KENYA: MZEE WA MIAKA 60 MBARONI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 9
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
MSAIDIZI WA BERNARD MEMBE, ANAYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
WAZIRI KALEMANI: CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
UBALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA KUTOSHUGHULIKIA MASUALA YA ‘VISA’
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi
NEPAL: AFISA WA ZAMANI WA UN AFUNGWA JELA KWA KUDHALILISHA WATOTO
- Peter John Dalglish(62) amehukumiwa kifungo cha miaka 9 kwa kumdhalilisha mtoto wa kiume wa miaka 12 na kifungo cha miaka 7 kwa kumdhalilisha kingono mtoto wa miaka 14
Zaidi, soma https://jamii.app/Ex-UNOfficialJailed-Nepal
- Peter John Dalglish(62) amehukumiwa kifungo cha miaka 9 kwa kumdhalilisha mtoto wa kiume wa miaka 12 na kifungo cha miaka 7 kwa kumdhalilisha kingono mtoto wa miaka 14
Zaidi, soma https://jamii.app/Ex-UNOfficialJailed-Nepal
JAJI MUTUNGI: VYAMA VYA UPINZANI HAVIJAWAHI KULALAMIKA KUZUIWA MIKUTANO
- Msajili wa Vyama vya Siasa, amesema ofisi yake haijawahi kupokea malalamiko ya maandishi
- Amesema vyama vinapaswa kutuma maandishi ili ofisi yake ipate pa kuanzia
Zaidi, soma https://jamii.app/MsajiliMalalamikoMikutanoMsajili
- Msajili wa Vyama vya Siasa, amesema ofisi yake haijawahi kupokea malalamiko ya maandishi
- Amesema vyama vinapaswa kutuma maandishi ili ofisi yake ipate pa kuanzia
Zaidi, soma https://jamii.app/MsajiliMalalamikoMikutanoMsajili
TAKUKURU YAMKAMATA ALIYETAKA KUMTAPELI MKUU WA WILAYA YA KISARAWE
- Omari Khamis Chuma(55), anashikiliwa kwa tuhuma za kujifanya Afisa wa Usalama wa Taifa
- Mtuhumiwa alifika katika Ofisi za DC wa Kisarawe, Jokate Mwegelo kwa nia ya kumtapeli
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-TapeliSuguMbaroni
- Omari Khamis Chuma(55), anashikiliwa kwa tuhuma za kujifanya Afisa wa Usalama wa Taifa
- Mtuhumiwa alifika katika Ofisi za DC wa Kisarawe, Jokate Mwegelo kwa nia ya kumtapeli
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-TapeliSuguMbaroni
MAREKANI KUUNDA MUUNGANO WA MATAIFA DHIDI YA VITISHO VYA IRAN
- Ni vitisho dhidi ya shughuli za usafirishaji katika eneo ghuba na mlango bahari wa Hormuz
- Ni kutokana na wasiwasi kuwa Iran ndiyo ilishambulia meli za mafuta katika eneo hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMataifa-Iran
- Ni vitisho dhidi ya shughuli za usafirishaji katika eneo ghuba na mlango bahari wa Hormuz
- Ni kutokana na wasiwasi kuwa Iran ndiyo ilishambulia meli za mafuta katika eneo hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMataifa-Iran
BALOZI WA UINGEREZA NCHINI MAREKANI AJIUZULU
- Balozi Kim Darroch amejiuzulu ikiwa ni matokeo ya kuvuja kwa barua pepe zake zinazoukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kusema kuwa utawala huo hauna weledi na usiojali diplomasia
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziUK-AjiuzuluUSA
- Balozi Kim Darroch amejiuzulu ikiwa ni matokeo ya kuvuja kwa barua pepe zake zinazoukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kusema kuwa utawala huo hauna weledi na usiojali diplomasia
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziUK-AjiuzuluUSA
WAZIRI KIGWANGALLA AZUNGUMZIA SANAMU YA NYERERE
- Asema “Hatuyapuuzi maneno ya Watanzania kuhusu ile sanamu, kama kuna mapungufu sisi ndio wenye dhamana ya kuangalia. Wataalamu tunao tutawaita watuelekeze kama kuna mapungufu yatarekebishwa”
Zaidi, soma https://jamii.app/SanamuNyerereMarekebisho
- Asema “Hatuyapuuzi maneno ya Watanzania kuhusu ile sanamu, kama kuna mapungufu sisi ndio wenye dhamana ya kuangalia. Wataalamu tunao tutawaita watuelekeze kama kuna mapungufu yatarekebishwa”
Zaidi, soma https://jamii.app/SanamuNyerereMarekebisho
TABORA: AHUKUMIWA KWA KUENDESHA TRENI AKIWA AMELEWA
- Elirehema Macha amehukumiwa kifungo cha miezi 12 au kulipa faini ya Tsh. Milioni 2
- Alikuwa akiendesha treni kutoka Dar kwenda Kigoma na alipita bila kusimama katika Kituo cha Malongwe
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaTreniMleviAhukumiwa
- Elirehema Macha amehukumiwa kifungo cha miezi 12 au kulipa faini ya Tsh. Milioni 2
- Alikuwa akiendesha treni kutoka Dar kwenda Kigoma na alipita bila kusimama katika Kituo cha Malongwe
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaTreniMleviAhukumiwa
#AFCON2019: #Senegal inakuwa timu ya kwanza kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga #Benin goli 1-0 katika mchezo wa robo fainali
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
WAZIRI KABUDI: AZORY GWANDA SIO MTU PEKEE ALIYEPOTEA NA KUFA
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa
LEO JULAI 11: MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPINGA RUSHWA BARANI AFRIKA
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
ADDIS ABABA, ETHIOPIA: WAKOSOAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA KUDAIWA KUHUSIKA NA MAUAJI
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
CCM YAPATA MGOMBEA WA KUWANIA UBUNGE JIMBO ALILOONDOLEWA LISSU
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
MWAKYEMBE: KAMA TFF IMEMFUKUZA AMUNIKE KWA KUIGA MISRI, NAO WAJIUZULU
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019. UFAULU WAONGEZEKA KWA 0.74%
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019