ALIYECHONGA KIFIMBO CHA MWALIMU NYERERE SASA ANACHONGA CHA MAGUFULI
- Mzee Omary Mwariko amesema lengo la kumkabidhi Rais Magufuli ni kama alama ya kumuenzi Mwalimu
- Amesema kitamsaidia Rais Magufuli dhidi ya Mafisadi na wote wasioeleweka
Zaidi, soma https://jamii.app/KifimboRaisMagufuli
- Mzee Omary Mwariko amesema lengo la kumkabidhi Rais Magufuli ni kama alama ya kumuenzi Mwalimu
- Amesema kitamsaidia Rais Magufuli dhidi ya Mafisadi na wote wasioeleweka
Zaidi, soma https://jamii.app/KifimboRaisMagufuli
UKUAJI WA UCHUMI KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA WAZIDI KUDORORA
> Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) inasema ukuaji wa uchumi umeendelea kuwa mdogo kwa mwaka 2019, kutokana na misukosuko ya uchumi wa dunia na mabadiliko machache ya kiuchumi katika nchi hizo
> Ukuaji wa uchumi ktk nchi zisizo eneo hilo unatarajiwa kuongezeka kwa 2.6% mwaka 2019, kutoka 2.5% mwaka 2018 ikiwa ni 0.2% chini ya kiwango kilichotabiriwa Aprili 2019
Soma - https://jamii.app/UkuajiUchumiAfrika
> Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) inasema ukuaji wa uchumi umeendelea kuwa mdogo kwa mwaka 2019, kutokana na misukosuko ya uchumi wa dunia na mabadiliko machache ya kiuchumi katika nchi hizo
> Ukuaji wa uchumi ktk nchi zisizo eneo hilo unatarajiwa kuongezeka kwa 2.6% mwaka 2019, kutoka 2.5% mwaka 2018 ikiwa ni 0.2% chini ya kiwango kilichotabiriwa Aprili 2019
Soma - https://jamii.app/UkuajiUchumiAfrika
WARIOBA: KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU HULETA MAZOEA KATIKA UTENDAJI
> Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi kutokaa madarakani muda mrefu kwani husababisha ufanyaji kazi kwa mazoea na kuathiri maendeleo ya nchi
> Ameongeza kuwa, ukiona kuna mabadiliko ya Katiba kuondoa ukomo wa uongozi, ujue Kiongozi wa Juu ndiye ana Uchu wa Madaraka ya kutaka kusalia madarakani
Soma - https://jamii.app/UkomoMudaUongozi
> Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi kutokaa madarakani muda mrefu kwani husababisha ufanyaji kazi kwa mazoea na kuathiri maendeleo ya nchi
> Ameongeza kuwa, ukiona kuna mabadiliko ya Katiba kuondoa ukomo wa uongozi, ujue Kiongozi wa Juu ndiye ana Uchu wa Madaraka ya kutaka kusalia madarakani
Soma - https://jamii.app/UkomoMudaUongozi
MBOWE: HATUTASUSIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
- Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24
- Amesema wanaona sio sawa Wapinzani kususia uchaguzi kwasababu wenzao wanatamani wasusie
Zaidi, soma https://jamii.app/CHADEMAUchaguziSerikaliMitaa
- Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24
- Amesema wanaona sio sawa Wapinzani kususia uchaguzi kwasababu wenzao wanatamani wasusie
Zaidi, soma https://jamii.app/CHADEMAUchaguziSerikaliMitaa
UNICEF: MMOJA KATI YA WATOTO WATATU ANAKABILIWA NA UTAPIAMLO
> Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto Duniani inasema Theluthi moja ya watoto chini ya umri wa miaka 5 wanakabiliwa na utapiamlo
> Theluthi mbili ya watoto hawana chakula cha kutosha na karibu nusu ya wale wenye miezi 6 hadi miaka 2, hawapati matunda na mbogamboga
Soma - https://jamii.app/RipotiUtapiamloWatoto
> Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto Duniani inasema Theluthi moja ya watoto chini ya umri wa miaka 5 wanakabiliwa na utapiamlo
> Theluthi mbili ya watoto hawana chakula cha kutosha na karibu nusu ya wale wenye miezi 6 hadi miaka 2, hawapati matunda na mbogamboga
Soma - https://jamii.app/RipotiUtapiamloWatoto
WANANCHI WA MSUMBIJI WANAPIGA KURA LEO KUCHAGUA RAIS NA WABUNGE
> Ushindani wa Urais ni kati ya Chama Tawala (FRELIMO) kinachoongozwa na Rais Filipe Nyusi ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975 na Ossufo Momade anayewakilisha Chama cha RENAMO
> Wagombea wengine ni Daviz Simango wa Chama cha Demokrasia na Mario Albino wa Chama cha AMUSI
Soma - https://jamii.app/MozElections2019
> Ushindani wa Urais ni kati ya Chama Tawala (FRELIMO) kinachoongozwa na Rais Filipe Nyusi ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975 na Ossufo Momade anayewakilisha Chama cha RENAMO
> Wagombea wengine ni Daviz Simango wa Chama cha Demokrasia na Mario Albino wa Chama cha AMUSI
Soma - https://jamii.app/MozElections2019
HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI KUWA HALMASHAURI YA MTAMA
- Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama
- Pia, ametaka Makao Makuu ya Halmashauri hiyo yahamishiwe Mtama kutoka kwenye jengo lililopo Lindi Mjini ndani ya siku 15
Zaidi, soma https://jamii.app/HalmashauriMtamaOkt15
- Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama
- Pia, ametaka Makao Makuu ya Halmashauri hiyo yahamishiwe Mtama kutoka kwenye jengo lililopo Lindi Mjini ndani ya siku 15
Zaidi, soma https://jamii.app/HalmashauriMtamaOkt15
MATOKEO DARASA LA 7, 2019 YATANGAZWA. UFAULU WAONGEZEKA
- NECTA imetangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2019 na kusema ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.78
- Waliofaulu ni asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369 na Watahiniwa 909 wamefutiwa matokeo kutokana na sababu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
- NECTA imetangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2019 na kusema ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.78
- Waliofaulu ni asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369 na Watahiniwa 909 wamefutiwa matokeo kutokana na sababu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
KENYA: WANAFAMILIA WATATU WAFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
- Mtoto 1 na wanafamilia wengine wawili wamefariki baada ya nyumba yao kuwaka moto huko Kariobangi, Nairobi
- Wanafamilia wengine wawili wamekimbizwa ktk hospitali ya Taifa ya Kenyatta
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafamilia3Wafariki-Moto
- Mtoto 1 na wanafamilia wengine wawili wamefariki baada ya nyumba yao kuwaka moto huko Kariobangi, Nairobi
- Wanafamilia wengine wawili wamekimbizwa ktk hospitali ya Taifa ya Kenyatta
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafamilia3Wafariki-Moto
MICHEZO: Bondia wa Marekani, Patrick Day (27) yupo mahututi baada ya kupigwa akiwa ulingoni katika roundi ya 10 na mpinzani wake Charles Conwell
-
Patrick alipata majeraha makubwa katika ubongo hali iliyopelekea kupoteza fahamu mpaka sasa ambapo amelazwa katika hospitali ya Northwestern Memorial nchini Marekani, ambapo amefanyiwa operesheni ya kichwa
-
Imeripoti kuwa, Patrick mpaka sasa yupo kwenye ‘Coma’ (fahamu hazijarejea) tangu alipopigwa usiku wa Jumamosi
-
Patrick alipata majeraha makubwa katika ubongo hali iliyopelekea kupoteza fahamu mpaka sasa ambapo amelazwa katika hospitali ya Northwestern Memorial nchini Marekani, ambapo amefanyiwa operesheni ya kichwa
-
Imeripoti kuwa, Patrick mpaka sasa yupo kwenye ‘Coma’ (fahamu hazijarejea) tangu alipopigwa usiku wa Jumamosi
MASHAMBULIZI YA UTURUKI, SYRIA: MAREKANI YAIWEKEA VIKWAZO UTURUKI
> Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya Wizara mbili za nchini Uturuki na Maafisa 3 wa Serikali, kutokana na Operesheni ya Kijeshi inayoendelea Kaskazini mwa Syria dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi
> Rais Donald Trump amemtaka Rais wa Uturuki asitishe operesheni hiyo mara moja
Soma - https://jamii.app/TrumpTurkishAttack
> Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya Wizara mbili za nchini Uturuki na Maafisa 3 wa Serikali, kutokana na Operesheni ya Kijeshi inayoendelea Kaskazini mwa Syria dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi
> Rais Donald Trump amemtaka Rais wa Uturuki asitishe operesheni hiyo mara moja
Soma - https://jamii.app/TrumpTurkishAttack
TAMISEMI: PWANI KINARA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA
- Mkoa unaoongoza uandikishaji kwenye Daftari la Mpiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Pwani
- Lakini Mikoa ya Dar, Arusha na Kilimanjaro uandikishaji wao uko chini ya 50%
Zaidi, soma https://jamii.app/PwaniKinaraUandikishajiKura
- Mkoa unaoongoza uandikishaji kwenye Daftari la Mpiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Pwani
- Lakini Mikoa ya Dar, Arusha na Kilimanjaro uandikishaji wao uko chini ya 50%
Zaidi, soma https://jamii.app/PwaniKinaraUandikishajiKura
FAHAMU KUHUSU MNYAMA PANYA
> Panya hawaoni vizuri, hivyo hutumia uwezo wao mkubwa wa kusikia, kunusa harufu, kuhisi kupitia miguu kwaajili ya kutambua mazingira na hali ya eneo ambalo yupo
> Meno ya Panya huongezeka kila siku hivyo ili kupunguza kukua kwa kiasi kikubwa huwa na kawaida ya kupenda kujisugua katika vitu vigumu ili kupunguza urefu na hapa ndio utakuta ametafuna rimoti, waya, ndoo, nguo
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuPanya
#JFMaarifa
> Panya hawaoni vizuri, hivyo hutumia uwezo wao mkubwa wa kusikia, kunusa harufu, kuhisi kupitia miguu kwaajili ya kutambua mazingira na hali ya eneo ambalo yupo
> Meno ya Panya huongezeka kila siku hivyo ili kupunguza kukua kwa kiasi kikubwa huwa na kawaida ya kupenda kujisugua katika vitu vigumu ili kupunguza urefu na hapa ndio utakuta ametafuna rimoti, waya, ndoo, nguo
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuPanya
#JFMaarifa
UGANDA: HAKUNA MPANGO WA SHERIA YA KIFO KWA MASHOGA
- Imesema haina mpango wa kuweka adhabu ya kifo dhidi ya wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moja
- Ni baada ya Nchi wahisani kusema zinafuatilia nia ya Nchi hiyo kurejesha muswada huo
Soma https://jamii.app/UgandaSheriaKuuaMashoga
- Imesema haina mpango wa kuweka adhabu ya kifo dhidi ya wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moja
- Ni baada ya Nchi wahisani kusema zinafuatilia nia ya Nchi hiyo kurejesha muswada huo
Soma https://jamii.app/UgandaSheriaKuuaMashoga
MATOKEO DARASA LA 7: Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2019
- Limetangaza pia Watahiniwa 10 waliofanya vizuri Kitaifa, Mikoa 10 iliyofanya vizuri na Shule 10 zilizofanya vizuri Kitaifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
- Limetangaza pia Watahiniwa 10 waliofanya vizuri Kitaifa, Mikoa 10 iliyofanya vizuri na Shule 10 zilizofanya vizuri Kitaifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
MOROGORO: MVUA YASABABISHA VIFO VYA WATU 11
> Mvua za Vuli zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha vifo vya watu 11 Mkoani Morogoro huku kati yao watoto wakiwa ni 9
> Watoto watano kati yao walifariki baada ya kuzama Mto Mvuha uliopo Kata ya Kibogwa
Soma - https://jamii.app/Vifo11MvuaMoro
> Mvua za Vuli zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha vifo vya watu 11 Mkoani Morogoro huku kati yao watoto wakiwa ni 9
> Watoto watano kati yao walifariki baada ya kuzama Mto Mvuha uliopo Kata ya Kibogwa
Soma - https://jamii.app/Vifo11MvuaMoro
JE, WANAUME WENGI HUFA MAPEMA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO UNAOSABABISHWA NA WANAWAKE?
> Katika utafiti uliowahi kufanywa ulibaini kwamba tabia ya kujihatarisha na kukandamiza mihemko ya kihisia kwa vijana wa kiume, inahusiana moja kwa moja na vifo vya mapema vya wanaume ukilinganisha na wanawake
> Tabia hizo ni Ugumu katika kufunguka, Ugumu wa kusamehe, Msongo wa mawazo, kutokujali afya na Tabia hatarishi. Inadaiwa Wanaume wengi wana maradhi ya kihisia kuliko wanawake
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/VifoMeMsongoMawazo
#JFMahusiano
> Katika utafiti uliowahi kufanywa ulibaini kwamba tabia ya kujihatarisha na kukandamiza mihemko ya kihisia kwa vijana wa kiume, inahusiana moja kwa moja na vifo vya mapema vya wanaume ukilinganisha na wanawake
> Tabia hizo ni Ugumu katika kufunguka, Ugumu wa kusamehe, Msongo wa mawazo, kutokujali afya na Tabia hatarishi. Inadaiwa Wanaume wengi wana maradhi ya kihisia kuliko wanawake
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/VifoMeMsongoMawazo
#JFMahusiano