IKULU, DAR: RAIS MAGUFULI AMEWAAPISHA SIMBACHAWENE NA BASHE
> Asubuhi ya leo, Rais Magufuli amemuapisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Fuatilia yaliyojiri hapa => https://jamii.app/SimbachaweneBasheKiapo
> Asubuhi ya leo, Rais Magufuli amemuapisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Fuatilia yaliyojiri hapa => https://jamii.app/SimbachaweneBasheKiapo
ALIYEWAHI KUWA MCHEZAJI WA MANCHESTER UNITED NA REAL MADRID AJA KUTALII TANZANIA
> Ruud van Nistelrooy ameweka picha za wanyama katika ukurasa wake wa Twitter
> Ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Soma > https://jamii.app/VanNestelrooy-Tanzania
> Ruud van Nistelrooy ameweka picha za wanyama katika ukurasa wake wa Twitter
> Ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Soma > https://jamii.app/VanNestelrooy-Tanzania
ZANZIBAR: MHANDISI MSAIDIZI WA MV MAPINDUZI AJINYONGA SAFARINI
> Tukio hilo limetokea wakati meli hiyo ikitoka Unguja kuelekea Pemba
> Tukio hilo limepelekea kukatizwa kwa safari na meli hiyo kurudi Unguja
Zaidi, soma => https://jamii.app/InjiniaWaMeliAjinyongaZNZ
> Tukio hilo limetokea wakati meli hiyo ikitoka Unguja kuelekea Pemba
> Tukio hilo limepelekea kukatizwa kwa safari na meli hiyo kurudi Unguja
Zaidi, soma => https://jamii.app/InjiniaWaMeliAjinyongaZNZ
WAZAZI WAKAMATWA KWA KUSABABISHA BINTI YAO AKIMBIE MASOMO
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Chamwino, Dodoma linawashikilia Athumani Salum (35) na Paulina Mazengo (45) kwa tuhuma za kusababisha binti yao (17) kutoroka shuleni kutokana na baba yake kumsumbua akimtaka kimapenzi mama mzazi kuficha siri hiyo
> Baba huyo anadaiwa kuwahi kumpa mimba binti mkubwa wa mke wake na kwamba alikwenda kumtoa mimba hiyo
Soma - https://jamii.app/WazaziMapenziMtoto
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Chamwino, Dodoma linawashikilia Athumani Salum (35) na Paulina Mazengo (45) kwa tuhuma za kusababisha binti yao (17) kutoroka shuleni kutokana na baba yake kumsumbua akimtaka kimapenzi mama mzazi kuficha siri hiyo
> Baba huyo anadaiwa kuwahi kumpa mimba binti mkubwa wa mke wake na kwamba alikwenda kumtoa mimba hiyo
Soma - https://jamii.app/WazaziMapenziMtoto
SHINYANGA: WATU 6 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI
> Watu 6 wamefariki na wengine 22 wamejeruhiwa katika eneo la Nyambula, Kata ya Ngogwa, Wilayani Kahama baada ya gari aina ya Totoya Hiace namba T 710 AZZ na Land cruiser namba T 477 ATC kugongana
> Chanzo kinadaiwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa Hiace iliyokuwa na abiria
Soma - https://jamii.app/Vifo6AjaliKahama
> Watu 6 wamefariki na wengine 22 wamejeruhiwa katika eneo la Nyambula, Kata ya Ngogwa, Wilayani Kahama baada ya gari aina ya Totoya Hiace namba T 710 AZZ na Land cruiser namba T 477 ATC kugongana
> Chanzo kinadaiwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa Hiace iliyokuwa na abiria
Soma - https://jamii.app/Vifo6AjaliKahama
KENYA: WAZIRI WA FEDHA AJISALIMISHA KWENYE OFISI YA DCI
> Waziri wa Fedha, Henry Rotich amejisalimisha kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma nchini humo leo na mpaka sasa yupo kwenye mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili
> Hapo awali, Mkurugenzi wa mashtaka aliagiza kukamatwa na kushtakiwa kwa Waziri wa Fedha na Katibu wa Wizara hiyo kwa tuhuma za ufisadi kuhusiana na mradi wa ujenzi wa mabwawa wa thamani ya Ksh. billion 65
Soma - https://jamii.app/RotichInterrogationDCI
> Waziri wa Fedha, Henry Rotich amejisalimisha kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma nchini humo leo na mpaka sasa yupo kwenye mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili
> Hapo awali, Mkurugenzi wa mashtaka aliagiza kukamatwa na kushtakiwa kwa Waziri wa Fedha na Katibu wa Wizara hiyo kwa tuhuma za ufisadi kuhusiana na mradi wa ujenzi wa mabwawa wa thamani ya Ksh. billion 65
Soma - https://jamii.app/RotichInterrogationDCI
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA ATOMIKI AFARIKI
> Sekretarieti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Mkurugenzi wa shirika hilo, Yukiya Amano (73)
> Amano amekuwa akikamilisha muhula wake wa tatu, ambao ungemalizika Novemba 2021, lakini alikuwa anatarajiwa kutangaza kuachia ngazi Machi 2020 kwasababu za kiafya
#JFLeo
> Sekretarieti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Mkurugenzi wa shirika hilo, Yukiya Amano (73)
> Amano amekuwa akikamilisha muhula wake wa tatu, ambao ungemalizika Novemba 2021, lakini alikuwa anatarajiwa kutangaza kuachia ngazi Machi 2020 kwasababu za kiafya
#JFLeo
DRC YAPIGA MARUFUKU MIKUTANO YA KISIASA
> Mamlaka za Jamhuri ya Demokrasia ya Congo zimepiga marufuku mikutano ya kisiasa kufuatia kuibuka kwa mvutano baina ya wafuasi wa Rais Felix Tshisekedi na wale wa Rais Joseph Kabila wakimpinga mgombea wa Waziri mstaafu wa Sheria kwa urais wa Seneti
Soma - https://jamii.app/DRCBansPolitics
> Mamlaka za Jamhuri ya Demokrasia ya Congo zimepiga marufuku mikutano ya kisiasa kufuatia kuibuka kwa mvutano baina ya wafuasi wa Rais Felix Tshisekedi na wale wa Rais Joseph Kabila wakimpinga mgombea wa Waziri mstaafu wa Sheria kwa urais wa Seneti
Soma - https://jamii.app/DRCBansPolitics
WAZIRI LUGOLA AAGIZA MSAKO WA VIBAKA ENEO LA JANGWANI, DAR
> Waziri wa Mambo ya ndani ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala kufanya Operesheni Maalum ya kuwasaka na kuwakamata Vibaka na waporaji wanaoendesha vitendo vya wizi na uporaji hasa nyakati za jioni na usiku
> Amesema kama inawezekana kutokomeza mbu kwa kuvunja vifuu, anataka mazalia ya wahalifu yatokomezwe
Soma - https://jamii.app/LugolaMsakoVibaka
> Waziri wa Mambo ya ndani ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala kufanya Operesheni Maalum ya kuwasaka na kuwakamata Vibaka na waporaji wanaoendesha vitendo vya wizi na uporaji hasa nyakati za jioni na usiku
> Amesema kama inawezekana kutokomeza mbu kwa kuvunja vifuu, anataka mazalia ya wahalifu yatokomezwe
Soma - https://jamii.app/LugolaMsakoVibaka
DRC: WAZIRI WA AFYA AJIUZULU KUTOKANA NA JANGA LA EBOLA
> Waziri Oly Ilunga, amejiuzulu kwenye nafasi yake huku akieleza sababu kuwa hakutendewa haki na uamuzi wa Rais Tshisekedi wa kusimamia jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa Ebola ulioua watu zaidi ya 1,700 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, Mashariki mwa nchi hiyo
#JFLeo
> Waziri Oly Ilunga, amejiuzulu kwenye nafasi yake huku akieleza sababu kuwa hakutendewa haki na uamuzi wa Rais Tshisekedi wa kusimamia jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa Ebola ulioua watu zaidi ya 1,700 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, Mashariki mwa nchi hiyo
#JFLeo
JF EXCLUSIVE: MAURITIUS LEAKS NAME TANZANIA COMPANIES
> It has been revealed that at least four companies in Tanzania are in Mauritius Leaks – for now we are publishing one company, while continuing to track others
Continue reading > https://jamii.app/MauritiusLeaks1
#MauritiusLeaks
> It has been revealed that at least four companies in Tanzania are in Mauritius Leaks – for now we are publishing one company, while continuing to track others
Continue reading > https://jamii.app/MauritiusLeaks1
#MauritiusLeaks
MWANZA: WATU 4 AKIWEMO AFISA MFAWIDHI WA RASILIMALI ZA UVUVI WAUAWA
> Wameuawa katika vurugu kati ya wakazi wa kisiwa cha Siza na Askari wa Jeshi la Polisi
> Afisa huyo wa Kanda ya Ukerewe amefariki dunia baada ya kupigwa na Wananchi
Soma => https://jamii.app/AfisaUvuviAuawa
> Wameuawa katika vurugu kati ya wakazi wa kisiwa cha Siza na Askari wa Jeshi la Polisi
> Afisa huyo wa Kanda ya Ukerewe amefariki dunia baada ya kupigwa na Wananchi
Soma => https://jamii.app/AfisaUvuviAuawa
KENYA: SERIKALI KUKAGUA WANAUME KAMA WAMETAHIRIWA
> Wizara ya Afya imesema uchunguzi huo unaoendeshwa na Shirika la Wanaume Kutahiriwa kwa Hiari (VMMC), unalenga kuimarisha vita dhidi ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi
> Uchunguzi huo unaolenga pia kufahamu idadi ya wanaume waliotahiriwa katika kaunti za Homa Bay, Kisumu, Siaya na Migori na utafanyika kwa miezi mitatu
Soma - https://jamii.app/UkaguziToharaMe
> Wizara ya Afya imesema uchunguzi huo unaoendeshwa na Shirika la Wanaume Kutahiriwa kwa Hiari (VMMC), unalenga kuimarisha vita dhidi ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi
> Uchunguzi huo unaolenga pia kufahamu idadi ya wanaume waliotahiriwa katika kaunti za Homa Bay, Kisumu, Siaya na Migori na utafanyika kwa miezi mitatu
Soma - https://jamii.app/UkaguziToharaMe
AFYA: Tende ndio tunda pekee lenye kuupatia mwili vitu vinne kwa wakati mmoja; yaani vitamini, protini, wanga na mafuta
- Baadhi ya faida za tende ni kurekebisha matatizo ya tumbo, kuimarisha moyo, kuongeza nguvu na stamina ya kufanya mapenzi na kuongeza virutubisho kwenye maziwa ya mama anayenyonyesha
Pata somo hili hapa => https://jamii.app/Afya-Tende
- Baadhi ya faida za tende ni kurekebisha matatizo ya tumbo, kuimarisha moyo, kuongeza nguvu na stamina ya kufanya mapenzi na kuongeza virutubisho kwenye maziwa ya mama anayenyonyesha
Pata somo hili hapa => https://jamii.app/Afya-Tende
ARUSHA: WANANCHI WALALAMIKIA MALORI KUEGESHWA BARABARANI MUDA MREFU
> Wafanyabiashara na Watumiaji wa barabara katika mtaa wa Pare (Moivo) wamelalamikia kero ya magari Makubwa aina ya Fuso kuegeshwa barabarani kwa muda mrefu na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara
> Wamedai kuwa jambo hilo limekuwa la muda mrefu lakini wanasikitishwa kwa kutopatiwa ufumbuzi na mamlaka husika
Soma - https://jamii.app/KeroMaloriBarabarani
> Wafanyabiashara na Watumiaji wa barabara katika mtaa wa Pare (Moivo) wamelalamikia kero ya magari Makubwa aina ya Fuso kuegeshwa barabarani kwa muda mrefu na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara
> Wamedai kuwa jambo hilo limekuwa la muda mrefu lakini wanasikitishwa kwa kutopatiwa ufumbuzi na mamlaka husika
Soma - https://jamii.app/KeroMaloriBarabarani
MICHEZO: Tamasha la ‘Simba Day’, linatarajiwa kurudishwa nyuma kutokana kuingiliana na ratiba ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya UD Songo ya Msumbiji
> Simba wataanzia ugenini kucheza na timu hiyo ktk mchezo wa awali utakaochezwa Agosti 9, 2019
#JFMichezo
> Simba wataanzia ugenini kucheza na timu hiyo ktk mchezo wa awali utakaochezwa Agosti 9, 2019
#JFMichezo
MAHAKAMA KUU ZANZIBAR KUFUTA KESI ZISIZOKAMILIKA USHAHIDI
> Ziara iliyofanywa hivi karibuni na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu, imebaini mrundikano wa Mahabusu unaotokana na kusita kuendelea kwa kesi zao Mahakamani kwa kile kinachoelezwa kuwa ushahidi haujakamilika
> Aidha, sababu nyingine ya uwepo wa mrundikano wa Mahabusu unatokana na kuwekwa kwa masharti magumu ya dhamana
Soma - https://jamii.app/MudaUpeleleziKesi
> Ziara iliyofanywa hivi karibuni na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu, imebaini mrundikano wa Mahabusu unaotokana na kusita kuendelea kwa kesi zao Mahakamani kwa kile kinachoelezwa kuwa ushahidi haujakamilika
> Aidha, sababu nyingine ya uwepo wa mrundikano wa Mahabusu unatokana na kuwekwa kwa masharti magumu ya dhamana
Soma - https://jamii.app/MudaUpeleleziKesi
KENYA: WAZIRI WA FEDHA NA WENZAKE WAFIKISHWA MAHAKAMANI LEO
> Waziri Henry Rotich, Katibu wa Wizara hiyo na wenzao wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Milimani kujibu mashtaka yanayowakabili ya matumizi mabaya ya ofisi, kuanzisha mradi bila kuwa na mpango mahususi wa kuutekeleza, kukiuka taratibu za manunuzi na kula njama ili kujipatia fedha kinyume cha taratibu
Soma - https://jamii.app/RotichInCourt
> Waziri Henry Rotich, Katibu wa Wizara hiyo na wenzao wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Milimani kujibu mashtaka yanayowakabili ya matumizi mabaya ya ofisi, kuanzisha mradi bila kuwa na mpango mahususi wa kuutekeleza, kukiuka taratibu za manunuzi na kula njama ili kujipatia fedha kinyume cha taratibu
Soma - https://jamii.app/RotichInCourt
POLISI NA TCRA KUCHUNGUZA SAUTI ZINAZODAIWA KUWA ZA VIONGOZI CCM
> Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema wanafanya uchunguzi wa sauti zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni za baadhi ya viongozi wastaafu wa CCM na Serikali
> Aidha, Msemaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ameeleza kuwa suala hilo wamewaachia Jeshi la Polisi kwa kuwa ni jinai
Soma - https://jamii.app/UchunguziSautiViongozi
> Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema wanafanya uchunguzi wa sauti zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni za baadhi ya viongozi wastaafu wa CCM na Serikali
> Aidha, Msemaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ameeleza kuwa suala hilo wamewaachia Jeshi la Polisi kwa kuwa ni jinai
Soma - https://jamii.app/UchunguziSautiViongozi