KATAVI: AVUNJA MADIRISHA YA KITUO CHA AFYA AKIDAI KUTOKULIPWA
- Mjenzi Boniface Exavery aliyejenga madirisha katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo, ameyavunja madirisha hayo akidai kutokamilishiwa malipo yake na Halmashauri huku akiwa amemaliza kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AvunjaMadirishaKutolipwa
- Mjenzi Boniface Exavery aliyejenga madirisha katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo, ameyavunja madirisha hayo akidai kutokamilishiwa malipo yake na Halmashauri huku akiwa amemaliza kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AvunjaMadirishaKutolipwa
BANGLADESH: MWANAUME AMNYOA NYWELE MKEWE BAADA YA KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA
> Bablu Mondal (35) amechukua uamuzi huo baada ya kukuta nywele kwenye Wali na Waziwa aliyoandaliwa na Mkewe
> Polisi wamkamata kwa kukiuka #HakiZaBinadamu
Soma > https://jamii.app/BabluBangladesh
> Bablu Mondal (35) amechukua uamuzi huo baada ya kukuta nywele kwenye Wali na Waziwa aliyoandaliwa na Mkewe
> Polisi wamkamata kwa kukiuka #HakiZaBinadamu
Soma > https://jamii.app/BabluBangladesh
UTURUKI: MAANDALIZI YA MASHAMBULIZI KASKAZINI MWA SYRIA YAMEKAMILIKA
- Ni siku chache baada ya Marekani kuamuru Majeshi yake yaliyokuwa Syria mpakani mwa Uturuki yaondoke
- Imesema mashambulizi hayo ya Kijeshi yanaweza kufanyika wakati wowote
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiVsSyria
- Ni siku chache baada ya Marekani kuamuru Majeshi yake yaliyokuwa Syria mpakani mwa Uturuki yaondoke
- Imesema mashambulizi hayo ya Kijeshi yanaweza kufanyika wakati wowote
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiVsSyria
SENEGAL: NDEGE YA ETHIOPIAN AIRLINES YALAZIMIKA KUTUA KWA DHARURA BAADA YA INJINI KUSHIKA MOTO
> Ndege aina ya Boeing 767 iliyokuwa ikianza safari kutoka Dakar kuelekea Addis Ababa, Ethiopia ilikuwa imebeba abiria 90 ambao wote wamesalimika
Soma > https://jamii.app/NdegeEthiopiaDakar
> Ndege aina ya Boeing 767 iliyokuwa ikianza safari kutoka Dakar kuelekea Addis Ababa, Ethiopia ilikuwa imebeba abiria 90 ambao wote wamesalimika
Soma > https://jamii.app/NdegeEthiopiaDakar
RWANDA: MHUBIRI AFUKUZWA BAADA YA KUWAITA WANAWAKE 'IBILISI NA MALAYA'
- Mhubiri na mmiliki wa kituo cha redio cha Amazing Grace, raia wa Marekani Gregg Schoof aliyekamatwa mapema wiki hii jijini Kigali, amefukuzwa nchini humo
Zaidi, soma https://jamii.app/MhubiriAfukuzwaRwanda
- Mhubiri na mmiliki wa kituo cha redio cha Amazing Grace, raia wa Marekani Gregg Schoof aliyekamatwa mapema wiki hii jijini Kigali, amefukuzwa nchini humo
Zaidi, soma https://jamii.app/MhubiriAfukuzwaRwanda
UGANDA: BOBI WINE AFANIKIWA KUTOROKA POLISI KWA KUTUMIA BODABODA
- Amefanikiwa kutoroka ulinzi mkali wa Polisi uliokuwa ukizingira nyumba yake huko Magere
- Inadaiwa anaelekea kwenye Tamasha lake la Muziki alilozuiwa kulifanya huko Busabala
Zaidi, soma https://jamii.app/BobiWineEscapeBodaboda
- Amefanikiwa kutoroka ulinzi mkali wa Polisi uliokuwa ukizingira nyumba yake huko Magere
- Inadaiwa anaelekea kwenye Tamasha lake la Muziki alilozuiwa kulifanya huko Busabala
Zaidi, soma https://jamii.app/BobiWineEscapeBodaboda
GEITA: WAFUNGA MADUKA KUSHINIKIZA MWENZAO KUTOA KRETI YA SODA
- Wafanyabiashara Kijiji cha Nyamigana, Kata ya Kagu, Wilayani Geita wamefunga maduka yao baada ya mfanyabiashara mgeni kijijini hapo kugoma kutoa kreti moja ya soda kama kiingilio
Zaidi, soma https://jamii.app/WafungaMadukaKreti-GIT
- Wafanyabiashara Kijiji cha Nyamigana, Kata ya Kagu, Wilayani Geita wamefunga maduka yao baada ya mfanyabiashara mgeni kijijini hapo kugoma kutoa kreti moja ya soda kama kiingilio
Zaidi, soma https://jamii.app/WafungaMadukaKreti-GIT
UTURUKI YAANZA MASHAMBULIZI KASKAZINI MASHARIKI MWA SYRIA
- Ndege za Kivita za Uturuki zimeshambulia baadhi ya sehemu za Kaskazini mwa Syria hatua inayotarajiwa kuleta mgogoro dhidi ya Wanamgambo wa Kikurdi wenye ushirikiano na Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiVsSyria
- Ndege za Kivita za Uturuki zimeshambulia baadhi ya sehemu za Kaskazini mwa Syria hatua inayotarajiwa kuleta mgogoro dhidi ya Wanamgambo wa Kikurdi wenye ushirikiano na Marekani
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiVsSyria
INDIA: OMBAOMBA AFARIKI, AACHA SARAFU ZILIZOHESABIWA KWA SAA 8
> Polisi wametumia muda huo kuhesabu sarafu hizo zilizoachwa na ombaomba aliyefariki akiwa na umri wa miaka 82
> Mzee huyo amefariki katika ajali ya treni iliyotokea huko Vashi
Zaidi, soma https://jamii.app/SarafuMumbai
> Polisi wametumia muda huo kuhesabu sarafu hizo zilizoachwa na ombaomba aliyefariki akiwa na umri wa miaka 82
> Mzee huyo amefariki katika ajali ya treni iliyotokea huko Vashi
Zaidi, soma https://jamii.app/SarafuMumbai
LISSU: SIRUDI TANZANIA HADI NIHAKIKISHIWE USALAMA
> Amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwa sasa kwani wasiojulikana bado hawajapatikana
> Azungumzia kutishwa mitandaoni bila hatua yoyote kuchukuliwa
Soma https://jamii.app/HatmaLissuKurudi
> Amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwa sasa kwani wasiojulikana bado hawajapatikana
> Azungumzia kutishwa mitandaoni bila hatua yoyote kuchukuliwa
Soma https://jamii.app/HatmaLissuKurudi
ATHARI ZA MVUA UKANDA WA PWANI: WATU 6 WAFARIKI DUNIA MKOANI TANGA, KAYA 300 ZAKOSA MAKAZI
- Waliofariki ni Mwanamke 1 na Watoto wake 2 pamoja na binti Asha Ambanyonge aliyekuwa amelala na wadogo zake 2 walioangukiwa na nyumba
Soma > https://jamii.app/MvuaTanga
- Waliofariki ni Mwanamke 1 na Watoto wake 2 pamoja na binti Asha Ambanyonge aliyekuwa amelala na wadogo zake 2 walioangukiwa na nyumba
Soma > https://jamii.app/MvuaTanga
KENYA: KURA ZAMUONDOA MADARAKANI GAVANA WA TAITA TAVETA
- Granton Samboja ameondolewa kwa kura zilizopigwa katika Baraza la Viongozi wa Kata baada ya Kiongozi wa Kata ya Rong’e, Harris Keke kuweka mezani hoja hiyo na kupata kura 30 kati ya 33
Soma https://jamii.app/GrantonSambojaImpeached
- Granton Samboja ameondolewa kwa kura zilizopigwa katika Baraza la Viongozi wa Kata baada ya Kiongozi wa Kata ya Rong’e, Harris Keke kuweka mezani hoja hiyo na kupata kura 30 kati ya 33
Soma https://jamii.app/GrantonSambojaImpeached
HARBINDER SETHI AANDIKA BARUA KWA DPP KUKIRI MAKOSA
- Sethi anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi ameandikia barua ya kuomba msamaha
- Sethi na James Rugemalira wanakabiliwa na mashtaka 12 wanayodaiwa kuyatenda sehemu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/SethiAandikaBaruaKukiriMakosa
- Sethi anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi ameandikia barua ya kuomba msamaha
- Sethi na James Rugemalira wanakabiliwa na mashtaka 12 wanayodaiwa kuyatenda sehemu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/SethiAandikaBaruaKukiriMakosa
UINGEREZA: WAZAZI WAANDAMANA KUPINGA MASOMO YA ‘USHOGA’
- Wazazi hao wanapinga mafunzo ya Mapenzi ya Jinsia Moja katika Shule za Msingi
- Programu ya 'No Outsiders Equality' inahamasisha watoto kutambua utofauti kuhusu Dini, Familia na Mahusiano
Zaidi, soma https://jamii.app/WazaziMasomoUshoga-UK
- Wazazi hao wanapinga mafunzo ya Mapenzi ya Jinsia Moja katika Shule za Msingi
- Programu ya 'No Outsiders Equality' inahamasisha watoto kutambua utofauti kuhusu Dini, Familia na Mahusiano
Zaidi, soma https://jamii.app/WazaziMasomoUshoga-UK
UGANDA: MWANAUME AJIUA BAADA YA KUWATUPA WATOTO WAKE 2 ZIWANI NA KUMCHOMA MOTO 1
- Hannington Nuwamanya(32) amewatupa watoto wake 2 ndani ya Ziwa Magogo kisha kuchoma nyumba yake moto ikiwa na Mtoto mwingine
- Chanzo ni ugomvi na Mkewe
Soma > https://jamii.app/MwanaumeAtupaWatoto
- Hannington Nuwamanya(32) amewatupa watoto wake 2 ndani ya Ziwa Magogo kisha kuchoma nyumba yake moto ikiwa na Mtoto mwingine
- Chanzo ni ugomvi na Mkewe
Soma > https://jamii.app/MwanaumeAtupaWatoto
TAKWIMU: DAR KINARA KWA WAGONJWA WA UGONJWA WA AKILI
- Mikoa inayofuata kuwa na Wagonjwa wengi ni Kilimanjaro, Tanga, Morogoro na Mwanza
- Hizi ni takwimu za hospitali za Mikoa na vituo vya Afya bila kujumuisha hospitali kubwa kama Muhimbili na Mirembe
Zaidi, soma https://jamii.app/TakwimuUgonjwaAkili-TZ
- Mikoa inayofuata kuwa na Wagonjwa wengi ni Kilimanjaro, Tanga, Morogoro na Mwanza
- Hizi ni takwimu za hospitali za Mikoa na vituo vya Afya bila kujumuisha hospitali kubwa kama Muhimbili na Mirembe
Zaidi, soma https://jamii.app/TakwimuUgonjwaAkili-TZ
MSIMAMIZI WA MALI ZA MKE WA ALIYEKUWA GAVANA WA BOT, DAUDI BALALI ASHTAKIWA KWA KUTAKATISHA FEDHA
- Mfanyabiashara Elizabeth Balali(54), amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kujipatia kiasi cha shilingi milioni 25 kwa njia ya udanganyifu
Soma > https://jamii.app/MsimamiziMaliBalali
- Mfanyabiashara Elizabeth Balali(54), amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kujipatia kiasi cha shilingi milioni 25 kwa njia ya udanganyifu
Soma > https://jamii.app/MsimamiziMaliBalali
VIJUE VIASHIRIA MUHIMU VYA SARATANI YA MATITI
- Ugonjwa huu huwatokea zaidi Wanawake japokuwa unaweza kutokea kwa Wanaume
- Baadhi ya viashiria ni Uvimbe kwenye titi, Badiliko la Umbo au Muundo wa titi na Kutokwa na vipele vidogo
Zaidi, tembelea https://jamii.app/ViashiriaSarataniMatiti
- Ugonjwa huu huwatokea zaidi Wanawake japokuwa unaweza kutokea kwa Wanaume
- Baadhi ya viashiria ni Uvimbe kwenye titi, Badiliko la Umbo au Muundo wa titi na Kutokwa na vipele vidogo
Zaidi, tembelea https://jamii.app/ViashiriaSarataniMatiti