IRAN KUVUNJA MKATABA WA NYUKLIA
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
INDIA: WATU 29 WAFARIKI NA ZAIDI YA 20 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
SINGIDA: WATU 7 WAKIWEMO WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WAFARIKI AJALINI
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini
SHAMIMU NA MUMEWE WARUDISHWA RUMANDE, MAHAKAMA BADO INASUBIRI RIPOTI YA MKEMIA MKUU
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
LIGI KUU BARA 2019/20 KUANZA AGOSTI 23. SIMBA NA YANGA KUKUTANA JANUARI 04, 2020
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
THE HAGUE: ALIYEKUWA KIONGOZI WA WAASI CONGO, BOSCO NTAGANDA ATIWA HATIANI
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
MAHUSIANO: Mtoa mada ndani ya JamiiForums anawashauri Wanaume kwamba “unapotaka kuoa hakikisha unaoa Mwanamke ambaye unamzidi Elimu, Kipato na Mali kwa wakati huo”
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
FAMILIA YA ALLAN KILUVYA, ANAYEDAIWA KUTEKWA YAJITOKEZA KUOMBA MSAADA
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 0.2 NDANI YA MWEZI
- Umeongezeka hadi asilimia 3.7 kwa mwezi Juni kutoka asilimia 3.5 kwa mwezi Mei, 2019
- Hali hiyo inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwezi Juni imeongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiWaongezeka-Juni2019
- Umeongezeka hadi asilimia 3.7 kwa mwezi Juni kutoka asilimia 3.5 kwa mwezi Mei, 2019
- Hali hiyo inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwezi Juni imeongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiWaongezeka-Juni2019
HANDENI, TANGA: MBARONI KWA KUMCHINJA MKEWE
- Juma Hemedi(45) mkazi wa Kwamaraho, anashikiliwa na polisi kwa kumuua mkewe Amina Hussein(38)
- Kamanda Bukombe amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na amesema polisi inaendelea na uchunguzi
Soma https://jamii.app/AmchinjaMkewe
- Juma Hemedi(45) mkazi wa Kwamaraho, anashikiliwa na polisi kwa kumuua mkewe Amina Hussein(38)
- Kamanda Bukombe amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na amesema polisi inaendelea na uchunguzi
Soma https://jamii.app/AmchinjaMkewe
MIILI YA WAFANYAKAZI WATANO WA AZAM MEDIA GROUP YAAGWA
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
KATIBU MKUU CCM AMUONYA WAZIRI WA VIWANDA
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
IRAN: TUTAJIBU HATUA YA UINGEREZA KUKAMATA MELI YETU
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
RAIS MAGUFULI AZINDUA HIFADHI YA BURIGI-CHATO, AMPONGEZA FARU RAJABU
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu