HOJA: Wahitimu wengi wa elimu ya juu hukosa ajira na huamua kujiajiri katika sekta mbalimbali ambapo wengi hujiajiri katika shughuli ambazo si zile walizosomea vyuoni
- Mdau wa JamiiForums anasema kusoma mpaka Chuo Kikuu kisha kujiajiri ni kupoteza muda, elimu ya kidato cha nne inatosha kupata maarifa ya kujiajiri
Fuatilia mjadala hapa => https://jamii.app/Hoja-Wahitimu
- Mdau wa JamiiForums anasema kusoma mpaka Chuo Kikuu kisha kujiajiri ni kupoteza muda, elimu ya kidato cha nne inatosha kupata maarifa ya kujiajiri
Fuatilia mjadala hapa => https://jamii.app/Hoja-Wahitimu
SINGIDA: ALIYEJIFANYA LUTENI WA JESHI LA WANANCHI AKAMATWA
> Amieli Stephano(29) mkazi wa Arusha amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma ya kujifanya Ofisa wa JWTZ
> Baada ya kuhojiwa alikiri yeye ni mkulima na hajaajiriwa mahali popote
Zaidi, soma > https://jamii.app/AfisaFeki-JWTZ
> Amieli Stephano(29) mkazi wa Arusha amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma ya kujifanya Ofisa wa JWTZ
> Baada ya kuhojiwa alikiri yeye ni mkulima na hajaajiriwa mahali popote
Zaidi, soma > https://jamii.app/AfisaFeki-JWTZ
BRAZIL: TAKRIBANI WAFUNGWA 52 WAMEFARIKI KATIKA GHASIA GEREZANI
> Taarifa kutoka katika mamlaka za Brazil zinaeleza kuwa wafungwa hao wameuawa katika ghasia hizo zilizozuka katika gereza la Altamira
> Wafungwa 16 wamejeruhiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/VifoAltimaraPrison
> Taarifa kutoka katika mamlaka za Brazil zinaeleza kuwa wafungwa hao wameuawa katika ghasia hizo zilizozuka katika gereza la Altamira
> Wafungwa 16 wamejeruhiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/VifoAltimaraPrison
MWANAHABARI ERICK KABENDERA ACHUKULIWA NA JESHI LA POLISI
> Askari Polisi walifika nyumbani kwake Mbweni jijini Dar wakiwa wamevalia kiraia
> Waliondoka na Mwanahabari huyo na kwa sasa wanaendelea kumhoji
Soma > https://jamii.app/KabenderaVsPolisiTz
> Askari Polisi walifika nyumbani kwake Mbweni jijini Dar wakiwa wamevalia kiraia
> Waliondoka na Mwanahabari huyo na kwa sasa wanaendelea kumhoji
Soma > https://jamii.app/KabenderaVsPolisiTz
MKURUGENZI SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) ABADILISHWA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuchukua nafasi hiyo kuanzia leo Julai 29, 2019
- Dkt. Elirehema anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambaye Uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNICAbadilishwa
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuchukua nafasi hiyo kuanzia leo Julai 29, 2019
- Dkt. Elirehema anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambaye Uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNICAbadilishwa
BABA NA MWANAYE MBARONI KWA KUMHONGA DC WA DODOMA
- TAKUKURU inawashikilia kwa kumhonga DC Patrobas Katambi Tsh. Milioni 1.2 ili asitekeleze majukumu yake
- Walitaka asifuatilie mapungufu katika Baraza la Ardhi kuhusu hukumu ya kesi yao
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumhongaDC-DOM
- TAKUKURU inawashikilia kwa kumhonga DC Patrobas Katambi Tsh. Milioni 1.2 ili asitekeleze majukumu yake
- Walitaka asifuatilie mapungufu katika Baraza la Ardhi kuhusu hukumu ya kesi yao
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumhongaDC-DOM
BERNARD MEMBE AKIRI SAUTI ILIYOSAMBAA AKIONGEA NA SIMU NI YAKE
- Amesema sauti ya hivi karibuni ni yake na anajua ilipotoka ila kutokana na miiko yake hatoeleza
- Amezitahadharisha kampuni za simu kuwa wateja wao kudukuliwa kunaweza kuwapatia hasara
Zaidi, soma https://jamii.app/MembeAkiriKudukuliwa
- Amesema sauti ya hivi karibuni ni yake na anajua ilipotoka ila kutokana na miiko yake hatoeleza
- Amezitahadharisha kampuni za simu kuwa wateja wao kudukuliwa kunaweza kuwapatia hasara
Zaidi, soma https://jamii.app/MembeAkiriKudukuliwa
SERENGETI, MARA: AUA NA KUJERUHI BAADA YA KUNYIMWA BIA
- Kijana mmoja (jina halijajulikana) ametuhumiwa kuua mtu mmoja na kujeruhi wawili kwa mishale
- Inadaiwa walinunua kreti ya bia na Mtuhumiwa alipewa chupa 2 alipotaka tena wakamnyima
Zaidi, soma https://jamii.app/AnyimwaBiaAua-Mara
- Kijana mmoja (jina halijajulikana) ametuhumiwa kuua mtu mmoja na kujeruhi wawili kwa mishale
- Inadaiwa walinunua kreti ya bia na Mtuhumiwa alipewa chupa 2 alipotaka tena wakamnyima
Zaidi, soma https://jamii.app/AnyimwaBiaAua-Mara
POLISI KUZUNGUMZIA SUALA LA KABENDERA LEO MCHANA
- Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar, Lazaro Mambosasa amesema atatoa taarifa rasmi juu ya Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera ifikapo saa 7:00 mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumzungumziaKabendera
- Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar, Lazaro Mambosasa amesema atatoa taarifa rasmi juu ya Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera ifikapo saa 7:00 mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumzungumziaKabendera
NDEGE YA JESHI YA PAKISTAN YAANGUKA NA KUUA RAIA
- Ndege hiyo iliyokuwa katika safari ya mafunzo imeanguka katika eneo la Makazi karibu na mji wa Rawalpindi leo saa 8 usiku
- Wanajeshi watano na raia 13 wamefariki huku Watu wengine 12 wakijeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiPakistaniYaua
- Ndege hiyo iliyokuwa katika safari ya mafunzo imeanguka katika eneo la Makazi karibu na mji wa Rawalpindi leo saa 8 usiku
- Wanajeshi watano na raia 13 wamefariki huku Watu wengine 12 wakijeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiPakistaniYaua
SUDAN: WANAFUNZI WAUAWA KATIKA MAANDAMANO
- Wanafunzi wanne ni miongoni mwa Waandamanaji watano waliouawa kwa kupigwa risasi jana katika mji wa Al-Obeid huko Kordofan ya Kaskazini wakati wa maandamano ya kulalamikia uhaba wa mkate na mafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
- Wanafunzi wanne ni miongoni mwa Waandamanaji watano waliouawa kwa kupigwa risasi jana katika mji wa Al-Obeid huko Kordofan ya Kaskazini wakati wa maandamano ya kulalamikia uhaba wa mkate na mafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ametolea ufafanuzi kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera
- Aidha, ameeleza kuwa Mwandishi huyo anashikiliwa katika Kituo cha Polisi kilichopo Posta jijini Dar (Central Police Station) kwa mahojiano
- Aidha, ameeleza kuwa Mwandishi huyo anashikiliwa katika Kituo cha Polisi kilichopo Posta jijini Dar (Central Police Station) kwa mahojiano
DR CONGO KUWA NA SERIKALI YA PAMOJA
- Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi na mtangulizi wake, Joseph Kabila wameafikiani juu ya suala hilo
- Baraza la Mawaziri litakuwa na viongozi 42 kutoka mrengo wa Kabila na 23 kutoka mrengo wa Tshisekedi
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliPamojaDRC
- Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi na mtangulizi wake, Joseph Kabila wameafikiani juu ya suala hilo
- Baraza la Mawaziri litakuwa na viongozi 42 kutoka mrengo wa Kabila na 23 kutoka mrengo wa Tshisekedi
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliPamojaDRC
DAR: ASKARI FEKI AKAMATWA AKIWA NA VIFAA VYA JESHI
- Daudi Iddy (23) aliyewahi kwenda mafunzo JKT anashikiliwa kwa kujifanya Afisa wa Polisi
- Amekutwa na vifaa mbalimbali vya Jeshi ikiwemo sare ya Polisi, vyeo tofauti, pingu, buti na viatu
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiJKTMbaroni
- Daudi Iddy (23) aliyewahi kwenda mafunzo JKT anashikiliwa kwa kujifanya Afisa wa Polisi
- Amekutwa na vifaa mbalimbali vya Jeshi ikiwemo sare ya Polisi, vyeo tofauti, pingu, buti na viatu
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiJKTMbaroni
UTEUZI: MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI TRA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA
- Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa Utafiti wa Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Zaidi, soma https://jamii.app/MissangoM-KitiBodiTRA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA
- Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa Utafiti wa Sera za Uchumi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Zaidi, soma https://jamii.app/MissangoM-KitiBodiTRA
ALIYEMUUA MKEWE NA KUMCHOMA MOTO, ASOMEWA MASHTAKA YA KUUA KWA KUKUSUDIA
- Mkazi wa Gezaulole, Kigamboni jijini Dar, Hamisi Saidi (38) ‘Meshack’ amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akituhumiwa kumuua mke wake, Naomi Marijani
Zaidi, soma https://jamii.app/AshtakiwaKuuaKukusudia
- Mkazi wa Gezaulole, Kigamboni jijini Dar, Hamisi Saidi (38) ‘Meshack’ amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akituhumiwa kumuua mke wake, Naomi Marijani
Zaidi, soma https://jamii.app/AshtakiwaKuuaKukusudia