DR CONGO KUWA NA SERIKALI YA PAMOJA
- Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi na mtangulizi wake, Joseph Kabila wameafikiani juu ya suala hilo
- Baraza la Mawaziri litakuwa na viongozi 42 kutoka mrengo wa Kabila na 23 kutoka mrengo wa Tshisekedi
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliPamojaDRC
- Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi na mtangulizi wake, Joseph Kabila wameafikiani juu ya suala hilo
- Baraza la Mawaziri litakuwa na viongozi 42 kutoka mrengo wa Kabila na 23 kutoka mrengo wa Tshisekedi
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliPamojaDRC
DAR: ASKARI FEKI AKAMATWA AKIWA NA VIFAA VYA JESHI
- Daudi Iddy (23) aliyewahi kwenda mafunzo JKT anashikiliwa kwa kujifanya Afisa wa Polisi
- Amekutwa na vifaa mbalimbali vya Jeshi ikiwemo sare ya Polisi, vyeo tofauti, pingu, buti na viatu
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiJKTMbaroni
- Daudi Iddy (23) aliyewahi kwenda mafunzo JKT anashikiliwa kwa kujifanya Afisa wa Polisi
- Amekutwa na vifaa mbalimbali vya Jeshi ikiwemo sare ya Polisi, vyeo tofauti, pingu, buti na viatu
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiJKTMbaroni
UTEUZI: MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI TRA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA
- Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa Utafiti wa Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Zaidi, soma https://jamii.app/MissangoM-KitiBodiTRA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA
- Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa Utafiti wa Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Zaidi, soma https://jamii.app/MissangoM-KitiBodiTRA
ALIYEMUUA MKEWE NA KUMCHOMA MOTO, ASOMEWA MASHTAKA YA KUUA KWA KUKUSUDIA
- Mkazi wa Gezaulole, Kigamboni jijini Dar, Hamisi Saidi (38) ‘Meshack’ amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akituhumiwa kumuua mke wake, Naomi Marijani
Zaidi, soma https://jamii.app/AshtakiwaKuuaKukusudia
- Mkazi wa Gezaulole, Kigamboni jijini Dar, Hamisi Saidi (38) ‘Meshack’ amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akituhumiwa kumuua mke wake, Naomi Marijani
Zaidi, soma https://jamii.app/AshtakiwaKuuaKukusudia
SUDAN: MAZUNGUMZO KATI YA JESHI NA WAANDAMANAJI YAFUTWA
- Viongozi wa Maandamano wamefuta mazungumzo yaliyopangwa kufanyika jana baada ya Wanafunzi kuuawa
- Wakati huo huo, Mamia ya Wanafunzi wameandamana kupinga mauaji ya wenzao wanne
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
- Viongozi wa Maandamano wamefuta mazungumzo yaliyopangwa kufanyika jana baada ya Wanafunzi kuuawa
- Wakati huo huo, Mamia ya Wanafunzi wameandamana kupinga mauaji ya wenzao wanne
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
MAHAKAMA YAAMURU ERICK KABENDERA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
- Wanasheria wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Kisutu kutaka Kabendera afikishwe Mahakamani
- Mahakama imeridhia na kuitaka Polisi kufanya hivyo kesho asubuhi kama watakuwa naye bado
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKufikishwaMahakamani
- Wanasheria wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Kisutu kutaka Kabendera afikishwe Mahakamani
- Mahakama imeridhia na kuitaka Polisi kufanya hivyo kesho asubuhi kama watakuwa naye bado
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKufikishwaMahakamani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AKAMATWA NA POLISI
- Chama Cha ACT-Wazalendo kimesema Mshauri Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif amekamatwa
- Kimesema Polisi wamevamia na kuvunja kongamano la Miaka 10 ya Maridhiano ya Wazanzibari na kumchukua Seif
Zaidi, soma https://jamii.app/MaalimSeifAkamatwaZNZ
- Chama Cha ACT-Wazalendo kimesema Mshauri Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif amekamatwa
- Kimesema Polisi wamevamia na kuvunja kongamano la Miaka 10 ya Maridhiano ya Wazanzibari na kumchukua Seif
Zaidi, soma https://jamii.app/MaalimSeifAkamatwaZNZ
LISSU: MAANDALIZI YA KUFUNGUA KESI JUU YA UBUNGE WANGU YAMEKAMILIKA
- Tundu Lissu amebainisha kuwa yeye na timu yake ya Mawakili wako tayari kuingia Mahakama Kuu ya Tanzania
- Amesema kesi za Ubunge zinahitaji umakini mkubwa katika kuziandaa na kuziendesha
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandaliziKupingaUbungeLissu
- Tundu Lissu amebainisha kuwa yeye na timu yake ya Mawakili wako tayari kuingia Mahakama Kuu ya Tanzania
- Amesema kesi za Ubunge zinahitaji umakini mkubwa katika kuziandaa na kuziendesha
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandaliziKupingaUbungeLissu
TARIME: Inadaiwa Watu takribani 9 wamefariki kwenye ajali ya Hiace mchana wa leo, iliyotokea Mlima Nyamwaga Wilayani Tarime na abiria wengine wametoka wakiwa mahututi
> Gari hilo linafanya safari kati ya Tarime na Mugumu wilayani Serengeti.
> Mashuhuda wanadai gari limefeli break na kulikuwa na abiria zaidi ya 20 ndani
Soma https://jamii.app/AjaliMbayaTarime
> Gari hilo linafanya safari kati ya Tarime na Mugumu wilayani Serengeti.
> Mashuhuda wanadai gari limefeli break na kulikuwa na abiria zaidi ya 20 ndani
Soma https://jamii.app/AjaliMbayaTarime
SERIKALI: MARUFUKU MWALIMU KUINGIA DARASANI NA VIBOKO
- Imepiga marufuku Walimu wanaofundisha kuanzia elimu ya awali hadi darasa la tatu kuingia na viboko darasani
- Imesema vitendo hivyo vinasababisha Wanafunzi kuogopa na kutokuwa wasikivu
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuVibokoDarasani
- Imepiga marufuku Walimu wanaofundisha kuanzia elimu ya awali hadi darasa la tatu kuingia na viboko darasani
- Imesema vitendo hivyo vinasababisha Wanafunzi kuogopa na kutokuwa wasikivu
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuVibokoDarasani
KONTENA LILILOTAKIWA KUWA NA MIZIGO ILIYOAHIDIWA NA CHINA KWA KENYA LAKUTWA TUPU
- China iliahidi kulipatia Bunge la Kenya vifaa vya Ofisini kama sehemu ya kuboresha urafiki wao
- Lakini kontena lilipofika Bungeni na kufunguliwa lilikutwa tupu
Zaidi, soma https://jamii.app/KontenaChina-KenyaTupu
- China iliahidi kulipatia Bunge la Kenya vifaa vya Ofisini kama sehemu ya kuboresha urafiki wao
- Lakini kontena lilipofika Bungeni na kufunguliwa lilikutwa tupu
Zaidi, soma https://jamii.app/KontenaChina-KenyaTupu
WAANDAMANAJI 44 WA HONG KONG WAFIKISHWA MAHAKAMANI
- Waandamanaji hao wanaopigania demokrasia wamefikishwa Mahakamani jana wakishtakiwa kwa kufanya vurugu
- Iwapo watakutwa na hatia wanaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka 10 jela
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanajiMahakamaniHongKong
- Waandamanaji hao wanaopigania demokrasia wamefikishwa Mahakamani jana wakishtakiwa kwa kufanya vurugu
- Iwapo watakutwa na hatia wanaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka 10 jela
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanajiMahakamaniHongKong
DED HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO AENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Kayombe Lyoba kutokana na usimamizi usioridhisha wa miradi ya maendeleo
- Meneja wa TARURA wa Halmashauri hiyo, Mhandisi Godfrey Mlowe atakaimu nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDMorogoroAenguliwa-Agt2019
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Kayombe Lyoba kutokana na usimamizi usioridhisha wa miradi ya maendeleo
- Meneja wa TARURA wa Halmashauri hiyo, Mhandisi Godfrey Mlowe atakaimu nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDMorogoroAenguliwa-Agt2019
MAREKANI YADAI KUMUUA MTOTO WA OSAMA BIN LADEN
- Imedai kumuua Hamza Bin Laden, lakini haijaweka wazi kuhusu mahala au tarehe ya kifo
- Awali, Marekani iliahidi kutoa Dola Milioni 1 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kujua alipo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoOsamaAuawa
- Imedai kumuua Hamza Bin Laden, lakini haijaweka wazi kuhusu mahala au tarehe ya kifo
- Awali, Marekani iliahidi kutoa Dola Milioni 1 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kujua alipo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoOsamaAuawa
KIGOMA: BABA LEVO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 5 JELA
- Msanii na Diwani wa Kata ya Mwanga Kakazini (ACT-Wazalendo), Revocatus Kipando 'Baba Levo' amehukumiwa kwenda jela
- Mahakama ya Mwanzo ya Mwandiga imemtia hatiani kwa kosa la kumshambulia Trafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoJelaMiezi5
- Msanii na Diwani wa Kata ya Mwanga Kakazini (ACT-Wazalendo), Revocatus Kipando 'Baba Levo' amehukumiwa kwenda jela
- Mahakama ya Mwanzo ya Mwandiga imemtia hatiani kwa kosa la kumshambulia Trafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoJelaMiezi5