SERIKALI YAWAONYA WANAOWAPA SIMU WATOTO CHINI YA MIAKA 18
- Imewaonya wazazi au walezi wanaowaruhusu watoto kumiliki simu na laini
- Imesema watoto hawawezi kusajiliwa kutumia simu na wakipata matatizo waliosajili kwa niaba yao ndio watakamatwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliVsWazaziWatotoSimu
- Imewaonya wazazi au walezi wanaowaruhusu watoto kumiliki simu na laini
- Imesema watoto hawawezi kusajiliwa kutumia simu na wakipata matatizo waliosajili kwa niaba yao ndio watakamatwa
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliVsWazaziWatotoSimu
ZANZIBAR: MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA KUBWIA DAWA ZA KULEVYA
- Mtoto huyo mwenye mwaka na miezi 6 alifikishwa hospitalini Agosti 18 baada ya kudaiwa kubwia ‘cocaine’
- Mama wa mtoto alieleza kuwa mtoto wake alikula dawa hizo baada ya kuziokota
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAbwiaCocaine
- Mtoto huyo mwenye mwaka na miezi 6 alifikishwa hospitalini Agosti 18 baada ya kudaiwa kubwia ‘cocaine’
- Mama wa mtoto alieleza kuwa mtoto wake alikula dawa hizo baada ya kuziokota
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAbwiaCocaine
MWANAFUNZI AMSHTAKI MUSEVENI KWA KUMZUIA(BLOCK) TWITTER
- Hillary Seguya anayesoma Harvard(Marekani) pia amewashtaki Msemaji wa Serikali na Mkuu wa Siasa wa Polisi
- Awasilisha ushahidi wa Tweets 27 za kiutendaji ambazo hazikumfikia
Zaidi, soma > https://jamii.app/SeguyaVsMuseveni
- Hillary Seguya anayesoma Harvard(Marekani) pia amewashtaki Msemaji wa Serikali na Mkuu wa Siasa wa Polisi
- Awasilisha ushahidi wa Tweets 27 za kiutendaji ambazo hazikumfikia
Zaidi, soma > https://jamii.app/SeguyaVsMuseveni
DAR: ANAYETUHUMIWA KUBAKA WAKE ZA WATU AFUNGULIWA KESI
- Ahmed Mohamed amefunguliwaa mashtaka yakiwamo ya uhujumu uchumi Mahakamani Kisutu
- DPP Mganga amedai Mohamed amekuwa akiwabaka, kuwaingilia kinyume cha maumbile na kuwaibia wanawake
Zaidi, soma https://jamii.app/MdhalilishajiWanawakeAshtakiwa
- Ahmed Mohamed amefunguliwaa mashtaka yakiwamo ya uhujumu uchumi Mahakamani Kisutu
- DPP Mganga amedai Mohamed amekuwa akiwabaka, kuwaingilia kinyume cha maumbile na kuwaibia wanawake
Zaidi, soma https://jamii.app/MdhalilishajiWanawakeAshtakiwa
DAR: MFANYABIASHARA ALIYEMUUA MKEWE NA KUMCHOMA MOTO, AIOMBA MAHAKAMA IMPATIE FEDHA ZAKE
- Hamis Said(38), aomba apatiwe fedha zake zaidi ya Tsh. Milioni 5 zilizopo kwenye laini 2 za simu
- Asema anazihitaji kwa matumizi yake na karo ya Mtoto
Zaidi, soma > https://jamii.app/MtuhumiwaFezaSimu
- Hamis Said(38), aomba apatiwe fedha zake zaidi ya Tsh. Milioni 5 zilizopo kwenye laini 2 za simu
- Asema anazihitaji kwa matumizi yake na karo ya Mtoto
Zaidi, soma > https://jamii.app/MtuhumiwaFezaSimu
KENYA: NYIMBO ZA 'TETEMA' NA 'WAMLAMBEZ' ZAPIGWA MARUFUKU NJE YA KLABU
- Wimbo wa Rayvanny na Diamond (Tetema) na wa Sailors (Wamlambez) kuchezwa klabuni na baa tu
- Inaelezwa maneno ktk nyimbo hizo ni uchafu na hayafai kusikilizwa hadharani
Zaidi, soma https://jamii.app/TetemaWamlambezMarufukuHadharani-KE
- Wimbo wa Rayvanny na Diamond (Tetema) na wa Sailors (Wamlambez) kuchezwa klabuni na baa tu
- Inaelezwa maneno ktk nyimbo hizo ni uchafu na hayafai kusikilizwa hadharani
Zaidi, soma https://jamii.app/TetemaWamlambezMarufukuHadharani-KE
MKAKATI KUWASAJILI WACHEZA MICHEZO YA KUBAHATISHA WAJA
- Bodi ya Michezo ya Kubahatisha kuweka mfumo utakaowasajili wacheza michezo hiyo ili kuwadhibiti
- Mkurugenzi Mkuu wa bodi, amesema michezo hiyo ina madhara ya kiuchumi na kisaikolojia
Zaidi, soma https://jamii.app/MkakatiKusajiliWachezaKamari
- Bodi ya Michezo ya Kubahatisha kuweka mfumo utakaowasajili wacheza michezo hiyo ili kuwadhibiti
- Mkurugenzi Mkuu wa bodi, amesema michezo hiyo ina madhara ya kiuchumi na kisaikolojia
Zaidi, soma https://jamii.app/MkakatiKusajiliWachezaKamari
UBELGIJI: WATUHUMIWA WA MAUAJI YA KIMBARI NCHINI RWANDA KUSHTAKIWA
- Watuhumiwa hao ni Fabien Neretse, Emmanuel Nkunduwimye na Ernest Gakwaya
- Wote wanatuhumiwa kujihusisha na kikundi cha Interahamwe kilichofanya ubakaji na mauaji 1994
Soma > https://jamii.app/MauajiRwandaBrussels
- Watuhumiwa hao ni Fabien Neretse, Emmanuel Nkunduwimye na Ernest Gakwaya
- Wote wanatuhumiwa kujihusisha na kikundi cha Interahamwe kilichofanya ubakaji na mauaji 1994
Soma > https://jamii.app/MauajiRwandaBrussels
BRAZIL YAKATAA MSAADA WA G7 HUKU MOTO UKIZIDI KUTEKETEZA MSITU WA AMAZON
- Imeukataa msaada uliokusudiwa kusaidia kudhibiti moto ulioharibu hekari milioni 2.3 za msitu
- Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro ametilia shaka msaada huo na kuhoji dhamira yake
Zaidi, soma https://jamii.app/BrazilYakataaMsaadaG7
- Imeukataa msaada uliokusudiwa kusaidia kudhibiti moto ulioharibu hekari milioni 2.3 za msitu
- Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro ametilia shaka msaada huo na kuhoji dhamira yake
Zaidi, soma https://jamii.app/BrazilYakataaMsaadaG7
KATIBU MKUU WA CCM AMPONGEZA ASKARI ALIYEKATAA KUTOA SALAMU YA CCM
- Dkt. Bashiru Ally amempongeza Askari wa Mkoani Pwani aliyegoma kutumia salamu za chama
- Askari huyo alipotakiwa kutumia salamu ya CCM, alikataa na kusema Askari hana chama
Soma https://jamii.app/BashiruAmpongezaAskari
- Dkt. Bashiru Ally amempongeza Askari wa Mkoani Pwani aliyegoma kutumia salamu za chama
- Askari huyo alipotakiwa kutumia salamu ya CCM, alikataa na kusema Askari hana chama
Soma https://jamii.app/BashiruAmpongezaAskari
LHRC WAKEMEA VIKALI KAULI YA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI ILIYOTOLEWA NA DC KIGAMBONI
- LHRC waeleza kusikitishwa na kauli ya hiyo ya Sara Msafiri aliyesema wezi na vibaka watavunjwa miguu na kuachwa na ulemavu kabla ya kufikishwa Mahakamani
Zaidi, soma > https://jamii.app/LHRCVsDCKigamboni
- LHRC waeleza kusikitishwa na kauli ya hiyo ya Sara Msafiri aliyesema wezi na vibaka watavunjwa miguu na kuachwa na ulemavu kabla ya kufikishwa Mahakamani
Zaidi, soma > https://jamii.app/LHRCVsDCKigamboni
MDAU: MUME WANGU ANANILAZIMISHA NIJITOE KATIKA MTANDAO WA FACEBOOK
- Mdau wa JamiiForums kupitia Jukwaa la Mapenzi, Mapenzi na Urafiki anasema kuwa Mume wake hataki kumuona akitumia mtandao huo
- Anasema kuwa yeye anakutana na rafiki zake wengi kupitia mtandao huo na pia anafurahia kujumuika na watu na kushiriki mijadala inayoendelea huko
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MumeHataki-FB
- Mdau wa JamiiForums kupitia Jukwaa la Mapenzi, Mapenzi na Urafiki anasema kuwa Mume wake hataki kumuona akitumia mtandao huo
- Anasema kuwa yeye anakutana na rafiki zake wengi kupitia mtandao huo na pia anafurahia kujumuika na watu na kushiriki mijadala inayoendelea huko
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MumeHataki-FB
WATANZANIA WAWILI NA MKENYA MMOJA WASHTAKIWA KWA UTAPELI
- Titus Fedha, Haji Shariff na Suleiman Salum wanadaiwa kujipatia takribani Tsh. Milioni 44.4 kwa kudai kuwa wanaweza kulisafisha shamba la Harbans Singh dhidi ya nguvu za giza
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaMkenyaKizimbaniUtapeli
- Titus Fedha, Haji Shariff na Suleiman Salum wanadaiwa kujipatia takribani Tsh. Milioni 44.4 kwa kudai kuwa wanaweza kulisafisha shamba la Harbans Singh dhidi ya nguvu za giza
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaMkenyaKizimbaniUtapeli
UGANDA KUANZA KUUZA BANGI KIMATAIFA
- Wakaguzi wa Umoja wa Ulaya wameidhinisha Uganda kutuma bangi barani humo kwa matumizi ya matibabu
- Uganda ni nchi pekee Afrika Mashariki iliyohalalisha uzalishaji wa bangi japo ni kwa matumizi ya dawa
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaBangiKimataifa
- Wakaguzi wa Umoja wa Ulaya wameidhinisha Uganda kutuma bangi barani humo kwa matumizi ya matibabu
- Uganda ni nchi pekee Afrika Mashariki iliyohalalisha uzalishaji wa bangi japo ni kwa matumizi ya dawa
Zaidi, soma https://jamii.app/UgandaBangiKimataifa
DAR: BINTI WA MIAKA 21 AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA NOTI 20 ZA BANDIA
- Mariam Zuberi (21), alikamatwa akiwa na noti hizo Juni 27 mwaka huu(2019)
- Hata hivyo, mtuhumiwa alikana kutenda kosa hilo na kuachiwa kwa dhamana
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniNotiFeki
- Mariam Zuberi (21), alikamatwa akiwa na noti hizo Juni 27 mwaka huu(2019)
- Hata hivyo, mtuhumiwa alikana kutenda kosa hilo na kuachiwa kwa dhamana
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniNotiFeki
SAMIA SULUHU: SINA NIA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu amesema maneno ya kuwa anataka kugombea Urais Zanzibar ni uongo
- Amesema kwenye ngazi za uongozi za Tanzania, yeye ni namba 2 na hana nia ya kwenda kuwa namba 3
Zaidi, soma https://jamii.app/SamiaHatakiUraisZNZ
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu amesema maneno ya kuwa anataka kugombea Urais Zanzibar ni uongo
- Amesema kwenye ngazi za uongozi za Tanzania, yeye ni namba 2 na hana nia ya kwenda kuwa namba 3
Zaidi, soma https://jamii.app/SamiaHatakiUraisZNZ
RAIS WA UGANDA, YOWERI MUSEVENI ASEMA HANA HARAKA YA KUSTAAFU
- Amesema hana mpango wa kumwandaa mrithi wa nafasi yake
- Ameeleza kuwa kwa sasa anajikita katika kuimarisha ukuaji wa Uganda na bara la zima la Afrika
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniVsKustaafu
- Amesema hana mpango wa kumwandaa mrithi wa nafasi yake
- Ameeleza kuwa kwa sasa anajikita katika kuimarisha ukuaji wa Uganda na bara la zima la Afrika
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniVsKustaafu
RAIS WA KWANZA WA GAMBIA, DAWDA JAWARA AFARIKI
- Alianza kujihusisha na siasa mwaka 1960 baada ya kurejea Gambia akitokea Scotland
- Mwaka 1950 alijiunga na chama cha Progressive People na baadaye kuwa Rais hadi 1994 alipopinduliwa na Yahya Jammeh
Soma https://jamii.app/RIPJawara
- Alianza kujihusisha na siasa mwaka 1960 baada ya kurejea Gambia akitokea Scotland
- Mwaka 1950 alijiunga na chama cha Progressive People na baadaye kuwa Rais hadi 1994 alipopinduliwa na Yahya Jammeh
Soma https://jamii.app/RIPJawara
DAR: WATU WAKUSANYIKA NJE YA UBALOZI WA AFRIKA KUSINI WAKIDAI NDEGE
- Watu hao wanashinikiza kuachiwa kwa ndege ya Air Tanzania inayoshikiliwa Afrika kusini
- Ndege inashikiliwa kutokana na kesi ya fidia ya Hermanus Steyn dhidi ya Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaWatakaNdege-UbaloziSA
- Watu hao wanashinikiza kuachiwa kwa ndege ya Air Tanzania inayoshikiliwa Afrika kusini
- Ndege inashikiliwa kutokana na kesi ya fidia ya Hermanus Steyn dhidi ya Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/WatanzaniaWatakaNdege-UbaloziSA