MWENYEKITI WA ZAMANI WA UWT KIZIMBANI WA KUGHUSHI CHETI CHA NDOA
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu ‘Norah Mzeru’ amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Julai 12
Zaidi, soma https://jamii.app/MwktUWTKizimbaniChetiNdoa
- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu ‘Norah Mzeru’ amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni leo Julai 12
Zaidi, soma https://jamii.app/MwktUWTKizimbaniChetiNdoa
KIZIMBANI KWA KUSAMBAZA PICHA YA RAIS MAGUFULI KAVAA HIJAB
- Ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU), Amenitha Konga(19), Mariam Tweve(20) na Agnes Gabriel(21) wanaodaiwa kusambaza picha hiyo kwa kutumia WhatsApp mnamo Juni 9, 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMagufuliHijab
- Ni Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU), Amenitha Konga(19), Mariam Tweve(20) na Agnes Gabriel(21) wanaodaiwa kusambaza picha hiyo kwa kutumia WhatsApp mnamo Juni 9, 2016
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniMagufuliHijab
BoT YAIPIGA FAINI BENKI YA DTB YA TSH. BILIONI 1
- Imeipiga faini benki ya DTB kwa kushindwa kuwa na Kituo cha Data (Data Center) nchini
- Imeanisha kuwa imebaini DTB haina kituo hicho licha ya kuthibitisha kuanzisha ‘Secondary Data Center’
Zaidi, soma https://jamii.app/BoTYaipigaFainiDTB
- Imeipiga faini benki ya DTB kwa kushindwa kuwa na Kituo cha Data (Data Center) nchini
- Imeanisha kuwa imebaini DTB haina kituo hicho licha ya kuthibitisha kuanzisha ‘Secondary Data Center’
Zaidi, soma https://jamii.app/BoTYaipigaFainiDTB
SUDAN: JESHI LADAI KUZIMA JARIBIO LA MAPINDUZI
- Baraza la Kijeshi la nchi hiyo limesema limezima jaribio la mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Jenerali Jamal Omar, Maafisa 12 na Askari wanne wamekamatwa wakihusishwa na jaribio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MapinduziYakwamaSudan
- Baraza la Kijeshi la nchi hiyo limesema limezima jaribio la mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Jenerali Jamal Omar, Maafisa 12 na Askari wanne wamekamatwa wakihusishwa na jaribio hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MapinduziYakwamaSudan
SOMALIA: HOTELI YASHAMBULIWA KWA ZAIDI YA SAA MOJA
- Hoteli ya Kismayo imeshambuliwa na Al-Shabaab na kusababisha vifo vya watu 26 hadi sasa na majeruhi 50
- Waathirika wapo Watanzania, Wakenya, Wamarekani na raia wa Canada pamoja na Briton
- Taarifa zinadai Miongoni mwa waliofariki ni pamoja na Mahad Abdulahi Nur, Mkurugenzi Mtendaji wa Paradise Holiday Resort ya Bagamoyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KismayoAttackSomalia
- Hoteli ya Kismayo imeshambuliwa na Al-Shabaab na kusababisha vifo vya watu 26 hadi sasa na majeruhi 50
- Waathirika wapo Watanzania, Wakenya, Wamarekani na raia wa Canada pamoja na Briton
- Taarifa zinadai Miongoni mwa waliofariki ni pamoja na Mahad Abdulahi Nur, Mkurugenzi Mtendaji wa Paradise Holiday Resort ya Bagamoyo
Zaidi, soma https://jamii.app/KismayoAttackSomalia
SIMIYU: BAWACHA WATAWANYWA KWA MABOMU
- CHADEMA imeripoti Wanachama wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA wametawanywa kwa mabomu ya machozi
- Polisi wa Bariadi, wamevamia kikao cha ndani kilichokuwa kinaongozwa na Mwenyekiti wao, Halima Mdee
Zaidi, soma https://jamii.app/BawachaWatawanywaMabomu-SMY
- CHADEMA imeripoti Wanachama wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA wametawanywa kwa mabomu ya machozi
- Polisi wa Bariadi, wamevamia kikao cha ndani kilichokuwa kinaongozwa na Mwenyekiti wao, Halima Mdee
Zaidi, soma https://jamii.app/BawachaWatawanywaMabomu-SMY
MSHIRIKI WA ‘MISS SHINYANGA’ APIGWA NA WAANDAAJI
- Nicole Emmanuel(19) amepigwa na Mkurugenzi, Richard Luhende na Meneja George, wote kutoka Makumbusho Intertainment
- Nicole amedai kuwa amepigwa wakati akidai fedha zake za nauli Tsh. 70,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MshirikiMissShinyangaApigwa
- Nicole Emmanuel(19) amepigwa na Mkurugenzi, Richard Luhende na Meneja George, wote kutoka Makumbusho Intertainment
- Nicole amedai kuwa amepigwa wakati akidai fedha zake za nauli Tsh. 70,000
Zaidi, soma https://jamii.app/MshirikiMissShinyangaApigwa
HOJA: UKITAKA KUOA, MCHUNGUZE PIA MAMA MKWE KWANI TABIA ZAKE NDIO ZA MKEO
- Mdau kutoka JamiiForums anadai tabia za Mama Mkwe zinarandana kwa asilimia kubwa na tabia za atakaye kuwa Mke wako, hivyo mchunguze pia Mama Mkwe kumjua Mchumba wako
- Amedai sababu kubwa ni kwamba Mwanamke anapoolewa Mshauri mkuu ni mama yake mzazi, kwa hiyo maisha yake kwenye ndoa yatategemea ushauri wa mamaye
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/TabiaMamaMkweMchumba
- Mdau kutoka JamiiForums anadai tabia za Mama Mkwe zinarandana kwa asilimia kubwa na tabia za atakaye kuwa Mke wako, hivyo mchunguze pia Mama Mkwe kumjua Mchumba wako
- Amedai sababu kubwa ni kwamba Mwanamke anapoolewa Mshauri mkuu ni mama yake mzazi, kwa hiyo maisha yake kwenye ndoa yatategemea ushauri wa mamaye
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/TabiaMamaMkweMchumba
JULIUS MTATIRO ATEULIWA KUWA DC WA TUNDURU
> Rais Magufuli amemteua Ndg. Julius S. Mtatiro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma
> Mtatiro anachukua nafasi ya Juma Z. Homera ambaye ameteuliwa kuwa RC wa Katavi
Zaidi, soma https://jamii.app/MtatiroDCTunduru
> Rais Magufuli amemteua Ndg. Julius S. Mtatiro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma
> Mtatiro anachukua nafasi ya Juma Z. Homera ambaye ameteuliwa kuwa RC wa Katavi
Zaidi, soma https://jamii.app/MtatiroDCTunduru
INDONESIA: AHUKUMIWA KWA KUREKODI SIMU ZA BOSI WAKE AKIMTAKA KIMAPENZI
- Baiq Maknun(41) amehukumiwa miezi 6 jela na faini ya Tshs. 82,257,200 kwa kusambaa kwa sauti aliyomrekodi bosi wake
- Rais nchi hiyo, Jokowi aahidi kufuatilia hukumu hiyo kuona uwezekano wa kumpa msamaha
Soma https://jamii.app/BaiqNurilSentence
- Baiq Maknun(41) amehukumiwa miezi 6 jela na faini ya Tshs. 82,257,200 kwa kusambaa kwa sauti aliyomrekodi bosi wake
- Rais nchi hiyo, Jokowi aahidi kufuatilia hukumu hiyo kuona uwezekano wa kumpa msamaha
Soma https://jamii.app/BaiqNurilSentence
LUGOLA: WANAOJITEKA NA WANAOSAMBAZA TAARIFA ZAO WASHITAKIWE
> Waziri wa Mambo ya Ndani amesema kuna taarifa za uongo za utekaji na kupotea zinazolenga kumchonganisha Rais na wananchi
> Asema Serikali kamwe haiwezi kuwateka wananchi wake
Soma https://jamii.app/LugolaUtekajiBunda
> Waziri wa Mambo ya Ndani amesema kuna taarifa za uongo za utekaji na kupotea zinazolenga kumchonganisha Rais na wananchi
> Asema Serikali kamwe haiwezi kuwateka wananchi wake
Soma https://jamii.app/LugolaUtekajiBunda
BURUNDI: KIONGOZI WA ‘IMBONERAKURE’ APEWA UONGOZI SHIRIKA LA HABARI LA TAIFA
> Imbonerakure ni kikundi cha vijana cha chama tawala, CNDD-FDD wanaotuhumiwa kwa mauaji, ubakaji kwa Wapinzani hususani mwaka 2015 wakati wa jaribio la mapinduzi
Soma https://jamii.app/NshimirimanaHeadRTNB
#JFLeo
> Imbonerakure ni kikundi cha vijana cha chama tawala, CNDD-FDD wanaotuhumiwa kwa mauaji, ubakaji kwa Wapinzani hususani mwaka 2015 wakati wa jaribio la mapinduzi
Soma https://jamii.app/NshimirimanaHeadRTNB
#JFLeo
HALIMA MDEE AKAMATWA NA JESHI LA POLISI AKIWA BUKOBA
- Jeshi la Polisi limezingira ukumbi wa kikao cha Semina ya kuwajengea Uwezo BAWACHA, na kumkamata Mbunge wa Kawe
- Aidha, jana akiwa Simiyu, Jeshi la Polisi lilizuia kikao chao cha ndani
Soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
- Jeshi la Polisi limezingira ukumbi wa kikao cha Semina ya kuwajengea Uwezo BAWACHA, na kumkamata Mbunge wa Kawe
- Aidha, jana akiwa Simiyu, Jeshi la Polisi lilizuia kikao chao cha ndani
Soma https://jamii.app/MdeeAkamatwaBukoba
#AFCON2019: Dakika 90 za Mchezo wa nusu fainali kati ya #Senegal 🇸🇳 na #Tusinia 🇹🇳 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu kwa kutofungana
- Mchezo huo unaenda katika dakika 30 za nyongeza na timu hizo zikitoka suluhu tena, mshindi atapatikana kwa penati
- Mchezo huo unaenda katika dakika 30 za nyongeza na timu hizo zikitoka suluhu tena, mshindi atapatikana kwa penati
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #Senegal 🇸🇳 imefanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga timu ya Taifa ya #Tunisia 🇹🇳 goli 1-0
- Senegal inasubiri kucheza fainali na mshindi wa mechi kati ya #Algeria 🇩🇿 na #Nigeria 🇳🇬 itakayoaanza saa nne usiku huu
- Senegal inasubiri kucheza fainali na mshindi wa mechi kati ya #Algeria 🇩🇿 na #Nigeria 🇳🇬 itakayoaanza saa nne usiku huu
SAKATA LA MUSIBA: WAZEE NDANI YA CCM WACHEFUKWA
> Mzee Makamba, Kinana waandika waraka mzito kwa niaba ya Wazee
> Wakerwa na tabia yake kuwachafua watu bila kuchukuliwa hatua
> Wadai anatumiwa na watu wenye uwezo wa kumlinda
Soma zaidi > https://jamii.app/WarakaWazeeCCM
> Mzee Makamba, Kinana waandika waraka mzito kwa niaba ya Wazee
> Wakerwa na tabia yake kuwachafua watu bila kuchukuliwa hatua
> Wadai anatumiwa na watu wenye uwezo wa kumlinda
Soma zaidi > https://jamii.app/WarakaWazeeCCM