AMUUA MWENZAKE AKIMTUHUMU KUIBA PANGA MWAKA 2018
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Lindi linamshikilia Aisha Mshamu (65) kwa tuhuma za kumuua Zainabu Mikumbi (80) kwa kumpiga na jembe kichwani na shingoni akimtuhumu kwa wizi wa panga lililopotea 2018
Soma - https://jamii.app/MauajiWiziPanga
> Jeshi la Polisi Wilaya ya Lindi linamshikilia Aisha Mshamu (65) kwa tuhuma za kumuua Zainabu Mikumbi (80) kwa kumpiga na jembe kichwani na shingoni akimtuhumu kwa wizi wa panga lililopotea 2018
Soma - https://jamii.app/MauajiWiziPanga
MISENYI, KAGERA: WALIOMTEKA MWANAFUNZI WA DARASA LA PILI WAHUKUMIWA MIAKA 5 JELA
> Waliohukumiwa ni Khalifa Ahmed(19) na Jonas Deogratias(19). Walimteka Levis Respicius Mei 13, 2019
> Walitaka kumtumia Mtoto huyo kumshinikiza Baba yake awape Milioni 15
Soma > https://jamii.app/WafungwaMisenyi
> Waliohukumiwa ni Khalifa Ahmed(19) na Jonas Deogratias(19). Walimteka Levis Respicius Mei 13, 2019
> Walitaka kumtumia Mtoto huyo kumshinikiza Baba yake awape Milioni 15
Soma > https://jamii.app/WafungwaMisenyi
MOROGORO: WAFANYAKAZI WA MRADI WA SGR NA ASKARI WA JWTZ WAFARIKI KATIKA AJALI
> Waliofariki ni Wafanyakazi wa Yapi Merkezi Modriki Mwaisyupa(41), na Inocent Maiko(37), Askari wa JWTZ ambaye jina halijafahamika na Zainabu Shija (32) aliyekuwa ameomba lifti
Soma > https://jamii.app/AjaliUbena
> Waliofariki ni Wafanyakazi wa Yapi Merkezi Modriki Mwaisyupa(41), na Inocent Maiko(37), Askari wa JWTZ ambaye jina halijafahamika na Zainabu Shija (32) aliyekuwa ameomba lifti
Soma > https://jamii.app/AjaliUbena
UKAGUZI WA BIDHAA: MAKONTENA 142 YALIKUTWA NA BIDHAA BANDIA
> Tume ya Ushindani imefanya ukaguzi wa makontena 3,312 katika kipindi cha mwaka wa fedha uliopita 2017/2018 na kubaini makontena 142 yalikuwa na bidhaa bandia
> Ukaguzi huo ulifanywa katika mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma, Morogoro, Mwanza, Arusha, Mbeya na mipaka yote ya nchi
Soma - https://jamii.app/MakontenaBidhaaBandia
> Tume ya Ushindani imefanya ukaguzi wa makontena 3,312 katika kipindi cha mwaka wa fedha uliopita 2017/2018 na kubaini makontena 142 yalikuwa na bidhaa bandia
> Ukaguzi huo ulifanywa katika mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma, Morogoro, Mwanza, Arusha, Mbeya na mipaka yote ya nchi
Soma - https://jamii.app/MakontenaBidhaaBandia
UKRAINE: KUFUATIA KUTUNGWA KWA SHERIA YA KUZUIA MATUSI: WAZIRI ASEMA MATUSI NI MAZURI KWA AFYA
> Naibu Waziri wa Afya, Ulana Suprun amesema matusi ni mazuri kwa afya ya Mwanadamu
> Amefafanua kuwa matusi ni mawasiliano mazuri ya kihisia baina ya Watu
Soma > https://jamii.app/MatusiUkraine
> Naibu Waziri wa Afya, Ulana Suprun amesema matusi ni mazuri kwa afya ya Mwanadamu
> Amefafanua kuwa matusi ni mawasiliano mazuri ya kihisia baina ya Watu
Soma > https://jamii.app/MatusiUkraine
FAMILIA 7 ZAKOSA MAHALI PA KUISHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUBOMOLEWA
> Familia 7 katika Mtaa wa Olasiti Kati jijini Arusha, hazina mahali pa kuishi kufuatia nyumba zao kubomolewa kwa amri ya Mahakama kutokana na mgogoro wa Ardhi uliokuwa ukiendelea baina yao na Mkazi wa Kiteto, Mwanamkasi Ramadhani
> Baadhi yao wamedai zoezi hilo limetekelezwa bila kufuata utaratibu na hawakupewa muda wa kujiandaa
Soma - https://jamii.app/FamiliMakaziBomoa
> Familia 7 katika Mtaa wa Olasiti Kati jijini Arusha, hazina mahali pa kuishi kufuatia nyumba zao kubomolewa kwa amri ya Mahakama kutokana na mgogoro wa Ardhi uliokuwa ukiendelea baina yao na Mkazi wa Kiteto, Mwanamkasi Ramadhani
> Baadhi yao wamedai zoezi hilo limetekelezwa bila kufuata utaratibu na hawakupewa muda wa kujiandaa
Soma - https://jamii.app/FamiliMakaziBomoa
Mchezo wa michuano ya #AFCON2019 wa hatua ya 16 bora kati ya #Morocco dhidi ya #Benin umemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya goli 1 kwa 1
> Mchezo huo unalazimika kwenda dakika 30 za nyongeza ili kumpata mshindi.
#JFSports
> Mchezo huo unalazimika kwenda dakika 30 za nyongeza ili kumpata mshindi.
#JFSports
Timu ya Taifa ya #Uganda 'The Cranes' imeondoshwa katika michuano ya #AFCON2019 baada ya kukubali kipigo cha goli 1 kwa 0 kutoka kwa timu ya Taifa ya #Senegal
> #Uganda ndio timu pekee kutoka Afrika Mashariki iliyokuwa imesalia katika michuano hiyo
#JFSports
> #Uganda ndio timu pekee kutoka Afrika Mashariki iliyokuwa imesalia katika michuano hiyo
#JFSports
NEMC: KELELE ZA VIWANDA, NGOMA, MUZIKI, IBADA KUANZA KULIPIWA. WATAKAOKIUKA KUTOZWA FAINI
> NEMC imesema kwa Mtu atakayetaka kufanya shughuli hizo atapaswa kulipa milioni 10
> Watakaokiuka watatozwa faini isiyozidi milioni 50 ama kifungo jela
Soma > https://jamii.app/NEMCVsKelele
> NEMC imesema kwa Mtu atakayetaka kufanya shughuli hizo atapaswa kulipa milioni 10
> Watakaokiuka watatozwa faini isiyozidi milioni 50 ama kifungo jela
Soma > https://jamii.app/NEMCVsKelele
RAIA WA KIGENI MBARONI KWA KUSAFIRISHA DHAHABU BILA KIBALI
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia raia wawili wa Uingereza na mmoja wa Ireland kwa kosa la kusafirisha dhahabu gramu 1,044.95 bila kuwa na kibali kutoka Wilaya ya Chunya kuelekea Jijini Dar es salaam
Soma - https://jamii.app/UsafiriDhahabuWageni
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia raia wawili wa Uingereza na mmoja wa Ireland kwa kosa la kusafirisha dhahabu gramu 1,044.95 bila kuwa na kibali kutoka Wilaya ya Chunya kuelekea Jijini Dar es salaam
Soma - https://jamii.app/UsafiriDhahabuWageni
JamiiForums
Raia wa kigeni wakaatwa wakisafirisha dhahabu - JamiiForums
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu watatu raia wa kigeni kwa kosa la kusafirisha madini aina ya dhahabu bila kuwa na kibali.
Watuhumiwa hao walikuwa wakitokea Wilaya ya Chunya...
Watuhumiwa hao walikuwa wakitokea Wilaya ya Chunya...