ALIYEMUUA MKEWE AHUKUMIWA KUSAFISHA HOSPITALI
- Mkazi wa Lindi, Atanasi Kijombo amehukumiwa kusafisha mazingira ya Hospitali ya Kilwa kwa miezi 12
- Alimuua Mkewe, Hadija Mambo bila kukusudia kwa kumkuta akifanya mapenzi na Mwanaume mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaAhukumiwaKusafishaHosp-MTW
- Mkazi wa Lindi, Atanasi Kijombo amehukumiwa kusafisha mazingira ya Hospitali ya Kilwa kwa miezi 12
- Alimuua Mkewe, Hadija Mambo bila kukusudia kwa kumkuta akifanya mapenzi na Mwanaume mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaAhukumiwaKusafishaHosp-MTW
DAR: WATU WAFURIKA UWANJA WA TAIFA IKIDAIWA KUNA MIKOPO ITATOLEWA
- Wamedai wamejiandikisha watokako ikidaiwa kuna shirika linagawa mikopo kwa familia masikini na wajane
- Hata hivyo, imeelezwa uwanjani hapo kuna kongamano la ndoa na familia
Zaidi, soma https://jamii.app/MikopoUwanjaTaifa-DAR
- Wamedai wamejiandikisha watokako ikidaiwa kuna shirika linagawa mikopo kwa familia masikini na wajane
- Hata hivyo, imeelezwa uwanjani hapo kuna kongamano la ndoa na familia
Zaidi, soma https://jamii.app/MikopoUwanjaTaifa-DAR
ARUSHA: GHALA LA KIWANDA SUNFLAG LATEKETEA KWA MOTO
- Ghala la kiwanda la kuhifadhia Pamba limeteketea kwa moto na baadhi ya marobota ya pamba inayotumika kutengeneza nguo kuteketezwa
- Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoKiwandaSunflag
- Ghala la kiwanda la kuhifadhia Pamba limeteketea kwa moto na baadhi ya marobota ya pamba inayotumika kutengeneza nguo kuteketezwa
- Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/MotoKiwandaSunflag
SERIKALI: WATAKAO TUHUJUMU KUHUSU KUZUIWA NDEGE YA ATCL, KUSHTAKIWA
- Msemaji wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema watakaobainika kuihujumu Serikali kuhusu kuzuiwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini watafunguliwa kesi ya kuihujumu nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/AtayehujumuKushikwaATCLKushtakiwa
- Msemaji wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema watakaobainika kuihujumu Serikali kuhusu kuzuiwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini watafunguliwa kesi ya kuihujumu nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/AtayehujumuKushikwaATCLKushtakiwa
BASHIR AFUNGULIWA RASMI MASHTAKA YA RUSHWA. AKIRI KUPOKEA PESA HARAMU
- Amefunguliwa rasmi mashtaka ya rushwa na kupokea fedha kinyume na sheria kutoka nje ya Nchi
- Amekiri kuzipata fedha hizo kutoka Familia ya Kifalme ya Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/BashirAkiriKupokeaPesaKiharamu
- Amefunguliwa rasmi mashtaka ya rushwa na kupokea fedha kinyume na sheria kutoka nje ya Nchi
- Amekiri kuzipata fedha hizo kutoka Familia ya Kifalme ya Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/BashirAkiriKupokeaPesaKiharamu
TANZIA: WAZIRI WA ZAMANI WA MAMBO YA NJE AFARIKI DUNIA
- Ibrahim Kaduma (82), aliyekuwa Waziri katika Serikali ya awamu ya kwanza, amefariki akiwa India usiku wa kuamkia leo
- Alienda India kwa uchunguzi wa afya baada ya kujisikia vibaya
Zaidi, soma https://jamii.app/KadumaAfariki-Agosti31
- Ibrahim Kaduma (82), aliyekuwa Waziri katika Serikali ya awamu ya kwanza, amefariki akiwa India usiku wa kuamkia leo
- Alienda India kwa uchunguzi wa afya baada ya kujisikia vibaya
Zaidi, soma https://jamii.app/KadumaAfariki-Agosti31
ODESSA, TEXAS: WATU 5 WAUAWA NA WENGINE 21 KUJERUHIWA KWA RISASI
> Muuaji alianza kurusha risasi baada ya kusimamishwa na Polisi
> Muuaji huyo pia ameuawa na Polisi
> Ni tukio la pili ndani ya mwezi mmoja baada ya tukio la awali ambapo watu 22 waliuawa na 24 kujeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/OdessaShooting5Killed
> Muuaji alianza kurusha risasi baada ya kusimamishwa na Polisi
> Muuaji huyo pia ameuawa na Polisi
> Ni tukio la pili ndani ya mwezi mmoja baada ya tukio la awali ambapo watu 22 waliuawa na 24 kujeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/OdessaShooting5Killed
BAHAMAS: SERIKALI YAWATAHADHARISHA WANANCHI DHIDI YA KIMBUNGA DORIAN
- Watu katika visiwa hivyo hususani Grand Bahamas na Abaco wametakiwa kujikinga
- Kimbunga hicho chenye mwendokasi wa Kilometa 240 kwa saa, kinatarajiwa kutua Bahamas leo
Zaidi, soma https://jamii.app/HurricaneDorianBahamas
- Watu katika visiwa hivyo hususani Grand Bahamas na Abaco wametakiwa kujikinga
- Kimbunga hicho chenye mwendokasi wa Kilometa 240 kwa saa, kinatarajiwa kutua Bahamas leo
Zaidi, soma https://jamii.app/HurricaneDorianBahamas
INDIA: SERIKALI KUJIONDOA KWENYE UENDESHAJI WA SHIRIKA LA NDEGE
- Inataka kujiondoka kabisa katika uendeshaji wa shughuli za Shirika la ndege la India (Air India) linaloendelea kupata hasara
- Hili ni jaribio lingine baada ya awali kushindwa
Zaidi, soma https://jamii.app/GovtSellingAirIndia
- Inataka kujiondoka kabisa katika uendeshaji wa shughuli za Shirika la ndege la India (Air India) linaloendelea kupata hasara
- Hili ni jaribio lingine baada ya awali kushindwa
Zaidi, soma https://jamii.app/GovtSellingAirIndia
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: BASI LA MWENDOKASI LAUNGUA MOTO
- Limewaka moto likiwa maeneo ya Kimara Mwisho huku chanzo cha moto huo ikidaiwa ni hitilafu kwenye injini
- Hakuna taarifa yoyote ya kifo wala mtu yeyote aliyepata majeraha kutokana na moto huo
Zaidi, soma https://jamii.app/BasiMwendokasiMotoKimara
- Limewaka moto likiwa maeneo ya Kimara Mwisho huku chanzo cha moto huo ikidaiwa ni hitilafu kwenye injini
- Hakuna taarifa yoyote ya kifo wala mtu yeyote aliyepata majeraha kutokana na moto huo
Zaidi, soma https://jamii.app/BasiMwendokasiMotoKimara
MIAKA 80 YATIMIA TANGU KUTOKEA KWA VITA YA II YA DUNIA(1939)
> Rais wa Ujerumani na Poland wamefungua maadhimisho ya siku nzima ya kumbukumbu za miaka 80 tangu ilipoanza Vita ya Pili ya Dunia
> Maadhimisho hayo yamefanyika katika mji wa Wielun, ulioko katikati mwa Poland ambao ulikuwa ni wa kwanza kushambuliwa na vikosi vya utawala wa Wanazi wa Ujerumani
Soma - https://jamii.app/80YrsWorldWarII
#JFLeo
> Rais wa Ujerumani na Poland wamefungua maadhimisho ya siku nzima ya kumbukumbu za miaka 80 tangu ilipoanza Vita ya Pili ya Dunia
> Maadhimisho hayo yamefanyika katika mji wa Wielun, ulioko katikati mwa Poland ambao ulikuwa ni wa kwanza kushambuliwa na vikosi vya utawala wa Wanazi wa Ujerumani
Soma - https://jamii.app/80YrsWorldWarII
#JFLeo
MCHEKESHAJI KEVIN HART APATA AJALI YA GARI
- Mchekeshaji huyo, raia wa Marekani amepata ajali mapema Jumapili akiwa na wenzake wawili huko Calabasas, California
- Hart na dereva Jared Black wameripotiwa kupata majeraha makubwa mgongoni
Soma https://jamii.app/HartAccidentCalifornia
#JFLeo
- Mchekeshaji huyo, raia wa Marekani amepata ajali mapema Jumapili akiwa na wenzake wawili huko Calabasas, California
- Hart na dereva Jared Black wameripotiwa kupata majeraha makubwa mgongoni
Soma https://jamii.app/HartAccidentCalifornia
#JFLeo
RAIS MUSEVENI KUFUNGUA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA TANZANIA NA UGANDA
> Rais wa Uganda anatarajiwa kufungua mkutano wa Wafanyabiashara kati ya Uganda na Tanzania ambao utawashirikisha wafanyabiashara zaidi ya 1000 katika kujadili namna ya kuongeza biashara mpya baina ya nchi hizi
> Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Septemba 6, 2019 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Dsm
Soma - https://jamii.app/MuseveniMkutanoBiashara
#JFLeo
> Rais wa Uganda anatarajiwa kufungua mkutano wa Wafanyabiashara kati ya Uganda na Tanzania ambao utawashirikisha wafanyabiashara zaidi ya 1000 katika kujadili namna ya kuongeza biashara mpya baina ya nchi hizi
> Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Septemba 6, 2019 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Dsm
Soma - https://jamii.app/MuseveniMkutanoBiashara
#JFLeo
MKUTANO JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA KUANZA LEO ZANZIBAR
> Mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajiwa kuanza leo ambapo utawaweka pamoja Viongozi zaidi ya 400 kutoka Afrika
> Baadhi ya nchi zitakazoshiriki ni Zambia, Ghana, Malawi, Nigeria, Cameroon, Afrika Kusini, Uganda pamoja na Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MkutanoJumuiyaMadola
> Mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajiwa kuanza leo ambapo utawaweka pamoja Viongozi zaidi ya 400 kutoka Afrika
> Baadhi ya nchi zitakazoshiriki ni Zambia, Ghana, Malawi, Nigeria, Cameroon, Afrika Kusini, Uganda pamoja na Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/MkutanoJumuiyaMadola
MICHEZO: Klabu ya Sporting Lisbon ya Ligi Kuu Ureno, imeripotiwa kuanza mazungumzo na KRC Genk kwa ajili ya kupata saini ya nahodha wa Timu ya Taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta (27)
> Sporting Lisbon ndiyo klabu iliyomkuza staa wa Juventus, Christiano Ronaldo
#JFMichezo
> Sporting Lisbon ndiyo klabu iliyomkuza staa wa Juventus, Christiano Ronaldo
#JFMichezo