SUDAN: MAZUNGUMZO KATI YA JESHI NA WAANDAMANAJI YAFUTWA
- Viongozi wa Maandamano wamefuta mazungumzo yaliyopangwa kufanyika jana baada ya Wanafunzi kuuawa
- Wakati huo huo, Mamia ya Wanafunzi wameandamana kupinga mauaji ya wenzao wanne
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
- Viongozi wa Maandamano wamefuta mazungumzo yaliyopangwa kufanyika jana baada ya Wanafunzi kuuawa
- Wakati huo huo, Mamia ya Wanafunzi wameandamana kupinga mauaji ya wenzao wanne
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
MAHAKAMA YAAMURU ERICK KABENDERA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
- Wanasheria wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Kisutu kutaka Kabendera afikishwe Mahakamani
- Mahakama imeridhia na kuitaka Polisi kufanya hivyo kesho asubuhi kama watakuwa naye bado
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKufikishwaMahakamani
- Wanasheria wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Kisutu kutaka Kabendera afikishwe Mahakamani
- Mahakama imeridhia na kuitaka Polisi kufanya hivyo kesho asubuhi kama watakuwa naye bado
Zaidi, soma https://jamii.app/KabenderaKufikishwaMahakamani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AKAMATWA NA POLISI
- Chama Cha ACT-Wazalendo kimesema Mshauri Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif amekamatwa
- Kimesema Polisi wamevamia na kuvunja kongamano la Miaka 10 ya Maridhiano ya Wazanzibari na kumchukua Seif
Zaidi, soma https://jamii.app/MaalimSeifAkamatwaZNZ
- Chama Cha ACT-Wazalendo kimesema Mshauri Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif amekamatwa
- Kimesema Polisi wamevamia na kuvunja kongamano la Miaka 10 ya Maridhiano ya Wazanzibari na kumchukua Seif
Zaidi, soma https://jamii.app/MaalimSeifAkamatwaZNZ
LISSU: MAANDALIZI YA KUFUNGUA KESI JUU YA UBUNGE WANGU YAMEKAMILIKA
- Tundu Lissu amebainisha kuwa yeye na timu yake ya Mawakili wako tayari kuingia Mahakama Kuu ya Tanzania
- Amesema kesi za Ubunge zinahitaji umakini mkubwa katika kuziandaa na kuziendesha
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandaliziKupingaUbungeLissu
- Tundu Lissu amebainisha kuwa yeye na timu yake ya Mawakili wako tayari kuingia Mahakama Kuu ya Tanzania
- Amesema kesi za Ubunge zinahitaji umakini mkubwa katika kuziandaa na kuziendesha
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandaliziKupingaUbungeLissu
TARIME: Inadaiwa Watu takribani 9 wamefariki kwenye ajali ya Hiace mchana wa leo, iliyotokea Mlima Nyamwaga Wilayani Tarime na abiria wengine wametoka wakiwa mahututi
> Gari hilo linafanya safari kati ya Tarime na Mugumu wilayani Serengeti.
> Mashuhuda wanadai gari limefeli break na kulikuwa na abiria zaidi ya 20 ndani
Soma https://jamii.app/AjaliMbayaTarime
> Gari hilo linafanya safari kati ya Tarime na Mugumu wilayani Serengeti.
> Mashuhuda wanadai gari limefeli break na kulikuwa na abiria zaidi ya 20 ndani
Soma https://jamii.app/AjaliMbayaTarime
SERIKALI: MARUFUKU MWALIMU KUINGIA DARASANI NA VIBOKO
- Imepiga marufuku Walimu wanaofundisha kuanzia elimu ya awali hadi darasa la tatu kuingia na viboko darasani
- Imesema vitendo hivyo vinasababisha Wanafunzi kuogopa na kutokuwa wasikivu
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuVibokoDarasani
- Imepiga marufuku Walimu wanaofundisha kuanzia elimu ya awali hadi darasa la tatu kuingia na viboko darasani
- Imesema vitendo hivyo vinasababisha Wanafunzi kuogopa na kutokuwa wasikivu
Zaidi, soma https://jamii.app/MarufukuVibokoDarasani
KONTENA LILILOTAKIWA KUWA NA MIZIGO ILIYOAHIDIWA NA CHINA KWA KENYA LAKUTWA TUPU
- China iliahidi kulipatia Bunge la Kenya vifaa vya Ofisini kama sehemu ya kuboresha urafiki wao
- Lakini kontena lilipofika Bungeni na kufunguliwa lilikutwa tupu
Zaidi, soma https://jamii.app/KontenaChina-KenyaTupu
- China iliahidi kulipatia Bunge la Kenya vifaa vya Ofisini kama sehemu ya kuboresha urafiki wao
- Lakini kontena lilipofika Bungeni na kufunguliwa lilikutwa tupu
Zaidi, soma https://jamii.app/KontenaChina-KenyaTupu
WAANDAMANAJI 44 WA HONG KONG WAFIKISHWA MAHAKAMANI
- Waandamanaji hao wanaopigania demokrasia wamefikishwa Mahakamani jana wakishtakiwa kwa kufanya vurugu
- Iwapo watakutwa na hatia wanaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka 10 jela
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanajiMahakamaniHongKong
- Waandamanaji hao wanaopigania demokrasia wamefikishwa Mahakamani jana wakishtakiwa kwa kufanya vurugu
- Iwapo watakutwa na hatia wanaweza kuhukumiwa kifungo cha hadi miaka 10 jela
Zaidi, soma https://jamii.app/WaandamanajiMahakamaniHongKong
DED HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO AENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Kayombe Lyoba kutokana na usimamizi usioridhisha wa miradi ya maendeleo
- Meneja wa TARURA wa Halmashauri hiyo, Mhandisi Godfrey Mlowe atakaimu nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDMorogoroAenguliwa-Agt2019
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Kayombe Lyoba kutokana na usimamizi usioridhisha wa miradi ya maendeleo
- Meneja wa TARURA wa Halmashauri hiyo, Mhandisi Godfrey Mlowe atakaimu nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DEDMorogoroAenguliwa-Agt2019
MAREKANI YADAI KUMUUA MTOTO WA OSAMA BIN LADEN
- Imedai kumuua Hamza Bin Laden, lakini haijaweka wazi kuhusu mahala au tarehe ya kifo
- Awali, Marekani iliahidi kutoa Dola Milioni 1 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kujua alipo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoOsamaAuawa
- Imedai kumuua Hamza Bin Laden, lakini haijaweka wazi kuhusu mahala au tarehe ya kifo
- Awali, Marekani iliahidi kutoa Dola Milioni 1 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kujua alipo
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoOsamaAuawa
KIGOMA: BABA LEVO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 5 JELA
- Msanii na Diwani wa Kata ya Mwanga Kakazini (ACT-Wazalendo), Revocatus Kipando 'Baba Levo' amehukumiwa kwenda jela
- Mahakama ya Mwanzo ya Mwandiga imemtia hatiani kwa kosa la kumshambulia Trafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoJelaMiezi5
- Msanii na Diwani wa Kata ya Mwanga Kakazini (ACT-Wazalendo), Revocatus Kipando 'Baba Levo' amehukumiwa kwenda jela
- Mahakama ya Mwanzo ya Mwandiga imemtia hatiani kwa kosa la kumshambulia Trafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaLevoJelaMiezi5
MAOMBI YA DHAMANA YA KABENDERA KUSIKILIZWA AGOSTI 5
- Maombi ya dhamana ya Mwandishi Erick Kabendera kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Alikamatwa Julai 29, 2019 na Idara ya Uhamiaji na amekuwa akihojiwa juu ya uraia wake
Zaidi, soma https://jamii.app/MaombiDhamanaKabendera
- Maombi ya dhamana ya Mwandishi Erick Kabendera kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
- Alikamatwa Julai 29, 2019 na Idara ya Uhamiaji na amekuwa akihojiwa juu ya uraia wake
Zaidi, soma https://jamii.app/MaombiDhamanaKabendera
MADAGASCAR: MWANAFUNZI AJIUA KWA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE NDEGE
> Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cambridge, Alana Cutland (19) amefariki baada ya kujirusha kutoka kwenye ndege umbali wa futi 5,000 angani
> Inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy
Soma - https://jamii.app/MwnfAjiuaNdegeAngani
> Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cambridge, Alana Cutland (19) amefariki baada ya kujirusha kutoka kwenye ndege umbali wa futi 5,000 angani
> Inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy
Soma - https://jamii.app/MwnfAjiuaNdegeAngani