UNHCR YAPINGANA NA TANZANIA. YASEMA BURUNDI SI SALAMA KWA WAKIMBIZI KURUDI
- Yasema hali hairuhusu kushinikiza Wakimbizi kurudi katika nchi hiyo
- Limezitaka Tanzania na Burundi kuhakikisha kuwa hakuna Mkimbizi anayerudishwa kwa kushurutishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UNHCRvsTZ-WakimbiziBRND
- Yasema hali hairuhusu kushinikiza Wakimbizi kurudi katika nchi hiyo
- Limezitaka Tanzania na Burundi kuhakikisha kuwa hakuna Mkimbizi anayerudishwa kwa kushurutishwa
Zaidi, soma https://jamii.app/UNHCRvsTZ-WakimbiziBRND
PWANI: POLISI YAMKAMATA KIJANA AKISAFIRISHA MAGUNIA 9 YA BANGI
> Francis Deogratias(30) mkazi wa Mwananyamala, Jijini Dar anayefanya kazi ya udereva, amekamatwa na magunia hayo ambapo kila moja lina uzito wa kilo 50
Zaidi, soma https://jamii.app/BangiYakamatwaPwani
> Francis Deogratias(30) mkazi wa Mwananyamala, Jijini Dar anayefanya kazi ya udereva, amekamatwa na magunia hayo ambapo kila moja lina uzito wa kilo 50
Zaidi, soma https://jamii.app/BangiYakamatwaPwani
KAHAMA, SHINYANGA: AMUUA MKEWE NA KISHA KUJIUA KWA SUMU
- Paschal Mahona(32) amejiua baada ya kumuua mkewe, Ashura Paschal(30) kwa kumnyonga
- Chanzo cha tukio hilo la Agosti 28 ni wivu wa mapenzi kwani kabla wawili hao walikuwa wakigombana
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMkeAjiua-Mapenzi
- Paschal Mahona(32) amejiua baada ya kumuua mkewe, Ashura Paschal(30) kwa kumnyonga
- Chanzo cha tukio hilo la Agosti 28 ni wivu wa mapenzi kwani kabla wawili hao walikuwa wakigombana
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMkeAjiua-Mapenzi
SERIKALI: TUTAWACHUKULIA HATUA WANAOSAMBAZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU DAWA
> Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Ndugulile amesema kuna taarifa zinazoenezwa kuhusu madhara anayoweza kuyapata mtu iwapo atatumia aina fulani ya dawa
Zaidi, soma https://jamii.app/GvtVsWapotoshaji
> Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Ndugulile amesema kuna taarifa zinazoenezwa kuhusu madhara anayoweza kuyapata mtu iwapo atatumia aina fulani ya dawa
Zaidi, soma https://jamii.app/GvtVsWapotoshaji
UPDATE: Polisi imethibitisha msafara wa DC wa Kyela, Claudia Kitta kushambuliwa kwa mawe walipofika kumuokoa Mama aliyetaka kuuawa na Wananchi akidaiwa kumuua mwanaye
- Wananchi walikuwa wanataka mama huyo anayedaiwa kumuua mwanaye kwa imani za kishirikina, amfufue
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraDCKyelaMawe
- Wananchi walikuwa wanataka mama huyo anayedaiwa kumuua mwanaye kwa imani za kishirikina, amfufue
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraDCKyelaMawe
MAKUNDI YA UEFA KUPANGWA LEO. MCHEZAJI BORA KUTANGAZWA
- Droo ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya-2019/20 itachezeshwa leo saa 2:00 usiku
- Aidha, mchezaji bora wa msimu wa 2018/19 anatarajiwa kutangazwa ambapo Messi, C. Ronaldo na Van Dijk wanawania tuzo hiyo
Zaidi, fuatilia https://jamii.app/DrooUEFA2019-20
- Droo ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya-2019/20 itachezeshwa leo saa 2:00 usiku
- Aidha, mchezaji bora wa msimu wa 2018/19 anatarajiwa kutangazwa ambapo Messi, C. Ronaldo na Van Dijk wanawania tuzo hiyo
Zaidi, fuatilia https://jamii.app/DrooUEFA2019-20
RAIS WA ITALIA AMUAGIZA WAZIRI MKUU ALIYEJIUZULU KUUNDA SERIKALI YA MSETO
- Rais wa Italia, Sergio Mattarella amemuagiza Giuseppe Conte kuunda Serikali mpya ili kuepuka kufanya uchaguzi mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/ConteSerikaliMpya
- Rais wa Italia, Sergio Mattarella amemuagiza Giuseppe Conte kuunda Serikali mpya ili kuepuka kufanya uchaguzi mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/ConteSerikaliMpya
WAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TATU ATAJWA KWENYE KESI YA UHUJUMU UCHUMI
- Maokola Majogo, atajwa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara Mohamed Yusufali na wenzake wawili
- Adaiwa kumdhamini Alhaji Kilahama wakati akikopa dola laki 5
Zaidi, soma https://jamii.app/MajogoTuhuma
- Maokola Majogo, atajwa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara Mohamed Yusufali na wenzake wawili
- Adaiwa kumdhamini Alhaji Kilahama wakati akikopa dola laki 5
Zaidi, soma https://jamii.app/MajogoTuhuma
WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA KWA UZURURAJI NA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA NGONO
- Mahakama ya Mwanzo ya Nunge ya Manispaa ya Morogoro imewahukumu watu 22 kwa makosa hayo
- Washtakiwa hao ambao wengi ni Wanawake walikamatwa usiku wa Agosti 16, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMiezi6Uzururaji
- Mahakama ya Mwanzo ya Nunge ya Manispaa ya Morogoro imewahukumu watu 22 kwa makosa hayo
- Washtakiwa hao ambao wengi ni Wanawake walikamatwa usiku wa Agosti 16, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMiezi6Uzururaji
MICHEZO: Shirikisho la Soka barani Ulaya (UEFA) limetangaza Wachezaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya msimu uliopita 2018/19 katika kila nafasi
- Kipa Bora ni Alison Becker (Liverpool), Beki Bora ni Virgil van Dijk (Liverpool), Kiungo Bora ni Frankie De Jong (Ajax) na Mshambuliaji Bora ni Lionel Messi (Barcelona)
- Kipa Bora ni Alison Becker (Liverpool), Beki Bora ni Virgil van Dijk (Liverpool), Kiungo Bora ni Frankie De Jong (Ajax) na Mshambuliaji Bora ni Lionel Messi (Barcelona)
VAN DIJK ATANGAZWA KUWA MCHEZAJI BORA WA KIUME WA UEFA
- Beki mahiri wa Liverpool ambaye ni raia wa Uholanzi, Virgil van Dijk ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Kiume wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya kwa msimu wa mwaka 2018/19
- Van Dijk amefanikiwa kuwabwaga Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo na Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi
- Beki mahiri wa Liverpool ambaye ni raia wa Uholanzi, Virgil van Dijk ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Kiume wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya kwa msimu wa mwaka 2018/19
- Van Dijk amefanikiwa kuwabwaga Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo na Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi
KILIMANJARO: MAGARI 20 YALIYOIBWA NCHINI KENYA YAKAMATWA TANZANIA
- Magari hayo yenye thamani ya Tsh. Bilioni 1.7 yaliibwa kati ya mwaka 2018 na 2019
- Miongoni mwa magari hayo ni Landcruiser, Marcedes Benz, Prado, Probox, axio na Allion
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariKenyaYakamatwaTZ
- Magari hayo yenye thamani ya Tsh. Bilioni 1.7 yaliibwa kati ya mwaka 2018 na 2019
- Miongoni mwa magari hayo ni Landcruiser, Marcedes Benz, Prado, Probox, axio na Allion
Zaidi, soma https://jamii.app/MagariKenyaYakamatwaTZ