MAREKANI: El CHAPO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
- Joaquin ‘El Chapo’ Guzman (62), amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa 10 yakiwemo ya kusambaza #DawaZaKulevya na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/ElChapoLifeInPrison
- Joaquin ‘El Chapo’ Guzman (62), amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa 10 yakiwemo ya kusambaza #DawaZaKulevya na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/ElChapoLifeInPrison
DAR: AMPIGA NA KUMUUA MKE WAKE KABLA YA KUUCHOMA MWILI MOTO
- Polisi inamshikilia Khamis Luwongo(38) kwa tuhuma za kumuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani(36)
- Baada ya mauaji aliwataarifu ndugu wa Naomi kuwa mke haonekani nyumbani na hivyo kwenda Polisi kuripoti
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMkeAmchoma-Dar
- Polisi inamshikilia Khamis Luwongo(38) kwa tuhuma za kumuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani(36)
- Baada ya mauaji aliwataarifu ndugu wa Naomi kuwa mke haonekani nyumbani na hivyo kwenda Polisi kuripoti
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMkeAmchoma-Dar
MWANZA: POLISI WALIOSINDIKIZA DHAHABU WAFUTIWA MASHTAKA
> Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amewafutia kesi askari Polisi 8 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
> Pia amefuta kesi nyingine 322 wakiwemo wafungwa 70 kutoka gereza la Butimba ambako Rais Magufuli alifanya ziara juzi
Soma - https://jamii.app/DPPAfutaMashtaka
> Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amewafutia kesi askari Polisi 8 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
> Pia amefuta kesi nyingine 322 wakiwemo wafungwa 70 kutoka gereza la Butimba ambako Rais Magufuli alifanya ziara juzi
Soma - https://jamii.app/DPPAfutaMashtaka
BASHE: WALICHOFANYA KINANA NA MAKAMBA KINAKIUKA KATIBA YA CCM
- Mbunge Hussein Bashe(CCM) amesema barua ya Wazee hao kuhusu Musiba ina lengo la kumchafua Rais Magufuli na kuigawa CCM
- Amesema Musiba si mwanaCCM huwezi kumshtaki ndani ya CCM
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheVsKinanaMakamba
- Mbunge Hussein Bashe(CCM) amesema barua ya Wazee hao kuhusu Musiba ina lengo la kumchafua Rais Magufuli na kuigawa CCM
- Amesema Musiba si mwanaCCM huwezi kumshtaki ndani ya CCM
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheVsKinanaMakamba
TABORA: KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA KAKAKUONA
- Thadeo Shahibu amefikishwa Mahakamani jana Julai 17, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
- Amekutwa anamiliki mnyama, Kakakuona kinyume na sheria namba 5 ya Uhifadhi Wanyamapori ya mwaka 2009
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniAkutwaKakakuona
- Thadeo Shahibu amefikishwa Mahakamani jana Julai 17, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
- Amekutwa anamiliki mnyama, Kakakuona kinyume na sheria namba 5 ya Uhifadhi Wanyamapori ya mwaka 2009
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniAkutwaKakakuona
UGONJWA WA EBOLA WATANGAZWA KUWA JANGA LA DHARURA DUNIANI
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
POLISI KUKATWA MSHAHARA ILI KUMLIPA WALIYEMVUNJA MGUU KWA KIPIGO
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
TCU YAKIFUTA CHUO KIKUU CHA ECKERNFORD
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
RIPOTI: VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI VYAPUNGUA
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
INSTAGRAM KUFICHA IDADI YA ‘LIKES’ ILI KUONDOA KUTOKUJIAMINI
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
KENYA: AMKATA KICHWA BABA YAKE AKIDHANI ANACHINJA MBUZI
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
IRAN YAKAMATA MELI YA MAFUTA YA KIGENI NA WAFANYAKAZI WAKE 12
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
UGANDA KUANZA KUTOA VYETI VYA USAJILI KWA WAFUGAJI NA NG'OMBE WAO
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG