MIILI YA WAFANYAKAZI WATANO WA AZAM MEDIA GROUP YAAGWA
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
KATIBU MKUU CCM AMUONYA WAZIRI WA VIWANDA
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
IRAN: TUTAJIBU HATUA YA UINGEREZA KUKAMATA MELI YETU
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
RAIS MAGUFULI AZINDUA HIFADHI YA BURIGI-CHATO, AMPONGEZA FARU RAJABU
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu
KENYA: MZEE WA MIAKA 60 MBARONI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 9
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
MSAIDIZI WA BERNARD MEMBE, ANAYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
WAZIRI KALEMANI: CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
UBALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA KUTOSHUGHULIKIA MASUALA YA ‘VISA’
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi
NEPAL: AFISA WA ZAMANI WA UN AFUNGWA JELA KWA KUDHALILISHA WATOTO
- Peter John Dalglish(62) amehukumiwa kifungo cha miaka 9 kwa kumdhalilisha mtoto wa kiume wa miaka 12 na kifungo cha miaka 7 kwa kumdhalilisha kingono mtoto wa miaka 14
Zaidi, soma https://jamii.app/Ex-UNOfficialJailed-Nepal
- Peter John Dalglish(62) amehukumiwa kifungo cha miaka 9 kwa kumdhalilisha mtoto wa kiume wa miaka 12 na kifungo cha miaka 7 kwa kumdhalilisha kingono mtoto wa miaka 14
Zaidi, soma https://jamii.app/Ex-UNOfficialJailed-Nepal
JAJI MUTUNGI: VYAMA VYA UPINZANI HAVIJAWAHI KULALAMIKA KUZUIWA MIKUTANO
- Msajili wa Vyama vya Siasa, amesema ofisi yake haijawahi kupokea malalamiko ya maandishi
- Amesema vyama vinapaswa kutuma maandishi ili ofisi yake ipate pa kuanzia
Zaidi, soma https://jamii.app/MsajiliMalalamikoMikutanoMsajili
- Msajili wa Vyama vya Siasa, amesema ofisi yake haijawahi kupokea malalamiko ya maandishi
- Amesema vyama vinapaswa kutuma maandishi ili ofisi yake ipate pa kuanzia
Zaidi, soma https://jamii.app/MsajiliMalalamikoMikutanoMsajili
TAKUKURU YAMKAMATA ALIYETAKA KUMTAPELI MKUU WA WILAYA YA KISARAWE
- Omari Khamis Chuma(55), anashikiliwa kwa tuhuma za kujifanya Afisa wa Usalama wa Taifa
- Mtuhumiwa alifika katika Ofisi za DC wa Kisarawe, Jokate Mwegelo kwa nia ya kumtapeli
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-TapeliSuguMbaroni
- Omari Khamis Chuma(55), anashikiliwa kwa tuhuma za kujifanya Afisa wa Usalama wa Taifa
- Mtuhumiwa alifika katika Ofisi za DC wa Kisarawe, Jokate Mwegelo kwa nia ya kumtapeli
Zaidi, soma https://jamii.app/TAKUKURU-TapeliSuguMbaroni
MAREKANI KUUNDA MUUNGANO WA MATAIFA DHIDI YA VITISHO VYA IRAN
- Ni vitisho dhidi ya shughuli za usafirishaji katika eneo ghuba na mlango bahari wa Hormuz
- Ni kutokana na wasiwasi kuwa Iran ndiyo ilishambulia meli za mafuta katika eneo hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMataifa-Iran
- Ni vitisho dhidi ya shughuli za usafirishaji katika eneo ghuba na mlango bahari wa Hormuz
- Ni kutokana na wasiwasi kuwa Iran ndiyo ilishambulia meli za mafuta katika eneo hilo
Zaidi, soma https://jamii.app/MarekaniMataifa-Iran
BALOZI WA UINGEREZA NCHINI MAREKANI AJIUZULU
- Balozi Kim Darroch amejiuzulu ikiwa ni matokeo ya kuvuja kwa barua pepe zake zinazoukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kusema kuwa utawala huo hauna weledi na usiojali diplomasia
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziUK-AjiuzuluUSA
- Balozi Kim Darroch amejiuzulu ikiwa ni matokeo ya kuvuja kwa barua pepe zake zinazoukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kusema kuwa utawala huo hauna weledi na usiojali diplomasia
Zaidi, soma https://jamii.app/BaloziUK-AjiuzuluUSA
WAZIRI KIGWANGALLA AZUNGUMZIA SANAMU YA NYERERE
- Asema “Hatuyapuuzi maneno ya Watanzania kuhusu ile sanamu, kama kuna mapungufu sisi ndio wenye dhamana ya kuangalia. Wataalamu tunao tutawaita watuelekeze kama kuna mapungufu yatarekebishwa”
Zaidi, soma https://jamii.app/SanamuNyerereMarekebisho
- Asema “Hatuyapuuzi maneno ya Watanzania kuhusu ile sanamu, kama kuna mapungufu sisi ndio wenye dhamana ya kuangalia. Wataalamu tunao tutawaita watuelekeze kama kuna mapungufu yatarekebishwa”
Zaidi, soma https://jamii.app/SanamuNyerereMarekebisho
TABORA: AHUKUMIWA KWA KUENDESHA TRENI AKIWA AMELEWA
- Elirehema Macha amehukumiwa kifungo cha miezi 12 au kulipa faini ya Tsh. Milioni 2
- Alikuwa akiendesha treni kutoka Dar kwenda Kigoma na alipita bila kusimama katika Kituo cha Malongwe
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaTreniMleviAhukumiwa
- Elirehema Macha amehukumiwa kifungo cha miezi 12 au kulipa faini ya Tsh. Milioni 2
- Alikuwa akiendesha treni kutoka Dar kwenda Kigoma na alipita bila kusimama katika Kituo cha Malongwe
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaTreniMleviAhukumiwa
#AFCON2019: #Senegal inakuwa timu ya kwanza kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga #Benin goli 1-0 katika mchezo wa robo fainali
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
WAZIRI KABUDI: AZORY GWANDA SIO MTU PEKEE ALIYEPOTEA NA KUFA
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa