safi kinywani
Kwa faida zaidi, soma => https://jamii.app/MajiLimao
#JFAfya
Treni imeacha njia maeneo ya Buguruni Chama na kusababisha msongamano mkubwa.
> Dereva unayetumia njia hiyo asubuhi hii, unashauriwa kutumia njia mbadala
Fuatilia zaidi > https://jamii.app/TreniImeachaNjiaBuguruni
> Dereva unayetumia njia hiyo asubuhi hii, unashauriwa kutumia njia mbadala
Fuatilia zaidi > https://jamii.app/TreniImeachaNjiaBuguruni
KENYA: SERIKALI YAONDOA AMRI YA KUFUNGWA KWA TAASISI YA 'MARIE STOPES'
> Serikali ya Kenya imeondoa marufuku hiyo baada ya takwimu kuonesha kuwa Wanawake 320 wanalazwa na 7 wanafariki kila siku kwa kujaribu kutoa mimba kiholela
Zaidi, soma > https://jamii.app/MarieStopesKenya
> Serikali ya Kenya imeondoa marufuku hiyo baada ya takwimu kuonesha kuwa Wanawake 320 wanalazwa na 7 wanafariki kila siku kwa kujaribu kutoa mimba kiholela
Zaidi, soma > https://jamii.app/MarieStopesKenya
IPTL INADAI FIDIA YA TSH. TRILIONI 6.5 BENKI YA STANDARD CHARTERED
> IPTL imeiomba Mahakama Kuu itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) si wadai wake na ibatilishe tuzo ilizopewa Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo
> IPTL imeifungulia SCBHK kesi mbalimbali za madai ktk Mahakama Kuu, Dar
Soma - https://jamii.app/IPTLKudaiFidiaSCBHK
> IPTL imeiomba Mahakama Kuu itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) si wadai wake na ibatilishe tuzo ilizopewa Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo
> IPTL imeifungulia SCBHK kesi mbalimbali za madai ktk Mahakama Kuu, Dar
Soma - https://jamii.app/IPTLKudaiFidiaSCBHK
NDEGE YA AUSTRALIA YAFANYA MAJARIBIO YA SAFARI NDEFU BILA KUSIMAMA
- Qantas imekamilisha safari yake ya kibiashara ya maili 10,066 bila kusimama, ikifanya utafiti wa athari za safari ndefu zinazoweza kutokea kwa Marubani, Wafanyakazi na Abira
Soma https://jamii.app/NdegeAustraliaSafariNdefu
- Qantas imekamilisha safari yake ya kibiashara ya maili 10,066 bila kusimama, ikifanya utafiti wa athari za safari ndefu zinazoweza kutokea kwa Marubani, Wafanyakazi na Abira
Soma https://jamii.app/NdegeAustraliaSafariNdefu
KENYA: AJISALIMISHA POLISI BAADA YA KUMUUA MWENZAKE WAKIGOMBEA KUMBIKUMBI
> Muriungi Kiyogere (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36), kutokana na mzozo wa kugombea Kumbikumbi Jumapili jioni
> Alikimbilia Polisi kuwakwepa wanakijiji waliokuwa wakitaka kumuua
Soma - https://jamii.app/KifoUgomviKumbikumbi
> Muriungi Kiyogere (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36), kutokana na mzozo wa kugombea Kumbikumbi Jumapili jioni
> Alikimbilia Polisi kuwakwepa wanakijiji waliokuwa wakitaka kumuua
Soma - https://jamii.app/KifoUgomviKumbikumbi
HOJA: JE, NI AIBU KWA KIJANA MWENYE MIAKA ZAIDI YA 35 KUISHI KWA WAZAZI WAKE?
> Mdau wa JamiiForums anasema anasema wazazi wanashindwa kuishi kwa uhuru kwa sababu ya uwepo wako
> Anahoji, unawezaje kuendelea kula ugali wa shikamoo kwa umri huo?
Shiriki mjadala, hapa > https://jamii.app/JFHoja
> Mdau wa JamiiForums anasema anasema wazazi wanashindwa kuishi kwa uhuru kwa sababu ya uwepo wako
> Anahoji, unawezaje kuendelea kula ugali wa shikamoo kwa umri huo?
Shiriki mjadala, hapa > https://jamii.app/JFHoja