LEO JULAI 11: MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPINGA RUSHWA BARANI AFRIKA
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
ADDIS ABABA, ETHIOPIA: WAKOSOAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA KUDAIWA KUHUSIKA NA MAUAJI
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
CCM YAPATA MGOMBEA WA KUWANIA UBUNGE JIMBO ALILOONDOLEWA LISSU
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
MWAKYEMBE: KAMA TFF IMEMFUKUZA AMUNIKE KWA KUIGA MISRI, NAO WAJIUZULU
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019. UFAULU WAONGEZEKA KWA 0.74%
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019
MAXENCE MELO KUHOJIWA KWA DCI JUU YA MADAI YA MUSIBA KUTAKA KUULIWA
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
WAZIRI KABUDI AKANUSHA KUTHIBITISHA KIFO CHA AZORY GWANDA
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.”
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.”
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
ALGERIA: MBUNGE WA UPINZANI ACHAGULIWA KUWA SPIKA
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
MBUNGE FRANK MWAKAJOKA (CHADEMA) MBARONI
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
DAR: WATU 7 WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
TFF IMEMCHAGUA KOCHA WA AZAM KUKAIMU UKOCHA WA TAIFA STARS
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
MAREKANI: R. KELLY AKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UNYANYASAJI WA KINGONO
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
KENYA: AUA WATOTO WAKE NA KUWATUPA CHOONI
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
- Polisi katika Kaunti ya Nandi inamtafuta Mwanamke, Floxy Cheptoo(32) anayedaiwa kumuua Mtoto wake wa Kike(7) na wa Kiume(11)
- Miili iligundulika baada ya Mwanakijiji kubaini alama za damu chooni
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaWatotoChooni-KE
RAIS WA UGANDA KUFANYA ZIARA BINAFSI, NCHINI
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ
- Rais Yoweri Museveni Kesho, Julai 13, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku moja kwa kumtembelea Rais Magufuli
- Atamtembelea Rais Magufuli Kijijini kwake, Mlimani katika Wilaya ya Chato, Mkoani Geita
Zaidi, soma https://jamii.app/MuseveniZiaraBinafsi-TZ