TANGA: MKUU WA MKOA ANYANG'ANYA SHAMBA LA MWEKEZAJI NA KUWAGAWIA WANANCHI
- RC Shigela amerudisha kwa wananchi shamba la ekari 900 lililokuwa linamilikiwa na mwekezaji (Kampuni ya Hengya) ambaye ameshindwa kuliendeleza kwa miaka 3
Zaidi, soma https://jamii.app/RCTangaShamba
- RC Shigela amerudisha kwa wananchi shamba la ekari 900 lililokuwa linamilikiwa na mwekezaji (Kampuni ya Hengya) ambaye ameshindwa kuliendeleza kwa miaka 3
Zaidi, soma https://jamii.app/RCTangaShamba
SERIKALI YAKIRI KUDAIWA BILIONI 95 NA WAKULIMA WA KOROSHO
- Imesema Wakulima na wadau wengine kama Wasafirishaji wanadai jumla ya Tsh. Bilioni 105
- Aidha, imebainisha kuwa hadi sasa ina korosho tani 200,000 kwa ajili ya kuziuza nje ya nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/Serikali-WakulimaKorosho
- Imesema Wakulima na wadau wengine kama Wasafirishaji wanadai jumla ya Tsh. Bilioni 105
- Aidha, imebainisha kuwa hadi sasa ina korosho tani 200,000 kwa ajili ya kuziuza nje ya nchi
Zaidi, soma https://jamii.app/Serikali-WakulimaKorosho
KISUTU: KESI YA KABENDERA YAPIGWA KALENDA TENA. AFYA YAKE YATAJWA KUZOROTA
- Kesi ya Mwandishi Erick Kabendera imeahirishwa tena hadi Septemba 12, 2019
- Kabendera ametajwa kupata shida ya upumuaji hasa usiku na kusababisha afya yake kuzorota
Zaidi, soma https://jamii.app/AfyaKabenderaKuzorota
- Kesi ya Mwandishi Erick Kabendera imeahirishwa tena hadi Septemba 12, 2019
- Kabendera ametajwa kupata shida ya upumuaji hasa usiku na kusababisha afya yake kuzorota
Zaidi, soma https://jamii.app/AfyaKabenderaKuzorota
KILIMANJARO: AJINYONGA BAADA YA NDUGU KUKATAA KUMCHANGIA HELA YA KUMZIKA MKEWE
- Mkazi wa Rombo, Ambros Marandu(54) amekutwa amejiua kwa kujinyonga kwenye mwembe
- Aliomba mchango kwani hakuwa na fedha baada ya kumuuguza mkewe kwa muda mrefu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjinyongaMchangoMazishiMke
- Mkazi wa Rombo, Ambros Marandu(54) amekutwa amejiua kwa kujinyonga kwenye mwembe
- Aliomba mchango kwani hakuwa na fedha baada ya kumuuguza mkewe kwa muda mrefu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjinyongaMchangoMazishiMke
UGANDA: MTOTO WA MIAKA 9 ALIYEKUTWA NA UGONJWA WA EBOLA, AFARIKI
- Mtoto huyo alikutwa na Ebola baada ya kupimwa katika mpaka uliopo Wilayani Kasese akiwa anatokea Congo
- Mama yake aliyewasili naye, ametengwa akisubiri kurudishwa Congo
Zaidi, soma https://jamii.app/MgonjwaEbolaAfarikiUG
- Mtoto huyo alikutwa na Ebola baada ya kupimwa katika mpaka uliopo Wilayani Kasese akiwa anatokea Congo
- Mama yake aliyewasili naye, ametengwa akisubiri kurudishwa Congo
Zaidi, soma https://jamii.app/MgonjwaEbolaAfarikiUG
AFRIKA KUSINI: MAOMBI YA KUPINGA KUSHIKILIWA KWA NDEGE YA ATCL KUSIKILIZWA LEO
> Wakili Mkuu wa Serikali Msaidizi, Dkt. Ally Possi amesema kuwa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wanasimamia suala hilo ili kuhakikisha ndege inaachiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/KesiNdegeSA
> Wakili Mkuu wa Serikali Msaidizi, Dkt. Ally Possi amesema kuwa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wanasimamia suala hilo ili kuhakikisha ndege inaachiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/KesiNdegeSA
KINONDONI, DAR: KIJANA WA MIAKA 22 APANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULAWITI
> Abubakari Bakari, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa miaka 12
> Amekana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana
Soma > https://jamii.app/KijanaTuhumaKulawitiDAR
> Abubakari Bakari, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa miaka 12
> Amekana mashtaka na kuachiwa kwa dhamana
Soma > https://jamii.app/KijanaTuhumaKulawitiDAR
AFYA: DAKTARI BINGWA ASHAURI VIJANA KUPIMA VINASABA (DNA) KABLA YA KUOANA
- Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu ktk Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Elineema Meda ametoa ushauri huo ili waepuke kupata Watoto wenye ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell)
Soma > https://jamii.app/UgonjwaSelimundu
- Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu ktk Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Elineema Meda ametoa ushauri huo ili waepuke kupata Watoto wenye ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell)
Soma > https://jamii.app/UgonjwaSelimundu
WAZIRI LUGOLA AVIONYA VYAMA VITAKAVYOANZA KAMPENI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KABLA YA WAKATI
- Ametoa onyo kwa vyama vya siasa vilivyotangaza kufanya mikutano ya hadhara kabla ya muda uliopangwa
- Asema Jeshi lake litavishughulikia
Soma > https://jamii.app/LugolaVsVyamaSiasa
- Ametoa onyo kwa vyama vya siasa vilivyotangaza kufanya mikutano ya hadhara kabla ya muda uliopangwa
- Asema Jeshi lake litavishughulikia
Soma > https://jamii.app/LugolaVsVyamaSiasa
SONGWE: VIONGOZI WA CCM WAPIGWA MARUFUKU KUWATISHA WATUMISHI WA UMMA
- Mwenyekiti wa CCM Songwe, Eliniko Mkola asema Taasisi zote zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo ni vema wana CCM wakajua mipaka ya kiutendaji
Zaidi, soma > https://jamii.app/CCMVsWatumishiUmma
- Mwenyekiti wa CCM Songwe, Eliniko Mkola asema Taasisi zote zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo ni vema wana CCM wakajua mipaka ya kiutendaji
Zaidi, soma > https://jamii.app/CCMVsWatumishiUmma
GUINEA-BISSAU: RAIS JOSE MARIO VAZ ALIYEMALIZA MUDA WAKE, ATANGAZA KUWANIA URAIS TENA
- Atagombea kama mgombea binafsi baada ya kutengwa na chama chake cha PAIGC na atakiungwa mkono na vyama vidogo ambavyo havina uwakilishi Bungeni
Zaidi, soma > https://jamii.app/JoseVaziKuwaniaTena
- Atagombea kama mgombea binafsi baada ya kutengwa na chama chake cha PAIGC na atakiungwa mkono na vyama vidogo ambavyo havina uwakilishi Bungeni
Zaidi, soma > https://jamii.app/JoseVaziKuwaniaTena
HANDENI, TANGA: ZAIDI YA WATUMISHI WA UMMA 45 WAFUKUZWA KAZI
- Watumishi waliofukuzwa ni watuhumiwa wa makosa mbalimbali yakiwemo ya matumizi mabaya ya Fedha za Umma
- Afisa Utumishi wa Wilaya hiyo amesema kila idara imeguswa
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiWafukuzwaHandeni
- Watumishi waliofukuzwa ni watuhumiwa wa makosa mbalimbali yakiwemo ya matumizi mabaya ya Fedha za Umma
- Afisa Utumishi wa Wilaya hiyo amesema kila idara imeguswa
Zaidi, soma https://jamii.app/WatumishiWafukuzwaHandeni
ARUSHA: MKUU WA MKOA AAGIZA KUSIMAMISHWA AFISA UGAVI NA MHANDISI UJENZI WA HALMASHAURI YA KARATU
- RC Mrisho Gambo ameagiza kusimamishwa kazi, Modestus Kastila na Venance Malamla kwa kushindwa kusimamia mradi wa soko na Hospitali ya Wilaya
Soma > https://jamii.app/Gambo-Karatu
- RC Mrisho Gambo ameagiza kusimamishwa kazi, Modestus Kastila na Venance Malamla kwa kushindwa kusimamia mradi wa soko na Hospitali ya Wilaya
Soma > https://jamii.app/Gambo-Karatu
KOREA KASKAZINI: KATIBA YAFANYIWA MAREKEBISHO NA KUMFANYA KIM JONG UN KUWA KIONGOZI WA JUU
- Bunge limepitisha mabadiliko ya Katiba na kumuongezea nguvu zaidi Kiongozi wao Kim Jong Un kuwa Kiongozi wa juu kama alivyokuwa Babu yake
Zaidi, soma > https://jamii.app/KimKatibaKorea
- Bunge limepitisha mabadiliko ya Katiba na kumuongezea nguvu zaidi Kiongozi wao Kim Jong Un kuwa Kiongozi wa juu kama alivyokuwa Babu yake
Zaidi, soma > https://jamii.app/KimKatibaKorea
RUFIJI, PWANI: WATU WATANO WAFARIKI KWENYE AJALI YA GARI
- Watu watano wamefariki na mmoja kujeruhiwa baada ya lori la Dangote na gari dogo kugongana
- Lori liliteketea kwa moto papo hapo baada ya kugonga nguzo ya Umeme na kuangukiwa na nyaya
Zaidi, soma https://jamii.app/5WafarikiAjaliRufiji
- Watu watano wamefariki na mmoja kujeruhiwa baada ya lori la Dangote na gari dogo kugongana
- Lori liliteketea kwa moto papo hapo baada ya kugonga nguzo ya Umeme na kuangukiwa na nyaya
Zaidi, soma https://jamii.app/5WafarikiAjaliRufiji
LONDON: MAELFU KUANDAMANA KUPINGA UAHIRISHWAJI WA BUNGE
- Maandamano yameitishwa na wapinzani wa Brexit waitwao "Another Europe is Possible"
- Inadaiwa kuahirishwa kwa Bunge ni hila ya Serikali kuwanyima Wabunge kuzuia Uingereza kujiondoa EU
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanaKupingaBunge-UK
- Maandamano yameitishwa na wapinzani wa Brexit waitwao "Another Europe is Possible"
- Inadaiwa kuahirishwa kwa Bunge ni hila ya Serikali kuwanyima Wabunge kuzuia Uingereza kujiondoa EU
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanaKupingaBunge-UK