UPDATE: Watu 3 wanaodaiwa kuwa viongozi wa maandamano ya kushinikiza kuachiwa kwa ndege ya Air Tanzania yaliyofanyika nje ya Ubalozi wa Afrika Kusini wanashikiliwa na Polisi
- Kamanda wa Polisi, Lazaro Mambosasa amesema wao hawaruhusu maandamano wala mtu kufanya atakavyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaWatakaNdege-UbaloziSA
- Kamanda wa Polisi, Lazaro Mambosasa amesema wao hawaruhusu maandamano wala mtu kufanya atakavyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaWatakaNdege-UbaloziSA
DODOMA: JAFO ATAKA WATUMISHI WA IDARA YA ARDHI ‘WACHAPWE VIBOKO’
- Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Chamwino 'kuwachapa viboko' watumishi wa idara ya ardhi ili wapime viwanja kwa kasi kulingana na mahitaji
Zaidi, soma https://jamii.app/JafoWatumishiViboko
- Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Chamwino 'kuwachapa viboko' watumishi wa idara ya ardhi ili wapime viwanja kwa kasi kulingana na mahitaji
Zaidi, soma https://jamii.app/JafoWatumishiViboko
KINONDONI, DAR: RAIA WA MALAWI APANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUMNAJISI MTOTO
- Paul John (30) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kumuingiza vidole sehemu za siri Mtoto wa miaka 7
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaiaMalawaliKunajisi
- Paul John (30) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kumuingiza vidole sehemu za siri Mtoto wa miaka 7
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaiaMalawaliKunajisi
BASHIRU ALLY APIGA MARUFUKU UWEPO WA SHIRIKISHO LA WALIMU WA CCM
- Amesema hawatambuani kwa taaluma na Katiba yao haisemi mwanachama awe mwalimu bali mwanachama ni mwanachama
- Asisitiza shughuli zote za chama ziendeshwe kwa mujibu wa Katiba
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAkemeaShirikishoWalimuCCM
- Amesema hawatambuani kwa taaluma na Katiba yao haisemi mwanachama awe mwalimu bali mwanachama ni mwanachama
- Asisitiza shughuli zote za chama ziendeshwe kwa mujibu wa Katiba
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAkemeaShirikishoWalimuCCM
CHUO KIKUU UDSM CHAKANUSHA MATOKEO MABAYA KWA WANAFUNZI WAKE
- Taarifa zilienea kuwa takriban Wanafunzi 1,000 wamevurunda katika mitihani ya kumaliza muhula wa masomo
- UDSM wasema Baraza la Seneti linaloidhinisha matokeo bado halijakaa
Soma => https://jamii.app/KanushoUDSM
- Taarifa zilienea kuwa takriban Wanafunzi 1,000 wamevurunda katika mitihani ya kumaliza muhula wa masomo
- UDSM wasema Baraza la Seneti linaloidhinisha matokeo bado halijakaa
Soma => https://jamii.app/KanushoUDSM
GEITA: WASHTAKIWA WA MAUAJI YA ALPONCE MAWAZO, KIZIMBANI
- Washtakiwa watano wa mauaji ya aliyekuwa kada wa CHADEMA wamefikishwa Mahakama Kuu
- Mawazo, aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita, alifariki kutokana na kupigwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WauajiMawazoKizimbani-GIT
- Washtakiwa watano wa mauaji ya aliyekuwa kada wa CHADEMA wamefikishwa Mahakama Kuu
- Mawazo, aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita, alifariki kutokana na kupigwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WauajiMawazoKizimbani-GIT
KENYA: KIONGOZI WA KANISA NA MKEWE WAKAMATWA KWA KUMFUKUZA AFISA WA SENSA
> Akhi Shilton na Bi. Akol Emmah wamesema hawawezi kuhesabiwa Duniani bali watahesabiwa mbinguni
> Majirani wasema wawili hao waliwahi kugoma Watoto wao wasipewe chanjo
Zaidi, soma https://jamii.app/WagomeaSensaNaivasha
> Akhi Shilton na Bi. Akol Emmah wamesema hawawezi kuhesabiwa Duniani bali watahesabiwa mbinguni
> Majirani wasema wawili hao waliwahi kugoma Watoto wao wasipewe chanjo
Zaidi, soma https://jamii.app/WagomeaSensaNaivasha
TABORA: MTOTO AFARIKI AKICHEZA NA WENZAKE KWENYE MABOMBA YA MAJI
- Paul Moses (9) amefariki dunia alipokuwa na wenzake wakichezea mabomba makubwa ya kusafirishia maji
- Paul na wenzake walikuwa wayakisukuma na kuingia ndani ya mabomba hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAfarikiBombaMaji-TBR
- Paul Moses (9) amefariki dunia alipokuwa na wenzake wakichezea mabomba makubwa ya kusafirishia maji
- Paul na wenzake walikuwa wayakisukuma na kuingia ndani ya mabomba hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAfarikiBombaMaji-TBR
ARUSHA: MZEE WA MIAKA 98 KULIPWA MILIONI 519.30 KAMA FIDIA YA KUPORWA ARDHI
- Malipo hayo yatatoka kwa Kaya 109 za wakazi wa Sinoni kwa kosa la kupora ardhi ya Bi. Nasi Muruo
- Kikongwe huyo, alinyang’anywa ardhi yake mwaka 1977
Zaidi, soma https://jamii.app/BibiArdhiFidia
- Malipo hayo yatatoka kwa Kaya 109 za wakazi wa Sinoni kwa kosa la kupora ardhi ya Bi. Nasi Muruo
- Kikongwe huyo, alinyang’anywa ardhi yake mwaka 1977
Zaidi, soma https://jamii.app/BibiArdhiFidia
UCHAGUZI WA PILI KIDATO CHA NNE: 1674 WACHAGULIWA, 187 WAKOSA NAFASI
- Uchaguzi ni baada ya baadhi ya wanafunzi kujiunga shule binafsi na baadhi ya shule kuongeza majengo
- Pia, Waliokosa nafasi ni kutokana na kutokamilika kwa tahasusi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziKidato5-2019
- Uchaguzi ni baada ya baadhi ya wanafunzi kujiunga shule binafsi na baadhi ya shule kuongeza majengo
- Pia, Waliokosa nafasi ni kutokana na kutokamilika kwa tahasusi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziKidato5-2019
MANYARA: KIJANA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA KOSA LA KUBAKA
- Pascal Mananga (22), amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia ya kosa la kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha 3 katika Shule ya Sekondari Chief Dodo
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaKubakaBabati
- Pascal Mananga (22), amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia ya kosa la kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha 3 katika Shule ya Sekondari Chief Dodo
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaKubakaBabati
BASHIRU ALLY: NILITAMANI KUJIUZULU UKATIBU MKUU WA CCM
- Katibu Mkuu wa CCM amesema wadhifa alionao ulikuwa mzigo kwake na ilifikia wakati alitaka kujiuzulu
- Amesema Mwenyekiti wa Chama hicho, John Magufuli ndiye aliyemtia moyo na sasa amekomaa
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruUkatibuCCM
- Katibu Mkuu wa CCM amesema wadhifa alionao ulikuwa mzigo kwake na ilifikia wakati alitaka kujiuzulu
- Amesema Mwenyekiti wa Chama hicho, John Magufuli ndiye aliyemtia moyo na sasa amekomaa
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruUkatibuCCM
NIGERIA: SERIKALI YAFUNGA MPAKA WAKE NA NCHI YA BENIN ILI KUDHIBITI MAGENDO
- Rais Buhari amesema kutakuwa na mkutano wa pamoja na nchi jirani za upande wa Kaskazini (Benin na Niger) ili kujadili kudhibiti biashara ya magendo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NigeriaYafungaMpaka
- Rais Buhari amesema kutakuwa na mkutano wa pamoja na nchi jirani za upande wa Kaskazini (Benin na Niger) ili kujadili kudhibiti biashara ya magendo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NigeriaYafungaMpaka
WAZIRI MKUU UINGEREZA ADAIWA KUSITISHA BUNGE ILI ‘ASIBUGHUDHIWE KATIKA MAAMUZI’
> Wadau wadai uamuzi huu ulioafikiwa na Malkia utazuia Bunge kujadili Mpango wa #Brexit
> Wanaopinga Brexit wadai ni dalili za awali za udikteta
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriMkuuBungeUK
> Wadau wadai uamuzi huu ulioafikiwa na Malkia utazuia Bunge kujadili Mpango wa #Brexit
> Wanaopinga Brexit wadai ni dalili za awali za udikteta
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriMkuuBungeUK
MBEYA: MSAFARA WA MKUU WA WILAYA WAPIGWA MAWE
- Ni msafara wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ukiongozwa na DC wa Kyela, Claudia Kitta
- Watu wawili wamejeruhiwa na Magari kuharibiwa baada ya msafara huo kushambuliwa katika kijiji cha Mpunguti
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraDCKyelaMawe
- Ni msafara wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ukiongozwa na DC wa Kyela, Claudia Kitta
- Watu wawili wamejeruhiwa na Magari kuharibiwa baada ya msafara huo kushambuliwa katika kijiji cha Mpunguti
Zaidi, soma https://jamii.app/MsafaraDCKyelaMawe
UGANDA YAACHANA NA MRADI WA KUFUA UMEME KATIKA MAPOROMOKO YA MARCHISON
- Kusitishwa kwa mradi huo ambao ungezalisha Megawatt 360 kunaashiria Serikali ya Uganda imejihakikishia kuwa mradi huo ungechafua mandhari na kuvuruga mfumo wa ikolojia
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaVsMarchison
- Kusitishwa kwa mradi huo ambao ungezalisha Megawatt 360 kunaashiria Serikali ya Uganda imejihakikishia kuwa mradi huo ungechafua mandhari na kuvuruga mfumo wa ikolojia
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaVsMarchison