RAIS MAGUFULI KUWEKA JIWE LA MSINGI LA MRADI WA UMEME RUFIJI
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amesema kesho Rais John Magufuli ataweka jiwe la msingi katika Mradi wa kufua umeme wa megawati 2115 wa Rufiji ‘Stiegler's Gorge’ uliopo Mikoa ya Pwani na Morogoro
> Mradi huo utakapokamilika unatarajiwa kutumia kiasi cha Tsh. Trilioni 6.5
Soma - https://jamii.app/MsingiUmemeRufiji
#JFLeo
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amesema kesho Rais John Magufuli ataweka jiwe la msingi katika Mradi wa kufua umeme wa megawati 2115 wa Rufiji ‘Stiegler's Gorge’ uliopo Mikoa ya Pwani na Morogoro
> Mradi huo utakapokamilika unatarajiwa kutumia kiasi cha Tsh. Trilioni 6.5
Soma - https://jamii.app/MsingiUmemeRufiji
#JFLeo
OLE SABAYA KUCHUNGUZWA KUHUSU TUHUMA ZA RUSHWA. MWENYEWE AKANUSHA
> Mkuu wa Wilaya ya Hai anachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kutokana na malalamiko yaliyotolewa na Mfanyabiashara wa Kampuni ya Asante Tours, akitumhumu Sabaya kumpa vitisho na kudai fedha kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kuwakamata wafanyakazi wake na kuwaweka mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaTuhumaRushwa
> Mkuu wa Wilaya ya Hai anachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kutokana na malalamiko yaliyotolewa na Mfanyabiashara wa Kampuni ya Asante Tours, akitumhumu Sabaya kumpa vitisho na kudai fedha kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kuwakamata wafanyakazi wake na kuwaweka mahabusu
Soma - https://jamii.app/SabayaTuhumaRushwa
AFYA: Tatizo la mtu mzima kukojoa kitandani limekuwa likileta usumbufu na aibu kubwa katika jamii
- Takwimu zinaonesha kuwa tatizo hili huwakumba zaidi Wanawake na watu wenye umri mkubwa
> Baadhi ya sababu zinazotajwa kusababisha tatizo hili ni umri, uzito uliopitiliza, uvutaji wa sigara na magonjwa ya figo na kisukari
Kwa tiba na jinsi ya kuepuka tatizo hili, bofya => https://jamii.app/WatuWazimaKukojoa
- Takwimu zinaonesha kuwa tatizo hili huwakumba zaidi Wanawake na watu wenye umri mkubwa
> Baadhi ya sababu zinazotajwa kusababisha tatizo hili ni umri, uzito uliopitiliza, uvutaji wa sigara na magonjwa ya figo na kisukari
Kwa tiba na jinsi ya kuepuka tatizo hili, bofya => https://jamii.app/WatuWazimaKukojoa
SERIKALI: WATANZANIA NI WAVIVU WA KULA NYAMA
> Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ameeleza kuwa kila Mtanzania anapaswa kula Kg50 za nyama kwa mwaka
> kwa mujibu wa FAO, kwa sasa kila Mtanzania anakula kilo 15 tu kwa mwaka
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatanzaniaVsKulaNyama
> Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ameeleza kuwa kila Mtanzania anapaswa kula Kg50 za nyama kwa mwaka
> kwa mujibu wa FAO, kwa sasa kila Mtanzania anakula kilo 15 tu kwa mwaka
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatanzaniaVsKulaNyama
TANZIA: RAIS WA TUNISIA AFARIKI DUNIA
> Beji Caid Essebsi, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 92
> Alikimbizwa katika Hospitali ya Jeshi jana baada ya afya yake kubadilika
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIP-Essebsi
> Beji Caid Essebsi, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 92
> Alikimbizwa katika Hospitali ya Jeshi jana baada ya afya yake kubadilika
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIP-Essebsi
MZEE KHAMIS KILOMONI AKAMATWA NA JESHI LA POLISI
> Khamis Kilomoni, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Simba SC amekamatwa kwa kuitisha kusanyiko nyumbani kwake bila kibali
> Aliandaa mkutano na Wanahabari nyumbani kwake Kinondoni, Dar
Soma > https://jamii.app/KilomoniAkamatwa
> Khamis Kilomoni, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Simba SC amekamatwa kwa kuitisha kusanyiko nyumbani kwake bila kibali
> Aliandaa mkutano na Wanahabari nyumbani kwake Kinondoni, Dar
Soma > https://jamii.app/KilomoniAkamatwa
WATUMISHI KUKATWA MISHAHARA KWASABABU YA UBADHILIFU
> Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Biharamulo kuhakikisha inawachukulia hatua watumishi waliohusika na ubadhilifu wa fedha za umma na kutoa siku mbili kurejeshwa kwa fedha ambazo zimetumika kinyume na malengo
#JFLeo
> Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Biharamulo kuhakikisha inawachukulia hatua watumishi waliohusika na ubadhilifu wa fedha za umma na kutoa siku mbili kurejeshwa kwa fedha ambazo zimetumika kinyume na malengo
#JFLeo
TANZANIA KUIUZIA KENYA MAHINDI ILI KUSAIDIA UPUNGUFU WA CHAKULA
> Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali itaiuzia Kenya Mahindi tani milioni 1 katika kipindi cha mwaka 1, baada ya msimu wa mvua kugoma nchini humo hali inayotishia kuwepo kwa upungufu wa chakula
Soma - https://jamii.app/TZKuuzaMahindiKE
> Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali itaiuzia Kenya Mahindi tani milioni 1 katika kipindi cha mwaka 1, baada ya msimu wa mvua kugoma nchini humo hali inayotishia kuwepo kwa upungufu wa chakula
Soma - https://jamii.app/TZKuuzaMahindiKE
BENKI YA DUNIA YATOA TAHADHARI KUHUSU DENI LA TAIFA NA MIKOPO
> Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali ya Tanzania na kuongeza kuwa ingawa deni hilo bado ni himilivu, ila umakini unahitajika kabla hali haijawa ngumu kwa Serikali kushindwa kutekeleza makubaliano
Soma - https://jamii.app/OnyoWBDeniTaifa
> Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali ya Tanzania na kuongeza kuwa ingawa deni hilo bado ni himilivu, ila umakini unahitajika kabla hali haijawa ngumu kwa Serikali kushindwa kutekeleza makubaliano
Soma - https://jamii.app/OnyoWBDeniTaifa
WAKIMBIZI 150 WAFARIKI BAADA YA BOTI YAO KUZAMA PWANI YA LIBYA
> Boti hiyo ilibeba takribani watu 300 ambapo baada ya ajali hiyo watu 145 wameokolewa mpaka sasa huku 5 wakiwa hawajulikani walipo
> Zoezi la uokoaji liliendeshwa na Wavuvi
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi150Wafariki
> Boti hiyo ilibeba takribani watu 300 ambapo baada ya ajali hiyo watu 145 wameokolewa mpaka sasa huku 5 wakiwa hawajulikani walipo
> Zoezi la uokoaji liliendeshwa na Wavuvi
Soma > https://jamii.app/Wakimbizi150Wafariki
NSSF KUFANYA MSAKO KWA WAAJIRI WASIOSAJILI WAFANYAKAZI KWENYE MFUKO
> Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii utaanza msako maofisini na kwenye kampuni kuwasaka waajiri ambao hawajawasajili wafanyakazi katika mfuko huo na wasiopeleka makato ya michango
> Msako utaanza Agosti 1 nchi nzima ili kuhakikisha waajiriwa katika sekta binafsi wanapata haki zao
Soma - https://jamii.app/NSSFMsakoWaajiri
> Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii utaanza msako maofisini na kwenye kampuni kuwasaka waajiri ambao hawajawasajili wafanyakazi katika mfuko huo na wasiopeleka makato ya michango
> Msako utaanza Agosti 1 nchi nzima ili kuhakikisha waajiriwa katika sekta binafsi wanapata haki zao
Soma - https://jamii.app/NSSFMsakoWaajiri
RUFIJI: WATU WATATU WAFARIKI KWENYE AJALI
> Askari wawili wa kanda maalum Rufiji, pamoja na "staff officer" wamefariki katika ajali ya gari baada ya kupasuka kwa gurudumu la nyuma na kupinduka na kusababisha majeruhi wawili
> Waliofariki katika ajali hiyo ni Issah Bukuku, Inspekta Esteria wa RCO Rufiji na PC Lameck wa FFU Rufiji
Soma - https://jamii.app/AjaliVifoPolisi
#JFLeo
> Askari wawili wa kanda maalum Rufiji, pamoja na "staff officer" wamefariki katika ajali ya gari baada ya kupasuka kwa gurudumu la nyuma na kupinduka na kusababisha majeruhi wawili
> Waliofariki katika ajali hiyo ni Issah Bukuku, Inspekta Esteria wa RCO Rufiji na PC Lameck wa FFU Rufiji
Soma - https://jamii.app/AjaliVifoPolisi
#JFLeo
MAREKANI YAIDHINISHA ADHABU YA KIFO KUANZA KUTEKELEZWA TENA
> Serikali ya Marekani imeidhinisha adhabu ya kifo ianze tena baada ya kusitishwa miaka 16 iliyopita
> Mwanasheria Mkuu ameiagiza Halmashauri ya Magereza kupanga siku ya kunyongwa kwa wafungwa 5 waliopewa adhabu hiyo kwa kuhusika na mauaji na ubakaji wa watoto na watu wazima
Soma - https://jamii.app/RejeshoAdhabuKifo
> Serikali ya Marekani imeidhinisha adhabu ya kifo ianze tena baada ya kusitishwa miaka 16 iliyopita
> Mwanasheria Mkuu ameiagiza Halmashauri ya Magereza kupanga siku ya kunyongwa kwa wafungwa 5 waliopewa adhabu hiyo kwa kuhusika na mauaji na ubakaji wa watoto na watu wazima
Soma - https://jamii.app/RejeshoAdhabuKifo
KIJANA AFARIKI BAADA YA KUTUMBUKIA KISIMANI
> Ali Ibrahimu Haji (30) Mkazi wa Jambiani Kibigija amefariki dunia baada ya kutumbukia kisimani katika Bar ya Maisha Pub, Mkoa wa Kusini Unguja
> Inasadikiwa alikuwa amelewa na aliondoka katika meza na kuelekea msalani na ndipo alipoingia katika kisima
Soma - https://jamii.app/AjaliKifoKisimani
> Ali Ibrahimu Haji (30) Mkazi wa Jambiani Kibigija amefariki dunia baada ya kutumbukia kisimani katika Bar ya Maisha Pub, Mkoa wa Kusini Unguja
> Inasadikiwa alikuwa amelewa na aliondoka katika meza na kuelekea msalani na ndipo alipoingia katika kisima
Soma - https://jamii.app/AjaliKifoKisimani
AFISA WA JESHI ALIYEKABIDHI MILIONI 95 ALIZOOKOTA APANDISHWA CHEO
> Afisa wa Jeshi la Anga la Nigeria, ACM Bashir Umar aliyerejesha mkoba aliouokota kazini ukiwa na fedha sawa na Tsh. Milioni 95.2 amepandishwa cheo kwa ngazi mbili
> Kwa utaratibu, ingemchukua Umar takribani miaka 10 kufikia ngazi hiyo
Soma - https://jamii.app/OfficerPromotedEuro37000
> Afisa wa Jeshi la Anga la Nigeria, ACM Bashir Umar aliyerejesha mkoba aliouokota kazini ukiwa na fedha sawa na Tsh. Milioni 95.2 amepandishwa cheo kwa ngazi mbili
> Kwa utaratibu, ingemchukua Umar takribani miaka 10 kufikia ngazi hiyo
Soma - https://jamii.app/OfficerPromotedEuro37000
MICHEZO: Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Ndayiragije Etienne amemteua John Bocco kuwa nahodha wa timu kwa wachezaji wa Ndani, akisaidiwa na Juma Kaseja, Kelvin Yondan na Erasto Nyoni
> Timu hiyo inajiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya utakaochezwa Julai 28, Dar
#JFMichezo
> Timu hiyo inajiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya utakaochezwa Julai 28, Dar
#JFMichezo
MKUKI WATAKA WALIOSAMBAZA PICHA ZA WATUHUMIWA WASHTAKIWE
> Mtandao wa kupinga Ukatili wa Kijinsia umesikitishwa na vitendo vya kusambazwa kwa picha zinazoonesha wanawake 4, waliokuwa wakituhumiwa na kushikiliwa katika kituo cha polisi cha Mburahati kwa makosa ya jinai
> Mtandao huo hautosita kuchukua sheria, ikiwemo kufungua mashtaka kwa wahusika wa tukio hilo
Soma - https://jamii.app/UdhalilishajiWatuhumiwaKE
> Mtandao wa kupinga Ukatili wa Kijinsia umesikitishwa na vitendo vya kusambazwa kwa picha zinazoonesha wanawake 4, waliokuwa wakituhumiwa na kushikiliwa katika kituo cha polisi cha Mburahati kwa makosa ya jinai
> Mtandao huo hautosita kuchukua sheria, ikiwemo kufungua mashtaka kwa wahusika wa tukio hilo
Soma - https://jamii.app/UdhalilishajiWatuhumiwaKE
TAARIFA IKULU: Rais John Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya Tsh. Bilioni 15.3 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kugharamia matumizi ya Mamlaka ya Usafiri wa Reli Tanzania na Zambia (TAZARA)
-
Fedha hizo zilitolewa na Serikali kwa ajili ya ukarabati wa injini 7 ambazo zingewezesha kusafirisha tani laki 4 za mizigo
-
Fedha hizo zilitolewa na Serikali kwa ajili ya ukarabati wa injini 7 ambazo zingewezesha kusafirisha tani laki 4 za mizigo
KIFAHAMU KILIMO CHA BUSTANI NA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA
- Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo
- Je, unafahamu kanuni zake na mambo ya kuzingatia katika uzalishaji?
Kufahamu zaidi | Soma > https://jamii.app/Kilimo-Bustani
- Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo
- Je, unafahamu kanuni zake na mambo ya kuzingatia katika uzalishaji?
Kufahamu zaidi | Soma > https://jamii.app/Kilimo-Bustani