ZANZIBAR: 'BABY J' NA MAUZINDE WATAKIWA KUKAMATWA
- Msanii Jamillah Abdallah(Baby J) na Maulid Abdallah(Mauzinde) wanatakiwa kukamatwa kwa uvunjifu wa maadili
- Unadaiwa kufanyika kwenye sherehe ya singo iliyoandaliwa na Baby J
Zaidi, soma https://jamii.app/BabyJKukamatwa-ZNZ
- Msanii Jamillah Abdallah(Baby J) na Maulid Abdallah(Mauzinde) wanatakiwa kukamatwa kwa uvunjifu wa maadili
- Unadaiwa kufanyika kwenye sherehe ya singo iliyoandaliwa na Baby J
Zaidi, soma https://jamii.app/BabyJKukamatwa-ZNZ
KILIMANJARO: MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MWANAYE KWA KUMKATA SHINGONI
- Makazi wa Rombo, Philipina Donath(37) anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka mitano kwa kumkata na kisu shingoni
- Baada ya tukio hilo, mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/AdaiwaKumuuaMwanaye-KLM
- Makazi wa Rombo, Philipina Donath(37) anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka mitano kwa kumkata na kisu shingoni
- Baada ya tukio hilo, mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/AdaiwaKumuuaMwanaye-KLM
MUSOMA: AHUKUMIWA MIAKA 60 JELA KWA KULAWITI NA KUWAVUTISHA WATOTO BANGI
- Nyamasheki Malima(41) amehukumiwa kwa kukutwa na hatia ya kuwavutisha bangi watoto wawili wa kiume wenye miaka 11 na 13 wa familia moja, kisha kuwalawiti
Zaidi, soma https://jamii.app/Miaka60JelaBangiKulawitiWatt
- Nyamasheki Malima(41) amehukumiwa kwa kukutwa na hatia ya kuwavutisha bangi watoto wawili wa kiume wenye miaka 11 na 13 wa familia moja, kisha kuwalawiti
Zaidi, soma https://jamii.app/Miaka60JelaBangiKulawitiWatt
KIGOMA: MWANAFUNZI AMKANA MWALIMU MKUU ALIYEDAIWA KUMPA MIMBA
- Mahakama imemuachia huru Mwalimu Mkuu, Jason Rwekaza wa Shule ya Msingi Nyantore
- Ni baada ya Mwanafunzi mwenye mimba kueleza kuwa hamfahamu mtu aliyempa mimba hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMimbaHuru-KG
- Mahakama imemuachia huru Mwalimu Mkuu, Jason Rwekaza wa Shule ya Msingi Nyantore
- Ni baada ya Mwanafunzi mwenye mimba kueleza kuwa hamfahamu mtu aliyempa mimba hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuMimbaHuru-KG
SUDAN KUSINI: WATOTO WAZIDI KUINGIZWA KATIKA VIKOSI VYA MAPIGANO
> Maelfu ya Watoto waliachiwa kutoka katika vikosi vya mapigano baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya amani mwaka 2018
> Wasichana wanachukuliwa na kutumikishwa kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoVitaSudanKusini
> Maelfu ya Watoto waliachiwa kutoka katika vikosi vya mapigano baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya amani mwaka 2018
> Wasichana wanachukuliwa na kutumikishwa kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoVitaSudanKusini
KOREA KUSINI: WAPINZANI WANYOA NYWELE, WAKIPINGA UTEUZI WAZIRI MPYA WA SHERIA, CHO KUK
> Kiongozi Mkuu wa Upinzani, Hwang Kyo-ahn amenyoa nywele nje ya Ikulu. Wiki iliyopita Wabunge Wanawake walifanya hivyo
> Familia ya Cho inatuhumiwa kwa rushwa
Soma > https://jamii.app/ChoKukSouthKorea
> Kiongozi Mkuu wa Upinzani, Hwang Kyo-ahn amenyoa nywele nje ya Ikulu. Wiki iliyopita Wabunge Wanawake walifanya hivyo
> Familia ya Cho inatuhumiwa kwa rushwa
Soma > https://jamii.app/ChoKukSouthKorea
ITALIA: KITUO CHA TV CHAMFUTA KAZI MTANGAZAJI NA MCHAMBUZI ALIYEMBAGUA ROMELU LUKAKU
> Top Calcio 24 Tv yamfuta kazi Luciano Passirani aliyesema "Ukikabiliana na Lukaku atakuua, njia pekee ya kumkabili na kumzuia, labda kumpa ndizi 10 akale"
Soma > https://jamii.app/PassiraniVsLukaku
> Top Calcio 24 Tv yamfuta kazi Luciano Passirani aliyesema "Ukikabiliana na Lukaku atakuua, njia pekee ya kumkabili na kumzuia, labda kumpa ndizi 10 akale"
Soma > https://jamii.app/PassiraniVsLukaku
KIKOKOTOO CHA MAFAO: TUCTA INAZUNGUMZA NA SERIKALI. WATUMISHI WAOMBA KUSTAAFU
- TUCTA imesema inazungumza na Serikali kuhusu kikokotoo kipya kitakavyotumika
- Baadhi ya Watumishi wa Serikali wameomba kustaafu kabla kikokotoo kipya hakijaanza
Soma https://jamii.app/WatumishiKustaafuHiari
- TUCTA imesema inazungumza na Serikali kuhusu kikokotoo kipya kitakavyotumika
- Baadhi ya Watumishi wa Serikali wameomba kustaafu kabla kikokotoo kipya hakijaanza
Soma https://jamii.app/WatumishiKustaafuHiari
TANZIA: MHARIRI WA GAZETI LA JAMHURI, GODFREY DILUNGA AFARIKI DUNIA
- Alikuwa akihariri gazeti la Raia Mwema kabla ya kuanza kuhariri gazeti la Jamhuri mnamo Februari 2019
- Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alipokuwa akitibiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/GodfreyDilungaAfariki
- Alikuwa akihariri gazeti la Raia Mwema kabla ya kuanza kuhariri gazeti la Jamhuri mnamo Februari 2019
- Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alipokuwa akitibiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/GodfreyDilungaAfariki
AFGHANISTAN: BOMU LALIPUKA KATIKA MKUTANO WA HADHARA ULIOHUDHURIWA NA RAIS
- Watu 24 wamefariki na wengi kujeruhiwa leo baada ya bomu kulipuka kwenye gari la Polisi
- Limelipuka kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na Rais Ashraf Ghani
Zaidi, soma https://jamii.app/BlastNearAfghanPrsdnt
- Watu 24 wamefariki na wengi kujeruhiwa leo baada ya bomu kulipuka kwenye gari la Polisi
- Limelipuka kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na Rais Ashraf Ghani
Zaidi, soma https://jamii.app/BlastNearAfghanPrsdnt
MBEYA: FAMILIA 9 ZAKOSA SEHEMU YA KUISHI BAADA YA NYUMBA WANAYOISHI KUTEKETEA KWA MOTO
> Moto huo umeteketeza mali zote zilizokuwepo ndani ya nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Isanga
> Hata hivyo Kikosi cha Zimamoto kilifika na kuzima moto huo
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoNyumbaIsanga
> Moto huo umeteketeza mali zote zilizokuwepo ndani ya nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Isanga
> Hata hivyo Kikosi cha Zimamoto kilifika na kuzima moto huo
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoNyumbaIsanga
TABORA: BINTI WA MIAKA 19 AJIFUNGUA WATOTO WATANO KABLA YA MUDA
> Monica Daudi(19) mkazi wa Mtaa wa Nyasa Wilayani Nzega, aliyekuwa na ujauzito wa miezi 5 amejifungua Watoto hao ndani ya siku 2
> Watoto wote walikuwa na jinsia ya kiume na hawakuweza kuishi kwasababu ya kuzaliwa kabla ya wakati
Soma https://jamii.app/BintiWatoto5Tabora
> Monica Daudi(19) mkazi wa Mtaa wa Nyasa Wilayani Nzega, aliyekuwa na ujauzito wa miezi 5 amejifungua Watoto hao ndani ya siku 2
> Watoto wote walikuwa na jinsia ya kiume na hawakuweza kuishi kwasababu ya kuzaliwa kabla ya wakati
Soma https://jamii.app/BintiWatoto5Tabora
SHINYANGA: MTUMISHI WA HOSPITALI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA KWA KUOMBA RUSHWA
- Mahakama imemtia hatiani Lucia Thomas Mihayo kwa kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 50,000
- Ametakiwa kutumikia kifungo hicho au kulipa faini ya Tsh. 500,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MtumishiKHMHatiaRushwa
- Mahakama imemtia hatiani Lucia Thomas Mihayo kwa kuomba na kupokea rushwa ya Tsh. 50,000
- Ametakiwa kutumikia kifungo hicho au kulipa faini ya Tsh. 500,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MtumishiKHMHatiaRushwa
KATAVI: ADAIWA KUMUUA MTOTO BAADA YA MTOTO KUPOTEZA NG’OMBE
- Lusambaja Bundala(7) ameuawa kwa kupigwa kichwani na kukatwa na kitu chenye ncha na anayedaiwa ni baba yake mdogo
- Inadaiwa ni baada ya mtoto huyo kupoteza ng'ombe aliokuwa akiwachunga
Zaidi, soma https://jamii.app/AuawaKupotezaMifugo-KTV
- Lusambaja Bundala(7) ameuawa kwa kupigwa kichwani na kukatwa na kitu chenye ncha na anayedaiwa ni baba yake mdogo
- Inadaiwa ni baada ya mtoto huyo kupoteza ng'ombe aliokuwa akiwachunga
Zaidi, soma https://jamii.app/AuawaKupotezaMifugo-KTV
MOSHI: MUONGOZA WATALII AJIUA KWA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
> Aliyejirusha na kufariki ni Thomas Meela, mkazi wa Marangu mwenye umri wa miaka 58
> Alimwambia rafiki yake kuwa hawatomuona tena, akakimbia na kujirusha
Soma > https://jamii.app/AjiuaMtKilimanjaro
> Aliyejirusha na kufariki ni Thomas Meela, mkazi wa Marangu mwenye umri wa miaka 58
> Alimwambia rafiki yake kuwa hawatomuona tena, akakimbia na kujirusha
Soma > https://jamii.app/AjiuaMtKilimanjaro
IGP SIRRO AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA WA BAADHI YA MIKOA
- Msemaji wa Polisi Nchini, David Misime ameeleza kuwa ni mabadiliko ya kawaida katika kuboresha utendaji kazi wa Jeshi hilo
- Kamanda Wilbroad Mutafungwa aliyekuwa Morogoro amehamishiwa Makao Makuu na Kamanda Hamis Issah aliyekuwa Kilimanjaro, amepelekwa Morogoro
Zaidi, soma https://jamii.app/MabadilikoMadogoRPC
- Msemaji wa Polisi Nchini, David Misime ameeleza kuwa ni mabadiliko ya kawaida katika kuboresha utendaji kazi wa Jeshi hilo
- Kamanda Wilbroad Mutafungwa aliyekuwa Morogoro amehamishiwa Makao Makuu na Kamanda Hamis Issah aliyekuwa Kilimanjaro, amepelekwa Morogoro
Zaidi, soma https://jamii.app/MabadilikoMadogoRPC
RWANDA: RAIA WA KENYA AHUKUMIWA KWA KUWALAGHAI VIJANA WA RWANDA
Charles Kinuthia amehukumiwa kifungo cha miaka 2 kwa kuwalaghai vijana wa Rwanda walipe fedha za kujiandikisha kushiriki mkutano wa masuala ya utajiri ambao haukufanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MkenyaAhukumiwaRwanda
Charles Kinuthia amehukumiwa kifungo cha miaka 2 kwa kuwalaghai vijana wa Rwanda walipe fedha za kujiandikisha kushiriki mkutano wa masuala ya utajiri ambao haukufanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MkenyaAhukumiwaRwanda
KAMPUNI YA TALA INAYOTOA MIKOPO YAFUNGWA NCHINI
- TALA inayokopesha kwa njia ya mtandao wa Simu za Kiganjani, imetangaza kufunga shughuli zake Nchini Tanzania na kueleza kuwa taarifa ya kina itatolewa siku chache zijazo
Zaidi, soma https://jamii.app/TalaYafungwaTanzania
- TALA inayokopesha kwa njia ya mtandao wa Simu za Kiganjani, imetangaza kufunga shughuli zake Nchini Tanzania na kueleza kuwa taarifa ya kina itatolewa siku chache zijazo
Zaidi, soma https://jamii.app/TalaYafungwaTanzania
KAGERA: WANAFUNZI WANAOTUHUMIWA KWA MAUAJI WARUHUSIWA KUJIANDAA NA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE WAKIWA GEREZANI
> Wanafunzi hao ni wa Shule ya Sekondari Katoro Islamic wanaotuhumiwa kwa kuhusika na mauaji ya Mwanafunzi mwenzao, Mudy Muswadiku
Soma > https://jamii.app/WanafunziKusomeaJela
> Wanafunzi hao ni wa Shule ya Sekondari Katoro Islamic wanaotuhumiwa kwa kuhusika na mauaji ya Mwanafunzi mwenzao, Mudy Muswadiku
Soma > https://jamii.app/WanafunziKusomeaJela