MAOMBI YA DHAMANA YA KABENDERA KUSIKILIZWA AGOSTI 5
- Maombi ya dhamana ya Mwandishi Erick Kabendera kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Alikamatwa Julai 29, 2019 na Idara ya Uhamiaji na amekuwa akihojiwa juu ya uraia wake
Zaidi, soma https://jamii.app/MaombiDhamanaKabendera
- Maombi ya dhamana ya Mwandishi Erick Kabendera kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Alikamatwa Julai 29, 2019 na Idara ya Uhamiaji na amekuwa akihojiwa juu ya uraia wake
Zaidi, soma https://jamii.app/MaombiDhamanaKabendera
MADAGASCAR: MWANAFUNZI AJIUA KWA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE NDEGE
> Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cambridge, Alana Cutland (19) amefariki baada ya kujirusha kutoka kwenye ndege umbali wa futi 5,000 angani
> Inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy
Soma - https://jamii.app/MwnfAjiuaNdegeAngani
> Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cambridge, Alana Cutland (19) amefariki baada ya kujirusha kutoka kwenye ndege umbali wa futi 5,000 angani
> Inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy
Soma - https://jamii.app/MwnfAjiuaNdegeAngani
MSIMAMIZI UMEME MITAMBO YA KINYEREZI ASHUSHWA CHEO
- Waziri wa Nishati Dkt. Merdad Kalemani amemshusha cheo Msimamizi huyo wa nguzo kubwa kutokana na kutoridhishwa na taarifa ya hitilafu ya umeme iliyotokea leo asubuhi, Agosti 01
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziKinyereziAshushwaCheo
- Waziri wa Nishati Dkt. Merdad Kalemani amemshusha cheo Msimamizi huyo wa nguzo kubwa kutokana na kutoridhishwa na taarifa ya hitilafu ya umeme iliyotokea leo asubuhi, Agosti 01
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziKinyereziAshushwaCheo
YEMEN: ZAIDI YA WATU 50 WAMEUAWA KWA BOMU KATIKA GWARIDE LA KIJESHI
- Waasi wa Kihouthi jana wameangusha makombora katika gwaride la Kijeshi katika mji wa Aden
- Mashambulizi mengine yaliyokuwa yamepangwa yalilenga Kituo cha Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiWauaWanajeshi-YMN
- Waasi wa Kihouthi jana wameangusha makombora katika gwaride la Kijeshi katika mji wa Aden
- Mashambulizi mengine yaliyokuwa yamepangwa yalilenga Kituo cha Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/WaasiWauaWanajeshi-YMN
MKURUGENZI HOTELI YA IMPALA ADAIWA KUKAMATWA KWA KUSHINDWA KULIPA WAFANYAKAZI
> Randy Mrema na Msaidizi wake wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Arusha kwa kosa la kuwanyanyasa na kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi wapatao 180 katika kipindi cha miezi 3 mfululizo
> Pia, wafanyakazi 2 raia wa Kenya wamekamatwa wakidaiwa kufanya kazi kinyume na taratibu za nchi
Soma - https://jamii.app/MkrgMadeniMishahara
> Randy Mrema na Msaidizi wake wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Arusha kwa kosa la kuwanyanyasa na kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi wapatao 180 katika kipindi cha miezi 3 mfululizo
> Pia, wafanyakazi 2 raia wa Kenya wamekamatwa wakidaiwa kufanya kazi kinyume na taratibu za nchi
Soma - https://jamii.app/MkrgMadeniMishahara
BALOZI WA ZIMBABWE NCHINI AWEKEWA VIKWAZO NA MAREKANI KWA TUHUMA ZA MAUAJI
> Balozi Anselem Sanyatwe anatuhumiwa kuamuru mauaji ya waandamanaji sita waliokuwa wakipinga matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe mwaka 2018
> Aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa kikosi cha ulizi cha Rais Robert Mugabe kipindi akiwa madarakani
Soma - https://jamii.app/USVikwazoBaloziZimb
> Balozi Anselem Sanyatwe anatuhumiwa kuamuru mauaji ya waandamanaji sita waliokuwa wakipinga matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe mwaka 2018
> Aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa kikosi cha ulizi cha Rais Robert Mugabe kipindi akiwa madarakani
Soma - https://jamii.app/USVikwazoBaloziZimb
SERIKALI: WAAJIRI WANAONYIMA LIKIZO ZA UZAZI KUCHUKULIWA HATUA
- Ni Waajiri wote wanaovunja Sheria kwa kukandamiza haki ya kupata likizo ya uzazi kwa Wanawake wanapojifungua
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ni haki ya Mwanamke kuzaa na kupata likizo ya uzazi
Zaidi, soma https://jamii.app/WaajiriLikizoUzazi
- Ni Waajiri wote wanaovunja Sheria kwa kukandamiza haki ya kupata likizo ya uzazi kwa Wanawake wanapojifungua
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ni haki ya Mwanamke kuzaa na kupata likizo ya uzazi
Zaidi, soma https://jamii.app/WaajiriLikizoUzazi
SAUDI ARABIA: WANAWAKE WAPEWA UHURU WA KUSAFIRI WENYEWE
- Wanawake katika nchi hiyo sasa wanaweza kusafiri nje ya nchi bila kusindikizwa na Wanaume
- Pia, Mwanamke wa miaka zaidi ya 21 anaweza kuomba ‘Passport’ bila idhini ya mlezi wa kiume
Zaidi, soma https://jamii.app/WanawakeKusafiriSaudiArabia
- Wanawake katika nchi hiyo sasa wanaweza kusafiri nje ya nchi bila kusindikizwa na Wanaume
- Pia, Mwanamke wa miaka zaidi ya 21 anaweza kuomba ‘Passport’ bila idhini ya mlezi wa kiume
Zaidi, soma https://jamii.app/WanawakeKusafiriSaudiArabia
POLISI: BAADHI YA MIKOA MARUFUKU MABASI KUSAFIRI SAA 24
- Mabasi yanayotoka Dar kuelekea Kagera, Kigoma na Katavi yatalazimika kulala Wilayani Kahama kutokana na sababu za kiusalama
- Aidha, mabasi yanayotoka Kagera, Katavi na Kigoma kwenda Dar yataruhusiwa kutembea saa 24 kwani maeneo kati ya Morogoro na Dar ni salama
Zaidi, soma https://jamii.app/MabasiMarufukuSaa24
- Mabasi yanayotoka Dar kuelekea Kagera, Kigoma na Katavi yatalazimika kulala Wilayani Kahama kutokana na sababu za kiusalama
- Aidha, mabasi yanayotoka Kagera, Katavi na Kigoma kwenda Dar yataruhusiwa kutembea saa 24 kwani maeneo kati ya Morogoro na Dar ni salama
Zaidi, soma https://jamii.app/MabasiMarufukuSaa24
AFISA WA TRA MBARONI KWA KUOMBA RUSHWA ILI KUKWEPA KODI
> Elias Yunus (38), anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa, Mkoa wa Ilala kwa tuhuma za kuomba Rushwa ya Tsh. milioni 50 na kupokea Dola 1,000 kwa ahadi ya kumsaidia mfanyabiashara aliyetaka kukwepa kodi na kujaza taarifa za uongo
Soma - https://jamii.app/AfisaTRARushwaKodi
> Elias Yunus (38), anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa, Mkoa wa Ilala kwa tuhuma za kuomba Rushwa ya Tsh. milioni 50 na kupokea Dola 1,000 kwa ahadi ya kumsaidia mfanyabiashara aliyetaka kukwepa kodi na kujaza taarifa za uongo
Soma - https://jamii.app/AfisaTRARushwaKodi
RAIS KENYATTA APOKEA ZAWADI YAKE YA TAUSI
- Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amepokea Tausi wanne alioahidiwa na Rais Magufuli alipozuru Chato
- Wakati anapokea alikuwepo Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu
- Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amepokea Tausi wanne alioahidiwa na Rais Magufuli alipozuru Chato
- Wakati anapokea alikuwepo Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu
MWAKYEMBE: VYOMBO VYA HABARI VIONDOE HOFU KATIKA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI
> Serikali imewataka wamiliki wa vyombo vya habari kujenga daraja baina yao na Serikali na kuacha kushirikiana na balozi za nje au taasisi za nje katika kujadili maslahi ya nchi
> Imesema hata gazeti likifungiwa au kupewa adhabu, wamiliki wanapaswa kuonana na Waziri husika kwanza kuliko kukimbilia kwa mabalozi au taasisi za nje
Soma - https://jamii.app/MediaUshirikianoSerikali
> Serikali imewataka wamiliki wa vyombo vya habari kujenga daraja baina yao na Serikali na kuacha kushirikiana na balozi za nje au taasisi za nje katika kujadili maslahi ya nchi
> Imesema hata gazeti likifungiwa au kupewa adhabu, wamiliki wanapaswa kuonana na Waziri husika kwanza kuliko kukimbilia kwa mabalozi au taasisi za nje
Soma - https://jamii.app/MediaUshirikianoSerikali
WAFANYAKAZI WATATU WA TIGO KIZIMBANI KWA KUIBA FEDHA ZA WATEJA TIGOPESA
> Wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka sita likiwemo la kutakatisha fedha Tsh. Milioni 20.3
> Mashtaka mengine ni kula njama, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, kuingilia mifumo ya kifedha ya Tigopesa bila kibali
Soma - https://jamii.app/WiziFedhaTigopesa
> Wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka sita likiwemo la kutakatisha fedha Tsh. Milioni 20.3
> Mashtaka mengine ni kula njama, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, kuingilia mifumo ya kifedha ya Tigopesa bila kibali
Soma - https://jamii.app/WiziFedhaTigopesa
SIKUKUU YA EID KUSHEREHEKEWA AGOSTI 12
-
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kwamba Sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Jumatatu ya Agosti 12, 2019
-
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Nuhu Mruma, Katibu Mkuu BAKWATA, inaeleza kwamba swala ya Eid itaswaliwa katika Viwanja vya Masjid Kibadeni, Chanika Zogowali Jijini Dar es Salaam na Baraza la Eid litafanyika viwanjani hapo mara baada ya swala ya Eid
-
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kwamba Sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Jumatatu ya Agosti 12, 2019
-
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Nuhu Mruma, Katibu Mkuu BAKWATA, inaeleza kwamba swala ya Eid itaswaliwa katika Viwanja vya Masjid Kibadeni, Chanika Zogowali Jijini Dar es Salaam na Baraza la Eid litafanyika viwanjani hapo mara baada ya swala ya Eid