MALAYSIA: WABUNGE WAUNGA MKONO KUPUNGUZA UMRI WA KUPIGA KURA
- Bunge jana limeunga mkono kupunguza umri wa kupiga kura kutoka miaka 21 hadi 18
- Mabadiliko hayo yanabidi kupitishwa katika baraza la seneti la nchi hiyo kabla ya kuwa sheria
Zaidi, soma https://jamii.app/MalaysiaUmriKura
- Bunge jana limeunga mkono kupunguza umri wa kupiga kura kutoka miaka 21 hadi 18
- Mabadiliko hayo yanabidi kupitishwa katika baraza la seneti la nchi hiyo kabla ya kuwa sheria
Zaidi, soma https://jamii.app/MalaysiaUmriKura
Taasisi za Twaweza na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu za Tanzania; MLDI ya Uingereza na Mtandao wa Waandishi wa Habari za Uchunguzi Duniani (Global Investigative Journalism Network -
GIJN) walivyoandika kuhusiana na tuzo aliyopewa Mkurugenzi wetu, Maxence Melo
GIJN) walivyoandika kuhusiana na tuzo aliyopewa Mkurugenzi wetu, Maxence Melo
KIZIMBANI KWA KUJIFANYA MAAFISA WA TAKUKURU NA KUOMBA RUSHWA
- Ni Mkuu wa kitengo cha mauzo Hoteli ya Ramada, William Mgatta(36) na Mohammed Abdallah(25) na Daniel Ileme(35)
- Inadaiwa waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 300 kwa Francis Matunda
Zaidi, soma https://jamii.app/RushwaKizimbaniTAKUKURU
- Ni Mkuu wa kitengo cha mauzo Hoteli ya Ramada, William Mgatta(36) na Mohammed Abdallah(25) na Daniel Ileme(35)
- Inadaiwa waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 300 kwa Francis Matunda
Zaidi, soma https://jamii.app/RushwaKizimbaniTAKUKURU
URSULA VON DER LEYEN ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI UMOJA WA ULAYA
> Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amechaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Ulaya na Bunge la Ulaya limethibitisha uteuzi wake na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taasisi hiyo kubwa
> Alipata kura 374 ambazo ni zaidi ya nusu ya wajumbe wa baraza la Umoja wa Ulaya
Soma - https://jamii.app/EUPresdElection
> Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani amechaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Ulaya na Bunge la Ulaya limethibitisha uteuzi wake na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taasisi hiyo kubwa
> Alipata kura 374 ambazo ni zaidi ya nusu ya wajumbe wa baraza la Umoja wa Ulaya
Soma - https://jamii.app/EUPresdElection
RAIA WA MISRI KIZIMBANI KWA KUSAFIRISHA ALMASI BILA KIBALI
> Hany Ahmed (27) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kutorosha madini aina ya Almasi yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 12
> Alikamatwa Julai 10, katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere akisafirisha madini hayo bila ya kuwa na kibali
Soma - https://jamii.app/MisriUsafiriMadini
> Hany Ahmed (27) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kutorosha madini aina ya Almasi yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 12
> Alikamatwa Julai 10, katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere akisafirisha madini hayo bila ya kuwa na kibali
Soma - https://jamii.app/MisriUsafiriMadini
MCHUNGAJI ATUHUMIWA KUMBAKA MTOTO WAKE NA KUMPA UJAUZITO
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemtia mbaroni Mchungaji Boaz Yohane (56) wa Kanisa la FPCT kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake (17) anayesoma kidato cha kwanza na kumpa mimba
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemtia mbaroni Mchungaji Boaz Yohane (56) wa Kanisa la FPCT kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake (17) anayesoma kidato cha kwanza na kumpa mimba
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
DODOMA: AFISA ELIMU WA CHAMWINO ASIMAMISHWA KAZI KUPISHA UCHUNGIZI
- Mwalimu David Mwamalasa amesimamishwa kazi na Serikali kwa muda wa wiki mbili kupisha uchunguzi dhidi yake wa matumizi mabaya ya fedha kiasi cha Tsh. Milioni 259
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaElimuChamwinoAsimamishwa
- Mwalimu David Mwamalasa amesimamishwa kazi na Serikali kwa muda wa wiki mbili kupisha uchunguzi dhidi yake wa matumizi mabaya ya fedha kiasi cha Tsh. Milioni 259
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaElimuChamwinoAsimamishwa
Pongezi toka kwa Balozi wa Uingereza nchini, Sarah Cooke na Balozi wa Canada nchini, Pamela O’Donnell kwenda kwa Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo kwa kutangazwa mshindi wa Tuzo toka The Committee to Protect Journalists
TMDA YAONYA JUU YA UWEPO WA DAWA BANDIA SOKONI
- Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imegundua uwepo wa dawa bandia aina ya ‘Gentrisone 10g cream’
- Inafanana na dawa halisi ila dawa halisi haijawahi kuwa na namba ya toleo GNTRO X030 kama ilivyo kwenye dawa hiyo bandia
Zaidi, soma https://jamii.app/GentrisoneBandiaTZ
- Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imegundua uwepo wa dawa bandia aina ya ‘Gentrisone 10g cream’
- Inafanana na dawa halisi ila dawa halisi haijawahi kuwa na namba ya toleo GNTRO X030 kama ilivyo kwenye dawa hiyo bandia
Zaidi, soma https://jamii.app/GentrisoneBandiaTZ
KENYA: MUME AMNYOFOA MDOMO MKE WAKE
> Jackline Kerubo (39) mkazi wa Tanga Kona anauguza majeraha baaada ya mume wake kumnyofoa mdomo na sikio kwa kumtafuna kwa meno kufuatia ugomvi baina yao
> Jackline alitaka kwenda kuchuma mboga katika shamba la jirani yake lakini mume wake alimkataza na ndipo ulipozuka ugomvi kati yao
Soma - https://jamii.app/MeAtoaMdomoKe
> Jackline Kerubo (39) mkazi wa Tanga Kona anauguza majeraha baaada ya mume wake kumnyofoa mdomo na sikio kwa kumtafuna kwa meno kufuatia ugomvi baina yao
> Jackline alitaka kwenda kuchuma mboga katika shamba la jirani yake lakini mume wake alimkataza na ndipo ulipozuka ugomvi kati yao
Soma - https://jamii.app/MeAtoaMdomoKe
GUINEA YAWA YA 6 KUMTIMUA KOCHA BAADA YA AFCON
- Kocha Paul Put amefukuzwa kufuatia timu ya Taifa ya Guinea kufanya vibaya katika michuano ya Mataifa ya Afrika
- Nchi nyingine zilizofukuza Makocha baada ya kutoka #AFCON2019 ni Namibia, Tanzania, Misri, Uganda na Cameroon
- Kocha Paul Put amefukuzwa kufuatia timu ya Taifa ya Guinea kufanya vibaya katika michuano ya Mataifa ya Afrika
- Nchi nyingine zilizofukuza Makocha baada ya kutoka #AFCON2019 ni Namibia, Tanzania, Misri, Uganda na Cameroon
IRENE UWOYA NA STEVE NYERERE HAWAJASAJILIWA BASATA KUFANYA SANAA
- Kaimu Katibu wa BASATA, Onesmo Kayanda ameeleza baada ya kumalizika kikao kati yao na wasanii hao
- Aidha, amesema wanakemea vikali kitendo cha Uwoya kurushia fedha Wanahabari
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaSteveHawajasajiliwaBasata
- Kaimu Katibu wa BASATA, Onesmo Kayanda ameeleza baada ya kumalizika kikao kati yao na wasanii hao
- Aidha, amesema wanakemea vikali kitendo cha Uwoya kurushia fedha Wanahabari
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaSteveHawajasajiliwaBasata
WALIMU WABAKA MWANAFUNZI NA KUMPA UJAUZITO
> Polisi Mkoani Katavi inawashikilia walimu wawili wa Shule ya Msingi Kambuzi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti mwanafunzi wa darasa la saba na kumsababishia ujauzito
> Watuhumiwa ni Ambukile Mwakapala na John Ndenje
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
> Polisi Mkoani Katavi inawashikilia walimu wawili wa Shule ya Msingi Kambuzi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti mwanafunzi wa darasa la saba na kumsababishia ujauzito
> Watuhumiwa ni Ambukile Mwakapala na John Ndenje
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
SUDAN: Viongozi wa waandamanaji na Jeshi wametia saini tamko la kisiasa la kugawana madaraka
-
Hata hivyo mazungumzo bado yatafanyika katika siku zijazo kuhusu mambo mengine yanayoendelea kuzua mgongano kwenye makubaliano yaliyofikiwa Julai 5 kati ya pande hizo mbili
-
Hata hivyo mazungumzo bado yatafanyika katika siku zijazo kuhusu mambo mengine yanayoendelea kuzua mgongano kwenye makubaliano yaliyofikiwa Julai 5 kati ya pande hizo mbili
MICHEZO: Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeamua kuwepo kwa mchezo mmoja tu wa fainali ktk mashindano yake mawili ya ngazi ya klabu Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika
> Uamuzi huo umefikiwa leo kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF
#JFMichezo
> Uamuzi huo umefikiwa leo kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF
#JFMichezo