MAXENCE MELO KUHOJIWA KWA DCI JUU YA MADAI YA MUSIBA KUTAKA KUULIWA
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
WAZIRI KABUDI AKANUSHA KUTHIBITISHA KIFO CHA AZORY GWANDA
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.โ
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.โ
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
ALGERIA: MBUNGE WA UPINZANI ACHAGULIWA KUWA SPIKA
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
MBUNGE FRANK MWAKAJOKA (CHADEMA) MBARONI
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
DAR: WATU 7 WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
TFF IMEMCHAGUA KOCHA WA AZAM KUKAIMU UKOCHA WA TAIFA STARS
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
MAREKANI: R. KELLY AKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UNYANYASAJI WA KINGONO
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
KENYA: AUA WATOTO WAKE NA KUWATUPA CHOONI
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
RAIS WA UGANDA KUFANYA ZIARA BINAFSI, NCHINI
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ
UINGEREZA YADAI IRAN ILITAKA KUIZUIA MELI YAKE YA MAFUTA. IRAN YAKANUSHA
- Imedai tukio limetokea katika mlango bahari wa Hormuz, ila meli yake ya Kivita iliinda meli ya mafuta
- Iran imesema haikuwa na makabiliano na meli yoyote ya kigeni
Zaidi, soma https://jamii.app/Iran-UK-Hormuz
- Imedai tukio limetokea katika mlango bahari wa Hormuz, ila meli yake ya Kivita iliinda meli ya mafuta
- Iran imesema haikuwa na makabiliano na meli yoyote ya kigeni
Zaidi, soma https://jamii.app/Iran-UK-Hormuz
MENEJA MAABARA TUME YA MADINI AKAMATWA KWA WIZI WA DHAHABU
> Donald Njonjo anatuhumiwa kuiba kilo 6.244 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 507
> Dhahabu hiyo ilikuwa imehifadhiwa katika Ofisi za Wakala wa Madini Masaki, Dar
Soma > https://jamii.app/DhahabuYaibwa
> Donald Njonjo anatuhumiwa kuiba kilo 6.244 za dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 507
> Dhahabu hiyo ilikuwa imehifadhiwa katika Ofisi za Wakala wa Madini Masaki, Dar
Soma > https://jamii.app/DhahabuYaibwa
MAREKANI: AISHI NA MAITI YA MAMAYE NDANI KWA MIAKA MITATU
- Mwanamke mmoja(47) huko Texas, amekamatwa baada ya maiti ya mamaye iliyooza kugunduliwa nyumbani
- Polisi inaamini Mwanamke huyo(71) alifariki kutokana na kuanguka mnamo mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/MaitiMamaChumbani-USA
- Mwanamke mmoja(47) huko Texas, amekamatwa baada ya maiti ya mamaye iliyooza kugunduliwa nyumbani
- Polisi inaamini Mwanamke huyo(71) alifariki kutokana na kuanguka mnamo mwaka 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/MaitiMamaChumbani-USA
KENYA: WANAWAKE 11 WAKAMATWA WAKIREKODI VIDEO ZA NGONO
- Wamekamatwa kwenye nyumba moja iliyopo Nyali, Mombasa na wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
- โMidoli ya kufanyia ngonoโ imekutwa katika nyumba hiyo walimokuwa wakirekodi video
Zaidi, soma https://jamii.app/WaigizaNgonoMbaroni-KE
- Wamekamatwa kwenye nyumba moja iliyopo Nyali, Mombasa na wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo
- โMidoli ya kufanyia ngonoโ imekutwa katika nyumba hiyo walimokuwa wakirekodi video
Zaidi, soma https://jamii.app/WaigizaNgonoMbaroni-KE