MICHEZO: Klabu ya Simba imetolewa hatua ya awali kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya UD Songo ya Msumbiji
> Mchezo huu umechezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar
> Mchezo huu umechezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar
KIGOMA: TANZANIA KUWAREJESHA BURUNDI WAKIMBIZI 2000 KILA WIKI
- Tanzania na Burundi zimesaini makubaliano ya kuwarejesha Wakimbizi waliopo katika Kambi ya Nduta na Mtendeli kuanzia Oktoba Mosi, 2019 kutokana na amani iliyopo katika nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WakimbiziBNDKurejeshwa-TZ
- Tanzania na Burundi zimesaini makubaliano ya kuwarejesha Wakimbizi waliopo katika Kambi ya Nduta na Mtendeli kuanzia Oktoba Mosi, 2019 kutokana na amani iliyopo katika nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WakimbiziBNDKurejeshwa-TZ
KENYA: WATU 8 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIO YA RISASI
- Wengine 9 walijeruhiwa baada ya kushambuliwa hapo jana katika maeneo ya Forole na Sabareh kwenye Kaunti ya Marsabit
- Wavamizi hao wanaodhaniwa wametoka Ethiopia waliondoka na mifugo
Zaidi, soma https://jamii.app/8DeadMarsabitAttacks
- Wengine 9 walijeruhiwa baada ya kushambuliwa hapo jana katika maeneo ya Forole na Sabareh kwenye Kaunti ya Marsabit
- Wavamizi hao wanaodhaniwa wametoka Ethiopia waliondoka na mifugo
Zaidi, soma https://jamii.app/8DeadMarsabitAttacks
WAMILIKI WA 'VIBANDA' VYA KUONESHA MPIRA WA MIGUU WAITWA TFF
- TFF imewaita watu wote wanaoonesha mpira katika 'vibanda' Mkoani Dar kwa ajili ya majadiliano ya ushirikiano
- Majadiliano hayo yatafanyika kesho Agosti 27, katika ofisi za TFF
Zaidi, soma https://jamii.app/WamilikiVibandaMpiraTFF
- TFF imewaita watu wote wanaoonesha mpira katika 'vibanda' Mkoani Dar kwa ajili ya majadiliano ya ushirikiano
- Majadiliano hayo yatafanyika kesho Agosti 27, katika ofisi za TFF
Zaidi, soma https://jamii.app/WamilikiVibandaMpiraTFF
UGANDA: MWANAMKE AJIFUNGUA WATOTO 5
- Sofiat Mutesi(37) amejifungua Mtoto mmoja katika kituo cha afya cha Ivukula na kuhamishiwa katika Hospitali ya Iganga-Nakavule alikojifungua wanne
- Aliwahi kujifungua mapacha katika uzao wa kwanza na watoto 3 katika uzao wa pili
Zaidi, soma https://jamii.app/Watoto5UG
- Sofiat Mutesi(37) amejifungua Mtoto mmoja katika kituo cha afya cha Ivukula na kuhamishiwa katika Hospitali ya Iganga-Nakavule alikojifungua wanne
- Aliwahi kujifungua mapacha katika uzao wa kwanza na watoto 3 katika uzao wa pili
Zaidi, soma https://jamii.app/Watoto5UG
SERIKALI: SHERIA ZA BARABARANI KUONGEZEWA MAKALI
- Imesema ipo kwenye mchakato wa kuangalia upya sheria za usalama barabarani kwa lengo la kuziongezea makali
- Imesema lengo ni kukabiliana na madereva wanaovunja sheria mara kwa mara
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaBarabaraniMakali
- Imesema ipo kwenye mchakato wa kuangalia upya sheria za usalama barabarani kwa lengo la kuziongezea makali
- Imesema lengo ni kukabiliana na madereva wanaovunja sheria mara kwa mara
Zaidi, soma https://jamii.app/SheriaBarabaraniMakali
DC KIGAMBONI: WEZI NA VIBAKA WATAPIGWA NA KUVUNJWA MIGUU KABLA YA KUPELEKWA MAHAKAMANI
> Sarah Msafiri amesema wezi na vibaka watapigwa na kuvunjwa miguu ili wasiendelee na kazi hiyo kwasababu wakipelekwa Mahakamani wanatoka kwa dhamana
Zaidi, soma https://jamii.app/DCKingamboniVsWezi
> Sarah Msafiri amesema wezi na vibaka watapigwa na kuvunjwa miguu ili wasiendelee na kazi hiyo kwasababu wakipelekwa Mahakamani wanatoka kwa dhamana
Zaidi, soma https://jamii.app/DCKingamboniVsWezi
BASATA, COSOTA NA BODI YA FILAMU KUUNGANISHWA
- Serikali yataka kuunda Mamlaka moja ya kusimamia Sekta ya Sanaa na Ubunifu ili kuiboresha
- Wasanii, Watunzi, Waandishi na Wabunifu wote wa Sanaa wamekaribishwa katika mkutano wa kujadili mchakato huo
Zaidi, soma https://jamii.app/KuundwaMmamlaka1Sanaa
- Serikali yataka kuunda Mamlaka moja ya kusimamia Sekta ya Sanaa na Ubunifu ili kuiboresha
- Wasanii, Watunzi, Waandishi na Wabunifu wote wa Sanaa wamekaribishwa katika mkutano wa kujadili mchakato huo
Zaidi, soma https://jamii.app/KuundwaMmamlaka1Sanaa
KENYA: MCHUNGAJI ATUHUMIWA KUPORA MKE WA MUUMINI
- John Kanyua amesema haamini imekuwaje Mchungaji aliyewafungisha ndoa amgeuke
- Mchungaji huyo wa Kanisa la Joy Springs alianza kwa kumteua mkewe, Leah Wambui(26) kuwa mchungaji msaidizi
Zaidi, soma > https://jamii.app/MchungajiMkeMuumini
- John Kanyua amesema haamini imekuwaje Mchungaji aliyewafungisha ndoa amgeuke
- Mchungaji huyo wa Kanisa la Joy Springs alianza kwa kumteua mkewe, Leah Wambui(26) kuwa mchungaji msaidizi
Zaidi, soma > https://jamii.app/MchungajiMkeMuumini
KAJIADO, KENYA: MTOTO WA MIAKA 9 AOKOLEWA KUOLEWA NA MWANAUME WA MIAKA 30
> Chifu Ilmarba Felix Maitei, aliwaongoza machifu wenzake hadi katika nyumba ambayo Mtoto huyo mwanafunzi wa darasa la 3 alikuwa akiozwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoKuozwaKajiado
> Chifu Ilmarba Felix Maitei, aliwaongoza machifu wenzake hadi katika nyumba ambayo Mtoto huyo mwanafunzi wa darasa la 3 alikuwa akiozwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoKuozwaKajiado
UHISPANIA: WATU 7 WAFARIKI BAADA YA HELIKOPTA NA NDEGE KUGONGANA
- Ajali imetokea jana katika kisiwa cha Mallorca baada ya ndege ndogo na helikopta kugongana angani
- Watu watano wakiwemo watoto wawili walikuwemo kwenye helikopta na watu wawili kwenye ndege
Zaidi, soma https://jamii.app/7DeadPlaneHelicptrCollide
- Ajali imetokea jana katika kisiwa cha Mallorca baada ya ndege ndogo na helikopta kugongana angani
- Watu watano wakiwemo watoto wawili walikuwemo kwenye helikopta na watu wawili kwenye ndege
Zaidi, soma https://jamii.app/7DeadPlaneHelicptrCollide
MWANAFUNZI AHUKUMIWA KWA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI BILA LESENI YA TCRA
- Mwanafunzi wa mwaka wa pili, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Julius Warioba (23) amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 au kwenda jela mwaka mmoja, ikiwa ni baada ya kukiri kosa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziNITAhukumiwa-LeseniTCRA
- Mwanafunzi wa mwaka wa pili, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Julius Warioba (23) amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 au kwenda jela mwaka mmoja, ikiwa ni baada ya kukiri kosa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziNITAhukumiwa-LeseniTCRA
KIBAHA, PWANI: AKAMATWA NA JESHI LA POLISI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 3
- Aliyekamatwa ni Dismas Silyvester(35) baada ya kukutwa akiwa na Mtoto huyo ktk mashamba ya mboga mboga
- Mtuhumiwa alimuiba Mtoto huyo na kwenda kichakani kumbaka
Soma > https://jamii.app/MbaroniKubakaKibaha
- Aliyekamatwa ni Dismas Silyvester(35) baada ya kukutwa akiwa na Mtoto huyo ktk mashamba ya mboga mboga
- Mtuhumiwa alimuiba Mtoto huyo na kwenda kichakani kumbaka
Soma > https://jamii.app/MbaroniKubakaKibaha
NGARA, KAGERA: WAKAMATWA KWA KUIBA MAFUTA BAADA YA LORI KUANGUKA
- Watu 8 mbaroni kwa tuhuma za wizi wa mafuta kwenye gari lililopata ajali Kijiji cha Mshikamano maarufu Machinjioni
- Pia, lita 300 za mafuta zilizoibwa katika tukio hilo zimekamatwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WalioibaMafutaLoriBKMbaroni
- Watu 8 mbaroni kwa tuhuma za wizi wa mafuta kwenye gari lililopata ajali Kijiji cha Mshikamano maarufu Machinjioni
- Pia, lita 300 za mafuta zilizoibwa katika tukio hilo zimekamatwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WalioibaMafutaLoriBKMbaroni
ARUSHA: ZAIDI YA WATU 5 WAFARIKI KATIKA AJALI
- Wanadaiwa kufariki katika ajali iliyohusisha Fuso na Noah kugongana katika maeneo ya Mirombo, usiku wa kuamkia leo
- Bado haijafahamika chanzo cha ajali hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliArushaMirombo
- Wanadaiwa kufariki katika ajali iliyohusisha Fuso na Noah kugongana katika maeneo ya Mirombo, usiku wa kuamkia leo
- Bado haijafahamika chanzo cha ajali hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliArushaMirombo
KENYA YAANZA KUUZA MAFUTA GHAFI KWENDA NJE YA NCHI
- Rais Uhuru Kenyatta amezindua safari ya kwanza ya usafirishaji wa mafuta hayo
- Ameshuhudia meli yenye mapipa 200,000 ya mafuta ya thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni 26.6 ikielekea Uingereza
Zaidi, soma https://jamii.app/KEKuuzaMafutaGhafi
- Rais Uhuru Kenyatta amezindua safari ya kwanza ya usafirishaji wa mafuta hayo
- Ameshuhudia meli yenye mapipa 200,000 ya mafuta ya thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni 26.6 ikielekea Uingereza
Zaidi, soma https://jamii.app/KEKuuzaMafutaGhafi
MWANZA: WADAU WA USAFIRISHAJI WASUSIA KIKAO CHA LATRA
- Kikao kilihusu uchukuaji maoni ya kuboresha rasimu za kanuni zitakazotumika katika sheria ya LATRA
- Ni baada ya kuambiwa baadhi ya marekebisho yao hayawezekani kwani ni sheria tayari
Zaidi, soma https://jamii.app/LATRAvsWadauUsafirishaji
- Kikao kilihusu uchukuaji maoni ya kuboresha rasimu za kanuni zitakazotumika katika sheria ya LATRA
- Ni baada ya kuambiwa baadhi ya marekebisho yao hayawezekani kwani ni sheria tayari
Zaidi, soma https://jamii.app/LATRAvsWadauUsafirishaji