GEITA: ATOZWA LAKI 3 KWA KUFYEKA MAHINDI KISA WIVU WA MAPENZI
- Mkazi wa Nyamigana, Ramadhani Bushemeli ametozwa faini ya Tsh. 300,000 na Serikali ya kijiji kwa kufyeka shamba la Dotto Magilima akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe
Zaidi, soma https://jamii.app/AfyekaMahindiWivuMapenzi
- Mkazi wa Nyamigana, Ramadhani Bushemeli ametozwa faini ya Tsh. 300,000 na Serikali ya kijiji kwa kufyeka shamba la Dotto Magilima akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe
Zaidi, soma https://jamii.app/AfyekaMahindiWivuMapenzi
MEXICO: MEYA ABURUZWA NYUMA YA GARI KWA KUTOTIMIZA AHADI ZA UCHAGUZI
- Watu 11 wamekamatwa kwa kosa la kumkamata Meya wa Las Margaritas katika Jimbo la Chiapas, Jorge Luis Escandón Hernández kisha kumfunga katika gari na kumburuza mitaani
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAburuzwaGari-Mexico
- Watu 11 wamekamatwa kwa kosa la kumkamata Meya wa Las Margaritas katika Jimbo la Chiapas, Jorge Luis Escandón Hernández kisha kumfunga katika gari na kumburuza mitaani
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaAburuzwaGari-Mexico
KIKWETE ASIKITISHWA KWA NAMNA HOTUBA YAKE ILIVYOTAFSIRIWA
- Ni hotuba aliyoitoa kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere
- Imeelezwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais na hakutaja jina la mtu
Zaidi, soma https://jamii.app/KikweteAsikitishwaHotuba
- Ni hotuba aliyoitoa kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere
- Imeelezwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais na hakutaja jina la mtu
Zaidi, soma https://jamii.app/KikweteAsikitishwaHotuba
MAJESHI YA UTURUKI: MAGAIDI 277 WAUAWA KATIKA OPERESHENI YA SYRIA
- Maelfu ya Watu wamekimbia makazi yao huko Kaskazini Mashariki mwa Syria huku Vikosi vya Kijeshi vya Uturuki vikiendelea na Operesheni yake iliyoanza Jumatano Oktoba 09 inayodaiwa ni ya kuweka mazingira salama kwa Wakimbizi wa Syria kurejea
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiYauaMagaidi277
- Maelfu ya Watu wamekimbia makazi yao huko Kaskazini Mashariki mwa Syria huku Vikosi vya Kijeshi vya Uturuki vikiendelea na Operesheni yake iliyoanza Jumatano Oktoba 09 inayodaiwa ni ya kuweka mazingira salama kwa Wakimbizi wa Syria kurejea
Zaidi, soma https://jamii.app/UturukiYauaMagaidi277
KENYA: NDEGE YAANGUKA WAKATI IKIJARIBU KUPAA
- Ripoti inaonesha ndege hiyo iliyokuwa ikielekea Lamu iliteleza kutoka kwenye njia ya kurukia katika Uwanja wa Wilson
- Abiria na Wafanyakazi kwenye ndege wametolewa, baadhi wakiwa na majeraha
Zaidi, soma https://jamii.app/AirplaneCrashesWilsonAirport
- Ripoti inaonesha ndege hiyo iliyokuwa ikielekea Lamu iliteleza kutoka kwenye njia ya kurukia katika Uwanja wa Wilson
- Abiria na Wafanyakazi kwenye ndege wametolewa, baadhi wakiwa na majeraha
Zaidi, soma https://jamii.app/AirplaneCrashesWilsonAirport
BAADA YA VIDEO NA PICHA ZA UTUPU ZA MENINA KUSAMBAA, BASATA YAMUITA
- Msanii Menina Abdulkareem ameitwa kwa mahojiano kuhusu video na picha zake za utupu zilizosambaa
- BASATA imemtaka msanii huyo kufika katika Ofisi zake leo mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/MeninaAitwaBASATA
- Msanii Menina Abdulkareem ameitwa kwa mahojiano kuhusu video na picha zake za utupu zilizosambaa
- BASATA imemtaka msanii huyo kufika katika Ofisi zake leo mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/MeninaAitwaBASATA
MAHAKAMA YATENGUA HUKUMU YA JOSEPH MBILINYI
- Mahakama Kuu leo imetengua Hukumu, Mwenendo na Kifungo alichohukumiwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ kutokana na ubatili wa mwenendo katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/HukumuSuguYatenguliwa
- Mahakama Kuu leo imetengua Hukumu, Mwenendo na Kifungo alichohukumiwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ kutokana na ubatili wa mwenendo katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/HukumuSuguYatenguliwa
KABENDERA ATAKA KUJADILIANA NA DPP KUMALIZA KESI YAKE
- Erick Kabendera anataka kujadiliana na Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) namna ya kumaliza kesi yake
- Anakabiliwa na kesi yenye mashtaka 3 likiwemo la utakatishaji wa zaidi ya Tsh. Milioni 173
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKuongeaDPP
- Erick Kabendera anataka kujadiliana na Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) namna ya kumaliza kesi yake
- Anakabiliwa na kesi yenye mashtaka 3 likiwemo la utakatishaji wa zaidi ya Tsh. Milioni 173
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKuongeaDPP
WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA ASHINDA TUZO YA AMANI YA NOBEL
> Abiy Ahmed, ametunukiwa tuzo hiyo kwa mwaka 2019 kutokana na juhudi zake za kuleta Amani na kusuluhisha Mgogoro wa mpaka kati ya Ethiopia na Eritrea uliodumu kwa miaka 20
Zaidi, soma > https://jamii.app/AbiyNobel2019
> Abiy Ahmed, ametunukiwa tuzo hiyo kwa mwaka 2019 kutokana na juhudi zake za kuleta Amani na kusuluhisha Mgogoro wa mpaka kati ya Ethiopia na Eritrea uliodumu kwa miaka 20
Zaidi, soma > https://jamii.app/AbiyNobel2019
UGANDA YAANDAA SHERIA YA KUNYONGA WAPENZI WA JINSIA MOJA
- Imetangaza mpango wa kuanzisha tena sheria inayopinga mahusiano ya jinsia moja, iliyofutwa mwaka 2014
- Wanaoshiriki watahukumiwa kunyongwa na wanaopigia debe wanaweza kushtakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaKunyongaWapenziJinsia1-UG
- Imetangaza mpango wa kuanzisha tena sheria inayopinga mahusiano ya jinsia moja, iliyofutwa mwaka 2014
- Wanaoshiriki watahukumiwa kunyongwa na wanaopigia debe wanaweza kushtakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaKunyongaWapenziJinsia1-UG
TPA YAKANUSHA VIDEO INAYOSAMBAA IKIWATUHUMU WATUMISHI WAKE KWA WIZI
> Mamlaka ya Bandari(TPA) yasema taarifa inayosambazwa kuhusiana na wizi bandarini ni ya kupuuza
> TPA: video hiyo imelenga kuchafua taswira nzuri ya Bandari za Tanzania
Soma > https://jamii.app/WiziBandari
> Mamlaka ya Bandari(TPA) yasema taarifa inayosambazwa kuhusiana na wizi bandarini ni ya kupuuza
> TPA: video hiyo imelenga kuchafua taswira nzuri ya Bandari za Tanzania
Soma > https://jamii.app/WiziBandari
SIKU 13: HATIMAYE MIILI YA MARIAM NA MWANAYE YAOPOLEWA
- Gari lililo na miili ya Mariam Kighendi(35) na Mwanaye Amanda Mutheu(4) limeopolewa katika Feri ya Likoni, Mombasa
- Limeopolewa huku ndugu na Mume wa marehemu, John Wambua wakishuhudia
Zaidi, soma https://jamii.app/BodiesMariamDaughterRetrieved
- Gari lililo na miili ya Mariam Kighendi(35) na Mwanaye Amanda Mutheu(4) limeopolewa katika Feri ya Likoni, Mombasa
- Limeopolewa huku ndugu na Mume wa marehemu, John Wambua wakishuhudia
Zaidi, soma https://jamii.app/BodiesMariamDaughterRetrieved
DODOMA: MFANYAKAZI WA EXIM MBARONI KWA KUIIBIA BENKI HIYO TSH. MILIONI 120
- Mtunza Fedha, Martin Temu(33) mbaroni kwa madai ya kuiibia benki hiyo Tsh. Milioni 120 na USD 9,513
- Kati ya fedha alizoiba alikamatwa akiwa na Tsh. Milioni 37.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyakaziEximMbaroniWizi
- Mtunza Fedha, Martin Temu(33) mbaroni kwa madai ya kuiibia benki hiyo Tsh. Milioni 120 na USD 9,513
- Kati ya fedha alizoiba alikamatwa akiwa na Tsh. Milioni 37.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyakaziEximMbaroniWizi
ZIMBABWE: WAFANYAKAZI WAANDAMANA WAKIITAKA SERIKALI IINGILIE KATI MFUMUKO WA BEI
> Wakiwa katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Harare walishika mabango yenye ujumbe wa kukana kuwa "Wao si Watumishi bali ni Wafanyakazi"
Kwa maoni yako, unafikiri wafanyakazi wa umma na taasisi binafsi hawapaswi kuitwa "watumishi"?
Zaidi, soma => https://jamii.app/ZimbWorkers
> Wakiwa katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Harare walishika mabango yenye ujumbe wa kukana kuwa "Wao si Watumishi bali ni Wafanyakazi"
Kwa maoni yako, unafikiri wafanyakazi wa umma na taasisi binafsi hawapaswi kuitwa "watumishi"?
Zaidi, soma => https://jamii.app/ZimbWorkers
PROFESA ASHINDA TUZO YA NOBEL, ASEMA FEDHA ZOTE ATAZIPELEKA KATIKA CHUO ANACHOFUNDISHA
> Profesa Goodenough(97) wa Chuo Kikuu Texas, Marekani atatoa Tsh. bilioni 2 atakazopewa kama mshindi wa Tuzo hiyo ili ziwasaidie Wafanyakazi wa chuo hicho
Soma https://jamii.app/ProfGoodenough
> Profesa Goodenough(97) wa Chuo Kikuu Texas, Marekani atatoa Tsh. bilioni 2 atakazopewa kama mshindi wa Tuzo hiyo ili ziwasaidie Wafanyakazi wa chuo hicho
Soma https://jamii.app/ProfGoodenough
TANGA: MBARONI KWA KUJIANDIKISHA KWA ZAIDI YA MARA MOJA KWENYE DAFTARI LA KURA
- Watu 4 mbaroni wakituhumiwa kuvuruga uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Wamekamatwa katika Kata ya Ngamiani Kusini na Ngamiani Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniUandikishajiKura-TA
- Watu 4 mbaroni wakituhumiwa kuvuruga uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Wamekamatwa katika Kata ya Ngamiani Kusini na Ngamiani Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniUandikishajiKura-TA
KENYA: CHUO KIKUU MOI CHAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA
- Kimefungwa baada ya Wanafunzi kufanya vurugu wakiandamana kutaka kutimiziwa mahitaji yao
- Kinakuwa Chuo cha tatu kufungwa nchini humo ndani ya mwezi mmoja kutokana na vurugu za Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiUniClosedIndefinitely
- Kimefungwa baada ya Wanafunzi kufanya vurugu wakiandamana kutaka kutimiziwa mahitaji yao
- Kinakuwa Chuo cha tatu kufungwa nchini humo ndani ya mwezi mmoja kutokana na vurugu za Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiUniClosedIndefinitely
AFYA: WANAOTEMBEA TARATIBU WAKO KATIKA HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA UZEE
> Ugonjwa wa 'Alzheimer' unaowakumba watu wenye miaka 65 na kuendelea unaweza kuwapata watu wanaopendelea kutembea taratibu
> Pia, wako kwenye hatari ya kufa mapema
Soma > https://jamii.app/SlowWalkers
#JFAfya
> Ugonjwa wa 'Alzheimer' unaowakumba watu wenye miaka 65 na kuendelea unaweza kuwapata watu wanaopendelea kutembea taratibu
> Pia, wako kwenye hatari ya kufa mapema
Soma > https://jamii.app/SlowWalkers
#JFAfya