LUSINDE: NAPE NNAUYE NA ABDULRAHMAN KINANA WAHOJIWE POLISI
- Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde ametaka wahojiwe kwa madai kuwa wamemtukana Rais Magufuli
- Alikuwa akizungumzia sauti zilizosambaa mtandaoni zikidaiwa kuwa ni za Nape
Zaidi, soma https://jamii.app/Lusinde-KinanaNape
- Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde ametaka wahojiwe kwa madai kuwa wamemtukana Rais Magufuli
- Alikuwa akizungumzia sauti zilizosambaa mtandaoni zikidaiwa kuwa ni za Nape
Zaidi, soma https://jamii.app/Lusinde-KinanaNape
BANGI YASABABISHA MJUKUU AUWE BIBI YAKE KWA KUMCHINJA
> Athuman Khamis ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Usongwa Mkoani Tabora anatuhumiwa kumuua kwa kumchinja bibi yake, Rahel Daud (67) huku sababu ikielezwa ni uvutaji wa bangi kwa kijana huyo
> Taarifa inasema alimvizia bibi yake akiwa ndani na kumchinja kwa kumtenganisha kiwiliwili na Kichwa
Soma - https://jamii.app/MjukuuAuaBibi
> Athuman Khamis ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Usongwa Mkoani Tabora anatuhumiwa kumuua kwa kumchinja bibi yake, Rahel Daud (67) huku sababu ikielezwa ni uvutaji wa bangi kwa kijana huyo
> Taarifa inasema alimvizia bibi yake akiwa ndani na kumchinja kwa kumtenganisha kiwiliwili na Kichwa
Soma - https://jamii.app/MjukuuAuaBibi
ARUSHA: MHASIBU WA JIJI ATUHUMIWA KUTAFUNA MILIONI 85 KILA MWEZI
- Charles Jacob ametakiwa kujisalimisha Polisi akidaiwa kula fedha ktk mzani wa mazao ya chakula
- Inadaiwa mzani unaingiza Tsh. Milioni 3.3 kwa mwezi badala ya Tsh. Milioni 88
Zaidi, soma https://jamii.app/MhasibuArushwaAtakiwaPolisi
- Charles Jacob ametakiwa kujisalimisha Polisi akidaiwa kula fedha ktk mzani wa mazao ya chakula
- Inadaiwa mzani unaingiza Tsh. Milioni 3.3 kwa mwezi badala ya Tsh. Milioni 88
Zaidi, soma https://jamii.app/MhasibuArushwaAtakiwaPolisi
WATU 152 WAFARIKI KUTOKANA NA MAFURIKO KUSINI MWA BARA LA ASIA
> Takribani watu 90 wamefariki nchini Nepal, watu 50 kutoka katika Jimbo la Assam nchini India na wengine kutoka nchini Bangladesh tangu kuanza kwa mafuriko yaliyotokana na msimu wa mvua za masika
> Katika jimbo la Assam watu milioni 4.8 katika vijiji 3,700 wameathiriwa na mafuriko na Faru 10 wenye pembe moja wamekufa baada ya kingo za mto kupasuka na mafuriko kuingia kwenye Mbugani
#JFLeo
> Takribani watu 90 wamefariki nchini Nepal, watu 50 kutoka katika Jimbo la Assam nchini India na wengine kutoka nchini Bangladesh tangu kuanza kwa mafuriko yaliyotokana na msimu wa mvua za masika
> Katika jimbo la Assam watu milioni 4.8 katika vijiji 3,700 wameathiriwa na mafuriko na Faru 10 wenye pembe moja wamekufa baada ya kingo za mto kupasuka na mafuriko kuingia kwenye Mbugani
#JFLeo
UJERUMANI NA UFARANSA ZAITAKA IRAN KUIACHIA MELI YA UINGEREZA
- Ujerumani na Ufaransa zimelaani hatua ya Iran ya kuikamata meli yenye bendera ya Uingereza katika mlango bahari wa Hormuz na kuitaka nchi hiyo kuiachia huru meli hiyo mara moja
Zaidi, soma https://jamii.app/UjerumaniUfaransa-Iran
- Ujerumani na Ufaransa zimelaani hatua ya Iran ya kuikamata meli yenye bendera ya Uingereza katika mlango bahari wa Hormuz na kuitaka nchi hiyo kuiachia huru meli hiyo mara moja
Zaidi, soma https://jamii.app/UjerumaniUfaransa-Iran
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA WAZIRI JANUARI MAKAMBA, SIMBACHAWENE ACHUKUA NAFASI YAKE
> Januari Makamba January Makamba ametenguliwa, nafasi yake inachukuliwa na George Simbachawene
> Ndg. Hussein Bashe anakuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Soma > https://jamii.app/JanuariMakambaOut
> Januari Makamba January Makamba ametenguliwa, nafasi yake inachukuliwa na George Simbachawene
> Ndg. Hussein Bashe anakuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Soma > https://jamii.app/JanuariMakambaOut
JamiiForums
Photo
JANUARY MAKAMBA: NIMEYAPOKEA MABADILIKO KWA MOYO MWEUPE
> Asema ataongea zaidi siku zijazo
> Ni muda mchache baada ya kutangazwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri
> Asema ataongea zaidi siku zijazo
> Ni muda mchache baada ya kutangazwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri
DERA ISMAIL KHAN, PAKISTAN: MASHAMBULIO DHIDI YA POLISI YAUA WATU 8
> Kati ya waliofariki, askari polisi ni wanne
> Imethibitika kuwa shambulio la pili lilikuwa la kujitoa mhanga lililofanywa na mwanamke katika lango la kuingilia hospitali
Soma https://jamii.app/PoliceAttackPakistan
> Kati ya waliofariki, askari polisi ni wanne
> Imethibitika kuwa shambulio la pili lilikuwa la kujitoa mhanga lililofanywa na mwanamke katika lango la kuingilia hospitali
Soma https://jamii.app/PoliceAttackPakistan
HYDERABAD, INDIA: MTANZANIA MBARONI KWA KUENDESHA DANGURO
- Ramadhani Usanga Sabia Bayoni akishirikiana rafiki yake, huweka picha za wanaowauza kwenye tovuti za ngono ili kuwavutia wateja
- Wateja hao hulipa Rs 10,000(Sawa na Tsh. 334,162.72)
Soma https://jamii.app/TanzanianArrestedInIndia
- Ramadhani Usanga Sabia Bayoni akishirikiana rafiki yake, huweka picha za wanaowauza kwenye tovuti za ngono ili kuwavutia wateja
- Wateja hao hulipa Rs 10,000(Sawa na Tsh. 334,162.72)
Soma https://jamii.app/TanzanianArrestedInIndia
KAGERA: KATIBU MWENEZI CHADEMA ADAIWA KUJINYONGA
- Ni Nurunet Bakaishumba(35) Katibu Mwenezi wa CHADEMA katika Kata ya Igurwa, Wilayani Karagwe
- Ameacha ujumbe kwamba familia yake haihusiki na kifo chake na wazo kujinyonga alikuwa nalo kwa muda wa mwezi mmoja sasa
Soma https://jamii.app/KatibuMweneziCHADEMAAjinyonga
#JFLeo
- Ni Nurunet Bakaishumba(35) Katibu Mwenezi wa CHADEMA katika Kata ya Igurwa, Wilayani Karagwe
- Ameacha ujumbe kwamba familia yake haihusiki na kifo chake na wazo kujinyonga alikuwa nalo kwa muda wa mwezi mmoja sasa
Soma https://jamii.app/KatibuMweneziCHADEMAAjinyonga
#JFLeo
KENYA: MLINZI WA SPIKA AULIWA KWA KUPIGWA RISASI
> Mlinzi wa Spika wa Bunge la Kaunti ya Embu ameuliwa kwa kupigwa risasi mapema jana eneo la Kamiti Corner jijini Nairobi
> Aidha dereva wake amekamatwa baada ya uchunguzi wa mwanzo kubaini kuwa huenda alihusika
Soma - https://jamii.app/SpeakerGuardShortDead
> Mlinzi wa Spika wa Bunge la Kaunti ya Embu ameuliwa kwa kupigwa risasi mapema jana eneo la Kamiti Corner jijini Nairobi
> Aidha dereva wake amekamatwa baada ya uchunguzi wa mwanzo kubaini kuwa huenda alihusika
Soma - https://jamii.app/SpeakerGuardShortDead
TATHMINI YA CHAKULA: HALMASHAURI 46 ZAWEZA KUPATA UPUNGUFU WA CHAKULA
> Wizara ya Kilimo imebaini Halmashauri 46 katika Mikoa 13 zina dalili ya kukumbwa na upungufu wa chakula kutokana na changamoto zilizoathiri uzalishaji wa chakula kwa msimu wa 2018/19, ikiwa ni pamoja na upungufu wa mvua
> Tathmini hiyo huangalia baadhi ya mazao muhimu yanayohitajika zaidi ikiwamo Mahindi, Mtama, Ulezi, Mchele, Kunde, Ngano, Ndizi, Mihogo na Viazi
Soma - https://jamii.app/Halmshr46UpungufuChakula
> Wizara ya Kilimo imebaini Halmashauri 46 katika Mikoa 13 zina dalili ya kukumbwa na upungufu wa chakula kutokana na changamoto zilizoathiri uzalishaji wa chakula kwa msimu wa 2018/19, ikiwa ni pamoja na upungufu wa mvua
> Tathmini hiyo huangalia baadhi ya mazao muhimu yanayohitajika zaidi ikiwamo Mahindi, Mtama, Ulezi, Mchele, Kunde, Ngano, Ndizi, Mihogo na Viazi
Soma - https://jamii.app/Halmshr46UpungufuChakula
IKULU, DAR: RAIS MAGUFULI AMEWAAPISHA SIMBACHAWENE NA BASHE
> Asubuhi ya leo, Rais Magufuli amemuapisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Fuatilia yaliyojiri hapa => https://jamii.app/SimbachaweneBasheKiapo
> Asubuhi ya leo, Rais Magufuli amemuapisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Hussein Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
Fuatilia yaliyojiri hapa => https://jamii.app/SimbachaweneBasheKiapo
ALIYEWAHI KUWA MCHEZAJI WA MANCHESTER UNITED NA REAL MADRID AJA KUTALII TANZANIA
> Ruud van Nistelrooy ameweka picha za wanyama katika ukurasa wake wa Twitter
> Ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Soma > https://jamii.app/VanNestelrooy-Tanzania
> Ruud van Nistelrooy ameweka picha za wanyama katika ukurasa wake wa Twitter
> Ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Soma > https://jamii.app/VanNestelrooy-Tanzania
ZANZIBAR: MHANDISI MSAIDIZI WA MV MAPINDUZI AJINYONGA SAFARINI
> Tukio hilo limetokea wakati meli hiyo ikitoka Unguja kuelekea Pemba
> Tukio hilo limepelekea kukatizwa kwa safari na meli hiyo kurudi Unguja
Zaidi, soma => https://jamii.app/InjiniaWaMeliAjinyongaZNZ
> Tukio hilo limetokea wakati meli hiyo ikitoka Unguja kuelekea Pemba
> Tukio hilo limepelekea kukatizwa kwa safari na meli hiyo kurudi Unguja
Zaidi, soma => https://jamii.app/InjiniaWaMeliAjinyongaZNZ
WAZAZI WAKAMATWA KWA KUSABABISHA BINTI YAO AKIMBIE MASOMO
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Chamwino, Dodoma linawashikilia Athumani Salum (35) na Paulina Mazengo (45) kwa tuhuma za kusababisha binti yao (17) kutoroka shuleni kutokana na baba yake kumsumbua akimtaka kimapenzi mama mzazi kuficha siri hiyo
> Baba huyo anadaiwa kuwahi kumpa mimba binti mkubwa wa mke wake na kwamba alikwenda kumtoa mimba hiyo
Soma - https://jamii.app/WazaziMapenziMtoto
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Chamwino, Dodoma linawashikilia Athumani Salum (35) na Paulina Mazengo (45) kwa tuhuma za kusababisha binti yao (17) kutoroka shuleni kutokana na baba yake kumsumbua akimtaka kimapenzi mama mzazi kuficha siri hiyo
> Baba huyo anadaiwa kuwahi kumpa mimba binti mkubwa wa mke wake na kwamba alikwenda kumtoa mimba hiyo
Soma - https://jamii.app/WazaziMapenziMtoto
SHINYANGA: WATU 6 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI
> Watu 6 wamefariki na wengine 22 wamejeruhiwa katika eneo la Nyambula, Kata ya Ngogwa, Wilayani Kahama baada ya gari aina ya Totoya Hiace namba T 710 AZZ na Land cruiser namba T 477 ATC kugongana
> Chanzo kinadaiwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa Hiace iliyokuwa na abiria
Soma - https://jamii.app/Vifo6AjaliKahama
> Watu 6 wamefariki na wengine 22 wamejeruhiwa katika eneo la Nyambula, Kata ya Ngogwa, Wilayani Kahama baada ya gari aina ya Totoya Hiace namba T 710 AZZ na Land cruiser namba T 477 ATC kugongana
> Chanzo kinadaiwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa Hiace iliyokuwa na abiria
Soma - https://jamii.app/Vifo6AjaliKahama
KENYA: WAZIRI WA FEDHA AJISALIMISHA KWENYE OFISI YA DCI
> Waziri wa Fedha, Henry Rotich amejisalimisha kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma nchini humo leo na mpaka sasa yupo kwenye mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili
> Hapo awali, Mkurugenzi wa mashtaka aliagiza kukamatwa na kushtakiwa kwa Waziri wa Fedha na Katibu wa Wizara hiyo kwa tuhuma za ufisadi kuhusiana na mradi wa ujenzi wa mabwawa wa thamani ya Ksh. billion 65
Soma - https://jamii.app/RotichInterrogationDCI
> Waziri wa Fedha, Henry Rotich amejisalimisha kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma nchini humo leo na mpaka sasa yupo kwenye mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili
> Hapo awali, Mkurugenzi wa mashtaka aliagiza kukamatwa na kushtakiwa kwa Waziri wa Fedha na Katibu wa Wizara hiyo kwa tuhuma za ufisadi kuhusiana na mradi wa ujenzi wa mabwawa wa thamani ya Ksh. billion 65
Soma - https://jamii.app/RotichInterrogationDCI
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA ATOMIKI AFARIKI
> Sekretarieti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Mkurugenzi wa shirika hilo, Yukiya Amano (73)
> Amano amekuwa akikamilisha muhula wake wa tatu, ambao ungemalizika Novemba 2021, lakini alikuwa anatarajiwa kutangaza kuachia ngazi Machi 2020 kwasababu za kiafya
#JFLeo
> Sekretarieti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Mkurugenzi wa shirika hilo, Yukiya Amano (73)
> Amano amekuwa akikamilisha muhula wake wa tatu, ambao ungemalizika Novemba 2021, lakini alikuwa anatarajiwa kutangaza kuachia ngazi Machi 2020 kwasababu za kiafya
#JFLeo