MBUNGE FRANK MWAKAJOKA (CHADEMA) MBARONI
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
DAR: WATU 7 WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
TFF IMEMCHAGUA KOCHA WA AZAM KUKAIMU UKOCHA WA TAIFA STARS
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
MAREKANI: R. KELLY AKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UNYANYASAJI WA KINGONO
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
KENYA: AUA WATOTO WAKE NA KUWATUPA CHOONI
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
RAIS WA UGANDA KUFANYA ZIARA BINAFSI, NCHINI
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ
UINGEREZA YADAI IRAN ILITAKA KUIZUIA MELI YAKE YA MAFUTA. IRAN YAKANUSHA
- Imedai tukio limetokea katika mlango bahari wa Hormuz, ila meli yake ya Kivita iliinda meli ya mafuta
- Iran imesema haikuwa na makabiliano na meli yoyote ya kigeni
Zaidi, soma https://jamii.app/Iran-UK-Hormuz
- Imedai tukio limetokea katika mlango bahari wa Hormuz, ila meli yake ya Kivita iliinda meli ya mafuta
- Iran imesema haikuwa na makabiliano na meli yoyote ya kigeni
Zaidi, soma https://jamii.app/Iran-UK-Hormuz
MENEJA MAABARA TUME YA MADINI AKAMATWA KWA WIZI WA DHAHABU
> Donald Njonjo anatuhumiwa kuiba kilo 6.244 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 507
> Dhahabu hiyo ilikuwa imehifadhiwa katika Ofisi za Wakala wa Madini Masaki, Dar
Soma > https://jamii.app/DhahabuYaibwa
> Donald Njonjo anatuhumiwa kuiba kilo 6.244 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 507
> Dhahabu hiyo ilikuwa imehifadhiwa katika Ofisi za Wakala wa Madini Masaki, Dar
Soma > https://jamii.app/DhahabuYaibwa
MAREKANI: AISHI NA MAITI YA MAMAYE NDANI KWA MIAKA MITATU
- Mwanamke mmoja(47) huko Texas, amekamatwa baada ya maiti ya mamaye iliyooza kugunduliwa nyumbani
- Polisi inaamini Mwanamke huyo(71) alifariki kutokana na kuanguka mnamo mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/MaitiMamaChumbani-USA
- Mwanamke mmoja(47) huko Texas, amekamatwa baada ya maiti ya mamaye iliyooza kugunduliwa nyumbani
- Polisi inaamini Mwanamke huyo(71) alifariki kutokana na kuanguka mnamo mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/MaitiMamaChumbani-USA
KENYA: WANAWAKE 11 WAKAMATWA WAKIREKODI VIDEO ZA NGONO
- Wamekamatwa kwenye nyumba moja iliyopo Nyali, Mombasa na wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
- ‘Midoli ya kufanyia ngono’ imekutwa katika nyumba hiyo walimokuwa wakirekodi video
Zaidi, soma https://jamii.app/WaigizaNgonoMbaroni-KE
- Wamekamatwa kwenye nyumba moja iliyopo Nyali, Mombasa na wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
- ‘Midoli ya kufanyia ngono’ imekutwa katika nyumba hiyo walimokuwa wakirekodi video
Zaidi, soma https://jamii.app/WaigizaNgonoMbaroni-KE
MWENYEKITI WA ZAMANI WA UWT KIZIMBANI WA KUGHUSHI CHETI CHA NDOA
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu ‘Norah Mzeru’ amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Julai 12
Zaidi, soma https://jamii.app/MwktUWTKizimbaniChetiNdoa
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu ‘Norah Mzeru’ amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Julai 12
Zaidi, soma https://jamii.app/MwktUWTKizimbaniChetiNdoa
KIZIMBANI KWA KUSAMBAZA PICHA YA RAIS MAGUFULI KAVAA HIJAB
- Ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU), Amenitha Konga(19), Mariam Tweve(20) na Agnes Gabriel(21) wanaodaiwa kusambaza picha hiyo kwa kutumia WhatsApp mnamo Juni 9, 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMagufuliHijab
- Ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU), Amenitha Konga(19), Mariam Tweve(20) na Agnes Gabriel(21) wanaodaiwa kusambaza picha hiyo kwa kutumia WhatsApp mnamo Juni 9, 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMagufuliHijab
BoT YAIPIGA FAINI BENKI YA DTB YA TSH. BILIONI 1
- Imeipiga faini benki ya DTB kwa kushindwa kuwa na Kituo cha Data (Data Center) nchini
- Imeanisha kuwa imebaini DTB haina kituo hicho licha ya kuthibitisha kuanzisha ‘Secondary Data Center’
Zaidi, soma https://jamii.app/BoTYaipigaFainiDTB
- Imeipiga faini benki ya DTB kwa kushindwa kuwa na Kituo cha Data (Data Center) nchini
- Imeanisha kuwa imebaini DTB haina kituo hicho licha ya kuthibitisha kuanzisha ‘Secondary Data Center’
Zaidi, soma https://jamii.app/BoTYaipigaFainiDTB
SUDAN: JESHI LADAI KUZIMA JARIBIO LA MAPINDUZI
- Baraza la Kijeshi la nchi hiyo limesema limezima jaribio la mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Jenerali Jamal Omar, Maafisa 12 na Askari wanne wamekamatwa wakihusishwa na jaribio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MapinduziYakwamaSudan
- Baraza la Kijeshi la nchi hiyo limesema limezima jaribio la mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Jenerali Jamal Omar, Maafisa 12 na Askari wanne wamekamatwa wakihusishwa na jaribio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MapinduziYakwamaSudan
SOMALIA: HOTELI YASHAMBULIWA KWA ZAIDI YA SAA MOJA
- Hoteli ya Kismayo imeshambuliwa na Al-Shabaab na kusababisha vifo vya watu 26 hadi sasa na majeruhi 50
- Waathirika wapo Watanzania, Wakenya, Wamarekani na raia wa Canada pamoja na Briton
- Taarifa zinadai Miongoni mwa waliofariki ni pamoja na Mahad Abdulahi Nur, Mkurugenzi Mtendaji wa Paradise Holiday Resort ya Bagamoyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KismayoAttackSomalia
- Hoteli ya Kismayo imeshambuliwa na Al-Shabaab na kusababisha vifo vya watu 26 hadi sasa na majeruhi 50
- Waathirika wapo Watanzania, Wakenya, Wamarekani na raia wa Canada pamoja na Briton
- Taarifa zinadai Miongoni mwa waliofariki ni pamoja na Mahad Abdulahi Nur, Mkurugenzi Mtendaji wa Paradise Holiday Resort ya Bagamoyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KismayoAttackSomalia
SIMIYU: BAWACHA WATAWANYWA KWA MABOMU
- CHADEMA imeripoti Wanachama wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA wametawanywa kwa mabomu ya machozi
- Polisi wa Bariadi, wamevamia kikao cha ndani kilichokuwa kinaongozwa na Mwenyekiti wao, Halima Mdee
Zaidi, soma https://jamii.app/BawachaWatawanywaMabomu-SMY
- CHADEMA imeripoti Wanachama wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA wametawanywa kwa mabomu ya machozi
- Polisi wa Bariadi, wamevamia kikao cha ndani kilichokuwa kinaongozwa na Mwenyekiti wao, Halima Mdee
Zaidi, soma https://jamii.app/BawachaWatawanywaMabomu-SMY