DR CONGO: WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA MADINI WATEKWA
- Wafanyakazi wa Banro Mining hawajulikani waliko baada ya kutekwa Ijumaa, Julai 26 kwenye mgodi wa Namoya
- Watu waliotambuliwa kama wanamgambo wa Mai Mai Malaika wamehusishwa na utekaji
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziWatekwa-DRC
- Wafanyakazi wa Banro Mining hawajulikani waliko baada ya kutekwa Ijumaa, Julai 26 kwenye mgodi wa Namoya
- Watu waliotambuliwa kama wanamgambo wa Mai Mai Malaika wamehusishwa na utekaji
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziWatekwa-DRC
PAUL MAKONDA: WASIOFUA NGUO, KUNYOOSHA, KUOGA WASIONEKANE MJINI HADI MKUTANO WA SADC UMALIZIKE
> Amesema kwenda mjini bila kunyoosha nguo na kuoga ni marufuku
> Wapo wanaotembea na chawa. Kama huwezi kuwa msafi basi subiri mkutano upite
Soma > https://jamii.app/Makonda-WachafuDa
> Amesema kwenda mjini bila kunyoosha nguo na kuoga ni marufuku
> Wapo wanaotembea na chawa. Kama huwezi kuwa msafi basi subiri mkutano upite
Soma > https://jamii.app/Makonda-WachafuDa
SONGWE: MFANYABIASHARA ALIYEWAUZIA WAKULIMA MBEGU FEKI ATAKIWA KUKAMATWA
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ametoa agizo hilo kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, John Palingo
- Kutokana na kitendo hicho mfanyabiashara huyo anadaiwa kuathiri mavuno
Zaidi, soma https://jamii.app/MuuzajiMbeguFekiKukamatwa
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ametoa agizo hilo kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, John Palingo
- Kutokana na kitendo hicho mfanyabiashara huyo anadaiwa kuathiri mavuno
Zaidi, soma https://jamii.app/MuuzajiMbeguFekiKukamatwa
HAI: MBOWE ATAKIWA KUSITISHA ZIARA KUTOKANA NA ZIARA ZA DC SABAYA
- Freeman Mbowe ametakiwa kusitisha ziara jimboni kwake kwani DC Ole Sabaya ana ziara Wilayani hapo
- Polisi imedai kuingiliana kwa ziara kunaweza kusababisha uvunjifu wa amani
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweAzuiwaMikutano
- Freeman Mbowe ametakiwa kusitisha ziara jimboni kwake kwani DC Ole Sabaya ana ziara Wilayani hapo
- Polisi imedai kuingiliana kwa ziara kunaweza kusababisha uvunjifu wa amani
Zaidi, soma https://jamii.app/MboweAzuiwaMikutano
MKURUGENZI MSAIDIZI WA MIRADI YA EU NCHINI AKUTWA AMEFARIKI
- Leopold Lwajabe amekutwa amefariki Wilayani Mkuranga baada ya kupotea wiki iliyopita
- Wizara ya Fedha imesema imepata taarifa ya kifo wakati ikijiandaa kutoa taarifa ya kumtafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/LeopoldKitengoEUAfariki
- Leopold Lwajabe amekutwa amefariki Wilayani Mkuranga baada ya kupotea wiki iliyopita
- Wizara ya Fedha imesema imepata taarifa ya kifo wakati ikijiandaa kutoa taarifa ya kumtafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/LeopoldKitengoEUAfariki
HOJA: Wahitimu wengi wa elimu ya juu hukosa ajira na huamua kujiajiri katika sekta mbalimbali ambapo wengi hujiajiri katika shughuli ambazo si zile walizosomea vyuoni
- Mdau wa JamiiForums anasema kusoma mpaka Chuo Kikuu kisha kujiajiri ni kupoteza muda, elimu ya kidato cha nne inatosha kupata maarifa ya kujiajiri
Fuatilia mjadala hapa => https://jamii.app/Hoja-Wahitimu
- Mdau wa JamiiForums anasema kusoma mpaka Chuo Kikuu kisha kujiajiri ni kupoteza muda, elimu ya kidato cha nne inatosha kupata maarifa ya kujiajiri
Fuatilia mjadala hapa => https://jamii.app/Hoja-Wahitimu
SINGIDA: ALIYEJIFANYA LUTENI WA JESHI LA WANANCHI AKAMATWA
> Amieli Stephano(29) mkazi wa Arusha amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma ya kujifanya Ofisa wa JWTZ
> Baada ya kuhojiwa alikiri yeye ni mkulima na hajaajiriwa mahali popote
Zaidi, soma > https://jamii.app/AfisaFeki-JWTZ
> Amieli Stephano(29) mkazi wa Arusha amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma ya kujifanya Ofisa wa JWTZ
> Baada ya kuhojiwa alikiri yeye ni mkulima na hajaajiriwa mahali popote
Zaidi, soma > https://jamii.app/AfisaFeki-JWTZ
BRAZIL: TAKRIBANI WAFUNGWA 52 WAMEFARIKI KATIKA GHASIA GEREZANI
> Taarifa kutoka katika mamlaka za Brazil zinaeleza kuwa wafungwa hao wameuawa katika ghasia hizo zilizozuka katika gereza la Altamira
> Wafungwa 16 wamejeruhiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/VifoAltimaraPrison
> Taarifa kutoka katika mamlaka za Brazil zinaeleza kuwa wafungwa hao wameuawa katika ghasia hizo zilizozuka katika gereza la Altamira
> Wafungwa 16 wamejeruhiwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/VifoAltimaraPrison
MWANAHABARI ERICK KABENDERA ACHUKULIWA NA JESHI LA POLISI
> Askari Polisi walifika nyumbani kwake Mbweni jijini Dar wakiwa wamevalia kiraia
> Waliondoka na Mwanahabari huyo na kwa sasa wanaendelea kumhoji
Soma > https://jamii.app/KabenderaVsPolisiTz
> Askari Polisi walifika nyumbani kwake Mbweni jijini Dar wakiwa wamevalia kiraia
> Waliondoka na Mwanahabari huyo na kwa sasa wanaendelea kumhoji
Soma > https://jamii.app/KabenderaVsPolisiTz
MKURUGENZI SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) ABADILISHWA
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuchukua nafasi hiyo kuanzia leo Julai 29, 2019
- Dkt. Elirehema anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambaye Uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNICAbadilishwa
- Rais Magufuli amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuchukua nafasi hiyo kuanzia leo Julai 29, 2019
- Dkt. Elirehema anachukua nafasi ya Sam Kamanga ambaye Uteuzi wake umetenguliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MkurugenziNICAbadilishwa
BABA NA MWANAYE MBARONI KWA KUMHONGA DC WA DODOMA
- TAKUKURU inawashikilia kwa kumhonga DC Patrobas Katambi Tsh. Milioni 1.2 ili asitekeleze majukumu yake
- Walitaka asifuatilie mapungufu katika Baraza la Ardhi kuhusu hukumu ya kesi yao
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumhongaDC-DOM
- TAKUKURU inawashikilia kwa kumhonga DC Patrobas Katambi Tsh. Milioni 1.2 ili asitekeleze majukumu yake
- Walitaka asifuatilie mapungufu katika Baraza la Ardhi kuhusu hukumu ya kesi yao
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKumhongaDC-DOM
BERNARD MEMBE AKIRI SAUTI ILIYOSAMBAA AKIONGEA NA SIMU NI YAKE
- Amesema sauti ya hivi karibuni ni yake na anajua ilipotoka ila kutokana na miiko yake hatoeleza
- Amezitahadharisha kampuni za simu kuwa wateja wao kudukuliwa kunaweza kuwapatia hasara
Zaidi, soma https://jamii.app/MembeAkiriKudukuliwa
- Amesema sauti ya hivi karibuni ni yake na anajua ilipotoka ila kutokana na miiko yake hatoeleza
- Amezitahadharisha kampuni za simu kuwa wateja wao kudukuliwa kunaweza kuwapatia hasara
Zaidi, soma https://jamii.app/MembeAkiriKudukuliwa
SERENGETI, MARA: AUA NA KUJERUHI BAADA YA KUNYIMWA BIA
- Kijana mmoja (jina halijajulikana) ametuhumiwa kuua mtu mmoja na kujeruhi wawili kwa mishale
- Inadaiwa walinunua kreti ya bia na Mtuhumiwa alipewa chupa 2 alipotaka tena wakamnyima
Zaidi, soma https://jamii.app/AnyimwaBiaAua-Mara
- Kijana mmoja (jina halijajulikana) ametuhumiwa kuua mtu mmoja na kujeruhi wawili kwa mishale
- Inadaiwa walinunua kreti ya bia na Mtuhumiwa alipewa chupa 2 alipotaka tena wakamnyima
Zaidi, soma https://jamii.app/AnyimwaBiaAua-Mara
POLISI KUZUNGUMZIA SUALA LA KABENDERA LEO MCHANA
- Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar, Lazaro Mambosasa amesema atatoa taarifa rasmi juu ya Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera ifikapo saa 7:00 mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumzungumziaKabendera
- Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar, Lazaro Mambosasa amesema atatoa taarifa rasmi juu ya Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera ifikapo saa 7:00 mchana
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumzungumziaKabendera
NDEGE YA JESHI YA PAKISTAN YAANGUKA NA KUUA RAIA
- Ndege hiyo iliyokuwa katika safari ya mafunzo imeanguka katika eneo la Makazi karibu na mji wa Rawalpindi leo saa 8 usiku
- Wanajeshi watano na raia 13 wamefariki huku Watu wengine 12 wakijeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiPakistaniYaua
- Ndege hiyo iliyokuwa katika safari ya mafunzo imeanguka katika eneo la Makazi karibu na mji wa Rawalpindi leo saa 8 usiku
- Wanajeshi watano na raia 13 wamefariki huku Watu wengine 12 wakijeruhiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeJeshiPakistaniYaua
SUDAN: WANAFUNZI WAUAWA KATIKA MAANDAMANO
- Wanafunzi wanne ni miongoni mwa Waandamanaji watano waliouawa kwa kupigwa risasi jana katika mji wa Al-Obeid huko Kordofan ya Kaskazini wakati wa maandamano ya kulalamikia uhaba wa mkate na mafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
- Wanafunzi wanne ni miongoni mwa Waandamanaji watano waliouawa kwa kupigwa risasi jana katika mji wa Al-Obeid huko Kordofan ya Kaskazini wakati wa maandamano ya kulalamikia uhaba wa mkate na mafuta
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWauawaSudan
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ametolea ufafanuzi kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera
- Aidha, ameeleza kuwa Mwandishi huyo anashikiliwa katika Kituo cha Polisi kilichopo Posta jijini Dar (Central Police Station) kwa mahojiano
- Aidha, ameeleza kuwa Mwandishi huyo anashikiliwa katika Kituo cha Polisi kilichopo Posta jijini Dar (Central Police Station) kwa mahojiano